Mgunda meno nje, akiisikilizia Yanga
BAADA ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Magnet FC, Kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda, amesema umerudisha morali kwa wachezaji ikijiandaa kuipokea Yanga keshokutwa Jumapili.
Maafande wa Tanzania Prisons katika mtego mpya
PAMOJA na kuchekelea matokeo ya ushindi katika mechi mbili mfululizo, Tanzania Prisons inakabiliwa na kibarua kingine kigumu wikiendi hii itakapoialika Simba kwenye Uwanja wa Sokoine kwa mechi ya Ligi Kuu…
Ukijichanganya kwa JKT Tanzania utakula nyingi
BAADA ya JKT Tanzania kushinda mabao 7-0 mbele ya wakongwe wa soka na mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Bara na ile ya Muungano miaka ya 1980, Pan Africans kwenye…
Vita ya kupanda daraja yazidi kunoga Championship
MBIO za kuwania kupanda Ligi Kuu Bara zinazidi kunoga wakati Ligi ya Championship ikiendelea tena wikiendi hii, na kesho Jumapili zitapigwa mechi saba na moja Jumatatu kuhitimisha raundi ya 19,…
Rekodi za Baresi zashtua KMC
JINAMIZI la mwenendo mbovu wa matokeo limeendelea kuikumba KMC msimu huu, huku kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’, akiendeleza rekodi mbaya, tangu alipojiunga nayo Desemba 30, 2025, akichukua nafasi…
Mastaa Ligi Kuu wajibu mapigo FA
WACHEZAJI wanaocheza timu za Ligi Kuu Bara, wameanza vyema michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), baada ya kufunga 'Hat-Trick' mbili kabla ya mechi za jana, ikiwa ni idadi kubwa kwa…
Picha ya mkongwe kikapu yawekwa katika mpira
NYOTA wa kikapu wa aliyetamba na Pazi msimu uliopita wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam, Josephat Peter 'Tekenya' amekuwa mchezaji wa kwanza wa mchezo huo picha yake kutumika kama…
Kwa nini ni wakati sahihi kwa TFF kupata mshirika wa kamari?
Wadau wa soka wanasema kuwa sasa ni wakati mwafaka kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kushirikiana rasmi na kampuni ya kamari kama sehemu ya jitihada za kuhuisha uongozi na kufungua…
Wilfred Kidao apata shavu TRA United
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidao, ni miongoni mwa wajumbe nane wanaounda Bodi ya Usimamizi wa TRA United SC inayoongozwa na Mwenyekiti wake,…
Abdihamid Moallin aziingiza tatu vitani Bara
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Abdihamid Moallin ‘Master Lecturer’, huenda akarejea Tanzania hivi karibuni ikiwa atafikia makubaliano na timu tatu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara, baada ya kuonyesha uhitaji mkubwa…
Ramadhan Chobwedo ni kazi tu TRA United
KIUNGO mshambuliaji wa TRA United, Ramadhan Salum Chobwedo, ingawa kwa sasa amefunga bao moja dhidi ya Tanzania Prisons, anasema malengo yake makuu ni kuhakikisha mchango wake unasaidia timu kushinda.
JKT Tanzania yakaribia malengo ya msimu
KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally amesema wanayasogelea malengo yao ya msimu huu, aliyoyataja ni ubora wa timu kila inapocheza mechi, wachezaji viwango vyao kuwa juu na kuhakikisha wanamaliza nafasi…
Kocha Laizer aanika tatizo la Fountain Gate
FOUNTAIN GATE inapitia wakati mgumu, ikiwa haijashinda tangu mwaka huu 2026 uanze kwenye michuano ya Ligi Kuu Bara, lakini kocha wa kikosi hicho, Mohammed Ismail ‘Laizer’ amelitaja tatizo linalowasumbua.
ZUWENA: Soka la wanawake limenipeleka Sierra Leone
UPAMBANAJI wa kiungo Mtanzania, Zuwena Aziz 'Zizou' anayechezea timu ya Mogbwemo Queens inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake Sierra Leone, haukuwa rahisi kuna kipindi alitamani kuachana kabisa na mchezo huo wa…
Serikali yaidhinisha marekebisho ya katiba Simba
SERIKALI kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT), imeidhinisha marekebisho ya katiba ya Klabu ya Simba baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa chini ya Ofisi ya Msajili wa…
Ouma atumia mechi za CAF kuitisha Copco FC
KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema licha ya kushindwa kutinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini wamepata somo zuri wanalotaka kuanza kulitumia kesho Alhamisi dhidi…
Mgunda hataki kurudia makosa
BAADA ya vipigo viwili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema hatarajii kurudia makosa kwenye pambno lijalo la michuano ya Kombe la Shikirikisho…
Mkenya Pamba Jiji hesabu kwa vigogo
LICHA ya Pamba Jiji jioni ya leo kuwa na kibarua cha kukabiliana na Alliance FC katika mechi ya hatua ya 64 Bora ya Kombe la Shirikisho (FA), kocha wa timu…
Miaka 10 ya mafanikio JMK
Wakati Kituo cha Michezo cha Jakaya Mrisho Kikwete kikiadhimisha miaka 10 tangu kianzishwe, baadhi ya makocha wamesema zaidi ya wachezaji bora 35 wametokea hapo.
Planet yaivuruga Mwanza Eagles
BUGANDO Planet imeitikisa Mwanza Eagles katika nusu fainali ya kwanza ya mashindano ya Dunda Wish Basketball baada ya kuifumua kwa pointi 69-56.-56. Nusu fainali hiyo inachezwa kwa mfumo wa timu…
Jamal afunguka mziki Dar City ulivyompaisha
SUPASTAA wa timu ya kikapu ya Dar City, Jamal Ally amezungumzia kwa mara ya kwanza ubora wake katika kikosi hicho kufuatia vaibu ambalo amekuwa akilionyesha katika Ligi ya Kikapu Mkoa…
NMB yakutanisha pamoja Wananchi kupitia Kijiji Day
Wananchi wa Kijiji cha Somanga wameiomba Benki ya NMB kufanya bonanza mara kwa mara ili kujifunza mambo mbalimbali yanayohusu uwekaji na fursa mbalimbali zinazopatikana katika taasisi hiyo.
Kigogo Mtibwa Sugar aachia ngazi
LICHA ya timu kufanya vizuri kwa kushika nafasi ya nne katika Ligi Kuu Bara, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mtibwa Sugar, Aboubakar Swabri amejiuzulu nafasi yake ndani ya timu hiyo.
Simba yaanza upya kusaka tiketi ya CAF
BAADA ya kukwama kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba inaanza upya msako wa tiketi ya kushiriki michuano ya CAF kwa msimu ujao, itakaposhuka usiku wa leo kwenye…
Gamondi asani miwili Taifa Stars, akiahidi raha
KOCHA Miguel Gmondi amehakikishiwa maisha Taifa Stars baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuinoa, huku akiwaahidi mashabiki wa soka nchini furaha kuliko ile ya kucheza 16 Bora ya…
Makonda ampa msajili siku 12 kumaliza utata Simba
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo Tanzania, kuipa Simba majibu ya kinachoendelea kuhusu mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji.
“Kawaambieni …” Shabiki Yanga apasuka baada ya kutupwa nje CAFCL wakiibajua JS Kabylie bao 3-0
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Ndo basi tena! Yanga ilivyokuwa inasikilizia matokeo ya Al Ahly vs FAR Rabat ikiiua JS Kabylie 3-0
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Prisons yaipeleka Simba Dodoma, Otieno bado hakijaeleweka
SIKU chache baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Tanzania Prisons imesema inatarajia kutumia Uwanja wa Jamhuri uliopo Dodoma kuikaribisha Simba katika mechi ya…
Kariakoo Dabi ya Machi mosi kupigwa ‘Gwantanamo Bay’
MECHI ya watani wa jadi, Yanga dhidi ya Simba maarufu Kariakoo Dabi iliyopangwa kufanyika Machi 1, 2026, itachezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.
Azam FC, kama Singida Shirikisho Afrika
AZAM FC leo imekamilisha ratiba ya meci za makundi kwa kipigo cha mabao 2-0 ugenini mbele ya Wydad AC ya Morocco na kuunganana na Singida Black Stars kung’oka katika michuano…
Yanga hesabu zimekataa! Yashindwa kutinga robo fainali CAFCL
HESABU zimekaa. Ndicho kilichotokea jana kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAF baada ya Yanga jana usiku kupata ushindi wa mabao 3-0 nyumbani mbele ya JS Kabylie ya Algeria,…