Zaidi ya wadau 600 kuhudhuria Mkutano Mkuu wa TFF 2026 Kahama
Kahama. Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) mwaka huu 2026, unatarajiwa kufanyika wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa siku mbili, Februari 27 na 28, huku wadau zaidi ya 600…