Dida, Suluhu wavunjiwa mikataba Geita Gold
UONGOZI wa Geita Gold umevunja mkataba na wachezaji wawili kipa Deogratius Munishi ‘Dida’ na beki Fredy Juma Sululu baada ya kucheza mechi ya dhidi ya Ken Gold iliyomalizika kwa sare…
Mido ya Kagera yaibukia Mbeya City
MBEYA City inaendelea na maboresho katika dirisha dogo lililofunguliwa kuanzia Januari 1, 2026, ambapo kwa sasa kikosi hicho cha jijini Mbeya kiko kwenye hatua za mwisho za kumsajili kiungo Said…
Simbu kushiriki Burji2Burji Half Marathon
MWANARIADHA wa Alphonce Simbu anatarajiwa kushiriki mbio za Burji2Burji Half Marathon zitakazofanyika Dubai, Februari 8, mwaka huu, akiwa miongoni mwa wanariadha maarufu wa kimataifa.
Ibenge achekelea Mtasingwa kurejea
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameonekana mwenye furaha zaidi baada ya kushuhudia kiungo wa timu hiyo, Adolf Mtasingwa, akirejea rasmi uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa…
Fufuni yahamishia hasira Ligi Kuu Zanzibar
WAHENGA wanasema kuvunjika kwa Koleo si mwisho wa uhunzi. Msemo huo ameondoka nao Kocha Mkuu wa Fufuni, Suleiman Mohamed maarufu Mani Gamera au Govinda, baada ya kushuhudia kikosi chake kikiishia…
URA: Mwakani tunakuja kubeba kombe
MABINGWA wa Kombe la Mapinduzi mwaka 2016, timu ya URA, imekubali ushindani iliokutana nao msimu huu katika michuano hiyo imewapa funzo na kuahidi wakati ujao itaondoka na kombe.
Kinda Azam atabiriwa makubwa
ALICHOKIFANYA kinda wa Azam FC anayecheza nafasi ya beki wa kati, Twalibu Nuru, kimemfanya kocha wa kikosi hicho, Florent Ibenge kumtabiria siku si nyingi ataitumikia Taifa Stars.
KVZ Yaondoka na somo Yanga Mapinduzi Cup
POINTI moja waliyokusanya KVZ walipocheza dhidi ya TRA United, kisha wakafungwa 3-0 na Yanga, kuna funzo kubwa wamelipata makamanda hao wa Kikosi Cha Valantia Zanzibar.
Mastraika waiangusha Muembe Makumbi City
KITENDO cha Muembe Makumbi City kufunga bao moja katika mechi mbili za Kombe la Mapinduzi, lawama ziende kwa washambuliaji wakiongozwa na Abdallah Idd Pina.
Mlandege tatizo wachezaji sio kocha
KOCHA msaidizi wa Mlandege, Sabri Ramadhan China amesema wachezaji wa kikosi hicho wameshindwa kuifanya kazi ipasavyo ndiyo sababu ya kuwa timu ya kwanza kuaga mashindano.
Pacha mpya inasukwa Singida Black Stars
USAJILI wa mabeki wawili wa kati Singida Black Stars, Abdallah Salum Kheri ‘Sebo’ na Abdulmalik Zakaria umetajwa kuwa unakwenda kuimarisha zaidi eneo hilo baada ya kuonekana kuna shida.
Yanga v TRA United ni mechi ya kisasi
HATUA ya makundi katika Kombe la Mapinduzi 2026, inahitimishwa leo kwa kupigwa mechi moja matata sana pale New Amaan Complex kuanzia saa 2:15 usiku ambapo itakuwa Yanga dhidi ya TRA…
Simba yaifuata Azam nusu fainali Mapinduzi Cup
NI rasmi sasa Mzizima Derby inapigwa kwenye mashindano ya Kombe la Mapinduzi kati ya Azam dhidi ya Simba.
Tanzania yatabiriwa medali ya dhahabu mbio za Nyika
SAFARI ya wanariadha wa kikosi cha timu ya taifa ya riadha ya Tanzania kushiriki mbio za dunia za Nyika imeiva baada ya kuagwa leo Januari 5, 2026 huku ikitabiriwa kurudi…
Azam yaichapa URA Mapinduzi Cup, yaisubiri Simba, Fufuni
USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata Azam dhidi ya URA wafungaji wakiwa Jephte Kitambala na Albogast Kyobya, yameifanya timu hiyo kumaliza kinara wa kundi A.
TFF, Gamondi waitana mezani
BAADA ya kuifikisha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars katika hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 akiwa kama kocha wa mpito, Miguel…
HATUWADAI: Taifa Stars ilivyoaga AFCON kwa heshima
TAIFA Stars imehitimisha safari yake ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) katika hatua ya 16-Bora baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya timu Na.1 kwa ubora wa barani…
AFCON 2025 yambeba Alphonce Mabula
KIUNGO wa Shamakhi FC, Alphonce Mabula amesema kucheza michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) akiwa na kikosi cha Taifa Stars kumeanza kumpa uzoefu wa mechi za kimataifa na somo kwenye…
Usajili dirisha dogo, Mashujaa yamsikilizia Mayanga
MABOSI wa Mashujaa FC ya Kigoma bado wanakuna vichwa kuhusu usajili wa dirisha dogo, huku wakisisitiza kwamba wanasubiri ripoti ya benchi la ufundi ili kuwa na uhakika wa nini kifanyike…
Kocha Dodoma Jiji aanika mipango yake
KOCHA wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amesema timu itafanya mazoezi kwa wiki moja, huku ikiangalia ni mkoa gani ikienda itapata mechi za kirafiki kwa urahisi kabla ya kurejea mechi za…
Seleman Mgaza azichonganisha timu mbili Bara
MSHAMBULIAJI wa Zimamoto ya Zanzibar, Seleman Mgaza ameziingiza vitani timu mbili za maafande wa JKT Tanzania na KMC, ambazo zimeonyesha nia ya kumhitaji katika dirisha hili dogo, huku mazungumzo kati…
Staa URA aitumia salamu Azam
WAKIJIANDAA kwa mechi ya mwisho kuhitimisha kundi A ambayo imebeba hatma ya kila mmoja wao, nyota wa URA, Mulikyi Hudu ameitumia salamu Azam FC kwa kusema, ijiandae kupokea maumivu na…
Dabi ya Mzizima yanukia nusu fainali Mapinduzi Cup
LEO Jumatatu, makundi mawili katika Kombe la Mapinduzi 2026 yanamaliza mechi zake ambapo baada ya dakika tisini, tunaweza kushuhudia jambo kubwa sana.
Chukwu, Yakoub hawashikiki Mapinduzi Cup
KABLA ya jana jioni Yanga haijacheza dhidi ya KVZ, kuna mastaa wawili katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 walikuwa wamefunika kwa kubeba tuzo nyingi.
Stars yatolewa kwa mbinde Afcon 2025
HATUWADAI wanetu. Walisikika mashabiki wa Taifa Stars jijini Dar es Salaam usiku wa Jumapili baada ya kuishuhudia timu yao ya soka ikitupwa nje ya mashindano ya Kombe la Mataifa ya…
Mwanengo aanza na mguu mzuri Yanga ikiichapa KVZ
MSHAMBULIAJI Emmanuel Mwanengo, ameanza na mguu mzuri ndani ya Yanga baada ya kuwa sehemu ya mchango wa ushindi wa mabao 3-0 ilioupata timu hiyo dhidi ya KVZ.
Azam FC yaanza na Haaland, Pogba
AZAM FC inaendelea kujiimarisha katika maeneo mbalimbali ya kikosi hichona sasa imevamia Mlandege ya Zanzibar na kubeba mastaa wawili wa timu hiyo, akiwamo Aimar Hafidh Abubakar ‘Haaland’ na Suleiman Juma…
Denis Nkane, TRA United mambo yamejipa
UONGOZI wa TRA United umekamilisha mpango wa kuinasa saini ya winga Denis Nkane kutoka Yanga kwa mkataba wa miezi sita.
Abalkassim aibukia Mbeya City
BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi minne, aliyekuwa mshambuliaji nyota wa Pamba Jiji, Abalkassim Suleiman, amekamilisha usajili wa kujiunga na Mbeya City ya jijini Mbeya, kwa dili…
Beki Mkongomani anukia Dodoma Jiji
UONGOZI wa Dodoma Jiji umeanza maboresho ya kikosi hicho katika dirisha hili dogo lililofunguliwa rasmi Januari Mosi, ambapo kwa sasa unakaribia kuipata saini ya beki wa kati raia wa DR…
Bajaber aing’arisha Simba Mapinduzi Cup, Chamou mchezaji bora
SAFARI ya Simba kulisaka taji la tano la Mapinduzi, imeanza vizuri baada ya kiungo wa timu hiyo, Mohamed Bajaber kufunga bao pekee katika ushindi wa 1-0.
Singida Black Stars yatangulia nusu fainali Mapinduzi Cup
SARE ya bao 1-1 dhidi ya URA, imeifanya Singida Black Stars kuwa timu ya kwanza kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026.
Yacouba Songne sasa atua Mbeya City
BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa nusu msimu mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Yacouba Songne amekamilisha dili la kuitumikia Mbeya City.
Beno Kakolanya kazungumzia mechi hizi
MBEYA City inajipima na mechi za kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu Bara, huku ikiwa tayari imeshacheza dhidi ya Ken Gold iliyowafunga mabao 2-1 na kushinda dhidi ya Kombaini ya Mbeya…
Kwa Ahmed Bakari ‘Pipino’ sasa kazi tu
BAADA ya kurejea uwanjani akiwa fiti akitoka kuwa majeruhi, kiungo wa KMC, Ahmed Bakari 'Pipino' amesema huu ni muda mwafaka wa kuunganisha nguvu na wenzake kuipambania timu hiyo kuondoka mkiani.
Straika aipa mechi tano Transit Camp
STAA wa Transit Camp, Adam Uledi amesema licha ya kuongoza katika Ligi ya Championship kwa idadi ya mabao, lakini matokeo waliyonayo hayaendani na mahitaji akizitaja mechi tano tu zitakawapa mwanga…
Alliance yatimua kocha, yamrejesha Mirambo
TIMU ya Alliance FC ya jijini Mwanza imemrejesha kocha wake wa zamani, Mirambo Camil kuongoza benchi la ufundi baada ya mwenendo usioridhisha katika First League.
Maxime: Mbeya City ni ya burudani na mabao
‘RAHA ya mpira bao’. Ni kauli ya Kocha Mkuu wa Mbeya City, Mecky Maxime akielezea mipango yake akiahidi mambo mazuri pale Ligi Kuu Bara itakaporejea mapema mwezi huu. Maxime alitambulishwa…