Skip to content
  • Mon. Mar 2nd, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi Mzee Samagubi alivyonusurika kifo, kaya 720 zikizongwa na maji Turiani
HABARILEO

Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi

March 2, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika

March 2, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel

March 2, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi

March 2, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Mzee Samagubi alivyonusurika kifo, kaya 720 zikizongwa na maji Turiani

March 2, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi
HABARILEO
Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi
Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika
TUKO SWAHILI NEWS
Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika
Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel
IDHAA YA DUNIA
Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel
SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi
MWANANCHI
SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi
Faragha kipaumbele Galaxy S26 Ultra ikiingia sokoni
HABARILEO
Faragha kipaumbele Galaxy S26 Ultra ikiingia sokoni
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi
HABARILEO
Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi
Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika
TUKO SWAHILI NEWS
Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika
Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel
IDHAA YA DUNIA
Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel
SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi
MWANANCHI
SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi
MWANANCHI

Serikali yataja sababu kutojenga stendi Ngara, kugawa ardhi Hifadhi ya Isalalo

February 4, 2026 mjombazecoder

Serikali imekiri stendi ya mabasi katika wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera haitoshelezi mahitaji...

MWANASPOTI

Salum Mayanga akalia kuti kavu Mashujaa

February 4, 2026 mjombazecoder

BAADA ya kukosa ushindi kwenye mechi tano mfululizo za Ligi Kuu Bara, uongozi wa Mashujaa upo katika mazungumzo ya kumalizana na kocha wa kikosi hicho, Salum Mayanga ili kufikia makubaliano…

Mfumo wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) utasaidia kuboresha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa kazi na kutumia teknolojia…

February 4, 2026 mjombazecoder

Mfumo wa Usimamizi wa Kodi za Ndani (IDRAS) utasaidia kuboresha utoaji wa huduma, kuongeza ufanisi wa kazi na kutumia teknolojia ya kisasa katika kusimamia kodi za ndani. Hayo yameelezwa na…

TUKO SWAHILI NEWS

Edwin Sifuna asema hana wasiwasi kuhusu kunyang’anywa kiti cha SG katika ODM: “Ni sawa”

February 4, 2026 mjombazecoder

Katibu mkuu wa ODM, Edwin Sifuna, alizungumzia uvumi anaondoka chamani, akithibitisha uaminifu wake katikati ya fujo kuhusu uongozi na uhalali wa kikatiba wa chama.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Marekani yaanzisha upya AGOA kwa mwaka mmoja

February 4, 2026 mjombazecoder

Baraza la Seneti la Marekani limepiga kura siku ya Jumanne, Februari 3, 2026, kuanzisha upya AGOA kwa mwaka mmoja. Hatua hii imesainiwa mara moja kuwa sheria na Rais wa Marekani…

TRT SWAHILI

Tanzania: Chama cha ACT-Wazalendo chalaani uchomwaji wa nyaraka za Uchaguzi wa Zanzibar

February 4, 2026 mjombazecoder

ACT-Wazalendo imesisitiza kuwa, ni kosa la jinai kuharibu ushahidi wakati kuna shauri la kisheria linaloendelea.

ASTV TANZANIA

Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima nchini wanaondokana na kilimo cha mkono kupitia mpango wa kugawa matrekta 10,000 katika…

February 4, 2026 mjombazecoder

Serikali imejipanga kuhakikisha wakulima nchini wanaondokana na kilimo cha mkono kupitia mpango wa kugawa matrekta 10,000 katika halmashauri zote nchini, ambayo utawawezesha wakulima kuyakodi kwa gharama nafuu. Mhariri | John…

TZSPORTS

VIWANJANI: “Yale mahitaji amabayo Wydad wanataka kwa Aziz imekuwa ngumu sana kwake…”

February 4, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: “Yale mahitaji amabayo Wydad wanataka kwa Aziz imekuwa ngumu sana kwake…” Mchambuzi wa soka Iddy Nonga amesema ujio wa nyota wakubwa katika soka kwenye klabu ya Wydad Casablanca kumeweka…

TRT SWAHILI

Uturuki yaahidi msaada zaidi kwa Sudan

February 4, 2026 mjombazecoder

Uturuki inalenga kuwasaidia watu wa Sudan na mamlaka za nchini humo katika kushughulikia matatizo ya watu.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

DRC: AFC/M23 yadai kuhusika na mashambulizi kwenye Uwanja wa Ndege wa Kisangani

February 4, 2026 mjombazecoder

Waasi wa AFC/M23 wamedai kuhusika na shambulio la ndege zisizo na rubani kwenye Uwanja wa Ndege wa Bangoka katika jiji la Kisangani, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).…

ASTV TANZANIA

Watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia petroli wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei kwa mwezi Februari, huku kwa w…

February 4, 2026 mjombazecoder

Watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia petroli wataendelea kuugulia maumivu ya ongezeko la bei kwa mwezi Februari, huku kwa watumiaji wa dizeli na mafuta ya taa hali ikiwa tofauti. Hali…

DW SWAHILI

WHO yaomba dola bil.1 za kukabiliana na majanga ya kiafya

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la Afya Duniani, WHO, limeomba dola bilioni moja za Marekani ili kukabiliana na majanga ya kiafya mwaka huu kwa ajili ya maeneo 36 yenye dharura zaidi duniani, huku watu…

MWANANCHI

Ahadi ya Sh200 bilioni zitaakisi fursa au changamoto kwa wafanyabiashara wadogo?

February 4, 2026 mjombazecoder

Ahadi ya utoaji wa Sh200 bilioni ilitolewa na Rais Samia alipokuwa akiomba ridhaa ya wananchi...

ASTV TANZANIA

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Hamisa Kalombola ameliagiza Baraza la Wafanyakazi la Tume hiyo kufanya majadiliano …

February 4, 2026 mjombazecoder

Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma, Jaji Hamisa Kalombola ameliagiza Baraza la Wafanyakazi la Tume hiyo kufanya majadiliano ya kina kuhusu Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027, akisisitiza kuwa…

TZSPORTS

FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: Tazama vikosi vya timu zote mbili vikiwasili katika dimba la Tanzanite Kwaraa tayari kwa mchezo wa NBC…

February 4, 2026 mjombazecoder

FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: Tazama vikosi vya timu zote mbili vikiwasili katika dimba la Tanzanite Kwaraa tayari kwa mchezo wa NBC Premier League. Mechi ni saa 10:00 jioni LIVE #AzamSports1HD…

MWANANCHI

Wananchi walilia kituo cha Polisi cha kisasa

February 4, 2026 mjombazecoder

Wananchi wa Kata ya Mgusu, Wilaya ya Geita, wameiomba Serikali kwa kushirikiana na wadau wa...

MWANANCHI

Ushahidi kesi Mchungaji Malisa waiva, kuanza Februari 11

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Nigeria: Watu wenye silaha waua watu wasiopungua 35 katikati-magharibi

February 4, 2026 mjombazecoder

Watu wenye silaha wameua watu wasiopungua 35 katika kijiji cha Woro, katika Jimbo la Kwara, katikati-magharibi mwa Nigeria, kulingana na mbunge wa eneo hilo, katika shambulio lililothibitishwa na polisi na…

TZSPORTS

MASHABIKI WA SIMBA SC: “Tushapoteza matumaini ya kuendelea mbele kutokana na matokeo tuliyopata nyumbani”

February 4, 2026 mjombazecoder

MASHABIKI WA SIMBA SC: “Tushapoteza matumaini ya kuendelea mbele kutokana na matokeo tuliyopata nyumbani” Mashabiki wa klabu ya Simba wamesema kuelekea mchezo wao dhidi ya Atletico De Luanda ya nchini…

TZSPORTS

ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Tazama shangwe la KMC FC baada ya kuzinyakua alama zote tatu mbele ya Mashujaa FC, katika mchezo wa NBC …

February 4, 2026 mjombazecoder

ZILIZOBAMBA MITANDAONI: Tazama shangwe la KMC FC baada ya kuzinyakua alama zote tatu mbele ya Mashujaa FC, katika mchezo wa NBC Premier League uliopigwa jana katika dimba la Majaliwa Ruangwa…

MWANANCHI

Jela miezi 14 kwa kumuua mtoto wake bila kukusudia

February 4, 2026 mjombazecoder

Siku ya tukio ilidaiwa kulitokea ugomvi baina yake na mkewe ambaye alikuwa amembeba mtoto wao...

ASTV TANZANIA

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza kugawa vifaa vya kielimu na saidizi vya kidigital kwa walimu wenye ulemavu kutoka s…

February 4, 2026 mjombazecoder

Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeanza kugawa vifaa vya kielimu na saidizi vya kidigital kwa walimu wenye ulemavu kutoka shule za awali, msingi na sekondari. Mhariri | John…

DW SWAHILI

Ripoti ya HRW: Raia wazidi kuteseka katika migogoro Afrika

February 4, 2026 mjombazecoder

Ripoti ya mwaka ya Human Rights Watch yafichua taswira ya kutisha ya ukiukaji wa haki za binadamu duniani, ikionyesha raia kama walengwa wakuu wa vita, siasa kandamizi na mifumo dhaifu…

Jopo jipya la Kimataifa la Kisayansi kuhusu AI kuanzishwa, Katibu Mkuu UN afafanua

February 4, 2026 mjombazecoder

Akizungumza na waandishi wa habari katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani amesema amewasilisha kwa Baraza Kuu orodha ya wataalamu 40 kutoka maeneo yote ya dunia…

Asante Jordan kwa kuendelea kukarimu wakimbizi wa Syria: UNHCR SALIH

February 4, 2026 mjombazecoder

Miaka kumi na nne baada ya wakimbizi wa kwanza wa Syria kuvuka mpaka kuingia Jordan kusaka usalama, kambi ya wakimbizi ya Zaatari bado ni makazi ya maelfu ya watu wanaosubiri…

WHO: Kampeni ya chanjo ya kinga dhidi ya kipindupindu yaanza tena baada ya kusitishwa duniani

February 4, 2026 mjombazecoder

Kampeni za chanjo ya kinga dhidi ya kipindupindu zimeanza tena kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka mitatu, kufuatia kuongezeka kwa kiwango chau haba wa upatikanaji wa chanjo…

MONUSCO yathibitisha upya dhamira yake ya kuunga mkono usitishaji mapigano DRC

February 4, 2026 mjombazecoder

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa Kulinda Amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC (MONUSCO) umesema unakaribisha maendeleo yaliyotangazwa na Serikali ya Qatar katika mazungumzo yaliyoandaliwa mjini Doha kati…

Je wajua ukibadili mfumo wa maisha unaweza kujiepusha na saratani?

February 4, 2026 mjombazecoder

Mabadiliko ya mfumo wa maisha na mazingira yanaweza kuzuia ugonjwa wa saratani kwa wagonjwa wanne katika kila wagonjwa kumi, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la afya duniani, (WHO) na…

WFP yasitisha msaada Sudan Kusini kufuatia mashambulizi dhidi ya misafara ya chakula

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) leo Februari 4, 2026 limetangaza kusitisha shughuli zake zote katika kaunti ya Baliet, jimbo la Upper Nile, nchini Sudan…

MWANANCHI

Serikali yaonya makondakta daladala wanaotesa wanafunzi vituoni

February 4, 2026 mjombazecoder

Makondakta wamekuwa wakigoma kuwabeba wanafuzni kwa kisingizio cha kibiashara wakidai wanafunzi...

Uncategorized

WHO: Asilimia 40 ya magonjwa ya saratani duniani yanaweza kuzuilika

February 4, 2026 mjombazecoder

Kuelekea Siku ya Saratani Duniani inayoadhimishwa Februari 4 kila mwaka, Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani (WHO) na Shirika la Kimataifa la Utafiti Kuhusu Saratani (IARC) wamebainisha kuwa…

TRT SWAHILI

Morocco kuikatia rufaa adhabu waliyopewa Senegal

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) lilitoa adhabu kali kwa Senegal na Morocco kufuatia vurugu wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON 2025).

TZSPORTS

VIWANJANI: “Fedha katika mpira wetu zipo ligi kuu sana…”

February 4, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: “Fedha katika mpira wetu zipo ligi kuu sana...” Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), anayewakilisha Mkoa wa Mara Augustine Mgendi, amesema changamoto kubwa…

IDHAA YA DUNIA

Baada ya miaka mingi ya ukame, Arsenal inakaribia kuukana ‘utoto?

February 4, 2026 mjombazecoder

Arsenal inakaribia kutwaa taji lao la kwanza tangu mwaka 2020 baada ya kuichapa Chelsea mabao 4-2 kw aujumla katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Carabao.

MWANANCHI

Hofu yatanda majengo ya kihistoria Kikwajuni kubomolewa

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

ASTV TANZANIA

Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA), kimewataka vijana kuchangamkia mikopo inayotolewa na Serikali…

February 4, 2026 mjombazecoder

Chama cha Wasambazaji wa Bidhaa na Watoa Huduma Migodini (TAMISA), kimewataka vijana kuchangamkia mikopo inayotolewa na Serikali kwa ajili ya kuwawezesha kupata mitaji. Mwenyekiti wa TAMISA, Peter Kumalilwa amesena katika…

DW SWAHILI

Jeshi la Sudan lauvunja mzingiro katika mji wa Kadugli

February 4, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Sudan limesema limeuvunja mzingiro wa miaka mingi katika mji wa Kadugli. Hatua hii ya sasa nchini Sudan inaashiria mabadiliko katika muelekeo wa vita vinavyoikumba nchi hiyo.

DW SWAHILI

HRW: Mfumo wa haki za binadamu duniani upo hatarini

February 4, 2026 mjombazecoder

Ripoti ya kila mwaka iliyotolewa leo na Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW), inaonyesha kuwa mfumo wa kimataifa wa haki za binadamu uko hatarini.

DW SWAHILI

Mashambulizi ya anga ya Israel yawaua watu 9 huko Gaza

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la ulinzi wa raia la Gaza limesema mashambulizi ya anga ya Israel yamewaua watu tisa katika eneo la Wapalestina, ikiwemo watoto watatu.

HABARI ZA KIPEKEE

Jalali: Madai ya Trump kwamba anawaunga mkono Wairani hayana msingi

February 4, 2026 mjombazecoder

Balozi wa Iran nchini Russia, Kazem Jalali amepuuzilia mbali matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani Donald Trump akidai kuwa analiunga mkono na kulisaidia taifa la Iran, akisisitiza kuwa…

DW SWAHILI

Jeshi la Sudan lavunja mzingiro na kudhibiti mji wa Kadugli

February 4, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Sudan limesema limeuvunja mzingiro wa miaka mingi katika mji wa Kadugli na kutoa matumaini kwa maelfu ya watu wanaokabaliwa na kitisho cha baa la njaa.

DW SWAHILI

Kansela Merz kuanza ziara ya kwanza kanda ya Ghuba

February 4, 2026 mjombazecoder

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz, leo anaanza ziara yake ya kwanza katika eneo muhimu lenye utajiri na la kimkakati la Ghuba.

DW SWAHILI

Wajumbe wa Ukraine, Urusi na Marekani kukutana Abu Dhabi

February 4, 2026 mjombazecoder

Wasuluhishi kutoka Ukraine, Urusi na Marekani wanatarajiwa kukutana leo mjini Abu Dhabi, wakitafuta kuendeleza mazungumzo tete ya namna ya kumaliza vita vya karibu miaka minne.

DW SWAHILI

Wahamiaji 15 wafa kisiwani Ugiriki kufuatia ajali ya majini

February 4, 2026 mjombazecoder

Watu wasiopungua 15 wamefariki baada ya boti ya doria ya walinzi wa pwani ya Ugiriki kugongana na boti iliyowabeba wahamiaji nje ya pwani ya kisiwa cha Chios Jumanne usiku.

DW SWAHILI

HRW yasema mfumo wa haki za kidinadamu duniani uko hatarini

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema haki za binadamu zadorora. Marekani, Urusi, Iran na Afghanistan zatuhumihiwa, huku dhidi ya mashoga ikiongezeka.

TRT SWAHILI

Vifo 4 kati ya 10 vya Saratani barani Afrika vinaweza kuzuiwa kutokana na ugunduzi wa mapema: WHO

February 4, 2026 mjombazecoder

Afrika inakabiliwa na changamoto za kipekee zinazoathiri wagonjwa wa Saratani ikiwemo ugunguzi wa kuchelewa na ukosefu wa vifaa vya kutosha vya matibabu

TUKO SWAHILI NEWS

Sifuna aunga mkono uongozi mpya Azimio, asisitiza ODM kingali katika muungano: “Sisi ni wanachama”

February 4, 2026 mjombazecoder

Edwin Sifuna amethibitisha ODM kingali mwanachama katika Azimio, pia alipuuza madai eti chama hicho kilitoka huku mabadiliko ya uongozi yakifanyika.

MWANANCHI

Maneno ya Khadija Kopa kuhusu kifo cha Ally Star

February 4, 2026 mjombazecoder

Mkurugenzi wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Khadija Kopa amesema mwimbaji na mtunzi wa...

MWANANCHI

Sababu kifo cha mwanamuziki Ally Star

February 4, 2026 mjombazecoder

Msanii wa muziki wa taarabu na Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Abdul Misambano...

HABARI ZA KIPEKEE

Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani

February 4, 2026 mjombazecoder

Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la…

Posts pagination

1 … 100 101 102 … 648

Recent Posts

  • Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi
  • Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika
  • Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel
  • SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi
  • Mzee Samagubi alivyonusurika kifo, kaya 720 zikizongwa na maji Turiani

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARILEO

Bilioni 36 kujenga barabara Mbulu–Garbabi

March 2, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Sportpesa Ronoh, Jamaa Aliyeangamia Kwenye Ajali ya Ndege Huko Ndani Atambulika

March 2, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Wafahamu viongozi wakuu wa Iran waliouawa katika shambulio la Marekani ikishirikiana na Israel

March 2, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

SMZ yatumia Sh38 bilioni kulipa fidia wananchi

March 2, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS