Skip to content
  • Mon. Mar 2nd, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader Waliopora ardhi wapewa wiki moja PM values the Lutheran Church’s support for the health sector Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians   Tanzanian women see benefits of the Samia Ardhi Clinic
LTV ENGLISH NEWS

JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader

March 2, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Waliopora ardhi wapewa wiki moja

March 2, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

PM values the Lutheran Church’s support for the health sector

March 2, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  

March 2, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tanzanian women see benefits of the Samia Ardhi Clinic

March 2, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader
LTV ENGLISH NEWS
JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader
Waliopora ardhi wapewa wiki moja
HABARILEO
Waliopora ardhi wapewa wiki moja
PM values the Lutheran Church’s support for the health sector
LTV ENGLISH NEWS
PM values the Lutheran Church’s support for the health sector
Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  
LTV ENGLISH NEWS
Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  
Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  
LTV ENGLISH NEWS
Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader
LTV ENGLISH NEWS
JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader
Waliopora ardhi wapewa wiki moja
HABARILEO
Waliopora ardhi wapewa wiki moja
PM values the Lutheran Church’s support for the health sector
LTV ENGLISH NEWS
PM values the Lutheran Church’s support for the health sector
Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  
LTV ENGLISH NEWS
Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  
DW SWAHILI

HRW yasema mfumo wa haki za kidinadamu duniani uko hatarini

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema haki za binadamu zadorora. Marekani, Urusi, Iran na Afghanistan zatuhumihiwa, huku dhidi ya mashoga ikiongezeka.

TRT SWAHILI

Vifo 4 kati ya 10 vya Saratani barani Afrika vinaweza kuzuiwa kutokana na ugunduzi wa mapema: WHO

February 4, 2026 mjombazecoder

Afrika inakabiliwa na changamoto za kipekee zinazoathiri wagonjwa wa Saratani ikiwemo ugunguzi wa kuchelewa na ukosefu wa vifaa vya kutosha vya matibabu

TUKO SWAHILI NEWS

Sifuna aunga mkono uongozi mpya Azimio, asisitiza ODM kingali katika muungano: “Sisi ni wanachama”

February 4, 2026 mjombazecoder

Edwin Sifuna amethibitisha ODM kingali mwanachama katika Azimio, pia alipuuza madai eti chama hicho kilitoka huku mabadiliko ya uongozi yakifanyika.

MWANANCHI

Maneno ya Khadija Kopa kuhusu kifo cha Ally Star

February 4, 2026 mjombazecoder

Mkurugenzi wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Khadija Kopa amesema mwimbaji na mtunzi wa...

MWANANCHI

Sababu kifo cha mwanamuziki Ally Star

February 4, 2026 mjombazecoder

Msanii wa muziki wa taarabu na Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Abdul Misambano...

HABARI ZA KIPEKEE

Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani

February 4, 2026 mjombazecoder

Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la…

TZSPORTS

FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: “Wao kwa sababu wapo nyumbani naona wanaweza kupata matokeo mazuri…”

February 4, 2026 mjombazecoder

FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: “Wao kwa sababu wapo nyumbani naona wanaweza kupata matokeo mazuri…” Mchambuzi wa soka @akingamkono amesema faida ya kuwa nyumbani kwa timu ya Fountain Gate FC pamoja…

HABARI ZA KIPEKEE

Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina, yaua 20 Gaza

February 4, 2026 mjombazecoder

Mashambulizi mapya ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel yamewaua shahidi watu wasiopungua 20, wakiwemo watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.

HABARI ZA KIPEKEE

ANC yamkosoa Mfalme wa Afrika Kusini kwa kuwaalika maafisa wa Israel

February 4, 2026 mjombazecoder

Chama tawala cha African National Congress (ANC) kimemkosoa vikali Mfalme wa Afrika Kusini, Buyelekhaya Dalindyebo kufuatia uamuzi wake tata wa kuwaalika maafisa kutoka Ubalozi wa Israel kutembelea hospitali za umma…

HABARI ZA KIPEKEE

Mashambulizi ya droni yaua watu 15 Kadugli, kusini mwa Sudan

February 4, 2026 mjombazecoder

Raia wasiopungua 15, wakiwemo watoto saba, wameuawa katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika mji wa Kadugli kusini mwa Sudan. Hayo yamesemwa na kundi la kujitolea la wenyeji na…

MWANANCHI

Mwamba wa Apocalypto umeanguka

February 4, 2026 mjombazecoder

Mwigizaji wa Apocalypto Gerardo Taracena amefariki dunia. Mkali huyu alikuwa mmoja wa wachezaji...

TZSPORTS

Robo Fainali DFB Pokal kuendelea leo Jumatano

February 4, 2026 mjombazecoder

Robo Fainali DFB Pokal kuendelea leo Jumatano Je, timu gani kuifata Leverkusen kwenye hatua ya nusu fainali? Mchezo huu kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD. #DFBPokal #Azamtvsports

DW SWAHILI

Wapatanishi wa mzozo wa Kongo wakutana na Museveni

February 4, 2026 mjombazecoder

Jopo maalumu la upatinishi la Umoja wa Afrika limesisitiza kuwa bara hilo linatakiwa kuhusika moja kwa moja katika kuutatua mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

DW SWAHILI

Trump aurefusha mkataba wa AGOA

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini sheria inayorefusha mkataba wa biashara kati ya Marekani na Afrika, AGOA, hadi Desemba 31 mwaka huu wa 2026.

IDHAA YA DUNIA

Saif al-Islam Gaddafi: Mwana wa kiongozi wa zamani aliyeuawa Libya ni nani?

February 4, 2026 mjombazecoder

Kifo chake kimetokea wakati ambapo Libya bado inakabiliwa na msukosuko unaotokana na makundi yenye silaha, mamlaka zinazopingana kisiasa, na utawala dhaifu wa serikali kuu unaendelea kuchochea ghasia.

TUKO SWAHILI NEWS

Kithure Kindiki amjibu Fred Matiang’i, atishia kuanika tambara lake bovu: “Nitakuaibisha”

February 4, 2026 mjombazecoder

Naibu Rais Kithure Kindiki alimkemea Fred Matiang'i, akidai kushindwa kwake katika elimu na kutishia kumfichua kuhusu uuzaji wa ardhi wenye utata.

TZSPORTS

VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @rashidy_hamis amesema KMC FC inatakiwa kushinda michezo yake miwili iliyosalia kwenye mzunguko wa …

February 4, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @rashidy_hamis amesema KMC FC inatakiwa kushinda michezo yake miwili iliyosalia kwenye mzunguko wa kwanza wa NBC Premier League ili kufufua matumaini ya kusogea nafasi za juu.…

TZSPORTS

VIWANJANI: “Unajua kuna changamoto ya muunganiko vilevile….”

February 4, 2026 mjombazecoder

VIWANJANI: “Unajua kuna changamoto ya muunganiko vilevile....” Meneja wa klabu ya Simba Patrick Rweyemamu, amesema wanaelekea Angola wakiwa na kikosi cha wachezaji 23 huku wakiwa na maingizo ya wachezaji wapya…

TUKO SWAHILI NEWS

Mkasa Njoro Girls: Upasuaji wa maiti wathibitisha chanzo cha kifo cha ghafla cha mwanafunzi

February 4, 2026 mjombazecoder

Uchunguzi wa maiti uliofanyiwa Brenda Akinyi ulionyesha kwamba alifariki baada ya ubongo wake kuvimba, hali aliyoipata alipokuwa shule ya Njoro Girls.

ASTV TANZANIA

Ni kiungo gani katika mwili wa binadamu ambacho hakipati saratani?

February 4, 2026 mjombazecoder

Ni kiungo gani katika mwili wa binadamu ambacho hakipati saratani? A. Moyo ❤️ B. Koo 🗣️ C. Mapafu 🌬️ Chagua jibu sahihi na utuandikie kwenye coment #AzamTVUpdates

TUKO SWAHILI NEWS

Sifuna adai njia ya hakika ya ODM kuendelea kukaa katika upinzani ni kumuunga mkono Ruto

February 4, 2026 mjombazecoder

Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna Alionya kwamba kujihusisha kwa chama hicho na Rais William Ruto kunaweza kuingia katika upinzani baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.

ASTV TANZANIA

Katika jitihada za kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kuwa salama, Bodi ya Maji Bonde la Wami-Ruvu imewawezesha wananchi wa…

February 4, 2026 mjombazecoder

Katika jitihada za kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kuwa salama, Bodi ya Maji Bonde la Wami-Ruvu imewawezesha wananchi wa Kijiji cha Msonge, mkoani Morogoro, kuanzisha mradi wa ufugaji wa samaki.…

MWANANCHI

Sababu ‘smartphone’ kutajwa kupanda bei 2026

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

MWANANCHI

Mtoto wa Gaddafi auawa nyumbani kwake Libya

February 4, 2026 mjombazecoder

Mazingira ya kifo chake hayajatangazwa rasmi, lakini vyombo vya habari vya Libya vimeripoti...

MWANANCHI

Wanafunzi wa masomo ya amali wanaongezeka, ufaulu wapungua

February 4, 2026 mjombazecoder

Tanzania imeendelea kushuhudia ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa katika mtalaa wa amali kila...

MWANANCHI

Simu mpya zazinduliwa kukuza huduma za kidijitali

February 4, 2026 mjombazecoder

Katika hatua muhimu ya kukuza ujumuishaji wa huduma za kidijitali nchini, Yas imeungana na...

ASTV TANZANIA

Afisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Richard Shabani amewashauri watoa huduma katika vituo vya masaji pamoja na saluni kuchukua …

February 4, 2026 mjombazecoder

Afisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Richard Shabani amewashauri watoa huduma katika vituo vya masaji pamoja na saluni kuchukua tahadhari za kiafya kwa kujikinga wakati wa kutoa huduma…

CRI SWAHILI

Maswali na Majibu: Jinsi ya Kufanya Kazi kwa Usalama nchini Japani (1)

February 4, 2026 mjombazecoder

(1) Hali za kazi

CRI SWAHILI

Kampuni ya Jera ya Japani yatia saini mkataba wa miaka 27 wa kununua LNG kutoka Qatar

February 4, 2026 mjombazecoder

Kampuni kubwa zaidi ya kuzalisha umeme ya Japani ya Jera, imetia saini mkataba wa muda mrefu wa kununua gesi asilia ya kimiminika, LNG kutoka Qatar, kuanzia mwaka 2028. Jera inasema…

CRI SWAHILI

Uhispania yapitisha azimio la kupigwa marufuku kwa mitandao ya kijamii kwa watoto baada ya Ufaransa na Denmark

February 4, 2026 mjombazecoder

Uhispania imekuwa nchi ya hivi karibuni barani Ulaya kuzingatia upigaji marufuku wa mitandao ya kijamii kwa watoto.

CRI SWAHILI

Chama cha Kikomunisti cha China na Kuomintang cha Taiwan chafanya kongamano la kwanza baada ya miaka 9

February 4, 2026 mjombazecoder

Kongamano la wanataaluma lililohudhuriwa na maafisa kutoka Chama cha Kikomunisti cha China na chama kikubwa zaidi cha upinzani cha Kuomintang cha Taiwan lilifanyika China Februari 3. Vyombo vya habari vya…

CRI SWAHILI

Rais wa Iran amwambia Waziri wake wa Mambo ya Nje aendelee na mazungumzo na Marekani

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Iran Masoud Pezeshkian anasema amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuendelea na mazungumzo na Marekani.

CRI SWAHILI

Zelenskyy alaani shambulio la Urusi dhidi ya miundombinu ya nishati ya Ukraine

February 4, 2026 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameilaani Urusi kwa kushambulia miundombinu ya nishati ya Ukraine.

CRI SWAHILI

Mama wa Mjapani aliyetekwa nyara atimiza umri wa miaka 90, arudia matumaini yake ya kuungana tena (Sauti ya AI kwa Kiswahili)

February 4, 2026 mjombazecoder

Mama wa mwanamke Mjapani aliyetekwa nyara na Korea Kaskazini ameelezea matumaini ya kuungana tena na binti yake baada ya karibu miaka 50 ya kutengana.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Chagos: London na Washington zalenga kuhakikisha mustakabali wa kambi ya Diego Garcia

February 4, 2026 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer na Rais wa Marekani Donald Trump wamekubaliana siku ya Jumanne, Februari 3, “kuendelea kufanya kazi kwa karibu” ili kuhakikisha operesheni endelevu ya kambi ya…

ASTV TANZANIA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Riziki Shemdoe amekutana na uongozi wa N…

February 4, 2026 mjombazecoder

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Riziki Shemdoe amekutana na uongozi wa NMB Bank kujadili maboresho ya mchakato wa utoaji…

ASTV TANZANIA

Saratani si hukumu ya mwisho…ni mapambano yanayohitaji sauti zetu zote, hatua zetu zote na imani kwamba kwa pamoja, tunaweza kub…

February 4, 2026 mjombazecoder

Saratani si hukumu ya mwisho…ni mapambano yanayohitaji sauti zetu zote, hatua zetu zote na imani kwamba kwa pamoja, tunaweza kubadili simulizi ya hofu kuwa ya matumaini kwa kuimarisha dhamira ya…

MWANANCHI

Petroli bei juu, dizeli na mafuta ya taa kicheko

February 4, 2026 mjombazecoder

Ongezeko la bei ya petroli nchini inashuhudiwa wakati ambao bei kikomo kwa Februari 2026 za...

MWANANCHI

Msingi endelevu, na jumuishi wa wanasiasa wanawake nchini

February 4, 2026 mjombazecoder

Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na msukumo mkubwa wa kitaifa na kimataifa wa...

MWANANCHI

Hivi Takukuru haiwaoni matapeli wa kwenye siasa!

February 4, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa..

HABARI ZA KIPEKEE

Droni ya upelelezi ya Iran yakamilisha kazi yake kwa mafanikio katika maji ya kimataifa

February 4, 2026 mjombazecoder

Droni ya doria na ya intelijinsia ya vikosi vya ulinzi vya Iran imefanikiwa kukamilisha kwa mafanikio operesheni yake katika maji ya kimataifa huku ripoti zikiarifu kuwa askari wa Marekani wameitungua…

ASTV TANZANIA

NBC Premier League leo Jumatano

February 4, 2026 mjombazecoder

NBC Premier League leo Jumatano Saa 10:00 jioni, Fountain Gate watakuwa uwanja wa nyumbani Tanzanite Kwaraa wakiwakaribisha Namungo FC. Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports1HD. Kwa kifurushi cha shilingi 28,000…

HABARI ZA KIPEKEE

Ripoti ya kila mwaka ya Human Rights Watch: Idadi ya mashahidi waliouawa Gaza inazidi makadirio rasmi

February 4, 2026 mjombazecoder

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limethibitisha katika ripoti yake ya kila mwaka iliyotolewa leo Jumatano kwamba katika mwaka mzima wa 2025 Israel ilifanya uhalifu wa…

MWANANCHI

Ronaldo agoma akidai timu yake inanyanyaswa Saudi Arabia

February 4, 2026 mjombazecoder

Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo ameanzisha mgomo wa kuichezea Al Nassr huku ikiripotiwa kuwa...

HABARI ZA KIPEKEE

Ghannouchi akataa kukata rufaa ya kifungo cha miaka 20 jela kutokana na “ukosefu wa dhamana ya haki”

February 4, 2026 mjombazecoder

Rached Ghannouchi, mkuu wa harakati ya Ennahda na spika wa zamani wa Bunge la Tunisia, alitangaza jana Jumanne kwamba hatakata rufaa mahakamani dhidi ya hukumu ya kifungo cha miaka 20…

HABARI ZA KIPEKEE

Duru za Kimataifa: Israel inatumia mrengo wa kulia wa Ulaya kupiga vita Uislamu

February 4, 2026 mjombazecoder

Vyombo vya habari vya kimataifa viimefichua uhusiano unaokua kati ya utawala haramu wa Israel na mrengo wa kulia barani Ulaya, hasa katika kupiga vita Uislamu na Waislamu katika nchi za…

HABARI ZA KIPEKEE

Abiy Ahmed: Ethiopia kuzindua chuo kikuu cha pili duniani cha AI mwaka 2027

February 4, 2026 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, jana alieleza kuwa Chuo Kikuu cha pili duniani kilichojikita katika akili mnemba (AI) kinatarajiwa kuzinduliwa nchini Ethiopia mwaka kesho wa 2027.

TUKO SWAHILI NEWS

Muthomi Njuki: Shaghalabaghala huku Gavana wa Tharaka Nithi akihepa kuhojiwa kuhusu pesa za umma

February 4, 2026 mjombazecoder

Gavana Muthomi Njuki alikanusha madai ya kutoroka uwajibikaji huku baada ya hali ya kuchanganyikiwa kujiri katika Kamati ya Seneti kuhusu matumizi ya pesa za umma.

MWANANCHI

Katiba Mpya; Je itakuwa ya kwanza ya Wananchi?

February 4, 2026 mjombazecoder

Katika makala hii, ninaichambua Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambayo...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Mashariki mwa DRC: Serikali ya Kongo na AFC/M23 wafafanua mkataba wa amani uliosainiwa Doha

February 4, 2026 mjombazecoder

Hii ni hatua mpya kwa mchakato wa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Serikali ya Kongo na kundi lenye silaha la AFC/M23 walisaini hati mpya Jumatatu, Februari…

Posts pagination

1 … 101 102 103 … 648

Recent Posts

  • JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader
  • Waliopora ardhi wapewa wiki moja
  • PM values the Lutheran Church’s support for the health sector
  • Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  
  • Tanzanian women see benefits of the Samia Ardhi Clinic

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

LTV ENGLISH NEWS

JK decorates Ghanaian Mahama as Africa’s Best Leader

March 2, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

Waliopora ardhi wapewa wiki moja

March 2, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

PM values the Lutheran Church’s support for the health sector

March 2, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Women owning title deeds are 28 percent of all Tanzanians  

March 2, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS