HRW yasema mfumo wa haki za kidinadamu duniani uko hatarini
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema haki za binadamu zadorora. Marekani, Urusi, Iran na Afghanistan zatuhumihiwa, huku dhidi ya mashoga ikiongezeka.
Vifo 4 kati ya 10 vya Saratani barani Afrika vinaweza kuzuiwa kutokana na ugunduzi wa mapema: WHO
Afrika inakabiliwa na changamoto za kipekee zinazoathiri wagonjwa wa Saratani ikiwemo ugunguzi wa kuchelewa na ukosefu wa vifaa vya kutosha vya matibabu
Sifuna aunga mkono uongozi mpya Azimio, asisitiza ODM kingali katika muungano: “Sisi ni wanachama”
Edwin Sifuna amethibitisha ODM kingali mwanachama katika Azimio, pia alipuuza madai eti chama hicho kilitoka huku mabadiliko ya uongozi yakifanyika.
Maneno ya Khadija Kopa kuhusu kifo cha Ally Star
Mkurugenzi wa Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Khadija Kopa amesema mwimbaji na mtunzi wa...
Sababu kifo cha mwanamuziki Ally Star
Msanii wa muziki wa taarabu na Bendi ya Tanzania One Theatre (TOT), Abdul Misambano...
Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani
Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la…
FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: “Wao kwa sababu wapo nyumbani naona wanaweza kupata matokeo mazuri…”
FOUNTAIN GATE vs NAMUNGO: “Wao kwa sababu wapo nyumbani naona wanaweza kupata matokeo mazuri…” Mchambuzi wa soka @akingamkono amesema faida ya kuwa nyumbani kwa timu ya Fountain Gate FC pamoja…
Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina, yaua 20 Gaza
Mashambulizi mapya ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel yamewaua shahidi watu wasiopungua 20, wakiwemo watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.
ANC yamkosoa Mfalme wa Afrika Kusini kwa kuwaalika maafisa wa Israel
Chama tawala cha African National Congress (ANC) kimemkosoa vikali Mfalme wa Afrika Kusini, Buyelekhaya Dalindyebo kufuatia uamuzi wake tata wa kuwaalika maafisa kutoka Ubalozi wa Israel kutembelea hospitali za umma…
Mashambulizi ya droni yaua watu 15 Kadugli, kusini mwa Sudan
Raia wasiopungua 15, wakiwemo watoto saba, wameuawa katika mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika mji wa Kadugli kusini mwa Sudan. Hayo yamesemwa na kundi la kujitolea la wenyeji na…
Mwamba wa Apocalypto umeanguka
Mwigizaji wa Apocalypto Gerardo Taracena amefariki dunia. Mkali huyu alikuwa mmoja wa wachezaji...
Robo Fainali DFB Pokal kuendelea leo Jumatano
Robo Fainali DFB Pokal kuendelea leo Jumatano Je, timu gani kuifata Leverkusen kwenye hatua ya nusu fainali? Mchezo huu kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD. #DFBPokal #Azamtvsports
Wapatanishi wa mzozo wa Kongo wakutana na Museveni
Jopo maalumu la upatinishi la Umoja wa Afrika limesisitiza kuwa bara hilo linatakiwa kuhusika moja kwa moja katika kuutatua mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Trump aurefusha mkataba wa AGOA
Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini sheria inayorefusha mkataba wa biashara kati ya Marekani na Afrika, AGOA, hadi Desemba 31 mwaka huu wa 2026.
Saif al-Islam Gaddafi: Mwana wa kiongozi wa zamani aliyeuawa Libya ni nani?
Kifo chake kimetokea wakati ambapo Libya bado inakabiliwa na msukosuko unaotokana na makundi yenye silaha, mamlaka zinazopingana kisiasa, na utawala dhaifu wa serikali kuu unaendelea kuchochea ghasia.
Kithure Kindiki amjibu Fred Matiang’i, atishia kuanika tambara lake bovu: “Nitakuaibisha”
Naibu Rais Kithure Kindiki alimkemea Fred Matiang'i, akidai kushindwa kwake katika elimu na kutishia kumfichua kuhusu uuzaji wa ardhi wenye utata.
VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @rashidy_hamis amesema KMC FC inatakiwa kushinda michezo yake miwili iliyosalia kwenye mzunguko wa …
VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @rashidy_hamis amesema KMC FC inatakiwa kushinda michezo yake miwili iliyosalia kwenye mzunguko wa kwanza wa NBC Premier League ili kufufua matumaini ya kusogea nafasi za juu.…
VIWANJANI: “Unajua kuna changamoto ya muunganiko vilevile….”
VIWANJANI: “Unajua kuna changamoto ya muunganiko vilevile....” Meneja wa klabu ya Simba Patrick Rweyemamu, amesema wanaelekea Angola wakiwa na kikosi cha wachezaji 23 huku wakiwa na maingizo ya wachezaji wapya…
Mkasa Njoro Girls: Upasuaji wa maiti wathibitisha chanzo cha kifo cha ghafla cha mwanafunzi
Uchunguzi wa maiti uliofanyiwa Brenda Akinyi ulionyesha kwamba alifariki baada ya ubongo wake kuvimba, hali aliyoipata alipokuwa shule ya Njoro Girls.
Ni kiungo gani katika mwili wa binadamu ambacho hakipati saratani?
Ni kiungo gani katika mwili wa binadamu ambacho hakipati saratani? A. Moyo ❤️ B. Koo 🗣️ C. Mapafu 🌬️ Chagua jibu sahihi na utuandikie kwenye coment #AzamTVUpdates
Sifuna adai njia ya hakika ya ODM kuendelea kukaa katika upinzani ni kumuunga mkono Ruto
Katibu Mkuu wa ODM Edwin Sifuna Alionya kwamba kujihusisha kwa chama hicho na Rais William Ruto kunaweza kuingia katika upinzani baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2027.
Katika jitihada za kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kuwa salama, Bodi ya Maji Bonde la Wami-Ruvu imewawezesha wananchi wa…
Katika jitihada za kuhakikisha vyanzo vya maji vinaendelea kuwa salama, Bodi ya Maji Bonde la Wami-Ruvu imewawezesha wananchi wa Kijiji cha Msonge, mkoani Morogoro, kuanzisha mradi wa ufugaji wa samaki.…
Mtoto wa Gaddafi auawa nyumbani kwake Libya
Mazingira ya kifo chake hayajatangazwa rasmi, lakini vyombo vya habari vya Libya vimeripoti...
Wanafunzi wa masomo ya amali wanaongezeka, ufaulu wapungua
Tanzania imeendelea kushuhudia ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa katika mtalaa wa amali kila...
Simu mpya zazinduliwa kukuza huduma za kidijitali
Katika hatua muhimu ya kukuza ujumuishaji wa huduma za kidijitali nchini, Yas imeungana na...
Afisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Richard Shabani amewashauri watoa huduma katika vituo vya masaji pamoja na saluni kuchukua …
Afisa Afya wa Mkoa wa Dar es Salaam, Richard Shabani amewashauri watoa huduma katika vituo vya masaji pamoja na saluni kuchukua tahadhari za kiafya kwa kujikinga wakati wa kutoa huduma…
Kampuni ya Jera ya Japani yatia saini mkataba wa miaka 27 wa kununua LNG kutoka Qatar
Kampuni kubwa zaidi ya kuzalisha umeme ya Japani ya Jera, imetia saini mkataba wa muda mrefu wa kununua gesi asilia ya kimiminika, LNG kutoka Qatar, kuanzia mwaka 2028. Jera inasema…
Uhispania yapitisha azimio la kupigwa marufuku kwa mitandao ya kijamii kwa watoto baada ya Ufaransa na Denmark
Uhispania imekuwa nchi ya hivi karibuni barani Ulaya kuzingatia upigaji marufuku wa mitandao ya kijamii kwa watoto.
Chama cha Kikomunisti cha China na Kuomintang cha Taiwan chafanya kongamano la kwanza baada ya miaka 9
Kongamano la wanataaluma lililohudhuriwa na maafisa kutoka Chama cha Kikomunisti cha China na chama kikubwa zaidi cha upinzani cha Kuomintang cha Taiwan lilifanyika China Februari 3. Vyombo vya habari vya…
Rais wa Iran amwambia Waziri wake wa Mambo ya Nje aendelee na mazungumzo na Marekani
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian anasema amemwagiza Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kuendelea na mazungumzo na Marekani.
Zelenskyy alaani shambulio la Urusi dhidi ya miundombinu ya nishati ya Ukraine
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameilaani Urusi kwa kushambulia miundombinu ya nishati ya Ukraine.
Mama wa Mjapani aliyetekwa nyara atimiza umri wa miaka 90, arudia matumaini yake ya kuungana tena (Sauti ya AI kwa Kiswahili)
Mama wa mwanamke Mjapani aliyetekwa nyara na Korea Kaskazini ameelezea matumaini ya kuungana tena na binti yake baada ya karibu miaka 50 ya kutengana.
Chagos: London na Washington zalenga kuhakikisha mustakabali wa kambi ya Diego Garcia
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer na Rais wa Marekani Donald Trump wamekubaliana siku ya Jumanne, Februari 3, “kuendelea kufanya kazi kwa karibu” ili kuhakikisha operesheni endelevu ya kambi ya…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Riziki Shemdoe amekutana na uongozi wa N…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Riziki Shemdoe amekutana na uongozi wa NMB Bank kujadili maboresho ya mchakato wa utoaji…
Saratani si hukumu ya mwisho…ni mapambano yanayohitaji sauti zetu zote, hatua zetu zote na imani kwamba kwa pamoja, tunaweza kub…
Saratani si hukumu ya mwisho…ni mapambano yanayohitaji sauti zetu zote, hatua zetu zote na imani kwamba kwa pamoja, tunaweza kubadili simulizi ya hofu kuwa ya matumaini kwa kuimarisha dhamira ya…
Petroli bei juu, dizeli na mafuta ya taa kicheko
Ongezeko la bei ya petroli nchini inashuhudiwa wakati ambao bei kikomo kwa Februari 2026 za...
Msingi endelevu, na jumuishi wa wanasiasa wanawake nchini
Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na msukumo mkubwa wa kitaifa na kimataifa wa...
Droni ya upelelezi ya Iran yakamilisha kazi yake kwa mafanikio katika maji ya kimataifa
Droni ya doria na ya intelijinsia ya vikosi vya ulinzi vya Iran imefanikiwa kukamilisha kwa mafanikio operesheni yake katika maji ya kimataifa huku ripoti zikiarifu kuwa askari wa Marekani wameitungua…
NBC Premier League leo Jumatano
NBC Premier League leo Jumatano Saa 10:00 jioni, Fountain Gate watakuwa uwanja wa nyumbani Tanzanite Kwaraa wakiwakaribisha Namungo FC. Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports1HD. Kwa kifurushi cha shilingi 28,000…
Ripoti ya kila mwaka ya Human Rights Watch: Idadi ya mashahidi waliouawa Gaza inazidi makadirio rasmi
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limethibitisha katika ripoti yake ya kila mwaka iliyotolewa leo Jumatano kwamba katika mwaka mzima wa 2025 Israel ilifanya uhalifu wa…
Ronaldo agoma akidai timu yake inanyanyaswa Saudi Arabia
Nyota wa Ureno, Cristiano Ronaldo ameanzisha mgomo wa kuichezea Al Nassr huku ikiripotiwa kuwa...
Ghannouchi akataa kukata rufaa ya kifungo cha miaka 20 jela kutokana na “ukosefu wa dhamana ya haki”
Rached Ghannouchi, mkuu wa harakati ya Ennahda na spika wa zamani wa Bunge la Tunisia, alitangaza jana Jumanne kwamba hatakata rufaa mahakamani dhidi ya hukumu ya kifungo cha miaka 20…
Duru za Kimataifa: Israel inatumia mrengo wa kulia wa Ulaya kupiga vita Uislamu
Vyombo vya habari vya kimataifa viimefichua uhusiano unaokua kati ya utawala haramu wa Israel na mrengo wa kulia barani Ulaya, hasa katika kupiga vita Uislamu na Waislamu katika nchi za…
Abiy Ahmed: Ethiopia kuzindua chuo kikuu cha pili duniani cha AI mwaka 2027
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed, jana alieleza kuwa Chuo Kikuu cha pili duniani kilichojikita katika akili mnemba (AI) kinatarajiwa kuzinduliwa nchini Ethiopia mwaka kesho wa 2027.
Muthomi Njuki: Shaghalabaghala huku Gavana wa Tharaka Nithi akihepa kuhojiwa kuhusu pesa za umma
Gavana Muthomi Njuki alikanusha madai ya kutoroka uwajibikaji huku baada ya hali ya kuchanganyikiwa kujiri katika Kamati ya Seneti kuhusu matumizi ya pesa za umma.
Katiba Mpya; Je itakuwa ya kwanza ya Wananchi?
Katika makala hii, ninaichambua Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambayo...
Mashariki mwa DRC: Serikali ya Kongo na AFC/M23 wafafanua mkataba wa amani uliosainiwa Doha
Hii ni hatua mpya kwa mchakato wa amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Serikali ya Kongo na kundi lenye silaha la AFC/M23 walisaini hati mpya Jumatatu, Februari…