Marjan Hussein Marjan: Afisa Mkuu Mtendaji wa IEBC ajiuzulu kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027
IEBC ilithibitisha kuondoka kwa Afisa Mkuu Mtendaji wake Marjan Hussein Marjan kwa ridhaa ya pande zote, na baadaye ikatangaza mipango ya muda kuhusu 2027.
CAFCL: Mashabiki Yanga wauchambua mchezo wao Jumamosi dhidi ya AS FAR kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL)
CAFCL: Mashabiki Yanga wauchambua mchezo wao Jumamosi dhidi ya AS FAR kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL). Mechi itakuwa saa 4:00 kwa saa za Tanzania. #Yanga #CAFCL
SAFARI YA YANGA: “Sare haitokuwa mbaya kwetu”
SAFARI YA YANGA: “Sare haitokuwa mbaya kwetu” Kocha wa Yanga SC, Pedro Goncalves anasema mechi yao dhidi ya AS FAR ni mchezo ambao kama wakishinda watakuwa wafuzu robo fainali, kama…
TEKNOLOJIA YA MZURI PRO TIL YAPEWA NAFASI KUBWA KWENYE KILIMO HIFADHI
TEKNOLOJIA YA MZURI PRO TIL YAPEWA NAFASI KUBWA KWENYE KILIMO HIFADHI Kupitia kongamano la Kilimo endelevu linalofanyika Februari 3 hadi 6 jijini Dar es salaam teknolojia za Kilimo hifadhi kama…
Wikiendi iliyopita kwenye usiku wa tuzo za Utalii za Serengeti zilizofanyika mkoani Arusha, shabiki maarufu wa klabu ya #Manches…
Wikiendi iliyopita kwenye usiku wa tuzo za Utalii za Serengeti zilizofanyika mkoani Arusha, shabiki maarufu wa klabu ya #ManchesterCity ya Uingereza, @braydonbentpage alipewa tuzo maalum ya heshima kufuatia juhudi zake…
#NBCPL: Mpira wa kutenga ukapigwa na Daruweshi Saliboko na kwenda moja kwa moja nyavuni
#NBCPL: Mpira wa kutenga ukapigwa na Daruweshi Saliboko na kwenda moja kwa moja nyavuni FT: KMC 1-0 Mashujaa FC Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #KMCvsMashujaa #KMC #Mashujaa
KICKSTART WAELEZA TEKNOLOJIA RAHISI YA UMWAGILIAJI KUSAIDIA WAKULIMA
KICKSTART WAELEZA TEKNOLOJIA RAHISI YA UMWAGILIAJI KUSAIDIA WAKULIMA Wadau mbalimbali wa Kilimo wametumia kongamano la kilimo Endelevu linalofanyika mara ya kwanza barani Afrika kueleza teknolojia rahisi ambazo ni muhimu kwaajili…
Makonda: Wananchi changamkieni fursa za miradi ya maendeleo
Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Makonda, amewataka wananchi wa Arusha Mjini kuchangamkia fursa za...
AGRICOM WAJIPANGA KUFANYA KAZI NA WAKULIMA KUBORESHA KILIMO ENDELEVU
AGRICOM WAJIPANGA KUFANYA KAZI NA WAKULIMA KUBORESHA KILIMO ENDELEVU Kongamano kubwa la kilimo Endelevu limeanza leo jijini Dar es salaam na wadau wa Kilimo wanatumia Fursa hiyo kueleza namna wamejipanga…
Rais wa Uturuki Erdogan akutana na Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman jijini Riyadh
Kituo cha kwanza katika ziara ya kikanda ya Rais Erdogan, inayolenga kuimarisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi.
MSIMAMO: KMC wameongeza tatu kwenye mkoba wao wa pointi
MSIMAMO: KMC wameongeza tatu kwenye mkoba wao wa pointi. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable
#NBCPL: KMC wamezichukua alama zote tatu
#NBCPL: KMC wamezichukua alama zote tatu FT: KMC 1-0 Mashujaa FC Ilikuwa LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #KMCvsMashujaa #KMC #Mashujaa
#NBCPL: KMC bado wapo mbele
#NBCPL: KMC bado wapo mbele 70’: KMC 1-0 Mashujaa FC LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #KMCvsMashujaa #KMC #Mashujaa
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amekutana na Naibu Waziri Mkuu mstaafu, Dkt
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amekutana na Naibu Waziri Mkuu mstaafu, Dkt. Doto Biteko. Viongozi hao wamekutana na kufanya mazungumzo ofisini kwa Waziri Mkuu Nchemba bungeni jijini Dodoma leo Jumanne…
Mahakama yaamuru Waziri wa zamani na wenzake kulipa fidia ya Sh3.18 bilioni
Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi, imemuamuru aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na...
Arsenal waachilia wachezaji 7 katika dirisha la uhamisho Januari, uvumi kuhusu Sandro Tonali wapanda
Arsenal imewaachia wachezaji saba, akiwemo Oleksandr Zinchenko, wakati wa dirisha la uhamisho la Januari, Wanakutana na Chelsea Nusu Fainali ya Kombe la Carabao.
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 03/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 03/02/2026
Azimio la Umoja wampa Kalonzo Musyoka uongozi wa chama, Junet Mohamed avuliwa kofia ya SG
Muungano wa Azimio La Umoja umemteua Kalonzo Musyoka kuwa kiongozi wa chama na Caroli Omondi kuwa katibu mkuu baada ya mkutano wa NEC ulioongozwa na Uhuru Kenyatta.
#NBCPL: KMC wapo mbele kwa goli moja
#NBCPL: KMC wapo mbele kwa goli moja HT: KMC 1-0 Mashujaa FC LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #KMCvsMashujaa #KMC #Mashujaa
Polisi Arusha yazungumzia Mbwambo wa fedha za Lissu
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linaendelea kumshikilia kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Madiwani wamtaka DC Tanga kusimamia zuio la mabasi katikati ya jiji
Sakata la kuondoa huduma za upakiaji na ushushaji wa abiria wa mabasi ya mikoani katikati ya...
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeidhinisha rasmi zoezi la kuteketezwa kwa nyaraka zilizotumika katika Uchaguzi Mkuu wa Zanz…
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeidhinisha rasmi zoezi la kuteketezwa kwa nyaraka zilizotumika katika Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa mwaka 2025 baada ya kukamilika kwa muda wa siku 90…
UWT yatoa vifaa vya Sh20 milioni hospitali Dodoma, Kunambi ahimiza umoja, mshikamano
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Suzan Kunambi...
Homa Bay: Mali ya hedimasta anayedaiwa kumuua mwalimu mstaafu kwa sababu ya ardhi yachomwa moto
Wakazi wa Homa Bay wenye hasira walichoma moto nyumba sita za mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi ya Onyege baada ya kudaiwa kumuua mwalimu mstaafu na mkewe.
Waitara awataka wabunge wachangie mpango wa Serikali kwa uwazi
Mbunge wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara, amewataka wabunge wenzake kuchangia mapendekezo...
Mamia ya waombolezaji wakiwemo viongozi wa serikali, wanasiasa na wananchi wa kawaida wamejitokeza katika maziko ya aliyewahi ku…
Mamia ya waombolezaji wakiwemo viongozi wa serikali, wanasiasa na wananchi wa kawaida wamejitokeza katika maziko ya aliyewahi kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (M-NEC)…
Uber yasitisha tena huduma Tanzania, Latra yasema…
Kampuni ya Uber, ambayo hutoa huduma ya usafiri ya teksi kwa njia ya mtandao, kwa mara nyingine...
Mauaji Kericho: Mwanamke akutwa amefariki saa kadha baada ya kuingia gesti na wanaume 3
Wingi la hofu lilitanda kaunti ya Kericho baada ya mwanamke kupatikana ameuawa kikatili katika gesti. Polisi wanawasaka washukiwa uchunguzi ukiendelea.
15’| #NBCPL
15’| #NBCPL KMC 0-0 Mashujaa FC LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #KMCvsMashujaa #KMC #Mashujaa
Hospitali ya Mkapa kuwa kitovu kipya cha matibabu ya saratani Afrika
Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomu (IAEA) Kanda ya Afrika limeiagiza Hospitali ya Rufaa ya...
Mahakama yaamuru Waziri wa zamani kulipa fidia ya Sh3.18 bilioni
Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Ardhi, imemuamuru aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na...
Babalevo apigania masharti nafuu mikopo ya vijana
Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM) Clayton Chipando maarufu Babalevo amesema vijana wa Tanzania...
Qatar yathibitisha juhudi za kidiplomasia na Iran zaimarika
Wizara ya mambo ya nje ya Qatar imesema juhudi kubwa za kidiplomasia zinaendelea kati ya Iran, Qatar na mataifa mengine ya kikanda baada ya Tehran kuthibitisha mazungumzo na Marekani.
#HABARI: Maafisa wa kitengo cha kukabiliana na Ugaidi nchini Kenya wamemwasilisha Mahakamani raia mmoja wa kutoka Uturuki kwa tu…
#HABARI: Maafisa wa kitengo cha kukabiliana na Ugaidi nchini Kenya wamemwasilisha Mahakamani raia mmoja wa kutoka Uturuki kwa tuhuma za kufadhili ugaidi nchini Kenya. Hata hivyo Mahakama ikimwachia mshukiwa huyo…
MSHIKEMSHIKE: AS FAR VS Vs Yanga SC ni kufa au kupona kwa Wananchi kuisaka robo fainali CAFCL
MSHIKEMSHIKE: AS FAR VS Vs Yanga SC ni kufa au kupona kwa Wananchi kuisaka robo fainali CAFCL. Una ushauri gani kwa Kocha na Wachezaji? Tuandikie maoni yako hapa na sisi…
Mkuu wa msafara Yanga afafanua sababu kuifuata mapema Far Rabat, Pedro aondoka na silaha zote vitani
MUTIMA WANGU; Hizi ndo sababu Alikiba kamvuta Kings Music MITANDAONI kumekuwa na maswali mengi kwa nini msanii Alikiba amesaini msanii wa kike kutoka Rwanda, Mutima Wangu ilihali Tanzania kuna wasanii…
Ali Kamwe: Tunaenda kuifanyia balaa Far Rabat, Simba ni special package, ataja bonus nono iliyowekwa
Clara, Masaka waitwa kukiwasha WAFCON 2026 KOCHA wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania maarufu Twiga Stars, Bakari Shime ametangaza kikosi cha awali kitakachojiandaa na michuano ya Kombe la…
Ruth Odinga ailia serikali ya Ruto, asema ni wazi haitaki kuwalipa fidia waathiriwa wa maandamano
Mbunge wa Kisumu Ruth Odinga akosoa hatua ya polepole ya Kenya Kwanza kuhusu ajenda ya pointi 10. Ameangazia ahadi ambazo hayati Raila Odinga alitaka zitimizwe.
Rais Kiir amteua ‘marehemu’ kwenye kamati ya uchaguzi
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemteua bila kukusudia mtu aliyekufa kuwa mjumbe wa kamati itakayoandaa uchaguzi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Kremlin yaonya hatari iliyopo mkataba wa START unapomalizika
Urusi imerejelea pendekezo lake kwa Marekani kuhusu kuendelea kutekeleza kwa mwaka mmoja zaidi, vipengele vya mkataba wa kupunguza silaha za nyuklia wa New START, unaomalizika Alhamisi.
Chapa ya Yas, Mixx zasherehekea mwaka mmoja
Waziri wa Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu Zanzibar, Mudrick Soraga, aipongeza...
WHO lahitaji dola bilioni 1 kushughulikia dharura duniani
Shirika la Afya Duniani, WHO, limesema linahitaji kiasi cha dola bilioni moja mwaka huu kugharimia dharura za kiafya, magonjwa ya mlipuko na matibabu ya utapiamlo ulimwenguni.
Hospitali ya Taifa Muhimbili – Mloganzila imesema imeandaa kambi maalumu ya kutengeneza na kurekebisha mishipa ya kuchuja damu (…
Hospitali ya Taifa Muhimbili – Mloganzila imesema imeandaa kambi maalumu ya kutengeneza na kurekebisha mishipa ya kuchuja damu (Arterio-Venous Fistula Creation) ili kuwasaidia wagonjwa wa figo nchini. Kambi hiyo inayotarajiwa…
Ethiopia yaishutumu Eritrea kwa mauaji ya kimbari Tigray
Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ameishutumu Eritrea hii leo kwa kile ilichotaja 'mauaji ya kimbari' wakati wa vita vya Tigray kati ya mwaka 2020-2022, wakati huo mataifa hayo yakiwa…
#HABARI: Mwanaharakati na mchambuzi wa masuala ya kisiasa, Habibu Mchange, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Chadema akituhumu ku…
#HABARI: Mwanaharakati na mchambuzi wa masuala ya kisiasa, Habibu Mchange, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Chadema akituhumu kuwepo kwa ubadhirifu wa michango ya umma na usambazaji wa maudhui ya…
Shirika la Posta nchini limesema limerejesha huduma za ushindani wa kidijitali katika shughuli za usafirishaji mizigo ili kuonge…
Shirika la Posta nchini limesema limerejesha huduma za ushindani wa kidijitali katika shughuli za usafirishaji mizigo ili kuongeza wigo wa utoaji ajira zaidi nchini sambamba na kuendana na soko la…
Pigo sekta ya usafirishaji abiria ikipoteza vigogo wawili siku moja
Sekta ya usafirishaji wa abiria nchini imetikiswa baada ya kuwapoteza wakongwe wake wawili...
Mbunge wa zamani Munde afariki dunia, kuzikwa kesho
Mbunge wa zamani wa wa viti maalumu (CCM), mkoa wa Tabora, Munde Tambwe amefariki dunia usiku...
Mwanamke Mkenya Anayeishi Uingereza Anaswa Kwenye CCTV Akichoma Nyumba ya Jirani Usiku
Magdaline Wangeci, Mkenya anayeishi Uingereza alifikishwa kortini CCTV ilipommulika jaribio lake la kuchoma nyumba ya jirani wakati wa shambulio la kulipiza kisasi
Mwanamke Mkenya Anyeishi Uingereza Anaswa Kwenye CCTV Akichoma Nyumba ya Jirani Usiku
Magdaline Wangeci, Mkenya anayeishi Uingereza alifikishwa kortini CCTV ilipommulika jaribio lake la kuchoma nyumba ya jirani wakati wa shambulio la kulipiza kisasi