Waihiga Mwaura Apakia Picha ya Mwanawe Mchanga Akipiga Hatua Muhimu Katika Ndoa: “Wema wa Mungu!”
Mtangazaji Waihiga Mwaura alipakia picha akijivunia baraka ya mwanawe na kufichua kuwa yeye na Joyce Omondi walimkaribisha mtoto mwaka jana, jambo lililozua hisia.
Bondia maarufu raia wa Marekani, Terence Crawford ameendelea na ziara yake hapa nchini kwa kutembelea na kutangaza vivutio mbali…
Bondia maarufu raia wa Marekani, Terence Crawford ameendelea na ziara yake hapa nchini kwa kutembelea na kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii sambamba na kuhamasisha maendeleo ya mchezo wa ngumi nchini.…
TFF | Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameliambia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwa milango ipo wazi kwa shi…
TFF | Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameliambia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwa milango ipo wazi kwa shirikisho hilo kumuona kwa usaidizi wowote wakati huu…
TFF | Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachocheza michezo miwili ya kirafiki ya katika kalenda ya FIFA dhid…
TFF | Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitakachocheza michezo miwili ya kirafiki ya katika kalenda ya FIFA dhidi ya Uganda na Rwanda, kinatarajiwa kuingia kambini Mei…
NBCPL | Walima alizeti kutoka mkoani Singida, timu ya Singida Black Stars imeitandika kipigo kizito cha mabao 4-1 Mbeya City FC …
NBCPL | Walima alizeti kutoka mkoani Singida, timu ya Singida Black Stars imeitandika kipigo kizito cha mabao 4-1 Mbeya City FC kwenye Uwanja wa Airtel mkoani Singida. Kwa matokeo hayo…
Yas yaingia kwenye orodha ya chapa 50 zenye nguvu Afrika
Kampuni ya mawasiliano ya Yas inayomilikiwa na AXIAN Telecom, imeendelea kupata mafanikio...
Jeridah Andayi asema maisha Marekani si rahisi kwa wazazi singo: “Asikudanganye mtu”
Jeridah Andayi amejadili changamoto za malezi ya wazazi singo nchini Marekani, akifunguka kuhusu gharama kubwa za kuwa na yaya na uwajibikaji kamili kwa watoto.
CCTV yaonesha msichana wa Kirinyaga aliyetoweka akiwa na mtu asiyejulikana baada ya kutoka shuleni
Shantel Nekesa wa miaka sita alitoweka huko Sagana. Alinaswa kwenye CCTV akiwa na mwanamume asiyejulikana. Anatafutwa huku visa vya watoto kutoweka vikitikisa taifa.
Onyonka asimulia jinsi alivyokutana na Roselyn Akombe akamtosea ndoano ya uchumba: “Mwanamke mjanja”
Seneta Richard Onyonka amefichua safari yake ya mapenzi na kamishna wa zamani wa IEBC Roselyn Akombe, akiangazia uhusiano wao na maisha ya kifamilia.
Mgodi wazindua kliniki kutatua changamoto za wanakijiji
Mgodi wa dhahabu wa Barrick North Mara umezindua kliniki maalumu ya kusikiliza na kutatua...
IEBC yawashikia nyaunyo kali wanasiasa wa UDA wanaopanga njama kuiba kura 2027
EBC imeonya wanasiasa dhidi ya madai ya kuiba kura 2027, ikisema matamshi kama hayo yanadhoofisha demokrasia ya Kenya na imani ya umma katika mchakato wa uchaguzi.
Mataifa 30 ya Kiafrika Ambayo Raia Wake Lazima Walipe Hadi KSh1.9m Amana ya Visa ya Marekani
Marekani inahitaji bondi za viza za $5,000 hadi $15,000 kutoka kwa raia wa nchi 30 za Afrika wanaoomba visa B1/B2, na kuathiri itifaki za kuingia mwaka wa 2026.
Jumuiya ya maridhiano Tanzania yajibu muswada wa maseneta wa Marekani
Imesema, kauli ya maseneta hao ni uzushi, uchochezi wa wazi ambao hauwezi kukubalika kwa namna...
Mkomi aagiza ushiriki mkutano bila uwakilishi
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi ameagiza...
Manyara kukusanya Sh886 milioni kuokoa watoto njiti
Babati. Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba anatarajia kuzindua mbio za Manyara Tanzanite marathon ili...
Mke amuua mume kwa sindano ya sumu kisa wivu wa mapenzi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamtafuta mwanamke anayefahamika kwa jina la Queen Mbuba kwa...
Matumaini chanjo ya Ebola ikitarajiwa miezi miwili ijayo
Tayari majaribio ya chanjo hiyo kwa wanyama yameanza ikiwa ni juhudi za kukabiliana na kuenea...
Utekaji, maridhiano vyawaibua wanawake wa vyama 12 vya siasa
Baadhi ya wanawake viongozi wa Umoja wa wanawake wa vyama rafiki 12 vya siasa nchini.
Mchanga lori moja wanunuliwa kwa Sh1.2 milioni Manyara, Takukuru yashtuka
Gang'olo amesema mradi huo wa ujenzi wa vyoo vya Shule ya Msingi Namalulu umebainika baada ya...
Singida BS yaichelewesha KMC kushuka daraja ikiichapa Mbeya City
Kama Mbeya City ingepata ushindi katika mechi ya leo, ingefikisha pointi 25 ambazo zingefanya...
Mradi bil 5/- kuing’arisha Lundamatwe
IRINGA: Diwani wa Kata ya Ilole, Erick Kikoti ameendelea kuimarisha mawasiliano kati ya viongozi na wananchi kupitia ziara ya kijiji kwa kijiji inayolenga kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi katika…
Mkewe naibu mkuu wa shule ya Bungoma azungumza baada ya mumewe kufariki hotelini akiwa na mwanamke
Mkewe naibu mkuu wa shule huko Bungoma ambaye alizimia na kufariki akiwa na mwanamke sasa amevunja ukimya wake, taarifa za dakika zake za mwisho zikianza kujitokeza
Singida yaichelewesha KMC kushuka ikiichapa Mbeya City
SINGIDA Black Stars imefanikiwa kulinda heshima yake nyumbani, ikitoa kipigo kikali cha mabao 4-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa leo Mei 25, 2026 kwenye…
Wimbo maalumu waachiwa kuadhimisha Siku ya Hedhi Duniani
Katika kuadhimisha Siku ya Hedhi Salama Duniani, Shirika la Rafiki wa Binti limezindua wimbo...
Sh3.313 trilioni zatumwa na Diaspora Tanzania
Dar es Salaam. Fedha zinazotumwa na Watanzania wanaoishi nje ya nchi zimeongezeka hadi...
Takukuru yageukia utapeli kwenye makundi ya WhatsApp
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Songwe imetangaza mkakati maalumu...
Nyota Fountain Gate ataja yanayowabeba Ligi Kuu
WAKATI mashabiki na wadau wa soka nchini wakishangaa na matokeo waliyonayo hivi sasa Fountain Gate na kiwango bora cha wachezaji, kiungo wa timu hiyo, Ismail Aziz Kader ameeleza sababu za…
Mwajanga aipa Prisons pointi tatu, Pamba Jiji ikiloa Kirumba
BAO la dakika ya 90+4 la mshambuliaji wa Tanzania Prisons, Oscar Mwajanga, limetosha kuipa timu hiyo ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Pamba Jiji, katika mechi ya Ligi Kuu Bara…
Africa urged to unlock local capital
BRAZZAVILE: AS global economic uncertainty reshapes development financing, African leaders, policymakers and financial experts gathering in Brazzaville for the 2026 of the African Development Bank (AfDB) Group Annual Meetings are…
Dodoma Jiji imewashikia hapa vigogo
KOCHA wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amesema anapokutana na klabu zenye viwango vya juu kama Simba na Yanga, benchi la ufundi linakuwa limefanya uchambuzi wa kina kujua ubora na udhaifu…
Paul Peter anogewa kutupia Ligi Kuu
MSHAMBULIAJI wa JKT Tanzania, Paul Peter amefanikiwa kufikia idadi ya mabao aliyofunga msimu uliopita ndani ya Ligi Kuu Bara na sasa ni kama amenogewa kufunga huku akisema anataka kuzitikisa nyavu…
Naibu mkuu wa shule ya St. Cecilia Girls afariki baada ya kuingia hotelini na mwanamke
Naibu mwalimu mkuu Caleb Wekesa wa St. Cecilia Misikhu Girls alifariki ghafla katika hoteli baada ya kuzimia. Familia yake ilisimulia kwa uchungu kuhusu kisa hicho.
Dr Samia instructs judges to serve Tanzanians with integrity, professionalism, and impartiality
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has urged newly appointed Court of Appeal judges to uphold justice with integrity, professionalism and impartiality in order to strengthen peace, stability and…
Tanzania warns against overgrowing conflicts, and armed violence that threaten global peace, and economic stability.
DODOMA: Tanzania has expressed concern over growing global instability driven by international conflicts, geopolitical rivalry and armed violence, warning that the situation continues to threaten global peace, security and economic…
Bei za mbuzi zapanda Dar
WAKATI Waislamu duniani wakijiandaa kuadhimisha Sikukuu ya Eid al-Adha inayohusisha ibada ya kuchinja wanyama, wafanyabiashara wa mifugo katika Soko la Vingunguti jijini Dar es Salaam wamesema biashara ya mbuzi mwaka…
MOI Specialists pitch a camp in Ifakara for treatment of bones, brain and spinal cord
IFAKARA: THE CAMP of specialist and specialist treatment of bones, brain and spinal cord from the Muhimbili Orthopedic and Brain Institute (MOI) has officially begun at the Mt. Francis Referral…
Kaizer Chiefs yaachana na Kaze, Mosimane awindwa
Kaizer Chiefs imetangaza kuachana na makocha wake Cedrick Kaze na Youssef Ben Khalil kuanzia...
Iran na Marekani zinadai nini katika mazungumzo yanayoendelea
Makubaliano ya awali yanajadiliwa kwa sasa kati ya pande mbalimbali, lakini lengo kuu la Iran ni kupata dhamana ya kudumu ya usalama ili kuondoa kabisa tishio la mgogoro mpya, kwa…
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu- Siku ya Arafa
Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia msimu wa Hijja ya Nabii Ibrahim (as), Ayatullah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametaja amali na thikri zilizajaa…
Watu wanne wafariki dunia baada ya treni kugonga basi la shule Ubelgiji
Watu wanne wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia baada ya treni kugonga basi la shule katika...
Waziri Mkuu aliyetenguliwa achaguliwa kuwa Spika
Bunge la Taifa la Senegal limemchagua waziri mkuu aliyeondolewa madarakani, Ousmane Sonko, kuwa...
Waziri Mkuu aliyetenguliwa Senegal achaguliwa kuwa Spika
Bunge la Taifa la Senegal limemchagua waziri mkuu aliyeondolewa madarakani, Ousmane Sonko, kuwa...
Risasi yaanza vizuri ligi ya kikapu Shinyanga
RISASI imeendeleza ubabe wake kwa Kahama Sixers baada ya kuifunga pointi 87-60, katika Ligi ya kikapu ya Mkoa wa Shinyanga, kwenye Uwanja wa Risasi.
Iran inaishutumu Marekani kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeishutumu Marekani leo Jumanne kwa kukiuka makubaliano dhaifu ya usiishaji mapigano kusini mwa nchi, taarifa ambayo inakuja baada ya kutangazwa kwa mashambulizi ya…