Skip to content
  • Wed. Jul 15th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026 Benchmark indices slip as rally pauses
HABARI ZA KIPEKEE

Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran

July 15, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks

July 15, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc

July 15, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026

July 15, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Benchmark indices slip as rally pauses

July 15, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran
HABARI ZA KIPEKEE
Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran
Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks
LTV ENGLISH NEWS
Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks
Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc
LTV ENGLISH NEWS
Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc
Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026
LTV ENGLISH NEWS
Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran
HABARI ZA KIPEKEE
Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran
Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks
LTV ENGLISH NEWS
Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks
Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc
LTV ENGLISH NEWS
Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc
Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026
LTV ENGLISH NEWS
Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026
Uncategorized

#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Arusha mjini leo Agosti 26, 2025 alimpandisha j…

August 26, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, mara baada ya kuchukua fomu ya kuwania ubunge wa Arusha mjini leo Agosti 26, 2025 alimpandisha jukwaani mkewe na kumtambulisha kwa wana-Arusha. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania…

Uncategorized

Pigo jingine kwa Mpango wa Abraham; Kwa nini Libya inapinga uhusiano wa kawaida na Israel?

August 26, 2025 mjombazecoder

Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imekataa nchi hiyo kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

#HABARI: Alan Thomas Mvano ambaye ameteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kupeperusha bendera katika Jimbo la Kakonko tayari amech…

August 26, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Alan Thomas Mvano ambaye ameteuliwa na Chama cha Mapinduzi CCM kupeperusha bendera katika Jimbo la Kakonko tayari amechukua fomu INEC, ili kuanzakwa Kampeni za kugombea Ubunge katika Jimbo hilo…

IDHAA YA DUNIA

Jinsi Taiwan inavyojiandaa na mashambulizi ya China

August 26, 2025 mjombazecoder

Maelezo kuhusu taarifa Author, Tessa Wong Nafasi, BBC Dakika 8 zilizopita Ilikuwa ni Ijumaa nyingine asubuhi kwenye kisiwa cha Taiwan cha Kinmen, kilomita chache kutoka pwani ya China, wakati king’ora…

Uncategorized

Je, inatosha kwa nchi za Magharibi kulaani kwa maneno matupu jinai za utawala wa Israel?

August 26, 2025 mjombazecoder

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi 21 za Magharibi kwa pamoja wamelaani uamuzi wa Israel wa kujenga makaazi mapya ya walowezi wa Kizayuni huko Quds Mashariki. BONYEZA HAPA USOME…

Uncategorized

Khofu ya mafuriko yatanda Pakistan karibu na India

August 26, 2025 mjombazecoder

Pakistan imewahamisha maelfu ya watu na kuwapeleka maeneo salama baada ya nchi jirani ya India kufunguwa mabwawa yake yaliyofurika pamoja na mito na kuyaachia maji kumiminika kuelekea katika mikoa ya…

Uncategorized

#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Mwibara mkoani Mara Kangi Lugola, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, ameonesha furaha wakat…

August 26, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Mwibara mkoani Mara Kangi Lugola, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, ameonesha furaha wakati akielekea kuchukua fomu ya uteuzi, amesema alikuwa Benchi akisoma mchezo…

Uncategorized

Nchi za Ulaya kujadili na Iran kuhusu mpango wa Nyuklia

August 26, 2025 mjombazecoder

Wajumbe kutoka mataifa ya Ulaya ya kile kinachojulikana kama E3 wanajiandaa leo Jumanne kwa mazungumzo ya dakika za mwisho pamoja na Iran mjini Geneva. Wajumbe kutoka Uingereza, Ufaransa na Ujerumani…

Uncategorized

BurkinaFaso na Mali zasusia mkutano kuhusu ulinzi

August 26, 2025 mjombazecoder

Burkina Faso na Mali zimejizuia kutuma wawakilishi wake katika mkutano kuhusu masuala ya kijeshi barani Afrika unaoendelea nchini Nigeria. Mali na Burkinafaso zinazoongozwa na tawala za kijeshi bado hazina mahusiano…

Uncategorized

🔴MEZAHURU: MOTISHA KWA WALIMU….AGOSTI 26, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴MEZAHURU: MOTISHA KWA WALIMU….AGOSTI 26, 2025

Uncategorized

Urusi yashambuliwa kwa droni na Ukraine

August 26, 2025 mjombazecoder

Viwanja kadhaa vya ndege nchini Urusi vimelazimika kusitisha shughuli zake nyingi usiku wa kuamkia leo kufuatia mashambulizi ya droni yaliyofanywa na Ukraine katika anga ya Urusi. Miongoni mwa viwanja vya…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA NANE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

IDHAA YA DUNIA

Viongozi maarufu ‘walioasi’ na kuitikisa CCM

August 26, 2025 mjombazecoder

Maelezo kuhusu taarifa Author, Florian Kaijage Nafasi, Akiripoti kutoka BBC Dar es Salaam 24 Julai 2025 Julai 13, 2025 aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchni Cuba, Humphrey Polepole alitangaa kujiuzulu nafasi…

Uncategorized

Umma wa Israel wapinga vita Ukanda wa Gaza

August 26, 2025 mjombazecoder

Israel imekabiliwa leo na maandamano makubwa ya umma unaotaka vita katika Ukanda wa Gaza visitishwe na kurudishwa nyumbani kwa mateka wanaoendelea kushikiliwa na kundi la Hamas. Maandamano hayo yamefanyika asubuhi…

Uncategorized

Kampuni ya Mafuta ya Serikali ya Nigeria: Wizi wa mafuta kupitia mabomba wakaribia kukomeshwa

August 26, 2025 mjombazecoder

Kampuni ya mafuta ya serikali ya Nigeria (NNPC Limited) imeripoti kuwa karibu wizi wote wa mafuta uliokuwa ukifanywa kupitia mabomba umekaribia kukomeshwa, baada ya juhudi zilizoratibiwa na mashirika ya ulinzi…

Uncategorized

Makoloni ya zamani ya Ufaransa, miaka 65 baada ya Uhuru

August 26, 2025 mjombazecoder

Licha ya mafanikio fulani, changamoto kubwa bado zinayakabili mataifa mengi ya Afrika yanayotumia lugha ya Kifaransa- Francophonie. Takwimu za Faharasi ya Maendeleo ya Binadamu (HDI) zinaonyesha nchi nane kati ya…

Uncategorized

Mazungumzo ya kitaifa DRC bado ni kitendawili

August 26, 2025 mjombazecoder

Mpango huo wa amani shirikishi nchini Kongo ambao ni matokeo ya mikutano kadhaa ya kiufundi, unalenga kumaliza mzunguko mbaya wa migogoro ya kivita ambayo imeikumba nchi hiyo kwa miongo mitatu.…

IDHAA YA DUNIA

Uchaguzi Tanzania 2025: Tanzania kupiga kura Oktoba 29, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images 26 Julai 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) nchini Tanzania imetangaza kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, utakaohusisha nafasi ya Rais, wabunge na…

Uncategorized

Norway yalaani jinai za Israel Ukanda wa Gaza

August 26, 2025 mjombazecoder

Norway imeutaja ukatili unaofanya utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza kuwa ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa, na kutangaza kwamba nchi hiyo ya Ulaya inafikiria kupiga marufuku…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA SABA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

Uncategorized

Nani wakulaumiwa katika mivutano ya ndani Syria?

August 26, 2025 mjombazecoder

Zaidi ya mwezi mmoja umepita tangu Hamza al-Amareen atoweke. Raia huyo wa Syria mwenye umri wa miaka 33, ambaye alikuwa mkuu wa kituo cha dharura cha shirika la uokoaji la…

Uncategorized

Balozi wa Iran atimuliwa kutoka Australia

August 26, 2025 mjombazecoder

Waziri mkuu wa Australia Anthony Albanese, amesema Shirika la Ujasusi wa Usalama la Australia (ASIO) limekusanya taarifa za kijasusi za kuaminika kwamba Iran ilielekeza mashambulizi hayo mawili katika miji ya…

Uncategorized

Kenya yadhibiti uwindaji haramu wa faru kwa miaka mitano

August 26, 2025 mjombazecoder

Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Kenya haijaripoti kisa chochote cha uwindaji haramu wa faru. Kulingana na Idara ya Ulinzi wa Wanyamapori nchini Kenya, KWS, matumizi ya teknolojia ya kisasa…

Uncategorized

Xi: Uhusiano wa China na Urusi ndio thabiti zaidi duniani

August 26, 2025 mjombazecoder

Xi amesema hayo kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bunge la Urusi Vyacheslav Volodin na kuendelea kuusifia uhusiano huo alioutaja kama “chanzo thabiti cha amani ya ulimwengu,” hii ikiwa ni kulingana…

IDHAA YA DUNIA

Hizi ndio nchi tano zilizo salama zaidi duniani kwa 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Dakika 10 zilizopita Katika mwaka uliotawaliwa na na migogoro, mataifa matano yameendelea kuorodheshwa miongoni mwa mataifa yenye amani zaidi duniani. Wakazi wamefichua jinsi sera na…

Uncategorized

UN yataka nchi za Afrika zishirikiane kijeshi ili kudumisha amani

August 26, 2025 mjombazecoder

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Amina J. Mohammed, amewataka viongozi wa kijeshi wa Afrika kushirikiana kwa karibu zaidi ili kukabiliana na ongezeko la vitisho vya usalama, ugaidi na…

Uncategorized

#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, leo Agosti 26, 2025 amefunga mitaa ya Arusha mjini wakati msafara wake ukimsindikiza kuchukua fo…

August 26, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mtia nia Paul Makonda, leo Agosti 26, 2025 amefunga mitaa ya Arusha mjini wakati msafara wake ukimsindikiza kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini katika ofisi…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA SITA NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

IDHAA YA DUNIA

Kwanini wakristo wanauawa Makanisani DRC?

August 26, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, AFP Maelezo ya picha, Ripoti zinasema, nyumba na maduka kuzunguka Kanisa huko Komanda yalishambuliwa vibaya na waasi. Maelezo kuhusu taarifa Author, Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC…

Uncategorized

Maafisa wa jeshi la DR Congo wasailiwa huku mapigano yakishadidi eneo la mashariki

August 26, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lilitangaza Jumatatu kwamba maafisa 41 wa ngazi za juu jeshini wamesailiwa kama sehemu ya uchunguzi kuhusu kushindwa kwa vikosi vya serikali wakati wa…

Uncategorized

Israel: Waandamanaji wataka vita kusitishwa na Gaza na kuachiwa kwa mateka

August 26, 2025 mjombazecoder

Waandamanaji kutoka Israel wametoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kwenye ukanda wa Gaza na kuachiwa kwa mateka. Imechapishwa: 26/08/2025 – 11:38 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma…

Uncategorized

#MEZAHURU:”Motisha Walimu” Je kuwapa walimu motisha kuna tija katika kuhakikisha kunapatikana ufaulu mzuri?

August 26, 2025 mjombazecoder

#MEZAHURU:”Motisha Walimu” Je kuwapa walimu motisha kuna tija katika kuhakikisha kunapatikana ufaulu mzuri?

IDHAA YA DUNIA

Watu maarufu walioachwa na kupita katika kinyang’anyiro cha Ubunge CCM 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

Maelezo kuhusu taarifa Author, Na Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutoka BBC Dar es Salaam 29 Julai 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza majina ya wagombea ubunge walioteuliwa kugombea katika uchaguzi…

Uncategorized

Israeli yaua mwandishi mwingine wa habari Mpalestina

August 26, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel lilimshambulia kwa risasi mwandishi wa habari Mpalestina katika eneo la kusini la Gaza, masaa machache baada ya yeye mwenyewe kutoa heshima kwa wenzake watano waliouawa katika mashambulizi…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA TANO NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

Uncategorized

#MICHEZO: “Kumekuwa kuna mvutano, wao hawapo tayari kutoa sababu, Clement Mzize ni mchezaji wa timu ya taifa, mzize anatakiwa kw…

August 26, 2025 mjombazecoder

#MICHEZO: “Kumekuwa kuna mvutano, wao hawapo tayari kutoa sababu, Clement Mzize ni mchezaji wa timu ya taifa, mzize anatakiwa kwenda Qatar”Jasmine Razack-Msimamizi wa mshambuliaji Fuatilia mahojiano haya kwa urefu kupitia…

Uncategorized

🔴CHAN 2024: 26 AGOSTI 2025 – MADAGASCAR VS SUDAN

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴CHAN 2024: 26 AGOSTI 2025 – MADAGASCAR VS SUDAN

IDHAA YA DUNIA

Uchaguzi Tanzania 2025: Maswali matatu ‘tata’ kuhusu idadi ya wapiga kura iliyoibua mjadala

August 26, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, INEC Maelezo ya picha, Jaji wa Rufani Jacob Mwambegele, 30 Julai 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (INEC) imejikuta katikati ya mjadala baada ya kutangaza…

Uncategorized

Mkutano wa OIC mjini Jeddah wahimiza hatua ya pamoja kumaliza mauaji ya kimbari Gaza

August 26, 2025 mjombazecoder

Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi Arabia, ambapo washiriki wamesisitiza umuhimu wa…

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA NNE NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

Uncategorized

#HABARI: Kiongozi wa Chama cha Democratic Party (DP) nchini Kenya Justin Muturi, na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Ra…

August 26, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Kiongozi wa Chama cha Democratic Party (DP) nchini Kenya Justin Muturi, na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Rais William Ruto, amejitosa kwenye mjadala kuhusu ufisadi bungeni, akimtuhumu Ruto…

IDHAA YA DUNIA

Je, Tanzania imeilenga Kenya kuzuia wafanyabiashara wadogo?

August 26, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images 30 Julai 2025 Katika kile kinachoonekana kama mwendelezo wa sera za kulinda uchumi wa ndani, Serikali ya Tanzania imetangaza rasmi marufuku dhidi ya shughuli 15…

Uncategorized

Donald Trump asema Wamarekani wengi ‘wangependa kuwa na dikteta’

August 26, 2025 mjombazecoder

Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatatu, Agosti 25, kwamba Wamarekani wengi “wangependa kuwa na dikteta,” wakati wa mkutano wa ghafla na waandishi wa habari na ambao ulirefushwa…

Uncategorized

Iran yakanusha madai ya Trump kuhusu kutengeneza silaha za nyuklia

August 26, 2025 mjombazecoder

Iran imekanusha tuhuma zilizotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa amani wa taifa hili, ikisema madai hayo yametegemeai kauli zilizopitwa na wakati ambazo zilitolewa na…

Uncategorized

#HABARI: Emmanuel Mussa (27), mkazi wa Ighombwe, Singida, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi…

August 26, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Emmanuel Mussa (27), mkazi wa Ighombwe, Singida, amehukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wa darasa la tano kutoka Shule ya Msingi Ighombwe. Tukio hilo lilitokea…

Uncategorized

Rais Xi Jinping wa China amesifu umuhimu wa kimkakati wa uhusiano na Urusi

August 26, 2025 mjombazecoder

Rais wa China Xi Jinping leo Jumanne, Agosti 26, amesifu uhusiano wa China na Urusi kama “imara zaidi” na “muhimu zaidi kimkakati” kati ya mataifa makubwa leo, televisheni ya serikali…

IDHAA YA DUNIA

Amka Na BBC

August 26, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

August 26, 2025 mjombazecoder

🔴HABARI ZA SAA: SAA TATU NA DAKIKA 55, AGOSTI 26, 2025

Uncategorized

Wakimbizi wa Rwanda zaidi ya 500 warejea nchini kutoka Kongo

August 26, 2025 mjombazecoder

Wakimbizi wa Kinyarwanda zaidi ya 500 jana Jumatatu walirejea nyumbani wakitokea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Source link

Uncategorized

Lebanon: Hezbollah bado inakataa kupokonywa silaha na kudai kukomeshwa kwa ukaliaji wa Israel

August 26, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu siku ya Jumatatu tarehe 25 Agosti, alisema kuwa yuko tayari kupunguza “taratibu” uwepo wa jeshi la Israel nchini Lebanon ikiwa Beirut itatekeleza mpango wake…

Posts pagination

1 … 1,058 1,059 1,060 … 1,065

Recent Posts

  • Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran
  • Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks
  • Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc
  • Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026
  • Benchmark indices slip as rally pauses

Recent Comments

  1. Ernestaxorn on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Wiiamcheaf on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. MichLit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. AnnaInsOm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. nedvijimiimoti.blog on Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARI ZA KIPEKEE

Pezeshkian: Tutalinda kila inchi ya ardhi ya Iran

July 15, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Trump threatens to bomb bridges and power plants unless Iran resumes talks

July 15, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Cloves, tourism lift Zanzibar exports 23pc

July 15, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Tracy heads to Poland for Miss Supranational 2026

July 15, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS