#HABARI: Mwanaharakati na mchambuzi wa masuala ya kisiasa, Habibu Mchange, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Chadema akituhumu ku…
#HABARI: Mwanaharakati na mchambuzi wa masuala ya kisiasa, Habibu Mchange, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Chadema akituhumu kuwepo kwa ubadhirifu wa michango ya umma na usambazaji wa maudhui ya…
Shirika la Posta nchini limesema limerejesha huduma za ushindani wa kidijitali katika shughuli za usafirishaji mizigo ili kuonge…
Shirika la Posta nchini limesema limerejesha huduma za ushindani wa kidijitali katika shughuli za usafirishaji mizigo ili kuongeza wigo wa utoaji ajira zaidi nchini sambamba na kuendana na soko la…
Pigo sekta ya usafirishaji abiria ikipoteza vigogo wawili siku moja
Sekta ya usafirishaji wa abiria nchini imetikiswa baada ya kuwapoteza wakongwe wake wawili...
Mbunge wa zamani Munde afariki dunia, kuzikwa kesho
Mbunge wa zamani wa wa viti maalumu (CCM), mkoa wa Tabora, Munde Tambwe amefariki dunia usiku...
Mwanamke Mkenya Anayeishi Uingereza Anaswa Kwenye CCTV Akichoma Nyumba ya Jirani Usiku
Magdaline Wangeci, Mkenya anayeishi Uingereza alifikishwa kortini CCTV ilipommulika jaribio lake la kuchoma nyumba ya jirani wakati wa shambulio la kulipiza kisasi
Mwanamke Mkenya Anyeishi Uingereza Anaswa Kwenye CCTV Akichoma Nyumba ya Jirani Usiku
Magdaline Wangeci, Mkenya anayeishi Uingereza alifikishwa kortini CCTV ilipommulika jaribio lake la kuchoma nyumba ya jirani wakati wa shambulio la kulipiza kisasi
Ethiopia yakanusha madai ya Trump kuwa Marekani ilifadhili bwawa lake kubwa
Waziri Mkuu wa Ethiopia amepinga madai ya Rais wa Marekani Donald Trump, akisema kuwa hakuna mikopo wala msaada wa kifedha wa kigeni uliopokelewa kwa ajili ya ujenzi wa bwawa hilo.
VIWANJANI: Mchambuzi wa soka Iddy Nonga, amesema wachezaji wa timu ya KMC wanahitaji ushauri wa kisaikolojia zaidi kuelekea mche…
VIWANJANI: Mchambuzi wa soka Iddy Nonga, amesema wachezaji wa timu ya KMC wanahitaji ushauri wa kisaikolojia zaidi kuelekea mchezo wao wa leo dhidi ya Mashujaa FC ili kujiweka katika nafasi…
Juhudi za mazungumzo ya Iran na Marekani zashika hatamu
Rais wa Iran Masoud Pezeshkian amemwagiza waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo kufanya mazungumzo ya "haki na yenye usawa" na Marekani, ikiwa ni ishara ya kwanza ya wazi…
Hofu ya vita ya Marekani na Iran yatikisa Mashariki ya Kati
Huku juhudi za kidiplomasia zikiendelea kuzuia mzozo mpana Mashariki ya Kati, Saudi Arabia, mataifa ya Ghuba na Israel zinaweka mbele maslahi yao wakati mvutano kati ya Marekani na Iran ukiendelea…
VIWANJANI: “Mimi bado nawapa nafasi…”
VIWANJANI: “Mimi bado nawapa nafasi…” Mchambuzi wa soka Philip Nkini amesema bado ana imani na Azam FC kuendelea hatua ya robo fainali katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC)…
Matajiri wa jiji AzamFC wanaisaka robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika, Jumamosi hii watakuwa nyumbani dimba la New Amaan Com…
Matajiri wa jiji AzamFC wanaisaka robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika, Jumamosi hii watakuwa nyumbani dimba la New Amaan Complex, Zanzibar wakiwakaribisha AS Maniema. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 1:00…
Wabunge waibua kilio miradi kutokamilika, rushwa ikitajwa
Hofu, rushwa na utitiri wa miradi vimetajwa kuwa kikwazo cha kukwamisha miradi mingi nchini...
Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kesi ya rufaa ya Claude Muhayimana yafunguliwa Paris
Claude Muhayimana amerudi mbele ya mahakama ya Ufaransa. Kesi yake ya rufaa ya kushiriki katika mauaji ya kimbari na uhalifu dhidi ya binadamu inaanza leo Jumanne, Februari 3, 2026, mbele…
Urusi yaishutumu Ufaransa kupanga njama za kuwaondoa Traore, Goita, na viongozi wengine wa Afrika
Idara ya Ujasusi ya Urusi (SVR) imedai kuwa utawala wa Ufaransa unajaribu kurejea kisiasa barani Afrika baada ya kupata “hasara”.
Malaysia: Mfaransa Tom Félix, aliye kuwa anakabiliwa na adhabu ya kifo aachiliwa
Tom Félix, Mfaransa aliyekuwa anakabiliwa na adhabu ya kifo nchini Malaysia kwa kumiliki na kufanya biashara ya dawa za kulevya—mashtaka ambayo alikanusha mara kwa mara—amefutiwa mashitaka leo Jumanne, Februari 3,…
VIWANJANI: “Katika michakato yote ya nyuma hiki ndicho kipindi ambacho unaona Yanga wamesogea zaidi kukaribia kujenga uwanja”
VIWANJANI: “Katika michakato yote ya nyuma hiki ndicho kipindi ambacho unaona Yanga wamesogea zaidi kukaribia kujenga uwanja” Mchambuzi wa soka ambaye pia ni mwandishi wa habari Philip Nkini, amesema Yanga…
Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Morogoro imewakamata raia 14 wa kigeni kutoka mataifa ya Burundi na Ethiopia kwa tuhuma za kuingia na …
Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Morogoro imewakamata raia 14 wa kigeni kutoka mataifa ya Burundi na Ethiopia kwa tuhuma za kuingia na kuwepo nchini bila vibali halali. Akizungumza na waandishi…
AFCON 2027: Kibarua kigumu kwa Kenya, Tanzania na Uganda
Wadau wengi wa soka waliofuatilia maandalizi na mafanikio ya AFCON 2025 nchini Morocco wametahadharisha kuwa Afrika Mashariki ina kazi kubwa ili kukidhi viwango vya juu vilivyoainishwa na wenyeji wa mashindano…
RC Singida: Umeme utaongeza thamani ya mazao
SINGIDA; Mkuu wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 376 vya mkoa huo utawezesha uongezaji thamani wa mazao ya kilimo kupitia…
Serikali imewahakikishia wananchi wa Jiji la Mbeya kuwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka chanzo cha Mto Kiwira unaende…
Serikali imewahakikishia wananchi wa Jiji la Mbeya kuwa utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka chanzo cha Mto Kiwira unaendelea na unatarajiwa kukamilika mwezi Disemba 2026, hatua itakayomaliza changamoto ya…
Kinachoibeba Bandari Tanzania First League
MTENDAJI Mkuu wa klabu ya Bandari Tanzania, Ismail Chempele amesema maandalizi makubwa waliyofanya mwanzo wa msimu yakijumuisha usajili bora wa kikosi, benchi la ufundi, bajeti nzuri na mazingira salama ya…
Clara, Masaka waitwa kukiwasha WAFCON 2026
KOCHA wa timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania maarufu Twiga Stars, Bakari Shime ametangaza kikosi cha awali kitakachojiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON)…
Ouma apiga hesabu kali Kombe la Shirikisho Afrika
KIKOSI cha Singida Black Stars, kimeiwahi CR Belouizdad Zanzibar tayari kwa ajili ya mechi ya tano ya Kombe la Shirikisho Afrika kundi C inayotarajiwa kuchezwa Februari 8, mwaka huu huku…
Maxime alia na mabao Mbeya City
MBEYA City imeendelea kuhaha Ligi Kuu Bara baada ya leo kuambulia tena sare dhidi ya Dodoma Jiji, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo Mecky Maxime akitaja kinachowaangusha akitoa matumaini mapya…
Dk Mwigulu akutana na Naibu Mkurugenzi wa FAO
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amefanya mazungumzo na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Beth Bechdol jijini Dar es salaam leo Januari…
Bandari ya Dar kuongezwa, yatarajia kupokea meli nyingi
DODOMA: Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, amesema Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeanza mazungumzo na Benki ya Dunia kwa lengo la kupata mkopo wa gharama nafuu utakaowezesha ujenzi wa…
Trump ataka kuweka vituo vya kijeshi Greenland
Kumeibuka mjadala kuhusu nia ya Rais Donald Trump kuanzisha vituo vya kijeshi vya Marekani katika kisiwa cha Greenland - hatua inayofanana na muundo wa vituo vya kijeshi vya Uingereza katika…
#NBCPL: Ilipigwa “cross” na Gadiel Michael na kuunganishwa kwa kichwa na William Edgar kisha mpira ukajaa kamabani, Dodoma Jiji …
#NBCPL: Ilipigwa “cross” na Gadiel Michael na kuunganishwa kwa kichwa na William Edgar kisha mpira ukajaa kamabani, Dodoma Jiji ikitangulia. Eliud Ambokile akairudisha Mbeya City mchezoni kwa goli la kichwa…
Duka jipya lazinduliwa Paje, kuboresha huduma kidigitali Zanzibar
Kampuni ya mawasiliano Yas imezindua rasmi duka jipya katika eneo la Paje, Mkoa wa Kusini...
Tanzania seeks World Bank loan to upgrade the Dar es Salaam Port
DODOMA: THE Tanzanian government has begun discussions with the World Bank to secure a low-interest loan to enable the country finance the construction of four new berths at the Port…
Altezza yatwaa tuzo ya kampuni bora ya utalii Kanda ya Kaskazini
Kushinda katika kipengele cha Kanda ya Kaskazini kunachukuliwa kuwa moja ya heshima kubwa zaidi...
Ujumbe wa UN kuwasili DRC kusaidia jitihada za kusitisha mapigano
Uamuzi huo unakuja siku moja baada ya kikao kilichofanyika Doha, kilichohusisha wawakilishi wa kikosi cha waasi cha M23 na wajumbe kutoka DRC.
VITASA: “Iliniumiza sana”
VITASA: “Iliniumiza sana” Bondia Fadhil Majiha amebainisha kuwa taarifa za kubadilishiwa mpinzani zilimuumiza sana na aliamua kupigana ili kulinda maslahi ya wapenda ngumi na wadhamini. Awali Majiha alitakiwa kupigana na…
Banknote bouquets could land you in jail, Kenya’s central bank warns
NAIROBI: Kenya’s central bank has warned people to stop using banknotes to make floral-like bouquets and decorations, which has become a trend in the East African nation. They are often…
Dk Mwigulu ataja chanzo vijana kukwepa kilimo
Zana duni za kilimo zinazosababisha ugumu wa kazi pamoja na ukosefu wa teknolojia za kisasa ni...
Yanga yaifuata FAR Rabat na jeshi la nyota 24
Wachezaji 24 wa Yanga wameondoka leo saa 9 alasiri kuelekea Morocco ambako timu hiyo...
Tanzania envisions Agricultural Mechanization with 10,000 tractors, 1,000 machinery centers
DAR ES SALAAM: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has announced the Tanzanian government’s plans to procure 10,000 tractors and establish 1,000 integrated agricultural machinery service centers at ward level across the…
#NBCPL: hakuna mbabe
#NBCPL: hakuna mbabe FT: Mbeya City 1-1 Dodoma Jiji Saa 1:00 usiku ni KMC dhidi ya Mashujaa FC, LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #MbeyaCityVsDodomaJiji #MbeyaCity #DodomaJiji
Onyo kuhusu mvua katika mikoa 4, hali ya jua na anga kavu katika sehemu nyingi siku 7 zijazo
Utabiri wa hali ya hewa wa kila wiki Kenya unaonyesha hali ya jua na ukame maeneo mengi, huku mvua ya hapa na pale ikinyesha katika maeneo teule.
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego, amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme katika vitongoji 376 vya mkoa huo utawezesha uongezaji thamani wa mazao ya kilimo kupitia…
Tanzania embarks on the use of drones to increase agricultural productivity
DAR ES SALAAM: PRIME Minister, Dr Mwigulu Nchemba, today, February 3, 2026, officially launched the use of drones aimed at increasing productivity in the agricultural sector. The launch took place…
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama v…
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya ubadhirifu, migogoro na usimamizi usioridhisha katika baadhi ya taasisi za kidini, vyama vya michezo na asasi za kiraia, Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini…
Afisa wa Kaunti ya Baringo afariki, mwanawe mchanga afuata siku mbili baada ya kuzaliwa
Afisa wa mifugo wa Baringo Juliah Wangari Karanja na mtoto wake walifariki katika hospitali za Nakuru, na kuzua wasiwasi kuhusu huduma ya mama na msaada wa afya.
Serikali yatoa msimamo riba ya asilimia 7 kwa wafanyakazi
Serikali imesema haina mpango wa kuamuru taasisi za fedha kupunguza riba za mikopo kwa...
Vikwazo matibabu ya kisukari nchini vyatajwa
Wakati wagonjwa wa kisukari wakiongezeka, usambazaji usiothabiti wa dawa ya insulini hususani...
#NBCPL: ‘Boli’ bado inatembea ndani ya dimba la Sokoine
#NBCPL: ‘Boli’ bado inatembea ndani ya dimba la Sokoine. 70’: Mbeya City 1-1 Dodoma Jiji LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #MbeyaCityVsDodomaJiji #MbeyaCity #DodomaJiji
Tanzania, UK agree to deepen ties in peace, security, public safety
DODOMA: THE Tanzanian government has agreed to strengthen cooperation with the United Kingdom in areas related to internal security, law enforcement, and the protection of its citizens and their property.…