Tanzania warns against overgrowing conflicts, and armed violence that threaten global peace, and economic stability.
DODOMA: Tanzania has expressed concern over growing global instability driven by international conflicts, geopolitical rivalry and armed violence, warning that the situation continues to threaten global peace, security and economic…
Bei za mbuzi zapanda Dar
WAKATI Waislamu duniani wakijiandaa kuadhimisha Sikukuu ya Eid al-Adha inayohusisha ibada ya kuchinja wanyama, wafanyabiashara wa mifugo katika Soko la Vingunguti jijini Dar es Salaam wamesema biashara ya mbuzi mwaka…
MOI Specialists pitch a camp in Ifakara for treatment of bones, brain and spinal cord
IFAKARA: THE CAMP of specialist and specialist treatment of bones, brain and spinal cord from the Muhimbili Orthopedic and Brain Institute (MOI) has officially begun at the Mt. Francis Referral…
Kaizer Chiefs yaachana na Kaze, Mosimane awindwa
Kaizer Chiefs imetangaza kuachana na makocha wake Cedrick Kaze na Youssef Ben Khalil kuanzia...
Iran na Marekani zinadai nini katika mazungumzo yanayoendelea
Makubaliano ya awali yanajadiliwa kwa sasa kati ya pande mbalimbali, lakini lengo kuu la Iran ni kupata dhamana ya kudumu ya usalama ili kuondoa kabisa tishio la mgogoro mpya, kwa…
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu- Siku ya Arafa
Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuwadia msimu wa Hijja ya Nabii Ibrahim (as), Ayatullah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametaja amali na thikri zilizajaa…
Watu wanne wafariki dunia baada ya treni kugonga basi la shule Ubelgiji
Watu wanne wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia baada ya treni kugonga basi la shule katika...
Waziri Mkuu aliyetenguliwa achaguliwa kuwa Spika
Bunge la Taifa la Senegal limemchagua waziri mkuu aliyeondolewa madarakani, Ousmane Sonko, kuwa...
Waziri Mkuu aliyetenguliwa Senegal achaguliwa kuwa Spika
Bunge la Taifa la Senegal limemchagua waziri mkuu aliyeondolewa madarakani, Ousmane Sonko, kuwa...
Risasi yaanza vizuri ligi ya kikapu Shinyanga
RISASI imeendeleza ubabe wake kwa Kahama Sixers baada ya kuifunga pointi 87-60, katika Ligi ya kikapu ya Mkoa wa Shinyanga, kwenye Uwanja wa Risasi.
Iran inaishutumu Marekani kwa kukiuka makubaliano ya usitishaji mapigano
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeishutumu Marekani leo Jumanne kwa kukiuka makubaliano dhaifu ya usiishaji mapigano kusini mwa nchi, taarifa ambayo inakuja baada ya kutangazwa kwa mashambulizi ya…
Tanzania tables 359.326bn/- budget for Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
DODOMA: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation has requested Parliament to approve a budget of 359.326bn/- for the implementation of its activities during the 2026/2027 financial year. Presenting…
JKT yazinduka BDL
JKT imezinduka katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifunga Veins BC kwa pointi 57-56 kwenye Uwanja wa Donbosco, Upanga.
Baada ya kichapo, Reel Dream yarudisha mzuka
BAADA ya Reel Dream kuifunga Ukonga Queens kwa pointi 70-54, katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam (WBDL), nyota wa timu hiyo Maria Boniventura amesema ushindi wao huo umerejesha morali…
TPDC supports community role in protecting gas pipeline infrastructure
RUFIJI: THE protection of natural gas infrastructure continues to play a vital role in supporting Tanzania’s industrial growth, energy security, and national development. As the country expands the use of…
Ol Kalou: Kura mpya ya maoni yaonesha Sammy Ngotho wa DCP atampiku mgombea wa UDA
Eneo bunge la Ol Kalou linajiandaa kwa uchaguzi mdogo utafiti ukimweka Sammy Ngotho wa DCP mbele kwa 61.4% na kupanga karata ya siasa kufuatia kushindwa kwa Kiaraho.
Jesca anaendelea alipoishia WBDL
NYOTA wa JKT Stars, Jesca Ngisaise ameendelea kudhihirisha ubora wake wa kutupia, baada ya kufunga pointi 94 katika mechi mbili za Ligi ya kikapu Dar es Salaam kwa Wanawake (WBDL).
Nchi za Ghuba “hazitatumika tena kama ngao za kambi za Marekani,” asema Kiongozi Mkuu wa Iran
Kambi za Marekani hazilindwi tena na mataifa ya Ghuba, Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei ametangaza leo Jumanne, Mei 26, katika taarifa iliyoandikwa na kurushwa kwenye televisheni ya serikali. Imechapishwa:…
TISEZA, Dangote Group explore investment opportunities in Bagamoyo
BAGAMOYO: THE Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA) has received a team of experts from the Dangote Group who arrived in the country with the aim of understanding…
Tanzania begins process to establish Public Health College
GENEVA: TANZANIA has begun process to establish a Public Health Medicine College through regional cooperation of the East, Central and Southern Africa Health Community (ECSA-HC) in renewed efforts to strengthen…
Diaspora embrace investment opportunities through One-Stop Service clinics
DODOMA: THE Foreign Affairs ministry has successfully coordinated service clinics for Tanzanians living abroad (Diaspora) in six countries worldwide, a move that has helped encourage their participation in national development…
Senegal: Ousmane Sonko achaguliwa kuwa Spika wa Bunge
Nchini Senegal, aliyekuwa waziri mkuu wa Senegal Ousmane Sonko, ambaye alifutwa kazi Mei 22, amechaguliwa kuwa Sika wa Bunge Mei 26, 2026, huko Dakar, kwa kura 132 kati ya kura…
Orodha ya Nchi 10 za Kiafrika Zisizo na Mikopo ya IMF kufikia Mei 2026
Gundua nchi 10 za Kiafrika zisizo na mikopo kutoka kwa Shirika la Fedha la Kimataifa kufikia Mei 2026. Nyingine hazijawahi kukopa kutoka IMF......
CEOrt kushirikiana na GGML Kili Challenge katika mapambano ya VVU
Mapambano dhidi ya maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) yameungwa mkono na Jukwaa la...
Usafiri wa reli, kampuni ya ndege kipaumbele Wizara ya Ujenzi Zanzibar
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeomba kuhidhinishiwa Sh1.8 trilioni kutekeleza vipaumbele vinane...
Tanzania outlines strategies to enhance healthcare services for mothers, children
DODOMA: DEPUTY Minister of Health, Florence Samizi has said the Tanzanian government has continued to take various strategic steps to strengthen the health of pregnant women and children in the…
Jinamizi la vita lagubika shamrashamra za Eid el-Adha huko Gaza
Watoto wachuuza kahawa ili kusaidia familia Simuliziz a ‘enzi hizo’ zatawala watoto wakikumbuka kabla ya vita Ingawa hivyo watoto wana matumaini Eid ijayo itakuwa nzuri
Kesi ya mauaji ya Rhoda Mobe yaahirishwa hadi Juni
Wote wapo rumande kutokana na kesi hiyo kutokuwa na dhamana, huku mahakama ikisema haina...
Wanne wafariki dunia baada ya treni kugonga basi la shule Ubelgiji
Watu wanne wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia baada ya treni kugonga basi la shule katika...
Huduma za usafiri wa anga za kimataifa zinaendelea kuwa salama katikati ya mlipuko wa Ebola – ICAO
Virusi vya Bundibugyo havisambai kwa njia ya hewa wala kwa mgusano wa kawaida Kuna mfumo ulioboreshwa wa kimataifa wa afya katika sekta ya anga uliojengwa baada ya janga la COVID‑19.…
Wanawake Kivu Kaskazini waahidi kulinda amani na kupambana na habari potofu: MONUSCO
Katika juhudi za kuleta utangamano wa kitaifa hususani kwenye maeneo yenye hali tete ya amani, takriban wanawake 60 kutoka maeneo ya Beni, Butembo, na Lubero yaliyoko jimboni Kivu Kaskazini nchini…
Licha yakuwa tumaini bora la amani duniani, Mkataba wa kuanzisha UN unazidi kusiginwa – Guterres
Mkataba huo ni bado ni tumaini bora la ubinadamu kwa ajili ya amani Ataja vitisho 7 vinavyokabili dunia Hakuna amani bila maendeleo
Rafiki wa Binti wafanya kweli Afya ya Hedhi
PWANI; MPANGO wa Rafiki wa Binti umezindua wimbo maalumu wa kielimu wa Afya ya Hedhi ikiwa ni kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Afya ya Hedhi Mei 28, 2026. Taarifa kwa…
Mtwara gains a stronghold in salt production, business
MTWARA: MTWARA Region is steadily emerging as a key investment destination in Tanzania’s salt industry, driven by favourable coastal conditions for salt production, improved business conditions and rising salt output…
Mambo ya Nje wataja changamoto zao
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ya Tanzania imesema bado inakabiliwa...
Mambo ya Nje waanika vipaumbele wakiomba Sh359 bilioni
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja vipaumbele vinne katika...
Yas ranks among Africa’s top 50 strongest brands
DAR ES SALAAM: Yas has emerged as one of Africa’s fast-rising telecom brands, debuting in the Brand Finance Africa 200, 2026 report with a brand value of 277 million US…
Call for Tanzanian artists to produce films that promote tourism, inspire Dreams
DAR ES SALAAM: TANZANIAN artists have been encouraged to use films and documentaries to promote domestic tourism by showcasing the country’s attractions, as demonstrated by the special screening of Guardians…
Tanzania, Mozambique broaden ties in defence and security
DODOMA: TANZANIA and Mozambique have agreed to strengthen cooperation in defence and security matters, particularly in the fight against terrorism and criminal activities threatening peace and stability in Eastern and…
Ujumbe wa Hija: Kiongozi Muadhamu ayatolea wito mataifa ya Kiislamu kuunda utaratibu mpya wa kikanda; asema enzi ya US imefikia tamati
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amezitolea wito nchi za Kiislamu kuzidisha ushirikiano na kuanzisha utaratibu mpya wa kieneo na kimataifa mbali na utawala wa Marekani.
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa: Iran haitasalimu amri wala kurudi nyuma
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu "haitarudi nyuma" huku kukiwa na ripoti juu ya uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Tehran…
Baqaei: Marekani imefanya uhalifu wa kivita kwa kujaribu nguvu ya kombora lilitumika kwa mara ya kwanza kuua watu Lamerd, Iran
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Marekani ilitumia kwa mara ya kwanza kombora la PrMS katika shambulio lake kwenye eneo la makazi…
Mkurugenzi Mkuu wa WHO: Vifo vinavyoshukiwa kuwa vya Ebola vyafika 220
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa vifo 220 vinashukiwa kusababishwa na mlipuko wa sasa wa homa hatari ya Ebola.
Madiwani Temeke wataka miradi yenye ubora
DAR E SALAAM: BARAZA la Madiwani Manispaa ya Temeke limewataka wakandarasi wanaotekeleza miradi wilayani humo kufanya hivyo kwa ubora na wakati. Mstahiki Meya wa Manispaa ya Temeke, Uzairu Athumani amesema…
Mgogoro wa kisiasa washtadi Senegal baada ya Rais kumteua Al Aminou Lo kuwa Waziri Mkuu
Mgogoro wa kisiasa wa Senegal umeshika kasi huku Rais wa nchi hiyo Bassirou Diomaye Faye akimteua mchumi Ahmadou Al Aminou Lo katika nafasi ya Waziri Mkuu akichukua nafasi ya Ousmane…
UDSM yawaita wadau kutafakari fikra za Mwalimu Nyerere
Wadau wa maendeleo ya siasa, uchumi na masuala ya kijamii wametakiwa kushiriki Kongamano la...
Jinsi Mahmoud Ahmadinejad alivyogeuka fumbo la vita Iran
Mwanasiasa huyo mwenye kauli kali kuwa mmoja wa watu ambao maafisa wa Israel walikuwa wakiwataja mara kwa mara kuelezea kile walichokiita "tishio la Iran" kwa dunia.
Kauli ya Serikali kilichotokea Afrika Kusini
Shangazi ametaka Serikali itoe taarifa rasmi kuhusu usalama wa Watanzania waliopo nchini humo...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema kuwa zipo sheria zinazosamia matumizi ya mitandao na kukataza upotosh…
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema kuwa zipo sheria zinazosamia matumizi ya mitandao na kukataza upotoshaji unaoweza kuzua taharuki kwa jami, huku akitoa mfano wa picha…