Skip to content
  • Wed. Jul 15th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika FIFA yazua utata kwa kuvunja sheria zake katika fainali ya Kombe la Dunia 2026
HABARILEO

DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba

July 15, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi

July 15, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

July 15, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika

July 15, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

FIFA yazua utata kwa kuvunja sheria zake katika fainali ya Kombe la Dunia 2026

July 15, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
HABARILEO
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
IDHAA YA DUNIA
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
HABARI ZA KIPEKEE
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
TUKO SWAHILI NEWS
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
MWANANCHI
Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
HABARILEO
DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
IDHAA YA DUNIA
Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
HABARI ZA KIPEKEE
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
TUKO SWAHILI NEWS
Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
Uncategorized

Mali: Raia watoroka kwa wingi miji ya jimbo la Ségou iliyoshambuliwa na wanajihadi

August 25, 2025 mjombazecoder

Wakati jeshi la Mali bado halijachukua tena udhibiti wa ngome zake zilizoshambuliwa na wanajihadi wa JNIM katikati mwa nchi siku ya Jumanne, Agosti 19, raia kutoka vijiji jirani, ambao pia…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025

August 25, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025

IDHAA YA DUNIA

Simulizi ya jasusi wa Marekani ambaye ndege yake ilidunguliwa juu ya anga ya Urusi

August 25, 2025 mjombazecoder

Tarehe 19 Agosti 1960, miaka 65 iliyopita wiki hii, mahakama moja mjini Moscow ilimkabidhi rubani wa Marekani, Francis Gary Powers, kifungo cha miaka 10 baada ya kukamatwa na vikosi vya…

Uncategorized

25.08.2025 Matangazo ya Jioni

August 25, 2025 mjombazecoder

Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF

Uncategorized

Zanzibar – Kisiwa maarufu cha viungo duniani

August 25, 2025 mjombazecoder

25.08.202525 Agosti 2025 Zanzibar inasifika kwa uwepo wa mashamba ya viungo ambapo wageni hujifunza kuhusu karafuu, mdalasini, vanila na viungo vyingine vinavyokifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha biashara ya viungo…

Uncategorized

Utamaduni wa jamii ya Wasuba nchini Kenya

August 25, 2025 mjombazecoder

25.08.202525 Agosti 2025 Jamii ya Wasuba nchini Kenya ni mojawapo ya makabila ya asili yaliyo na historia ya kipekee na tamaduni tajiri, ingawa kwa sasa jamii hiyo inakabiliwa na changamoto…

Uncategorized

25.08.2025 Matangazo ya Mchana

August 25, 2025 mjombazecoder

SK2 / S02S25.08.202525 Agosti 2025 Wanahabari kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel+++Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk+++Tanzania- Dirisha la fomu za ubunge…

Uncategorized

25.08.2025 Matangazo ya Asubuhi

August 25, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Mbio ya Munyonge, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa. Sikiliza…

Uncategorized

25.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi

August 25, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Mashambulizi ya Israel kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa yauwa watu sita // Rais Zelensky wa Ukraine atoa wito wa mkutano na Rais Putin wa Urusi huku…

IDHAA YA DUNIA

Utapiamlo watishia maisha ya watoto 132,000 Gaza-Ripoti

August 24, 2025 mjombazecoder

Ripoti ya IPC,shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa linalohusika na ufuatiliaji wa usalama wa chakula, linakadiria kuwa “utapiamlo unatishia maisha ya watoto 132,000.

IDHAA YA DUNIA

Vita vya Israel-Iran vyamfukuzisha kazi Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani

August 24, 2025 mjombazecoder

Luteni Jenerali Jeffery Kruse, ametimuliwa ikiwa ni wiki chache tu baada ya Ikulu ya White House kukosoa ripoti kuhusu athari za mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ya Juni 22,…

IDHAA YA DUNIA

Israel yaushambulia mji wa Gaza wakati ikijiandaa kuuchukua mji huo

August 24, 2025 mjombazecoder

Ndege na vifaru vimeshambulia sehemu za mji wa Gaza huku mipango ya Israel ya kuliteka eneo kubwa la mijini katika eneo hilo.

Uncategorized

#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Vyombo vya Usalama Mkoa wa Tabora na Wilaya ya Urambo, vimeanza oparesheni ya kuwasaka popote walipo watu wasiojulikana waliomuua mlinzi wa soko la Ussoke, lililopo wilayani Urambo, Bw. Nasoro…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 24, 2025 – RAIS SAMIA ASISITIZA AMANI

Uncategorized

#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoan…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, imemteua John Luhende, kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Bukene mkoani Tabora. Luhende ametangazwa kupeperusha bendera hiyo jana Jumamosi Agosti 23,…

Uncategorized

#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiombewa dua na watoto yatima wa Kituo cha Watoto Yatima Mburahati mara baada ya kuwasili katika ukumbi…

Uncategorized

#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa UVCCM, Jokate Mwegelo amemshukuru Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa imani yake kubwa kwake ikiwemo kumpendekeza na kisha…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA KIGOMA : AGOSTI 24, 2025 – UJENZI WA SOKO WADHITI MAGONJWA YA MLIPUKO

Uncategorized

Watu kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel

August 24, 2025 mjombazecoder

Wakati huo huo, kumeripotiwa pia mashambulizi katika maeneo ya mashariki na kaskazini mwa mji huo wa Gaza katika vitongoji vya Zeitoun, Shejaia na Sabra huku majengo kadhaa yakiripuliwa katika mji…

Uncategorized

Urusi: Nchi za Ulaya zinalenga “kuzuia” mchakato wa amani

August 24, 2025 mjombazecoder

Lavrov amekemea hatua ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ya kuweka masharti na kulazimisha kukutana na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, akisisitiza kuwa majaribio hayo yanalenga kuvuruga mchakato wa amani…

Uncategorized

Jeshi la anga la Nigeria lauua magaidi 35 wa Boko Haram

August 24, 2025 mjombazecoder

Ehimen Ejodame, msemaji wa Jeshi la Anga la Nigeria amesema mashambulizi hayo yalilenga majimbo manne ya Kumshe, Borno, Katsina na karibu na mpaka wa Cameroon ambayo yamewezesha pia kuokolewa kwa…

Uncategorized

Khamenei: Raia wa Iran tuungane dhidi ya mipango ya Marekani

August 24, 2025 mjombazecoder

Khamenei ameyatoa matamshi hayo siku ya Jumapili katika msikiti mmoja mjini Tehran, akisisitiza kuwa baada ya mashambulizi ya Marekani na Israel, maafisa wa Marekani walikutana barani Ulaya ili kujadili serikali…

Uncategorized

#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafa…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Madereva bodaboda jijini Mbeya, wamelalamikia baadhi ya wamiliki wa usafiri huo kuwapa mikataba kandamizi ambayo huwafanya kutotimiza malengo yao. Madereva bodaboda wamebainisha hayo baada ya kupata fursa ya kukopeshwa…

Uncategorized

#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani,…

August 24, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imetoa ufafanuzi kuhusu mwenendo wa soko la mbaazi duniani, ikieleza mafanikio na changamoto zinazolikumba zao hilo muhimu kwa wakulima wa…

Uncategorized

#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile du…

August 24, 2025 mjombazecoder

#NUKUU: “Mungu atapokea maombi yetu, swala zetu, dua zetu, ikiwa nyoyo zetu zina amani, kwasababu ukiomba huna amani hata ile dua utaiweka kinyumenyume………” Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,…

Uncategorized

🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴TAMASHA LA MICHEZO: WENYEJI CHAN 2024 WAUMALIZA MWENDO ..AGOSTI 24, 2025

Uncategorized

Hofu ya vita Ulaya yazua wimbi la uandikishaji jeshini

August 24, 2025 mjombazecoder

Shule ya sheria haikumfundisha Constance jinsi ya kufanya mazoezi, kutambua alama za mawasiliano ya redio, au kulala kifudifudi juu ya zege huku akielekeza bunduki yake kwa adui. Badala yake, mwanafunzi…

Uncategorized

Ukraine yaadhimisha miaka 34 ya uhuru wake

August 24, 2025 mjombazecoder

Hayo yanajiri wakati viongozi mbalimbali wa Ulaya wametoa wito wa kusitishwa kwa vita kati ya Urusi na Ukraine ambavyo vimedumu kwa zaidi ya miaka mitatu. Viongozi kadhaa akiwemo Mfalme Charles…

Uncategorized

Netanyahu akabiliwa na shinikizo la kumaliza vita huko Gaza

August 24, 2025 mjombazecoder

Miezi kadhaa ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Israel na Hamas hadi sasa hayajazaa matunda.Wanachama wa siasa kali za mrengo wa kulia wanaounda serikali ya mseto ya…

Uncategorized

Sudan: Watu 158 wafariki kwa kipindupindu huko Darfur

August 24, 2025 mjombazecoder

Wizara ya afya katika jimbo hilo linalodhibitiwa na wanamgambo wa RSF imesema vifo hivyo vimeripotiwa kuanzia mwishoni mwa mwezi Mei mwaka huu. Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema…

Uncategorized

Korea Kaskazini yafanya jaribio la makombora mapya

August 24, 2025 mjombazecoder

Shirika la habari la Korea Kaskazini (KCNA) limesema bila kutoa maelezo zaidi kuwa jaribio hilo la Jumamosi limethibitisha kuwa makombora hayo yanao uwezo wa kukabiliana na vitisho vyote vya angani…

Uncategorized

Morocco na nchi zingine 3 zatinga nusu fainali CHAN

August 24, 2025 mjombazecoder

Katika mtanange wa nusu fainali za CHAN, Sudan itavaana na Madagascar jijini Dar es Salaam huku Morocco ikimenyana na mabingwa watetezi Senegal mjini Kampala. Mechi hizo zitachezwa Jumanne ya Agosti…

Uncategorized

#VIDEO: Serikali ya Tanzania inatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 115, kununua ndege maalumu ya kufanya utafiti wa madin…

August 24, 2025 mjombazecoder

#VIDEO: Serikali ya Tanzania inatarajia kutumia zaidi ya shilingi bilioni 115, kununua ndege maalumu ya kufanya utafiti wa madini, itakayo wawezesha wachimbaji wadogo hapa nchini kubaini sehemu ambayo madini yapo,…

Uncategorized

#MICHEZO: Baada ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kuondolewa Katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN dhidi ya ti…

August 24, 2025 mjombazecoder

#MICHEZO: Baada ya Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kuondolewa Katika hatua ya robo fainali ya michuano ya CHAN dhidi ya timu ya taifa ya Morocco, Kocha wa timu…

Uncategorized

#VIDEO: Wadau waeleimu Tanzania waomeomba waandaji wa maonesho ya ya kitaifa na kimataifa ya shule zinazofanya vizuri nchini

August 24, 2025 mjombazecoder

#VIDEO: Wadau waeleimu Tanzania waomeomba waandaji wa maonesho ya ya kitaifa na kimataifa ya shule zinazofanya vizuri nchini. kuangalia uwezekano katika maonyesho yajayo kuongeza muda zaidi ya ushiriki ili kutoa…

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA: KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU…..AGOSTI 24, 2025

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: KONGAMANO LA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU…..AGOSTI 24, 2025

Uncategorized

Unyanyasaji mtandaoni: Wanawake wa Kiafrika wakabiliwa na unyanyasaji mtandaoni

August 24, 2025 mjombazecoder

Intaneti na mitandao ya kijamii imekuwa maeneo ambapo unyanyasaji wa kijinsia hutokea mara kwa mara. Watumiaji wanawake wa Kiafrika hawajaachwa nyuma. Filamu ya hali halisi iitwayo Harassment 2.0, Resilience of…

Uncategorized

Kenya: London yakubali kufidia waathiriwa wa moto kufuatia mazoezi ya kijeshi ya Uingereza

August 24, 2025 mjombazecoder

Miaka minne baada ya moto kuzuka katika Hifadhi ya Kibinafsi ya Lolldaiga kufuatia ajali wakati wa mafunzo na Jeshi la Uingereza, ambalo lina kambi katika eneo hilo, Uingereza imekubali kulipa…

Uncategorized

Burkina Faso: Serikali yahitimisha mradi wa kudhibiti Malaria (Target Malaria)

August 24, 2025 mjombazecoder

Mradi wa kudhibiti Malaria (Target Malaria) uliozinduliwa mwaka 2012 nchini Burkina Faso ulilenga kurekebisha vinasaba vya mbu wa kiume ili kuwafanya washindwe kuzaa katika jaribio la kupunguza idadi ya mbu…

Uncategorized

Eneo la Uhispania la Ceuta linakabiliwa na wimbi jipya la wahamiaji kutoka Morocco

August 24, 2025 mjombazecoder

Tangu mwishoni mwa mwezi wa Julai, eneo la Uhispania limeshuhudia ongezeko kubwa la idadi ya wahamiaji haramu wanaowasili katika eneo lake. Miongoni mwao, wale wanajaribu bahati yao kwa kuogelea ni…

Uncategorized

Burundi: Meja Jenerali Bertin Gahungu ashikiliwa na idara ya usalama

August 24, 2025 mjombazecoder

Nchini Burundi, Meja Jenerali Bertin Gahungu anashikiliwa na idara za usalama, mamlaka imetangaza. Afisa mkuu wa usalama katika utawala na mkuu wa zamani wa idara ya kijasusi nchini humo, anashtumiwa…

Uncategorized

#MICHEZO:Bondia Kutoka Mkoa wa Tabora Abdul Zugo, ameibuka mshindi kwa TKO katika pambano la Ubingwa wa kuwania mkanda wa Dunia …

August 24, 2025 mjombazecoder

#MICHEZO:Bondia Kutoka Mkoa wa Tabora Abdul Zugo, ameibuka mshindi kwa TKO katika pambano la Ubingwa wa kuwania mkanda wa Dunia wa WPBF uzito wa kilo 63 Super right weight, dhidi…

Uncategorized

#MAGAZETI:CCM YAANIKA SAFU YAKE / KIUNGO APEPERUKA DAR

August 24, 2025 mjombazecoder

#MAGAZETI:CCM YAANIKA SAFU YAKE / KIUNGO APEPERUKA DAR

Uncategorized

#SWALILAKIPIMAJOTO: Hamasa ya uchangiaji wa damu nyakati za matukio mbalimbali.Je, ifanywe kuwa endelevu kufanikisha upatikanaji…

August 24, 2025 mjombazecoder

#SWALILAKIPIMAJOTO: Hamasa ya uchangiaji wa damu nyakati za matukio mbalimbali.Je, ifanywe kuwa endelevu kufanikisha upatikanaji wa damu wakati wote?

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA:WIKI YA TIBA ASILI KWA MWAFRIKA…..AGOSTI 24, 2025

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA:WIKI YA TIBA ASILI KWA MWAFRIKA…..AGOSTI 24, 2025

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 24, 2025

August 24, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 24, 2025

Uncategorized

Mzozo wa Israel na Hamas

August 24, 2025 mjombazecoder

Israel ilitangaza vita dhidi ya Hamas baada ya kundi hilo kufanya shambulizi la kigaidi dhidi ya Israel tarehe 7 Oktoba, lililouwa watu wapatao 1200. Maelfu ya Wapalestina wameuawa katika mapigano…

Uncategorized

IDHAA YA KISWAHILI

August 24, 2025 mjombazecoder
Uncategorized

Matangazo ya Jioni 24.08.2025

August 24, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ24.08.202524 Agosti 2025 Watu kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel++++Urusi: Nchi za Ulaya zinalenga “kuzuia” mchakato wa amani++++Jeshi la anga la Nigeria lauua magaidi 35 wa Boko Haram++++Khamenei: Raia…

Uncategorized

Matangazo ya Mchana 24.08.2025

August 24, 2025 mjombazecoder

DW Kiswahili24.08.202524 Agosti 2025 Ukraine yaadhimisha miaka 34 ya uhuru wake++++Netanyahu akabiliwa na shinikizo la kumaliza vita huko Gaza+++Sudan: Watu 158 wafariki kwa kipindupindu huko Darfur++++Korea Kaskazini yafanya jaribio la…

Posts pagination

1 … 1,062 1,063 1,064 1,065

Recent Posts

  • DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba
  • Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi
  • UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
  • Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika
  • FIFA yazua utata kwa kuvunja sheria zake katika fainali ya Kombe la Dunia 2026

Recent Comments

  1. Ernestaxorn on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Wiiamcheaf on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. MichLit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. AnnaInsOm on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. nedvijimiimoti.blog on Tamasha la Miaka 30 ya Bongo Fleva kufanyika Mlimani City

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARILEO

DC Kubecha amaliza mgogoro Ikwimba

July 15, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Jeshi lenye nguvu zaidi barani Afrika lafichua mfumo wa siri wa makombora wa Urusi

July 15, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran

July 15, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ufaransa yafungua milango yake kwa nchi 13 kuingia bila visa, taifa moja tu la Afrika lanufaika

July 15, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS