Rosenior aanza lawama Chelsea
Kocha wa Chelsea, Liam Rosenior, amewashukia baadhi ya wachezaji wake kufuatia sare dhidi ya...
Mzenji kumrithi Kondo TMA Stars
TIMU ya TMA FC ya jijini Arusha, iko katika hatua za mwisho za kumuajiri kocha Mzanzibari, Haji Ali Nuhu, ili kukiongoza kikosi hicho cha Championship hadi mwishoni mwa msimu huu,…
Ethiopia yawa onyesho halisi la uhamaji wa umeme ‘made in China’
Uamuzi mkali wenye athari za haraka. Kwa kuwekeza katika magari ya umeme ili kulegeza mshiko wake juu ya utegemezi wa nishati, Ethiopia kimsingi inabadilisha mfumo wake wa maendeleo—na kufichua waziwazi…
Hassan Mwaterema afichua siri Kagera Sugar
MSHAMBULIAJI wa Kagera Sugar, Hassan Mwaterema, amesema siri ya mwenendo mzuri kwa kikosi hicho hadi sasa katika Ligi ya Championship msimu huu, ni kutokana na ushindani mkali kutoka kwa wapinzani…
Mingange ajiweka kando Songea United
ALIYEKUWA Kocha wa Songea United, Meja Mstaafu, Abdul Mingange, amesema ameamua kuachana na timu hiyo kwa makubaliano ya pande mbili, licha ya kutofikia malengo aliyojiwekea tangu mwanzoni mwa msimu ya…
Jesse Jackson: Mfuasi wa Martin Luther King aliyeipa sura mpya Marekani
Akiwa mfuasi wa Martin Luther King Jr., Jackson alijenga kazi yake kwa kuandaa kisiasa na kuboresha maisha ya Wamarekani wenye asili ya Afrika.
Gambia: Serikali ina wasiwasi kuhusu baadhi ya raia wake kuondoka kuelekea migogoro ya silaha
Nchini Gambia, serikali inasema “ina wasiwasi mkubwa” kuhusu raia ambao wameenda nje ya nchi kupigana, wakikusudia “kujiandikisha katika migogoro ya silaha.” Imechapishwa: 22/02/2026 – 09:34 Dakika 1 Wakati wa kusoma…
ONGEA NA ANTI BETTIE: Nilitendwa, nawaogopa wanaume kama ukoma
Nilitendwa na mwanaume niliyempenda na niliamini tungeoana kwa maneno mazuri aliyokuwa...
DRC: Kufuatia onyo la IMF, Félix Tshisekedi azindua ukaguzi wa mishahara ya watumishi wa umma
Nchini DRC, kufuatia onyo la IMF kuhusu muswada wa mishahara unaoongezeka, ambao sasa unazidi nusu ya bajeti ya serikali, Rais Félix Tshisekedi anajikita katika usimamizi wa mishahara ya wafanyakazi wa…
Taasisi Wizara ya Viwanda zatakiwa kuchochea uanzishaji viwanda
ARUSHA: Wizara ya Viwanda na Biashara ni moja ya muhimili mkuu katika ustawi wa uchumi wa Tanzania, ambapo kupitia taasisi zake 13, inabeba jukumu la msingi la kuchochea uanzishaji na…
Shirika la ndege la Air Côte d’Ivoire lakumbwa na shambulio la mtandaoni
Tukio hilo lilitokea usiku wa Jumapili, Februari 8, lakini liligunduliwa siku ya Ijumaa, Februari 20. Shirika la ndege la Air Côte d’Ivoire, lilikuwa mwathiriwa wa shambulio hilo la mtandaoni. Kulingana…
Simulizi ya baba aliyetelekezewa mtoto na mke wake
Imezoeleka katika jamii kwamba wanaume ndiyo huwatelekeza watoto wao kwa mama zao, jambo...
Wanajeshi wanne wauawa katika makabiliano kaskazini mwa Chad
Nchini Chad, wanajeshi wanne waliuawa usiku wa Februari 17 kuamkia 18 katika jimbo la Borkou, kaskazini mwa mbali mwa nchi. Inaripotiwa kwamba tukio hilo lilitokea wakati wa makabliano na majambazi…
Papa Leo XIV atuma salamu za rambirambi msiba wa Kardinali Pengo
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, ametuma salamu za rambirambi kutokana na...
Ushuru: Hofu yatanda Afrika Kusini baada ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Marekani
Siku ya Ijumaa, Februari 20, Mahakama Kuu ya Marekani iliamua kwamba baadhi ya ushuru uliowekwa na Donald Trump duniani kote ulikuwa kinyume cha sheria. Uamuzi huu unapaswa kusababisha kuondolewa kwa…
Ushuru wa Marekani: Mexico na Brazil zasubiri kuona kitakachotokea
Kufuatia kushindwa kwa mkakati wake wa kiuchumi, Donald Trump alitangaza Jumamosi, Februari 21, kwamba angeweka kizuizi cha biashara cha kimataifa cha 10%, kisha 15%, kwa ulimwengu mzima. Mahakama Kuu ya…
Iran yajibu mapigo kwa kuyatambua majeshi ya wanamaji na wanaanga ya EU kama mashirika ya ‘kigaidi’
Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu uchukuaji hatua za kujibu mapigo kukabiliana na uamuzi haramu wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya,…
Matamshi ya Huckabee yalaaniwa vikali katika Ulimwengu wa Kiislamu, yaitwa ya ‘kipuuzi’ na ‘kichochezi’
Matamshi ya balozi wa Marekani katika utawala wa kizayuni wa Israel Mike Huckabee kwamba utawala huo ghasibu una haki ya kupanua eneo lake kwa kupora eneo kubwa la Mashariki ya…
Ufaransa yairejeshea Ivory Coast ‘ngoma inayozungumza’ waliyoiiba askari wake karne moja iliyopita
Ufaransa imekabidhi "ngoma inayozungumza" ambayo iliporwa na wanajeshi wake wa kikoloni nchini Ivory Coast mnamo mwaka 1916, katika hatua ya karibuni zaidi kuchukuliwa na serikali ya Paris ya kurejesha vito…
Wazayuni washadidisha mashambulizi Ukingo wa Magharibi katika mwezi wa Ramadhani
Sambamba na kuanza kwa mwezi mtukufu wa Ramadhani, jeshi la utawala wa Kizayuni limeshadidisha mashambulizi yake katika maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi huko Palestina.
Pakistan: Suala la kuitambua rasmi Israel halipo kabisa katika ajenga zetu
Waziri wa Ulinzi wa Pakistan amesisitiza kwamba, suala la kuutambua rasmi utawala wa Kizayuni wa Israel si jambo ambalo lipo katika ajenga za nchi hiyo.
Tanzania honey passes global test
MOROGORO: THE Tanzania Forest Services Agency (TFS) has released the results of laboratory tests conducted on honey samples sent to an internationally accredited laboratory in Germany, indicating that 96 per…
Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump
Maoni ya umma nchini Marekani katika mwaka huu wa 2026, yanapinga vikali chokochoko yoyote mpya ya kijeshi dhidi ya Iran. Fikra za walio wengi nchini Marekani zina mtazamo hasi kuhusiana…
MOODY’S Rating: Tanzania growth steady
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S economy has received a vote of confidence from global ratings agency Moody’s Ratings, which has affirmed the country’s long-term foreign and local currency sovereign ratings at…
MOODY’S Ratings: Tanzania growth steady
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S economy has received a vote of confidence from global ratings agency Moody’s Ratings, which has affirmed the country’s long-term foreign and local currency sovereign ratings at…
Presha inapanda presha inashuka bado siku saba kufika Machi Mosi, siku ambayo Afrika na Dunia kushuhudia Kariakoo Derby ini Yang…
Presha inapanda presha inashuka bado siku saba kufika Machi Mosi, siku ambayo Afrika na Dunia kushuhudia Kariakoo Derby ini Yanga SC dhidi ya Simba SC pale New Amaan Complex, Zanzibar…
Wanafunzi wa Iran wafanya maandamano makubwa ya kwanza tangu ukandamizaji mbaya wa serikali uliosababisha vifo
Wanafunzi katika vyuo vikuu kadhaa nchini Iran wamefanya maandamano ya kupinga serikali, maandamano ya kwanza ya aina hiyo kwa kiwango hiki tangu ukandamizaji mbaya wa mwezi uliopita.
TUMAINI MSOWOYA: Kutoka uandishi wa habari hadi siasa, biashara
Safari ya Tumaini Msowoya ni mfano wa mwanamke aliyegoma kukata tamaa na kuamua kugeuza...
Mirambo mwenyekiti mpya CUF akimrithi Profesa Lipumba
Hatimaye, Mirambo Yusuf amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Chama cha Wananchi (CUF) baada ya...
Tetesi za soka Jumapili:Tottenham na Newcastle macho kwa Nunez
Tottenham na Newcastle wana shauku ya kumrudisha kwenye ligi kuu mshambuliaji wa Al-Hilal wa Uruguay mwenye umri wa miaka 26, Darwin Nunez.
MAHUBIRI: Kwa neno lako nitazishusha nyavu
Bwana Yesu asifiwe. Nakusalimu katika jina la Yesu. Naamini Mungu amekulinda na kukuvusha wiki...
Kwa nini Amnesty International imelaani operesheni za kijeshi za Marekani huko Karibiani na Pasifiki?
Shirika la Amnest International limelaani mashambulizi ya Marekani katika eneo la Karibiani na huko Pasifiki.
Jumapili, 22 Februari, 2026
Leo ni Jumapili mwezi 4 Ramadhani 1447 Hijria ambayo inasadifiana na 22 Februari 2026 Miladia.
China, Russia zasisitiza kutatuliwa kidiplomasia kadhia ya nyuklia ya Iran
Wawakilishi wa Russia na China katika mashirika ya kimataifa yenye makao yake mjini Vienna Austria wamesisitiza suluhisho la kidiplomasia kwa suala la nyuklia la Iran.
WFP kusimamisha huduma ya msaada wa chakula nchini Somalia
Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa, huenda likasitisha msaada na harakati zake za kibinadamu nchini Somalia ifikapo mwezi Aprili mwaka huu sababu ni ufadhili mpya kutopatikana haraka.
WHO: Makumi ya watu wameuawa katika mashambulio dhidi ya vituo vya afya Sudan
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, makumi ya watu wameuawa kufuatia mashambulio dhidi ya vituo vya afya nchini Sudan.
Afisa wa EU awashinikiza waasi wa DR Congo kufungua njia za kibinadamu
Kamishna wa Umoja wa Ulaya, anayehusika na masuala ya misaada ya kibinadamu, amewasihi waasi wa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufungua njia za kibinadamu kwa ajili ya kupata misaada…
Shirikisho la Soka Senegal lapinga hukumu ya mashabiki wao Morocco
Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) limelaani hukumu iliyotolewa na Mahakama ya Morocco dhidi ya mashabiki 18 wa Senegal waliopatikana na hatia ya kufanya vurugu kufuatia fainali ya Kombe la…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 22, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Uchawi unakwama Binti Msumi na mwanaye hawaelewi
Uchawi unakwama Binti Msumi na mwanaye hawaelewi #KombolelaSeries (Feed generated with FetchRSS)
Tanzania is fully armed to fight heart attack, now turned the youth’s heartache Â
DAR ES SALAAM: LOOLING calm and relaxed, Baraka Samson walked to lane 4 as he and the other six runners from Class V lined for the 100m race at Filbert…
Mauaji ya Monicah Nyambura: Picha 5 za binti kijana aliyepatikana amekufa nyumbani kwake Githurai
Mfanyabiashara kijana Monicah Nyambura akipatikana amekufa mtaani Githurai, na kuwaacha majirani zake na watumiaji wa mitandao ya kijamii wakitafuta majibu.
Hii kesi bado tunayo hatua kwa mguu hadi kieleweke 😅
Hii kesi bado tunayo hatua kwa mguu hadi kieleweke 😅 #NomaSeries (Feed generated with FetchRSS)
Rigathi Gachagua acheza kanda ya sauti ya Oscar Sudi akimtolea vitisho na kumtusi: “Ni vyema mjue”
Makamu wa rais wa zamani Rigathi Gachagua alizua utata kwa kucheza noti ya sauti kutoka kwa Oscar Sudi, akionyesha mvutano ndani ya uongozi wa Rais Ruto.
Dada ameamua kusimama kama kiongozi kwa Zeliha
Dada ameamua kusimama kama kiongozi kwa Zeliha (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Jamii imeendelea kushauriwa na wataalamu pamoja na taasisi mbalimbali kutoficha watoto wanaozaliwa na matatizo ya utind…
#HABARI: Jamii imeendelea kushauriwa na wataalamu pamoja na taasisi mbalimbali kutoficha watoto wanaozaliwa na matatizo ya utindio wa ubongo kama vile cerebral palsy (CP), ili waweze kupata haki na huduma…
Unaumwa af unakutana na deni la mwenye nyumba
Unaumwa af unakutana na deni la mwenye nyumba #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)