Tumia njia hizi tatu kupunguza uvimbe usoni
Kafeini hubana mishipa ya damu kwa muda, na kupunguza upana wa mishipa na baadaye kupunguza uvimbe unaonekana usoni
Aliyewasilisha maombi kupinga kufukuzwa kazi, akwama mahakamani
Maombi hayo namba 32222/2025, yaliwasilishwa dhidi ya Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tume ya...
Ukame wa mabao unavyomtesa Mayele Pyramids
Kwa kushindwa kufunga jana, Mayele sasa amefikisha idadi ya michezo 21 mfululizo ya mashindano...
Tunisia: Mbunge ahukumiwa kifungo cha miezi 8 jela kwa kumdhihaki Rais Kais Saied kupitia Facebook
Mbunge wa Tunisia Ahmed Saidani ahukumiwa jela kwa machapisho ya Facebook ya kumdhihaki Rais Kais Saied kuhusu mafuriko, na kuzua wasiwasi kuhusu uhuru wa kujieleza.
Arusha DC yapitisha bajeti ya Sh75.4 bilioni, madarasa 25 kujengwa
Arusha. Halmashauri ya Wilaya ya Arusha (Arusha DC) imepitisha mapendekezo ya bajeti ya Sh75.4...
Linda Mwananchi: Taharuki yatanda kabla ya mkutano wa Sifuna, polisi wafyatua vitoa machozi Amalemba
Hali ya wasiwasi imeongezeka Amalemba huko Kakamega huku polisi wakidaiwa kufyatua mabomu ya machozi kabla ya mkutano wa Linda Mwananchi unaoongozwa na Edwin Sifuna.
Shule mpya kumaliza kero ya wanafunzi kutembea umbali mrefu
Hai. Wananchi wa Kijiji cha Mbatakero, kata ya Weruweru, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro...
Trump awasuta majaji wa Mahakama ya Juu kwa kuharamisha ushuru wa kimataifa
Majaji sita walipiga kura dhidi ya ushuru huo, hatua ambayo ni pigo kubwa kwa sera ya kiuchumi ya utawala wake.
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe David Kihenzile amesema Mkoa wa Kigoma na Wakazi wake wapendelewa sana na Serikali na kwamba kwa u…
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe David Kihenzile amesema Mkoa wa Kigoma na Wakazi wake wapendelewa sana na Serikali na kwamba kwa uzoefu wake wa kuzunguka maeneo mbalimbali Nchini Tanzania, hajaona…
Sh2.2 bilioni zanufaisha vikundi 76 kujikwamua kiuchumi
Zaidi ya Sh2.2 bilioni zimetolewa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya vijijini kwa ajili ya...
Hospitali ya Aga Khan yashinda tuzo ya ubora wa huduma
Hospitali ya Aga Khan, Dar es Salaam imeendelea kung’ara baada ya kushinda Tuzo ya Ubora wa...
Anko Kitime: Wiki ya majonzi kwa wasanii wakongwe
Wiki hii imekuwa ya majonzi kwa wapenzi wa muziki wa zamani, kutokana na kuondokewa na...
DC Mgomi atoa wito uchangiaji damu Songwe
SONGWE: Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ametoa rai kwa wananchi kujenga utamaduni wa kujitolea damu kwa hiari ili kuokoa maisha ya wajawazito na watoto wachanga wanaohitaji huduma za…
OGTL rolls out new clean cooking initiative
DAR ES SALAAM: THE Oryx Gas Tanzania Limited (OGTL) has reaffirmed its commitment to promoting clean cooking energy across the nation, with a focus on enhancing the daily lives of…
Ushuru wa Trump: Uamuzi wa Mahakama Kuu utakuwa na athari ndogo kwa Afrika
Uamuzi wa Mahakama Kuu bila shaka utainufaisha Afrika Kusini, ambayo imeathiriwa na ushuru wa 30%. Johannesburg ililipa gharama kubwa kwa Donald Trump kutaka kumwadhibu Cyril Ramaphosa kwa madai ya kuwatesa…
Ushuru: Uamuzi wa Mahakama Kuu unahatarisha kuzua migawanyiko zaidi ndani ya kambi ya Republican
Rais wa Marekani Donald Trump anakataa kukubali kushindwa, lakini uamuzi huu wa Mahakama Kuu unahatarisha kuzua migawanyiko zaidi ndani ya Chama cha Republican, kwani baadhi ya maafisa waliochaguliwa hawaungi mkono…
Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China
Moscow imetangaza kuwa mazoezi ya pamoja ya majini kati ya majeshi ya Iran, Russia na China yatafanyika katika Lango -Bahari la Hormuz.
Ushuru: Donald Trump kuweka ushuru wa kimataifa wa 10%
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza siku ya Ijumaa kwamba ataweka ushuru mpya wa kimataifa wa 10%, kujibu uamuzi wa Mahakama Kuu ambayo imeona ushuru mwingi alioweka tangu kurudi Ikulu…
Alichokiandika Askofu Bagonza kifo cha Kardinali Pengo
Baraza la Maaskofu (TEC) limempoteza jabali wa Maadili ya Kanisa. Taifa limempoteza kiongozi wa...
Ushuru: Je, utawala wa Trump utafanya nini baada ya uamuzi wa Mahakama Kuu ya Marekani?
Mahakama Kuu ya Marekani imeamua siku ya Ijumaa kwamba sehemu kubwa ya ushuru uliowekwa na Donald Trump tangu kurudi kwake Ikulu ya Marekani ni kinyume cha sheria, na kuvunja nguzo…
Kilosa kukamilisha miradi mipya kwa mapato ya ndani
MOROGORO: HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilosa, mkoani Morogoro inaendelea kukamilisha ujenzi wa miradi mipya ya maendeleo ikiwemo Shule ya Sekondari ya Wasichana Kilosa. Shule hiyo inajengwa kwa mapato ya ndani…
Kihongosi alivyowakalia kooni viongozi kuchanga kulipa deni la mkandarasi Kasulu
Tukio hilo linafanana na lililowahi kutokea Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro, ambako...
IAA rolls out apprenticeship model to boost youth employability
DODOMA: ARUSHA Accounting Institute (IAA) has rolled out an expanded apprenticeship training model and invested over 48bn/- in institutional reforms aimed at producing job-ready graduates aligned with Tanzania’s fast-changing labour…
Mpaka wa baharini kati ya Ghana na Togo: Accra yaamua kutumia usuluhishi wa kimataifa
Ghana ambayo imekitaja miaka minane ya mazungumzo yasiyo na matunda, imetangaza siku ya Ijumaa, Februari 20, kusitisha mazungumzo na Lomé yanayolenga kusuluhisha mzozo kati ya nchi hizo mbili kuhusu mpaka…
Call to heart: 20 Lenten principles for a transformed life
MWANZA: AS Christians across the country marked Ash Wednesday, the beginning of the solemn 40-day journey toward Easter, a powerful message echoed from the pulpit of Mji Mwema Parish under…
Wawekezaji wapatiwa leseni wakishauriwa mambo 10
WATOA huduma za uwekezaji nchini 110 wamepatiwa leseni huku wakiaswa mambo 10 ikiwemo kuwashika mkono wawekezaji wa ndani ili kutimiza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwa na wawekezaji…
Gaza: Morocco kutuma wanajeshi kujiunga na kikosi cha kimataifa cha kuleta utulivu Gaza
Wakati wa mkutano wa Baraza la Amani huko Washington, D.C., Rais Donald Trump amejadili jukumu la kikosi cha kimataifa cha kuleta utulivu Gaza (ISF), siku ya Alhamisi, kwa lengo la…
Kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 137 za mirungi
Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo jana Februari 19, 2026 na kusomewa mashtaka yao na...
DRC: Kamishna wa misaada ya kibinadamu wa EU akamilisha ziara yake Goma
Hadja Lahbib amezuru mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini siku ya Ijumaa, Februari 20, ambapo alikutana na ujumbe wa maafisa kutoka AFC/M23, kundi linalodhibiti mji huo. Kufuatia majadiliano hayo,…
Ripoti yadai hali si shwari Balochistan
Inaeleza kuwa vifo, utekaji ni kati ya matukio yanayotikisa Balochistan na kutishia uhai wa...
Iran yaonya kuhusu wapenda vita wanaotaka “vita vya maafa”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Marekani haijawahi kudai kusitishwa kabisa kwa urutubishaji wa urani katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea, huku akionya kuwa baadhi…
Guinea-Bissau yasitisha utafiti wa chanjo unaofadhiliwa na Marekani
Guinea-Bissau imesitisha utafiti tata wa chanjo ya homa ya ini aina ya B (Hepatitis B) uliokuwa ukifadhiliwa na utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya Shirika la Afya…
WFP: Somalia inakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP limesema hali ya upatikanaji wa chakula nchini Somalia imefikia hatua mbaya ambapo mamilioni ya watu wako hatarini kukumbwa na…
Balozi wa Marekani: Ni sawa ikiwa Israel itanyakua ardhi kote Asia Magharibi
Balozi wa Marekani katika utawala Israel amesema itakuwa “sawa tu” iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utapanua mipaka yake kote katika Asia Magharibi chini ya mpango wa “Israeli Kubwa.”
Wabunge wa Marekani wanataka kupiga kura kuzuia mamlaka ya Trump ya kushambulia Iran
Wabunge wa Marekani huenda wakapiga kura mapema wiki ijayo juu ya muswada unaolenga kumzuia Rais Donald Trump kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran bila idhini ya wazi ya Bunge…
Sudan: Marekani yawawekea vikwazo makamanda watatu wa RSF ‘kwa ukatili El-Fasher’
Mjumbe Huru wa Umoja wa Mataifa wa Kutafuta Ukweli kuhusu Sudan uliripoti mnamo Februari 19, 2026, “vitendo vya mauaji ya kimbari” huko El-Fasher, eneo linalokumbwa na ukatili baada ya kuanguka…
How water project will transform Mwanza
MWANZA: WATER is a vital resource for human life and overall social development. Without water, there can be no agriculture, no industry, and no safe living. In today’s world, where…
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi: Casemiro kuondoka Man United?
Kinda wa Wolves Mateus Mane kuondoka Molineux, Liam Delap anatakiwa Merseyside na Casemiro anawaniwa na vilabu vya Ulaya, Amerika Kaskazini na Kusini.
Nyimbo za Jux kwa mkewe zina maana gani?
Ikiwa wameadhimisha mwaka mmoja wa ndoa hivi karibuni, Jux ameendelea kutoa nyimbo ambazo kwa...
Kasmuel McOure alazimika kuondoka chapu chapu baada ya kuzomewa na Gen Zs mtaani: “Enda home”
Kasmuel McOure alikabiliana na umati wenye uadui ambao haukutaka kusikiliza chochote alichokuwa karibu kusema, walimzomea na kumfukuza, wakimlazimisha kukimbia.
Magazeti ya Kenya: Walezi ODM wafanya juhudi kimya kimya kuwapatanisha Oburu na Edwin Sifuna
Jitihada zinaendelea ili kutatua mgogoro unaokua ndani ya Chama cha Orange Democratic Movement (ODM), hata kama ushindani wa ndani unatishia kuvuruga chama.
Silas Abungana: Waombolezaji wateketeza nyumba za familia ya marehemu mchezaji wa KK Homeboyz
Nyumba za familia ya mchezaji wa Kakamega Homeboyz FC marehemu Silas Abungana zimeteketezwa kutokana na vurugu zilizotokea. Mshukiwa mkuu ni kaka yake mdogo.
Taharuki yatanda mkutano wa Sifuna Kakamega, polisi wadai timu yake ina magenge yenye silaha
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna anakabiliwa na tuhuma kutoka kwa polisi za kuwapa silaha magenge kabla ya mkutano wake wa Kakamega, ili kuchochea mvutano wa kisiasa.
Mke wa Justin Bieber ‘Hailey’ anataka watoto zaidi!
Mwanamitindo na mwanzilishi wa kampuni ya Rhode, Hailey Bieber, 29, amefunguka kuhusu maisha...
Ndani ya Boksi: Tofauti ya Baba, Dingi, Faza, Dadii na Mshua
‘Long taimu’ maisha yalikuwa mchekea na watu walishikana. ‘Of coz’ kipato kilikuwa kidogo sana...
Tunachokifahamu kuhusu Rais wa zamani wa Korea Kusini aliyehukumiwa kifungo cha maisha
Waendesha mashitaka pia walidai kuwa Yoon alijaribu kuichokoza Korea Kaskazini kwa kutekeleza shambulio kusini mwa taifa hilo ili kutetea hatua yake ya kuidhinisha sheria ya kijeshi.
Said ashindwa kueleza alikuwa na nani 😆 Hafsa amemwambia ukweli Mwana kuhusu mumewe na anamuhakikishia Zuh yeye ndiye atabaki kw…
Said ashindwa kueleza alikuwa na nani 😆 Hafsa amemwambia ukweli Mwana kuhusu mumewe na anamuhakikishia Zuh yeye ndiye atabaki kwenye ndoa. Mike amvunjia heshima Wendy wakati ambao Tony anaingia ofisini…
Hekaya za Mlevi: Mama zetu sio mitambo
Nilikuwa na rafiki yangu aliyeumbwa na kichwa kisichoota nywele. Kwa imani za zamani, wazee...
Tangu 1999 hadi 2026 Hidaya anakimbiza
Mwaka 1999 akiwa bado binti, alipendelea sana kutazama namna filamu zinavyoandaliwa. Ingawa...
Tukilala tunanyeshewa na kulowa kama kuku- Maisha ya wakimbizi wa DRC nchini Burundi
Wakimbizi wamekataa kurejea nchini DRC, kwasababu hawaamini kuwa amani ipo au itarajea tena kutokana na mapigano yanayoshuhudiwa mara kwa mara.