Skip to content
  • Mon. Oct 20th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

#NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United … #NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!! TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu… Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it… #CAFCC Singida Black Stars imewasili leo jijini Dar Es Salaam kutokea Bujumbura nchini Burundi kwenye mchezo wa Kombe la Shiriki…
SPORTVTV

#NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United …

October 20, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

#NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!!

October 20, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu…

October 20, 2025 mjombazecoder
VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…

October 20, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

#CAFCC Singida Black Stars imewasili leo jijini Dar Es Salaam kutokea Bujumbura nchini Burundi kwenye mchezo wa Kombe la Shiriki…

October 20, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
#NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United …
SPORTVTV
#NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United …
#NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!!
SPORTVTV
#NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!!
TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu…
SPORTVTV
TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu…
Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…
VIDEOS NEWS TV
Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
#NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United …
SPORTVTV
#NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United …
#NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!!
SPORTVTV
#NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!!
TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu…
SPORTVTV
TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu…
Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…
VIDEOS NEWS TV
Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…
BBC NEWS TANZANIA

Kwanini Mkenya aliyesaidia vibonde kuiduwaza Man United aiponza timu yake ya Grimsby

September 4, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Clarke Oduor ndiye mchezaji pekee wa Grimsby kukosa penalti katika ushindi wao wa mikwaju 12-11 dhidi ya Manchester United Maelezo kuhusu taarifa…

BBC LIVE SOMA

Rwanda kuzindua teksi za hewani zinazojiendesha zenyewe

September 4, 2025 mjombazecoder

“Rwanda inajenga mustakabali ambapo miji yetu ambayo imeunganishwa zaidi na uchumi wetu unaimarika zaidi kupitia ubunifu wa usafiri,” Waziri wa Miundombinu, Jimmy Gasore, alinukuliwa akisema katika taarifa hiyo. Mpango huu…

Uncategorized

Serikali ya Israel inatathmini mpango mpya wa kunyakua maeneo kadhaa ya Ukingo wa Magharibi

September 4, 2025 mjombazecoder

Wakati nchi nyingi zikijiandaa kulitambua Taifa la Palestina katika Mkutano Mkuu ujao wa Umoja wa Mataifa, Israel inatishia kujibu kwa kunyakua maeneo yanayokaliwa kwa mabavu. Leo Alhamisi, Septemba 4, Waziri…

BBC NEWS TANZANIA

Tetesi za Soka Alhamisi: Onana ruksa kwenda Uarabuni

September 4, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Andre Onana Saa 3 zilizopita Manchester United wako tayari kumwachia kipa wa Cameroon Andre Onana, mwenye umri wa miaka 29, ajiunge na…

BBC LIVE SOMA

Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia aacha kazi

September 4, 2025 mjombazecoder

Gavana wa Benki Kuu ya Ethiopia Mamo Mihretu alisema Jumatano kuwa anaacha kazi, baada ya kuiongoza Benki hiyo kupitia mageuzi ya kina ya uchumi ikiwa ni pamoja na mzunguko wa…

Uncategorized

Georgia: Bunge lafungua njia ya kupiga marufuku vyama vyote vya upinzani

September 4, 2025 mjombazecoder

Upinzani wote wa kisiasa sasa ni kinyume cha sheria nchini Georgia: siku ya Jumatano, Septemba 3, Bunge la Georgia limepitisha ripoti ya kupiga marufuku vyama vya upinzani. Wakati maandamano dhidi…

BBC NEWS TANZANIA

Spence: Muislamu wa kwanza kuichezea England baada ya zaidi ya miongo 15

September 4, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Djed Spence began his career at Middlesbrough before joining Tottenham in 2022 Maelezo kuhusu taarifa Author, Tom Mallows Nafasi, BBC Sport journalist…

Uncategorized

Kenya: Wasiwasi watanda kuhusu hatima ya Msitu wa Karura kufuatia uamuzi wa mamlaka

September 4, 2025 mjombazecoder

Ukiwa na zaidi ya hekta 1,000, Msitu wa Karura ni msitu wa pili kwa ukubwa wa mijini ulimwenguni. Tangu mwaka wa 2009, kutokana na kujitolea kwa mshindi wa Tuzo ya…

Uncategorized

DRC: Kuachiliwa kwa wafungwa, kikwazo kikubwa katika mazungumzo ya amani ya Doha

September 4, 2025 mjombazecoder

Wajumbe wa Kongo na AFC/M23 wamekuwa mjini Doha kwa karibu wiki tatu sasa kuendeleza mchakato wa amani. Lakini maendeleo bado ni madogo. Kwa mujibu wa taarifa zetu, hakuna mijadala ya…

Uncategorized

Malawi: Kampeni za uchaguzi wa urais zinaendelea katikati ya mgogoro mkali wa kiuchumi

September 4, 2025 mjombazecoder

Huku zikiwa zimesalia chini ya wiki mbili kabla ya uchaguzi wa urais nchini Malawi, kampeni zinaendelea kwa utulivu, lakini katikati ya mgogoro wa kiuchumi. Rais wa sasa Lazarus Chakwera anawania…

BBC NEWS TANZANIA

Amka Na BBC

September 4, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

Nigeria: China yapata mafanikio ya kimkakati katika sekta ya Saruji

September 4, 2025 mjombazecoder

Katika ulimwengu wa biashara, kampuni ya saruji ya China ya Huaxin imepata mafanikio ya kimkakati nchini Nigeria. Imenunua mitambo kadhaa ya saruji kutoka kwa kampuni ya Uswisi kwa dola bilioni…

BBC NEWS TANZANIA

Maonyesho makubwa ya silaha ya China yanasema nini kuhusu uwezo wake wa kijeshi?

September 4, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo kuhusu taarifa Author, Tessa Wong Nafasi, BBC Reporter Akiripoti kutoka China 4 Septemba 2025, 07:46 EAT Imeboreshwa Dakika 10 zilizopita China imezindua idadi kubwa…

Uncategorized

Guinea-Sierra Leone: Ujumbe wa ECOWAS kutathmini mzozo wa mpaka kati ya nchi hizo mbili

September 4, 2025 mjombazecoder

ECOWAS, Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi, inathibitisha kuwa imetuma ujumbe wa kiufundi nchini Sierra Leone kutathmini mzozo wa mpaka na Guinea karibu na kijiji cha Yenga. Eneo hili la…

Uncategorized

Afrika: Operesheni za kulinda amani zinatishiwa na kupunguzwa kwa bajeti ya Marekani

September 4, 2025 mjombazecoder

Kufuatia kushuka kwa kasi kwa misaada ya maendeleo ya Marekani, kupungua kwa misaada kwa shughuli za kulinda amani kunatia wasiwasi Umoja wa Mataifa. Imechapishwa: 04/09/2025 – 06:33 Dakika 1 Wakati…

Uncategorized

Qatar kuwekeza dola bilioni 21 katika sekta kadhaa za kiuchumi DRC

September 4, 2025 mjombazecoder

Kampuni ya uwekezaji ya Qatar ya Al Mansour Holding inakusudia kuwekeza dola bilioni 21 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo Doha ni mpatanishi wa mzozo mashariki mwa nchi hiyo,…

BBC NEWS TANZANIA

Amka Na BBC

September 4, 2025 mjombazecoder

Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link

Uncategorized

Sekta ya afya Afrika Mashariki yaathirika na kupunguzwa kwa ufadhili

September 4, 2025 mjombazecoder

Kupunguzwa kwa misaada katika nchi za Afŕika Mashariki kumesababisha kesi za watoto kuzaliwa na Virusi vya Ukimwi kwasababu akina mama hawakuweza kupata dawa, kuongezeka kwa magonjwa hatarishi. Imechapishwa: 04/09/2025 –…

Uncategorized

Emmanuel Macron: Nchi za Ulaya ziko ‘tayari’ ‘kutoa dhamana ya usalama kwa Ukraine’

September 4, 2025 mjombazecoder

Ikulu ya Élysée itaandaa mkutano wa “muungano wa walio tayari” kwa ajili ya Ukraine leo Alhamisi, Septemba 4, huku Volodymyr Zelensky akihudhuria. Viongozi kadhaa wa Ulaya wanatarajiwa kusafiri kwenda Paris,…

BBC NEWS TANZANIA

UAE yaonya Israel kuwa kutwaa Ukingo wa Magharibi ni ‘kuvuka mpaka’

September 4, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, Reuters Umoja wa Falme za Kiarabu umeionya Israel kwamba kutwaa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu ” kutavuka mpaka” na kudhoofisha ari ya Mkataba wa Abraham ambao…

Uncategorized

Idadi ya wakimbizi wanaokimbilia Mali kutoka Burkina Faso yaongezeka

September 4, 2025 mjombazecoder

Shirika la umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi, linasema wimbi la wakimbizi wanaokimbia kutoka Burkina Faso na kuingia Mali, linaongeza hali ya dharura ya kibinadamu, UNHCR sasa ikitaka misaada zaidi kutolewa…

BBC LIVE SOMA

UAE yaonya juu ya hatua ya Israel kuteka Ukingo wa Magharibi

September 4, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Falme za Kiarabu umeonya kwamba hatua yoyote ya Israel ya kuunyakuwa Ukingo wa Magharibi itakuwa sawa na kuuvuka “mstari mwekundu,” pasipo kufafanua zaidi athari zake na hasa kwa…

BBC LIVE SOMA

UAE yaonya dhidi Israel kutaka kuuteka Ukingo wa Magharibi

September 4, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Falme za Kiarabu umeonya kwamba hatua yoyote ya Israel ya kuunyakuwa Ukingo wa Magharibi itakuwa sawa na kuuvuka “mstari mwekundu,” pasipo kufafanua zaidi athari zake na hasa kwa…

Uncategorized

Kikao cha kufuatilia utekelezwaji wa makubaliano kati ya DRC na Rwanda chafanyika

September 4, 2025 mjombazecoder

Nchi za Qatar, Marekani na wawakilishi kutoka Umoja wa Afrika walikutana Jumatano hii kwa kikao cha pamoja kufuatilia utekelezwaji wa makubaliano ya amani kati ya DRC na Rwanda. Imechapishwa: 04/09/2025…

BBC LIVE SOMA

Hamas yasema iko tayari kwa makubaliano ya amani

September 4, 2025 mjombazecoder

Taarifa yake hiyo ya jana jioni inasema kundi hilo bado linasubiri majibu kutoka kwa Israel kuhusu pendekezo la hivi karibuni la wapatanishi wa kimataifa kuhusu kusitisha mapigano.Kwa mujibu wa Waziri…

BBC LIVE SOMA

04.09.2025

September 4, 2025 mjombazecoder

SK2 / S02S04.09.20254 Septemba 2025 Viongozi wa mataifa ya Magharibi ambayo ni washirika wa Ukraine katika mzozo wake na Urusi, wanakutana leo Alhamisi mjini Paris+++Serikali ya Kenya imechukua uamuzi wa…

BBC LIVE SOMA

04.09.2025 Matangazo ya Asubuhi

September 4, 2025 mjombazecoder

DIRA.BZ04.09.20254 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kundi la Hamas Hamas, limesema liko “tayari kwa makubaliano ya kina” na Israel kuhusu kusitisha vita vya Gaza / Tume ya Uchaguzi…

BBC LIVE SOMA

Kiev yakataa wazo la Putin, Zelensky kwenda Moscow

September 3, 2025 mjombazecoder

Putin amesema kuwa alikuwa amejadili suala hilo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Akizungumza na waandishi wa habari kwa mara ya kwanza tangu afanye mkutano wake wa kilele na Trump…

BBC LIVE SOMA

Trump; Marekani huenda ikafuta makubaliano na Ulaya

September 3, 2025 mjombazecoder

Akizungumza na waandishi wa habari mwanzoni mwa mkutano na Rais wa Poland, Karol Nawrocki, alisema kuwa serikali yake inaomba Mahakama ya Juu ibatilishe uamuzi wa mahakama ya rufaa ya Marekani…

BBC LIVE SOMA

IAEA: Iran iliongeza akiba yake ya urani kwa kuunda bomu

September 3, 2025 mjombazecoder

Hatua ambayo ilikaribia kiwango cha kutengeneza silaha kabla ya Israel kuanzisha shambulio lake la kijeshi mnamo Juni 13. Ripoti ya Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki lenye makao yake…

BBC LIVE SOMA

Mashirika yataka misaada zaidi ya kiutu kwa Afghanistan

September 3, 2025 mjombazecoder

Mashirika ya misaada yataka jamii ya kimataifa kuongeza ufadhili kwa Afghanistan baada ya tetemeko kubwa la ardhi lenye ukubwa wa kipimo cha richter 6.0 kuua angalau watu 1,400 na kuwajeruhi…

Uncategorized

China yaandaa onesho kubwa la gwaride la kijeshi jijini Beijing

September 3, 2025 mjombazecoder

China imekuwa na onesho kubwa la gwaride la kijeshi jijini Beijing, kuadhimisha miaka 80 baada ya kumalizika kwa vita vya pili vya dunia.

Uncategorized

Kongamano la kujadili hali ya usalama mashariki ya DRC laanza Johannesburg

September 3, 2025 mjombazecoder

Kongamano la siku tatu, kujadili hali ya amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Congo, linaloandaliwa na wakfu wa rais wa zamani wa Afrika Kusini Thambo Mbeki, limeanza jijini Johannesburg bila…

Uncategorized

Masomo ya watoto Miloni sita kuathirika na kukatwa kwa ufadhili

September 3, 2025 mjombazecoder

Watoto milioni sita wapo kwenye hatari ya kutoenda shuleni mwaka ujao, kufuatia kukatwa kwa fedha za msaada kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa UNICEF. Imechapishwa: 03/09/2025 – 18:23…

Uncategorized

Africa : Vyakula asili ndio tiba kwa magonjwa siokuwa na tiba

September 3, 2025 mjombazecoder

Dakar Senegal – Wataalamu wa afya wameonya kuhusu magonjwa yasiokuwa na tiba kuendelea kusababisha maafa, iwapo raia hapa Africa hawatabadilisha mitindo wa maisha. Prof Mary Abukutsa, mtafiti wa vyakula asili…

BBC LIVE SOMA

Putin: Niko tayari kukutana na Zelensky mjini Moscow

September 3, 2025 mjombazecoder

Pia Putin ameapa kuendelea kupigana na Ukraine kama makubaliano ya amani hayatofikiwa. Ameyasema hayo Jumatano 03.09.2025 mwishoni mwa ziara yake nchini China wakati Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyakisema ana matumaini…

BBC LIVE SOMA

Vita Ukanda wa Gaza vimesababisha ulemavu kwa watoto 21,000

September 3, 2025 mjombazecoder

Hayo ni kwa mujibu wa Kamati ya haki za watu wenye ulemavu ya Umoja wa Mataifa. Kamati hiyo imesema watoto wasiopungua 40,500 wamepata majeraha yanayotokana na vita na nusu ya…

BBC LIVE SOMA

Miili 100 yapatikana eneo la maporomoko ya ardhi Sudan

September 3, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa waasi wanaoliongoza eneo hilo Mohamed Abdelrahman al-Nair amesema juhudi za kuwatafuta manusura bado zinaendelea licha ya uhaba wa rasilimali. Picha za video zilizotolewa Jumatano zimewaonesha waokoaji wa kujitolea…

BBC LIVE SOMA

Waziri wa zamani wa Kongo ahukumiwa miaka 3 ya kazi ngumu

September 3, 2025 mjombazecoder

Mutamba alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya ubadhirifu wa fedha za umma zikiwemo za fidia kwa waathiriwa wa vita. Hukumu hiyo imetolewa baada ya Waziri huyo wa sheria wa zamani kukutwa…

BBC LIVE SOMA

Baada ya gwaride la China, Taiwan yasisitiza amani

September 3, 2025 mjombazecoder

Ching te ameyasema hayo muda mfupi baada ya China kufanya gwaride kubwa la maadhimisho ya miaka 80 tangu Japan iliposalimu amri mwishoni mwa vita vya pili vya dunia. Kwa upande…

BBC LIVE SOMA

Serikali Ujerumani yaunga mkono kushushwa bei ya umeme

September 3, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Uchumi Katherina Reiche amesema uamuzi huo wa baraza la mawaziri – ambao bado unahitaji idhini ya bunge – ni habari njema kwa watumiaji umeme Ujerumani. “Tunaurahisisha mzigo wa…

BBC LIVE SOMA

11 wafungwa Georgia kwa kuandamana

September 3, 2025 mjombazecoder

Haya ni kwa mujibu wa shirika moja la habari nchini humo. Shirika la habari la Interpress nchini humo limeripoti kuwa mahakama moja mjini Tbilisi imewakuta na hatia waandamanaji 11 akiwemo…

BBC LIVE SOMA

Urusi yakosoa kauli ya Merz iliyomtaja Putin kuwa mhalifu

September 3, 2025 mjombazecoder

Ikulu ya Urusi Kremlin imesema hivi leo kuwa mapendekezo yote ya Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz kuhusu mchakato wa amani katika mzozo wa Ukraine , yanapaswa kupuuzwa baada ya Moscow…

Uncategorized

Africa inaweza kilisha yenyewe sio kwa msaada

September 3, 2025 mjombazecoder

Dakar Senegal – Mkutano wa Mifumo ya Chakula Afrika unafanyika Dakar, Senegal, ukitoa wito wa hatua za haraka kuhakikisha bara linaweza kujilisha lenyewe. Imechapishwa: 03/09/2025 – 15:00Imehaririwa: 03/09/2025 – 17:23…

BBC LIVE SOMA

Urusi, Ukraine zaendelea kushambuliana

September 3, 2025 mjombazecoder

Jeshi la anga la Ukraine limesema limezidungua droni 430 kati ya 502 na makombora 21 kati ya 24 yaliyotua kwenye maeneo kadhaa. Limeongeza kuwa makombora matatu na droni 69 zilitua…

BBC LIVE SOMA

Sudan yaomba kusaidiwa kukabiliana na athari za maporomoko

September 3, 2025 mjombazecoder

Kiongozi wa kundi la waasi wa Jeshi la Ukombozi la Sudan Abdel-Wahid Nour vinavyolidhibiti eneo hilo, amesema ukubwa wa janga hilo hauelezeki na ameutaka Umoja wa Mataifa na mashirika mengine…

BBC LIVE SOMA

Matumaini ya kuwapata manusura Afghanistan yafifia

September 3, 2025 mjombazecoder

Shirika la Kimataifa la Save the Children limesema moja ya timu zake za uokoaji imelazimika kutembea umbali wa kilometa 20 kuvifikia vijiji vilivyopoteza mawasiliano kutokana na miamba iliyoanguka, wakiwa wamebeba…

BBC LIVE SOMA

Wafanyakazi 19 wa UN wanashikiliwa na waasi wa Kihouthi

September 3, 2025 mjombazecoder

Kulingana na msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephen Dujarric wafanyakazi 18 kati ya hao ni wa Yemen na mmoja ni wa Kimataifa. Dujarric amewasilisha wito wa Umoja wa Mataifa unawotaka…

BBC LIVE SOMA

Jeshi la Israel laingia ndani zaidi ya Gaza, watu 24 wauawa

September 3, 2025 mjombazecoder

Katika wiki za karibuni vikosi vya jeshi la Israel vimeingia katika viunga vya nje ya Gaza City na hivi sasa viko umbali wa kilomita chache tu kutoka katikati mwa mji…

BBC LIVE SOMA

Gwaride kubwa la kijeshi lafanyika China

September 3, 2025 mjombazecoder

Kando ya Xi, maadhimisho hayo yameshuhudiwa pia na Rais wa Urusi Vladimir Putin na mwenzake wa Korea Kaskazini Kim Jong Un. Katika sehemu ya hotuba yake mbele ya gwaride hilo…

Posts pagination

1 … 162 163 164 … 183

Recent Posts

  • #NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United …
  • #NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!!
  • TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu…
  • Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…
  • #CAFCC Singida Black Stars imewasili leo jijini Dar Es Salaam kutokea Bujumbura nchini Burundi kwenye mchezo wa Kombe la Shiriki…

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

SPORTVTV

#NBCPL Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha, amenunua tiketi 300 kwa ajili ya mashabiki kwenda kushuhudia mtanange wa TRA United …

October 20, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

#NBCPL Mbeya Derby (Mbeya City vs Tanzania Prisons) inapigwa ndani ya Dar es Salaam, kwenye Dimba la KMC Complex…!!!

October 20, 2025 mjombazecoder
SPORTVTV

TWIGA STARS MAWINDONI: Timu ya taifa ya soka ya wanawake, (Twiga Stars) ipo kambini kujiandaa na mchezo wa raundi ya pili kufuzu…

October 20, 2025 mjombazecoder
VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais wa Chama cha UMD, Mwajuma Mirambo ameahidi serikali atakayoiunda iwapo atashinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba it…

October 20, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS