Skip to content
  • Mon. Oct 20th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League Mtoto wa Mjini – 8
BBC NEWS TANZANIA

Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano

October 20, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League

October 20, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Mtoto wa Mjini – 8

October 20, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
BBC NEWS TANZANIA
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
HABARI ZA KIPEKEE
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
HABARI ZA KIPEKEE
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League
MICHEZO
Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
BBC NEWS TANZANIA
Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
HABARI ZA KIPEKEE
Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
HABARI ZA KIPEKEE
Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League
MICHEZO
Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League
Uncategorized

Malaysia yataka utawala wa kizayuni wa Israel utimuliwe uanachama Umoja wa Mataifa

August 30, 2025 mjombazecoder

Malaysia imetoa mwito wa kusimamishwa uanachama wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Umoja wa Mataifa kutokana na jinai zake katika Ukanda wa Gaza. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

Hamas: Wito wa Smotrich wa kuwaua watu wa Gaza kwa njaa na kiu ni kukiri mauaji ya kimbari

August 30, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa, wito uliotolewa na Waziri wa Fedha wa Israel mwenye itikadi kali, Bezalel Smotrich, wa kukata maji, umeme na usambazaji wa…

Uncategorized

Mapigano ya ndani Sudan Kusini yaibua hofu kuhusu makubaliano tete ya amani

August 30, 2025 mjombazecoder

Mapigano ya siku mbili kati ya vikosi vya jeshi la serikali na wapiganaji waasi nchini Sudan Kusini yamezua hofu kuhusu makubaliano tete ya amani ya nchi hiyo. BONYEZA HAPA USOME…

LTV LIVE TV

đź”´MAGAZETI: CHADEMA YAMBWAGA MSAJILI MAHAKAMANI / YANGA: WALETENI TU, TUPO TAYARI…..AGOSTI 30, 2025

August 30, 2025 mjombazecoder

đź”´MAGAZETI: CHADEMA YAMBWAGA MSAJILI MAHAKAMANI / YANGA: WALETENI TU, TUPO TAYARI…..AGOSTI 30, 2025

LTV LIVE TV

#KIPIMAJOTO: Ahadi za wagombea Kipindi cha Kampeni

August 30, 2025 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO: Ahadi za wagombea Kipindi cha Kampeni. Je, zinaakisi hali halisi ya maisha ya watu katika maeneo husika?

LTV LIVE TV

đź”´TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 30, 2025

August 30, 2025 mjombazecoder

đź”´TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 30, 2025

BBC LIVE SOMA

Matangazo ya Jioni 30.08.2025

August 30, 2025 mjombazecoder

DW Kiswahili30.08.202530 Agosti 2025 Ulaya yatoa wito kwa Marekani kufikiria uamuzi wake wa kuwanyima viza wapalestina kuhudhuria mkutano wa UN++++Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelitaka…

BBC LIVE SOMA

Matangazo ya Mchana 30.08.2025

August 30, 2025 mjombazecoder

DW Kiswahili30.08.202530 Agosti 2025 Ujerumani haiko tayari kuidhinisha vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Israel kufuatia vita vya Gaza++++Ufaransa yasema Marekani haitakiwi kuwanyima wajumbe wa Palestina nafasi ya kuhudhuria…

LTV LIVE TV

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bw

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Mbulu Vijijini kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Bw. Flatei Gregory, amewekewa pingamizi baada ya Tume Huru ya Uchaguzi, kumteua kuwa mgombea rasmi wa chama hicho…

LTV LIVE TV

#MICHEZO: Wakati mchezo wa fainali ya michuano ya CHAN, ukitarajiwa kupigwa hapo kesho katika dimba la Moi Kasarani, leo Mabaloz…

August 29, 2025 mjombazecoder

#MICHEZO: Wakati mchezo wa fainali ya michuano ya CHAN, ukitarajiwa kupigwa hapo kesho katika dimba la Moi Kasarani, leo Mabalozi wa CHAN Mrisho Ngasa, Victor Wanyama na Denis Onyango, wamekutana…

LTV LIVE TV

#HABARI: Chama cha ACT Wazalendo Jimbo la Mbulu Vijijini, Mkoani Manyara, kimelaani kikundi cha vijana kinachotumika vibaya kis…

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama cha ACT Wazalendo Jimbo la Mbulu Vijijini, Mkoani Manyara, kimelaani kikundi cha vijana kinachotumika vibaya kisiasa kupinga uteuzi wa Mgombea Ubunge wa jimbo la Mbulu Vijijini, kwa tiketi…

LTV LIVE TV

đź”´JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 29, AGOSTI 2025

August 29, 2025 mjombazecoder

đź”´JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 29, AGOSTI 2025

LTV LIVE TV

“Tanzania leo ni moja ya nchi ambazo zinapata utalii wa afya…zamani sisi tunakumbuka nadhani miaka kama 10 tu iliyopita, viong…

August 29, 2025 mjombazecoder

“Tanzania leo ni moja ya nchi ambazo zinapata utalii wa afya…zamani sisi tunakumbuka nadhani miaka kama 10 tu iliyopita, viongozi wakiugua wao ndio utawasikia wamekwenda India, Watanzania tutabaki hukuhuku…sasa hivi…

Uncategorized

Rais Pezeshkian aipongeza timu ya astronomia ya Iran kwa kushinda ubingwa wa dunia

August 29, 2025 mjombazecoder

Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza Timu ya Olimpiadi ya Astronomia ya Iran kwa kushinda taji la ubingwa wa dunia kwa mwaka wa pili mfululizo. BONYEZA…

LTV LIVE TV

#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuendelea kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta za afya…

Uncategorized

Russia yatungua droni ya Ukraine iliyokusudia kushambulia kinu cha nyuklia cha Kursk

August 29, 2025 mjombazecoder

Vikosi vya ulinzi wa anga vya Russia vimeitungua ndege isiyo na rubani ya Ukraine (Droni) iliyokuwa imekusudia kutekeleza shambulizi katika kiwanda cha nguvu za nyuklia cha Kursk cha Russia (KNPP).…

LTV LIVE TV

đź”´KIPIMAJOTO:UCHAGUZI MKUU 2025

August 29, 2025 mjombazecoder

đź”´KIPIMAJOTO:UCHAGUZI MKUU 2025. JE, NINI VIPAUMBELE VYA WANANCHI?

Uncategorized

Serikali ya Eswatini inakabiliwa na kesi mahakamani kuhusu watu waliofukuzwa Marekani

August 29, 2025 mjombazecoder

Kundi la mawakili watetezi wa haki za binadamu na taasisi zisizo na kiserikali (NGOs) linaishtaki serikali ya Eswatini kwa kukubali kuwapa hifadhi watu watano waliofukuzwa nchini Marekani. BONYEZA HAPA USOME…

Uncategorized

IRGC: Uhusiano wa kina kati ya serikali, wananchi na vikosi vya ulinzi ni dhamana ya Iran yenye nguvu

August 29, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limeashiria umuhimu wa uhusiano wa kina uliopo kati ya serikali, taifa na vikosi vya ulinzi likiutaja kuwa muhimu kwa ajili…

LTV LIVE TV

đź”´TAARIFA YA HABARI AGOSTI 29, 2025 -MGOMBEA URAIS WA CCM AOMBA KURA MOROGORO

August 29, 2025 mjombazecoder

đź”´TAARIFA YA HABARI AGOSTI 29, 2025 -MGOMBEA URAIS WA CCM AOMBA KURA MOROGORO

LTV LIVE TV

#KIPIMAJOTO:UCHAGUZI MKUU 2025

August 29, 2025 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO:UCHAGUZI MKUU 2025. JE, NINI VIPAUMBELE VYA WANANCHI?

LTV LIVE TV

#HABARI: Mvuvi anayefanya shuguli za uvuvi katika Ziwa Singidani Manispaa ya Singida, ayetambulika kwa jina la Ally Mussa anayek…

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mvuvi anayefanya shuguli za uvuvi katika Ziwa Singidani Manispaa ya Singida, ayetambulika kwa jina la Ally Mussa anayekadiriwa kuwa na miaka 25, anadaiwa kufa maji katika ziwa hilo, kufuatia…

Uncategorized

Kwa nini zaidi ya wanadiplomasia 200 wa Ulaya wanaukosoa Umoja wa Ulaya kwa kutochukua hatua kuhusu vita vya Gaza?

August 29, 2025 mjombazecoder

Idadi kubwa ya wanadiplomasia wakuu wa zamani wa Ulaya wametaka Umoja wa Ulaya au nchi wanachama wachukue hatua za haraka kuhusiana na vita vya utawala wa Kizayuni huko Gaza na…

LTV LIVE TV

#HABARI: Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. John Jingu, amewataka wadau wanaoendesha Vituo vya kulelea watoto wadogo mchana, Makao ya Watoto na Nyumba…

BBC LIVE SOMA

Miili ya mateka wawili iliyokuwa Gaza yarudishwa Israel

August 29, 2025 mjombazecoder

Kulingana na ofisi ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu mwili wa mwanamume huyo umetambuliwa kuwa ni wa Ilan Weiss wa Be’eri. Mwili wa mateka mwingine haujatambuliwa. Mateka 50 kati ya 250…

BBC LIVE SOMA

Ufaransa, Ujerumani kuipa msaada wa ulinzi wa anga Ukraine

August 29, 2025 mjombazecoder

Katika taarifa ya pamoja nchi hizo zimesema licha ya juhudi kubwa za kidiplomasia, Urusi haijaonesha nia ya kuvimaliza vita dhidi ya Ukraine. Ahadi ya nchi hizo mbili kwa umoja wa…

Uncategorized

Uturuki yafunga bandari na anga zake kwa meli na ndege za Israel

August 29, 2025 mjombazecoder

Uturuki, ambayo ilisitisha uhusiano wa kibiashara na Israel tangu mwaka jana, imetangaza siku ya Ijumaa, Agosti 29, kwamba imefunga bandari na anga yake kwa ndege na meli za jeshi la…

BBC LIVE SOMA

UN: Iran imetekeleza adhabu ya kifo kwa watu 841 mwaka 2025

August 29, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Umoja wa Mataifa Ravina Shamdasani amewaambia waandishi wa habari mjini Geneva kuwa hali halisi huenda ni mbaya zaidi kutokana na serikali ya Tehran kukosa uwazi. Ameionya Iran kuacha…

Uncategorized

Mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran yamesababisha Israel hasara ya mabilioni

August 29, 2025 mjombazecoder

Maafisa wa utawala wa Israel wamethibitisha kuwa mashambulizi ya kisasi ya Iran dhidi ya taasisi za Israel wakati wa vita vya siku 12 yamesababisha hasara ya mabilioni ya shekel kwa…

BBC LIVE SOMA

Watu waliokufa kwa ajali ya boti Mauritania wafikia 69

August 29, 2025 mjombazecoder

Takwimu hizo zimetolewa leo na Afisa mwandamizi wa walinzi wa Pwani ya nchi hiyo hilo likiwa ni ongezeko la watu 20 kutoka 49 waliotangazwa awali kuwa miili yao iliopolewa. Idadi…

BBC LIVE SOMA

Takriban watu 250,000 kote duniani hawajulikani waliko

August 29, 2025 mjombazecoder

Shirika hilo limesema idadi hiyo ni ongezeko la karibu asilimia 70 katika kipindi cha miaka mitano. Kutoka Sudan hadi Ukraine, Syria hadi Colombia, vitendo hivyo vinazidi kuongezeka. Mkurugenzi mkuu wa…

BBC LIVE SOMA

Urusi yapinga dhamana ya Usalama kwa Ukraine

August 29, 2025 mjombazecoder

Mawaziri wa Ulinzi wa Umoja wa Ulaya wamewasili mjini Copenhagen nchini Denmark kuhudhuria mkutano usio rasmi ambako watajadili maswala yanayohusu kuimarisha msaada wa kijeshi kwa Ukraine, utayari wa ulinzi wa…

BBC LIVE SOMA

Wakimbizi 6,000 wakimbia kambi Kenya kwa uhaba wa misaada

August 29, 2025 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeripoti kuwa zaidi ya wakimbizi 6,200 kutoka Sudan Kusini wameondoka katika kambi ya Kakuma na makaazi ya jirani ya Kalobeyei, kaskazini…

BBC LIVE SOMA

Msichana Jasiri: Loistracy Andrew na athari za ukeketaji

August 29, 2025 mjombazecoder

29.08.202529 Agosti 2025 Loistracy Andrew ni msichana aliyeamua kutumia sauti yake kuelimisha jamii na hasa zinazofanya ukeketaji na madhara yake. Matumaini yake makubwa ni kuwa sauti na nguzo ya matumaini…

BBC LIVE SOMA

Israel imeanza oparesheni ya kuutwaa mji wa Gaza

August 29, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Jeshi la Israel Avichay Adraee kupitia mtandao wa X amethibitisha juu ya oparesheni hiyo yenye lengo la kutimiza malengo ya Waziri mkuu Benjamin Netanyahu ya kuutwaa kikamilifu mji…

Uncategorized

Polisi Kenya wagundua miili zaidi ya waliouawa na pote la Kikristo

August 29, 2025 mjombazecoder

Uchunguzi nchini Kenya kuhusu vifo vinavyoshukiwa kutekelezwa na wafuasi wa kikundi cha Kikristo chenye misimamo mikali katika kaunti ya Kilifi ulichukua mkondo wa kutisha siku ya Alhamisi, baada ya polisi…

LTV LIVE TV

đź”´HAPA NA PALE KUTOKA SINGIDA: AGOSTI 29, 2025 – MAUZO YA DHAHABU KWA WACHIMBAJI WADOGO YAONGEZEKA

August 29, 2025 mjombazecoder

đź”´HAPA NA PALE KUTOKA SINGIDA: AGOSTI 29, 2025 – MAUZO YA DHAHABU KWA WACHIMBAJI WADOGO YAONGEZEKA

Uncategorized

Mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kuendelea hata kama Trump hatohudhuria

August 29, 2025 mjombazecoder

Afrika Kusini imesisitiza msimamo wake kwamba mkutano ujao wa nchi zilizostawi kiuchumi za G20, utakaofanyika Johannesburg mwezi Novemba, utaendelea kama ulivyopangwa; awepo au asiwepo Rais Donald Trump wa Marekani. BONYEZA…

Uncategorized

Gaza ni eneo hatari la mapigano kwa mujibu wa jeshi la Israel

August 29, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Israel limeutangaza mji wa Gaza kuwa “eneo hatari la mapigano”, saa chache kabla halijaanza kutekeleza operesheni kubwa za kijeshi kuudhibiti mji wa Gaza ambao ndio mkubwa zaidi kwenye…

BBC LIVE SOMA

BRICS kuimarika chini ya utawala wa Trump?

August 29, 2025 mjombazecoder

China, ambayo ndiyo uchumi mkubwa zaidi wa BRICS, inakabiliwa na ushuru wa hadi asilimia 145 iwapo haitafikia makubaliano na Washington, huku India na Brazil zikikabiliana na ushuru wa asilimia 50.…

LTV LIVE TV

#HABARI: Siku tatu mara baada ya Kituo cha ITV, kuripoti mgogoro wa ardhi eneo la Kwa Kibosha, Kata ya Mapinga, Bagamoyo, mkoani…

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Siku tatu mara baada ya Kituo cha ITV, kuripoti mgogoro wa ardhi eneo la Kwa Kibosha, Kata ya Mapinga, Bagamoyo, mkoani Pwani, ‎Uongozi wa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo,…

LTV LIVE TV

#HABARI: Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ,INEC, imemuondoa Peter Yohana Mgombea wa Chama cha NRA katika Nafasi ya Ubunge katika J…

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi ,INEC, imemuondoa Peter Yohana Mgombea wa Chama cha NRA katika Nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbarali, mkoani Mbeya, baada ya kushindwa kurejesha…

Uncategorized

Afrika: Mamilioni ya watoto wanaweza kufariki kutokana na utapiamlo

August 29, 2025 mjombazecoder

Mamilioni ya watoto katika nchi nne za Afrika wanaweza kufa kwa utapiamlo katika muda wa miezi mitatu ijayo, mahitaji ya dharura ya chakula yakipungua kutokana na kupunguzwa kwa misaada ya…

LTV LIVE TV

#HABARI: Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali Mstaafu Jacob Kingu, ameeleza kuwa jumla ya vitongoji 1,997 sawa na asilimia 88.4 kati ya vitongoji 2,260 vimeshapatiwa…

LTV LIVE TV

#HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Galapo, Kata ya Galapo, wilayani Babati, mkoani Manyara, wamelalamikia kutosomewa mapato na matu…

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wananchi wa Kijiji cha Galapo, Kata ya Galapo, wilayani Babati, mkoani Manyara, wamelalamikia kutosomewa mapato na matumizi ya kijiji hicho kwa miaka 5, huku wakidai kuendelea kushinikizwa kuchangia miradi…

Uncategorized

Asilimia 70 ya watu duniani wamesajiliwa kama waliopotea: Ripoti

August 29, 2025 mjombazecoder

Shirika la kimataifa la msalaba mwekundu, limesema kuwa robo milioni ya watu wamesajiliwa kama waliopotea, idadi ambayo ni sawa na asilimia 70 katika kipindi cha miaka mitano, ripoti ya shirika…

Uncategorized

Senegal: Masharti mapya ya fidia kwa waathiriwa wa kipindi cha kabla ya uchaguzi wa 2021-2024

August 29, 2025 mjombazecoder

Nchini Senegal, mamlaka zinarahisisha hali kwa familia za wale waliouawa wakati wa maandamano ya kabla ya uchaguzi kupokea faranga za CFA milioni 10 zilizoahidiwa na mamlaka mpya. Kulingana na serikali…

LTV LIVE TV

#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma kimewataka wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi kumsikiliza mgombea urais…

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma kimewataka wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi kumsikiliza mgombea urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan siku ya Jumapili, ambapo…

Uncategorized

Viuatilifu vilivyopigwa marufuku Ulaya vyaangamiza nyuki Afrika

August 29, 2025 mjombazecoder

Tafiti za hivi karibuni zinaonyesha kuwa mazao ya thamani kama kahawa, alizeti na mengine yako hatarini kufifia kutokana na kupungua kwa idadi ya nyuki, waliokumbwa na athari za viuatilifu katika…

LTV LIVE TV

#HABARI: Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Rais Dkt

August 29, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imejipanga kushughulikia changamoto ya maji katika Mkoa wa…

Posts pagination

1 … 165 166 167 … 180

Recent Posts

  • Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga
  • Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha
  • Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano
  • Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League
  • Mtoto wa Mjini – 8

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

BBC NEWS TANZANIA

Nini mustakabali wa chama cha ODM baada ya kifo cha Raila Odinga

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

October 20, 2025 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Trump azitaka Russia na Ukraine zisimamishe vita mahali zilipo sasa hivi kwenye medani ya mapigano

October 20, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Dar City yaweka historia, yafuzu 16 bora Basketball Africa League

October 20, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS