Fainali ya Ligi ya Mabingwa ni lini na kwa nini itaanza mapema kuliko kawaida
Arsenal itacheza na PSG katika fainali ya Ligi ya Mabingwa mnamo Mei 30, kuanzia mapema saa 1 usiku EAT. Je, wanaweza kupata taji lao la kwanza baada ya miaka 20?
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 9, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: MEI 08, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: MEI 08, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#KIPIMAJOTO: “Tunapokuwa eneo la soko la pamoja ambalo ndio chini ya mkataba wa Afrika Mashariki tunakuwa katika itifaki ya soko…
#KIPIMAJOTO: “Tunapokuwa eneo la soko la pamoja ambalo ndio chini ya mkataba wa Afrika Mashariki tunakuwa katika itifaki ya soko la pamoja eneo moja la forodha maana yake kama eneo…
🔴MCHEZO SUPA: KWA NGUVU YA BUKU USIKAE KINYONGE: MEI 08, 2026
🔴MCHEZO SUPA: KWA NGUVU YA BUKU USIKAE KINYONGE: MEI 08, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#KIPIMAJOTO: “Maendeleo yoyote yale ya Diplomasia lazima yaende sambamba na ugawa ulinzi na usalama ambacho ndicho kiini au ndio…
#KIPIMAJOTO: “Maendeleo yoyote yale ya Diplomasia lazima yaende sambamba na ugawa ulinzi na usalama ambacho ndicho kiini au ndio msingi wa maendeleo yoyote yale…….” Lugano Kalinga – Mtaalam wa Uchumi…
#KIPIMAJOTO: “Maendeleo yoyote yale ya Diplomasia lazima yaende sambamba na ugawa ulinzi na usalama ambacho ndicho kiini au ndio…
#KIPIMAJOTO: “Maendeleo yoyote yale ya Diplomasia lazima yaende sambamba na ugawa ulinzi na usalama ambacho ndicho kiini au ndio msingi wa maendeleo yoyote yale…….” Lugano Kalinga – Mtaalam wa Uchumi…
#KIPIMAJOTO: “Ziara hizi zinapofanyika zinaendelea kujenga Diplomasia ya Uchumi na Viongozi wanapokutana sisi kama wafanya biash…
#KIPIMAJOTO: “Ziara hizi zinapofanyika zinaendelea kujenga Diplomasia ya Uchumi na Viongozi wanapokutana sisi kama wafanya biashara tunafarijika kwasababu wanaweka mazingira mazuri ya kufanya biashara…….” Dkt. Mwajuma Hamza - Mkurugenzi Mtendaji…
TRA UNITED vs AZAM FC: “Ndio timu kubwa na bora barani Afrika”
TRA UNITED vs AZAM FC: “Ndio timu kubwa na bora barani Afrika” Afisa Habari wa TRA United, Christina Mwagala anasema Azam FC imelipa kodi kwa hiyari. Ni baada ya kufungwa…
TRA UNITED vs AZAM FC: “Hongera kwa TRA”
TRA UNITED vs AZAM FC: “Hongera kwa TRA” Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema walianza mechi vizuri japo baadae wakasahau kucheza mpira na kuwaacha TRA United wakienda kushambulia. Ibenge…
Nani kaiona kesho yake?
Nani kaiona kesho yake? Bila shaka yoyote 'hakuna' na hilo ndilo unaloweza kuliona kwa namna maisha ya mkazi wa Chamazi Dar es Salaam, Zaituni Mwamia yalivyobadilika pale alipopata ajali mwaka…
YANGA vs COASTAL UNION: “Kocha tulikuwa hatumuelewi”
YANGA vs COASTAL UNION: “Kocha tulikuwa hatumuelewi” Mashabiki wa Yanga wanasema hawana hofu baada ya kuondoshwa kwa aliyekuwa kocha mkuu, Pedro Goncalves kwasababu walikuwa hawamuelewi hasa kwa upande wa mabadiliko.…
YANGA vs COASTAL UNION: “Inawezekana kupata matokeo”
YANGA vs COASTAL UNION: “Inawezekana kupata matokeo” Afisa Habari wa Coastal Union, Hussein Mchomvu anasema mchezo wao wa kesho Mei 09, 2026, dhidi ya Yanga SC, sio mwepesi japo kwa…
Wamiliki bandari kavu watakiwa kuongeza ukubwa wa maeneo
DAR ES SALAAM: SERIKALI imeanza majadiliano na wamiliki wa bandari kavu pamoja na taasisi mbalimbali za umma kwa lengo la kuangalia namna bora ya kupanua na kuongeza uwezo wa bandari…
Lema ahimiza kauli za viongozi wa dini kujenga umoja wa kitaifa
Lema amesema viongozi wa madhehebu ya dini wana nafasi muhimu ya kuunganisha jamii badala ya...
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Arif Suleman Premji, ameishauri Serikali kuendelea kuwekeza zaidi katika elimu na teknolojia…
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Arif Suleman Premji, ameishauri Serikali kuendelea kuwekeza zaidi katika elimu na teknolojia ili kuwajengea wanafunzi ujuzi wa kujitegemea badala ya kutegemea ajira pekee baada…
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Arif Suleman Premji, ameishauri Serikali kuendelea kuwekeza zaidi katika elimu na teknolojia…
Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Arif Suleman Premji, ameishauri Serikali kuendelea kuwekeza zaidi katika elimu na teknolojia ili kuwajengea wanafunzi ujuzi wa kujitegemea badala ya kutegemea ajira pekee baada…
Tanzania: Watu 5 wafariki, wengine 28 wajeruhiwa baada ya basi kugongana na lori la vinywaji
Ajali iliyotokea Iringa katikati mwa Tanzania imesababisha vifo vya watu watano na wengine 28 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Shabiby kugongana na lori
Walimu wa shule ya msingi Kilimba na Baaba za mkoani Dodoma wamelalamikia unywaji pombe uliopitiliza wa baadhi ya wazazi wa wana…
Walimu wa shule ya msingi Kilimba na Baaba za mkoani Dodoma wamelalamikia unywaji pombe uliopitiliza wa baadhi ya wazazi wa wanafunzi wanaosoma shule hizo na kusema unachangia watoto hao kujifunza…
Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka vijana nchini kulinda amani kwa mshikamano wao wenyewe, akisisitiza kuwa matukio ya vurugu z…
Rais Samia Suluhu Hassan, amewataka vijana nchini kulinda amani kwa mshikamano wao wenyewe, akisisitiza kuwa matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi hayajirudii tena.a Oktoba 29, 2025 hayapaswi kujirudia tena.…
Viongozi wa jumuiya ya hifadhi ya Wanyamapori na misitu ya isawima iliyopo wilayani kaliua mkoani Tabora wameiomba serikali kuwa…
Viongozi wa jumuiya ya hifadhi ya Wanyamapori na misitu ya isawima iliyopo wilayani kaliua mkoani Tabora wameiomba serikali kuwachukulia hatua za haraka wanasiasa wanaodaiwa kuhamasisha wakulima na wafugaji kufanya shughuli…
Mkutano wa 25 wa mwaka wa pamoja wa Sera ya Sekta ya Afya umepitia na kuthibitisha vipaumbele vya Sekta ya Afya kwa Mwaka wa Fed…
Mkutano wa 25 wa mwaka wa pamoja wa Sera ya Sekta ya Afya umepitia na kuthibitisha vipaumbele vya Sekta ya Afya kwa Mwaka wa Fedha 2026/27 ikiwepo utekelezaji wa bima…
MSIMAMO: TRA United waleee…nafasi ya nne
MSIMAMO: TRA United waleee…nafasi ya nne. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable (Feed generated with FetchRSS)
Siri ya Kupika Mandazi Laini na Matamu Nyumbani Kama Yale Unayonunua Hotelini
Kuna kitu cha kipekee kabisa kuhusu mandazi yanayotengenezwa kuanzia mwanzo jikoni mwako mwenyewe ambayo ni laini kwa ndani, na harufu inayosambaa kila chumba.
Atupwa jela maisha kwa kusafirisha dawa za kulevya
Mahakama Kuu, Masjala ndogo ya Tabora, imemhukumu John Juma maarufu kwa jina la Vunjabei...
Millya ataja sababu kukwamishwa bajeti 2025/26 mambo ya nje
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetaja mojawapo ya changamoto...
Serikali yaendelea kulinda ajira viwandani
DAR ES SALAAM: Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema Serikali inaendelea kulinda ajira zilizopo na kuzalisha ajira mpya kupitia viwanda na biashara kwa manufaa ya Watanzania na taifa.…
Wakulima wa ufuta Songwe waingiza Sh3 bilioni mnada wa kwanza
Wakulima wa ufuta katika Mkoa wa Songwe wameingiza zaidi ya Sh3 bilioni kwenye mnada wa kwanza...
Wakaangaji wa kahawa wataka bidhaa hiyo kuwekwa nembo ya ‘Made in Tanzania’
Wakaangaji wa kahawa nchini wameiomba Serikali kuhakikisha kahawa inayouzwa katika masoko...
Viwanda vya dawa Mloganzila kuajiri maelfu
Serikali imeanza rasmi safari ya kujenga kongani ya viwanda vya dawa na vifaa tiba katika eneo...
Wabunge waja na mpango mikopo elimu ya juu
Suala la mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu limeendelea kugonga vichwa vya watu, lakini...
Dk Mwigulu ataka suluhu ya mafuriko Kilosa
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewaagiza watendaji wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads),...
Azam yatibuliwa rekodi ikichapwa na TRA United
TRA United yenyewe kwa ushindi huo imesogea hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa ligi...
Viongozi wa umma wasisitizwa maadili, kuikataa rushwa
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James amewataka viongozi wa umma, wakuu wa taasisi na maofisa...
Mlipuko wa Hantavirus: Wizara ya Afya Yatoa Tahadhari ya Afya kwa Umma
Kenya imetoa ushauri hantavirus kufuatia mlipuko wa maradhi hayo kutokea kwenye meli ya MV Hondius na kuua watu 3 huku maafisa wa afya wakifuatilia kwa kina hali
Mwanafunzi anayeandika kwa kutumia miguu ahitimu kidato cha sita
Amesema ana imani kuwa atafanya vizuri katika mitihani ya Taifa iliyoanza Mei 5.
Picha ya Ujana ya Gavana Wavinya Ndeti Yawasisimua Wakenya Mitandaoni: “Nilikuwa Baddie”
Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti aliwafurahisha Wakenya baada ya kushiriki picha maridadi ya kitambo akiwa amevalia mavazi maridadi ya mitaani.....
Rais mstaafu Botswana afariki dunia, Samia amlilia
Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kutokana na kifo cha Rais mstaafu wa...
Kongamano la Ufaransa na Afrika kufanyika jijini Nairobi wiki ijayo
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, Jumamosi hii ataanza ziara nyingine barani Afrika ziara inayolenga kufufua ushirika wa Ufaransa na bara hilo baada ya miaka kadhaa ya mvutano na mataifa ambayo…
Rwanda : Mkosoaji wa serikali afariki dunia katika mazingira tatanishi
Nchini Rwanda, mkosoaji wa serikali, Aimable Karasira aliyefungwa jela amefariki dunia kutokana na matumizi ya dawa kupita kiasi siku ya kuachiliwa kwake, wakuu wa magereza wamesema. Imechapishwa: 08/05/2026 – 16:47…
Ufinyu wa bajeti unavyoitesa ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar
Wakati Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais (OMKR) ikianisha vipaumbele vitano vya kutekeleza...
Afrika Kusini: Mahakama yafuta uamuzi wa bunge kuhusu Ramaphosa
Mahakama ya Juu nchini Afrika Kusini, imebadilisha uamuzi wa bunge uliokuwa umesitisha mswada wa kumwondoa madarakani rais Cyril Ramaphosa, kwa tuhuma za ufisadi. Imechapishwa: 08/05/2026 – 16:32 Dakika 1 Wakati…
Vifo vyaongezeka vurugu za Kibaha
Majeruhi mwingine katika vurugu za Lupaso, Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani, amefariki dunia...
Tasac yanza kusaka suluhu kero ya bandari kavu Dar
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) imeanza kusaka suluhu ya foleni ya malori jijini...
Mtihani wa kwanza wa Moalin dhidi ya Coastal union
KUTOKANA na Yanga kupishana na Simba kwa pointi tano, ina kazi ya kuhakikisha inashinda mechi dhidi ya Coastal Union ili kuendelea kujiwekea mazingira ya kutetea taji la Ligi Kuu Bara…
Nyota Tanzania Prisons wana hesabu kali
PAMOJA na ugumu unaonekana katika msimamo wa Ligi Kuu Bara kwa Tanzania Prisons kushika nafasi ya pili kutoka mwisho, nyota wa timu hiyo hawajakubali kushindwa kwani bado wanaendelea kupiga hesabu…
Straika Dodoma Jiji asaka rekodi mpya
MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Edgar William amefikisha mabao sita ya Ligi Kuu Bara msimu huu akiwa na kikosi hicho sawa na aliyofunga msimu wa 2024-2025, akicheza Fountain Gate, huku akihitaji…
Hiki hapa kinachoitesa Azam FC, kocha afunguka
KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge amedai mbio za Ligi Kuu Bara zimekuwa ngumu zaidi katika hatua za mwisho na kilichowagharimu katika baadhi ya mechi za hivi karibuni ni kushindwa…