Ukiukwaji mkubwa wa haki dhidi ya waliosafirishwa kwa hila kwenda vituo vya utapeli
Ripoti ya UN yabaini huahidiwa ujira mnono Matokeo yake ni kulundikwa kwenye vyumba na kutumikishwa Adhabu kali kwa wanaojaribu kutoroka
Ripoti ya UN: Biashara haramu ya watoto yatikisa mustakabali wa Haiti
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa iliyochapishwa hii leo imeeleza kwa kina jinsi magenge nchini Haiti yanavyohusika na biashara haramu ya watoto kwa kiwango kikubwa na cha kikatili, hali inayotishia…
YALIYOJIRI JARIDANI LEO: Hatari ya baa la njaa nchini Somalia; Watoto yatima cha Juba, Kampeni ya chanjo ya polio nchini Malawi
Watu million 14.4 wanakabiliwa na njaa nchini Somalia huku mtu 1 kati ya 7 ndiye anayepata mgao kwa sasa. WFP yahitaji dola milioni 95 kukidhi mahitaji ya sasa Kituo cha…
PM orders the Finance Ministry to release funds for signed road projects
MKUU: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has directed the Ministry of Finance to expedite the release of funds to enable the Ministry of Works to begin construction of already signed road…
BoT yaonya hatari ya fedha mtandaoni
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema fedha za mtandaoni ni hatari. Gavana wa BoT Emmanuel Tutuba amesema fedha hizo hazitambuliki zina vihatarishi vingi kuliko faida na hazina njia za kuzidhibiti.…
TFS officials urged to manage natural resources wisely
MOROGORO: THE Conservation Commissioner of the Tanzania Forest Services Agency (TFS), Prof Dos Santos Silayo, has urged leaders and station commanders of the agency to change their leadership mindset by…
🔴HABARI ZA SAA, NANE NA DAKIKA 55….FEBRUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, NANE NA DAKIKA 55....FEBRUARI 20, 2026
Hapa ndipo ilipo shida ya Afrika
Miongoni mwa ajenda zilizojadiliwa katika Mkutano wa 39 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi na Serikali...
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Awaonya Wanachama Dhidi ya Kumsifu Ida Odinga Akipigwa Msasa
Kamati ya Bunge ya Kitaifa kuhusu Ulinzi, Ujasusi na Uhusiano wa Kigeni ilikutana Ijumaa, Februari 20, kumkagua Ida Odinga anayepania kuwa mjumbe wa Kenya UNEP.
Vyuo vikuu vyahimizwa kuulinda muungano
ZANZIBAR: Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Zanzibar kuwa mstari wa mbele kulinda,…
Kihongosi: Wananchi Kigoma tupendane, itikadi za vyama zisitugawe
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amewataka...
Mchungaji Malisa: Nang’atwa na kunguni gerezani, natoa machozi
Amedai kuwa mahabusu ni mahali pagumu ambapo haipiti wiki moja hajatoa machozi kwa kile ambacho...
“Vyombo vya diplomasia vya Iran vijadiliane kwa kuzingatia hekima, izza, na maslahi ya taifa”
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, "Vyombo vya kidiplomasia (vya Iran) lazima vichore ramani yake ya mazungumzo kwa njia sahihi, ya uwazi na ufasaha,…
Mafaili ya Epstein yanavyobeba hatima ya jela kwa wanasiasa, matajiri – 11
Utata huo wa utajiri wa Epstein, ndiyo ulisababisha wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Marekani...
Mambo magumu CF, Polisi yawatoa vigogo kikaoni
Kikao hicho kinaendelea katika makao makuu ya chama hicho, Buguruni, jijini Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan ametumia salamu za rambirambi kufuatia kifo Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama…
Rais Samia Suluhu Hassan ametumia salamu za rambirambi kufuatia kifo Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali, Pengo. Taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu,…
Sh1.7 bilioni zakusanywa kubadilisha usajili wa vyombo vya moto
Miezi mitatu baada ya kuanza mpango mpya wa kubadilisha usajili wa vyombo vyote vya moto kwenda...
Nigeria: Waislamu 9 wakamatwa kwa kula hadharani wakati wa mfungo wa Ramadhani
Kikosi cha Kano Hisbah kiliwakamata Waislamu tisa wakiwemo wanawake 2 kwa kula hadharani katika siku ya kwanza ya Ramadhani wakidai hawakujua msimu wa mfungo umeanza
Mwigulu amuibua msanii, aagiza aingizwe kwenye ziara zake akatumbuize
Kijana mkazi wa Mabogini, Wilaya ya Moshi, amejikuta akipata fursa ya kipekee baada ya kuvutia...
#HABARI: Mwili wa Askofu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardanali Pengo unatarajiwa kuzikwa Juma…
#HABARI: Mwili wa Askofu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardanali Pengo unatarajiwa kuzikwa Jumamosi Februari 28, 2026 katika Kituo cha Hija Pugu jijini Dar es…
Tanzania, UNTBLDC agree to enhance ties in implementing blue economy, agribusiness
ANKARA: TANZANIAN Ambassador to Turkey, Iddi Seif Bakari, has held talks with a delegation from the United Nations Technology Bank for the Least Developed Countries (UNTBLDC), led by its Executive…
#HABARI: Serikali ya Mkoa wa Shinyanga imeutaka uongozi wa mgodi wa dhahabu wa Kikundi cha Mchapakazi Nyandolwa (W) Shinyanga ul…
#HABARI: Serikali ya Mkoa wa Shinyanga imeutaka uongozi wa mgodi wa dhahabu wa Kikundi cha Mchapakazi Nyandolwa (W) Shinyanga uliokuwa umepata ajali Agosti 11,2025 na kusababisha watu 25 kufukiwa chini…
REEP tables 5m Euros to boost Tanzania’s food production, renewable energy
VIENNA: THE Director of Strategy and Development at REEEP, headquartered in Vienna, James Smith, said his organization has received a grant of 5m Euros (approximately 15bn/-) to support Tanzanian companies…
BoT mbioni kuvuka lengo ununuzi dhahabu
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesema inakaribia kufikia lengo la ununuzi wa dhahabu kabla ya muda waliojiwekea ambapo hadi sasa imefikisha tani 19.3 ndani ya mwaka mmoja na miezi minne.…
Kijiji cha Urusi kilichopoteza wanaume wake vitani
BBC pamoja na shirika la habari la Urusi la Medizona na watafiti wakujitolea, kufikia sasa tumedhibitisha kuwa wanajeshi 40,201 wa Urusi waliuawa mwaka wa 2025.
🔴HABARI ZA SAA, SITA NA DAKIKA 55….FEBRUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SITA NA DAKIKA 55....FEBRUARI 20, 2026
Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba, Jamhuri ya Kiislamu haitaanzisha vita, lakini itatoa jibu zito kwa kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi…
Hamas yalaani mkutano wa ‘Bodi ya Amani’ ya Trump
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imelaani vikali kufanyika mkutano wa kile kinachoitwa 'Bodi ya Amani ya Gaza' huko nchini Marekani.
Serikali ya Senegal yaidhinisha muswada wa adhabu kali wapenzi wa jinsia moja
Serikali ya Senegal imeidhinisha muswada ambao kama utapasishwa na kuwa sheria, hatua hiyo itapelekea kupigwa marufuku vitendo vichafu vya mapenzi ya watu wa jinsia moja.
Saka aingia kwenye orodha ya mabilionea EPL
Mshahara wa awali, ulimfanya Saka asiwepo katika orodha ya nyota 10 wanaolipwa zaidi katika...
Maabara ya Taifa yajipanga kukabili kipindupindu
WIZARA ya Afya kupitia Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii (NPHL) imeanza mwaka wa tatu wa utekelezaji wa mradi wa kuboresha maabara za afya ya jamii ili kukabiliana na…
Usiyoyajua miaka 20 ya Mwasiti kwenye Bongofleva
Kati ya wanamuziki wa mwanzo kabisa kutoka chini ya usimamizi wa Tanzania House (THT), ni...
Baraza Kuu la CUF laanza kikao chake, baada ya akidi kutimia
Kikao hicho kinafanyika katika Ukumbi wa Shaban Mloo, Makao Makuu ya chama hicho, Buguruni...
Tradition’s blade steals girls’ futures in Tanzania
TARIME: FOR generations, thousands of girls across Tanzania have been forced to trade their childhood for marriage. Behind every statistic lies a story of interrupted education, stolen potential, and preventable…
Mtanzania achomoza kinyang’anyiro cha majaji ICC
Kwa mujibu wa taarifa ya ICC iliyochapishwa kwenye tovuti yake, mikutano kati ya Niang na...
Miundombinu chakavu yadidimiza utalii Kenya
ENZI ya watalii kupotoshwa kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya imepita. Sasa wengi wanahamia vivutio vya nchi nyingine za Afrika Mashariki. Hali hii inaathiri uchumi wa Kenya na kudhoofisha sekta ya…
Kadinali Pengo: Mfahamu aliyekuwa Askofu Mkuu Jimbo la Dar es Saalaam
Tayari alikwishaeleza bayana anapendelea azikwe eneo la Pugu, lililopo takribani kilomita 25 nje ya jiji la Dar es Salaam.
Vita ya kupanda daraja yazidi kunoga Championship
MBIO za kuwania kupanda Ligi Kuu Bara zinazidi kunoga wakati Ligi ya Championship ikiendelea tena wikiendi hii, na kesho Jumapili zitapigwa mechi saba na moja Jumatatu kuhitimisha raundi ya 19,…
Wosia wa Pengo mahali atakapozikwa
Huenda Kardinali Polycarp Pengo (82), akazikwa Pugu, jijini Dar es Salaam, eneo alilowahi...
#VIDEO: Mchungaji Rose Masesa, dada mkubwa wa Tundu Lissu, akifanya maombi maalumu ndani ya chumba cha Mahakama, muda mfupi kabl…
#VIDEO: Mchungaji Rose Masesa, dada mkubwa wa Tundu Lissu, akifanya maombi maalumu ndani ya chumba cha Mahakama, muda mfupi kabla ya kuanza kwa usikilizwaji wa kesi ya uhaini inayomkabili mdogo…
ACB targets 90pc digital services
DAR ES SALAAM: AKIBA Commercial Bank (ACB) plans to raise digital service delivery to 90 per cent by year-end, up from 79 per cent, advancing its broader digital transformation strategy.…
#HABARI: Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe
#HABARI: Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, amewahakikishia wakulima nchini kuwa Wizara ya Kilimo itaendelea kusimamia kwa ufanisi utekelezaji wa miradi yote iliyoahidiwa na Serikali, ikiwemo miradi ya umwagiliaji,…
MCB secures 9bn/- loan for SMEs
DAR ES SALAAM: MWALIMU Commercial Bank (MCB) received a 9bn/- loan from Netherlands-based social investor Oikocredit to boost liquidity and expand SME lending. Arranged via Africapital with Noblestride Capital as…
BRELA trains youths on business formalisation
DAR ES SALAAM: THE Business Registrations and Licensing Agency (BRELA) intensified efforts to equip young entrepreneurs with business formalisation skills, holding training for College of Business Education students to boost…
HABARI: Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Thamini Uhai limezindua mradi wa Mjamzito na Mtoto Salama wenye thamani ya Dola …
HABARI: Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Thamini Uhai limezindua mradi wa Mjamzito na Mtoto Salama wenye thamani ya Dola za Marekani Milioni 12.15, unaolenga kupunguza vifo vya mama na…
Lina Tour Pro-Am 2026 set to tee off at Lugalo Golf Club
DAR ES SALAAM: THE much-anticipated Lina Professional Golfers (PG) Tour (Pro-Am) 2026 is officially set to tee off from 26th to 29th March at the Tanzania People’s Defence Forces (TPDF)…
Simba’s Nangu out long-term as Bajaber nears return
DAR ES SALAAM: SIMBA centre-back Wilson Nangu has undergone successful surgery in South Africa after suffering a serious Achilles tendon injury during the CAF Champions League clash against Espérance Sportive…
TRA combines football, revenue mobilisation
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has called on sports clubs to act as ambassadors in raising awareness among Tanzanians on the importance of voluntarily paying taxes, describing…
CRDB expands Mwanza youth livelihood investments
MWANZA: CRDB Bank Foundation is expanding youth livelihood investments in Mwanza to strengthen productive capacity, support sustainable enterprises, and improve income generation for organised youth groups across the region. The…
CRDB expands Mwanza youth livelihood investments
MWANZA: CRDB Bank Foundation is expanding youth livelihood investments in Mwanza to strengthen productive capacity, support sustainable enterprises, and improve income generation for organised youth groups across the region. The…