Makumbusho ya taifa ya Libya yafunguliwa tena baada ya miaka 14
Kufunguliwa tena kwa Jumba la Makumbusho Taifa la Libya baada ya kufungwa kwa miaka 14 kunatoa matumaini ya kurejea utulivu nchini humo na kujumuishwa utambulisho wa kitaifa.
Ni kwa sababu gani Katibu Mkuu wa NATO anang’ang’ania Ulaya iendelee kuwa tegemezi kiulinzi kwa Marekani?
Katibu Mkuu wa shirika la kijeshi la NATO, Mark Rutte ameshikilia msimamo wa kutaka nchi za Ulaya ziendelee kuwa tegemezi kiulinzi kwa Marekani.
Jumanne, tarehe 30 Disemba, 2025
Leo ni Jumanne tarehe 9 Rajab 1447 Hijria sawa na Disemba 30 mwaka 2025.
Wapinzani wa Yanga waanza kwa sare Mapinduzi Cup 2026
TIMU za KVZ na TRA United zilizopo Kundi C la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 ambalo pia linaijumuisha Yanga, zimetoshana nguvu kwa kutoka sare ya bao 1-1.
Kila zawadi inapaswa kuwa na historia, kuteka hisia na ladha ya kipekee
Kila zawadi inapaswa kuwa na historia, kuteka hisia na ladha ya kipekee. Serengeti Gift Packages zinakuletea hivyo vyote kwa msimu huu wa kumaliza mwaka. Name engraving kwenye kila chupa inafanya…
Serikali imevipiga marufuku viwanda vya kuchakata samaki nchini kujishughulisha na uvuvi na ununuzi wa samaki wakiwa ziwani kati…
Serikali imevipiga marufuku viwanda vya kuchakata samaki nchini kujishughulisha na uvuvi na ununuzi wa samaki wakiwa ziwani katika hatua ya kudhibiti na kuwalinda wavuvi wadogo na biashara ya samaki nchini.…
“Kesho tutakuwa na kongamano la kufunga mwaka, linaitwa Vikoba Dar litafanyika pale Mwenge Social Hall kuanzia Saa Tatu asubuhi”…
"Kesho tutakuwa na kongamano la kufunga mwaka, linaitwa Vikoba Dar litafanyika pale Mwenge Social Hall kuanzia Saa Tatu asubuhi"- Mohammed Bassanga, Rais wa Vikoba Tanzania #SentroYaCloudstv #CloudsTvNyoosha #LainiYawana
#DAKIKA45: “Vitendo vya ukatili kwa watoto wa kike……Mwaka 2009 matendo ya ukatili wa kimwili kwa watoto wa kike ilikuwa 76% lak…
#DAKIKA45: “Vitendo vya ukatili kwa watoto wa kike……Mwaka 2009 matendo ya ukatili wa kimwili kwa watoto wa kike ilikuwa 76% lakini mwaka jana 2024 vimepungua mpaka 24%….” Wakili Amon Mpanju,…
#DAKIKA45: “Inategemea na mtizamo…..kama hamna amani unawezaje kudai haki?
#DAKIKA45: “Inategemea na mtizamo…..kama hamna amani unawezaje kudai haki? Utazitambuaje haki zako unawezaje kutimiza wajibu kwa hiyo kimsingi na watu wamekuwa na mijadala mingi lakini unawasikiliza tunahitaji amani….” Wakili Amon…
#DAKIKA45: “Nitumie pia wasaa huu kuwashukuru Watanzania tukielekea kuhitimisha mwaka 2025, niwashukuru na kuwapongeza Watanzan…
#DAKIKA45: “Nitumie pia wasaa huu kuwashukuru Watanzania tukielekea kuhitimisha mwaka 2025, niwashukuru na kuwapongeza Watanzania walivyoshirikiana na Serikali hususani Wizara yetu….” Wakili Amon Mpanju, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya…
Kuna kitu MUSSA amefanikiwa kukichukua ama kukiona kama alivyoagizwa na kina Mbote
Kuna kitu MUSSA amefanikiwa kukichukua ama kukiona kama alivyoagizwa na kina Mbote...
Makocha Fufuni, Muembe Makumbi wafichua presha ilivyoamua matokeo
KOCHA Msaidizi wa Fufuni, Sueliman Abbas na Sheha Khamis Rashid wa Muembe Makumbi City, kila mmoja kwa waakati wake ameitaja presha ndiyo iliyoamua matokeo ya mechi baina yao.
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) imezindua namba maalum ya ufuatiliaji wa vitambulisho vya taifa ikiwa ni sehemu …
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini (NIDA) imezindua namba maalum ya ufuatiliaji wa vitambulisho vya taifa ikiwa ni sehemu ya maboresho ya utoaji wa huduma kwa wananchi. Uzinduzi wa namba…
🔴DAKIKA 45 NA WAKILI AMON MPANJU: 29 DESEMBA 2025
🔴DAKIKA 45 NA WAKILI AMON MPANJU: 29 DESEMBA 2025
Anaswa akitupa kichanga kwenye paa la nyumba
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia na linaendelea kumuhoji Fahima Twaibu (19)...
#HABARI: Nyumba 16 zimeezuliwa paa katika Kata ya Masakta, wilayani Hanang, mkoani Manyara, kufuatia mvua kubwa iliyonyesha iki…
#HABARI: Nyumba 16 zimeezuliwa paa katika Kata ya Masakta, wilayani Hanang, mkoani Manyara, kufuatia mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali na kusababisha uharibifu wa mali katika kaya mbalimbali pamoja…
Vikosi vya jeshi la China vimefanya mazoezi kulizunguka eneo la kisiwa cha Taiwan na kudai kuwa ni sehemu ya kuboresha ulinzi na…
Vikosi vya jeshi la China vimefanya mazoezi kulizunguka eneo la kisiwa cha Taiwan na kudai kuwa ni sehemu ya kuboresha ulinzi na usalama dhidi ya maadui wanaotaka kukitumia kisiwa hicho…
Familia yenu hujumuika pamoja mwishoni mwa mwaka kwa ajili ya kujadiliana mambo yanayoihusu?
Familia yenu hujumuika pamoja mwishoni mwa mwaka kwa ajili ya kujadiliana mambo yanayoihusu? Ukoo wa mwandishi wa habari wa Azam TV kutoka Tanga, Mariam Shedafa una utaratibu huo wa kukutana…
Hali ya hewa ya mvua imeendelea kuonekana kwenye maeneo mbalimbali nchini kwa nyakati tofauti huku mkoani Katavi zikisababisha k…
Hali ya hewa ya mvua imeendelea kuonekana kwenye maeneo mbalimbali nchini kwa nyakati tofauti huku mkoani Katavi zikisababisha kifo cha mtu mmoja na majengo kadhaa kuharibiwa. Taarifa ifuatayo inaangazia athari…
Shirika la reli nchini (TRC) limeongeza safari za treni ya kisasa (SGR) ili kuwahudumia abiria walioathirika na kukatizwa au kuc…
Shirika la reli nchini (TRC) limeongeza safari za treni ya kisasa (SGR) ili kuwahudumia abiria walioathirika na kukatizwa au kucheleweshwa kwa baadhi ya safari za SGR jana Disemba 28, 2025…
TUICO: Safari ya mageuzi ya kidijitali na uwezeshaji kupitia teknolojia
Katika zama hizi za kidijitali, taasisi, mashirika na vyama vya wafanyakazi kote ulimwenguni...
TUICO na mkakati wa kutoa mafunzo kwa wanafunzi wa elimu ya juu ili kukuza uelewa juu ya vyama vya wafanyakazi
Katika zama za uchumi wa maarifa na miundo ya ajira inayobadilika kwa haraka, kuelewa umuhimu...
Huyu Shakei ndio maana Hamida anamuita dishi 😅
Huyu Shakei ndio maana Hamida anamuita dishi 😅
Juhudi za TUICO katika kusimamia masilahi na maendeleo ya wanachama wake
Harakati za vyama vya wafanyakazi Tanzania zimepitia katika vipindi tofauti vya kisiasa na...
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba leo Desemba 29, 2025 amekagua hali za uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoa…
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba leo Desemba 29, 2025 amekagua hali za uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoani Pwani. Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Dkt Mwigulu…
Anthony Joshua apata ajali Nigeria, wawili wafariki dunia
BINGWA wa zamani wa ngumi za uzito wa juu duniani, Anthony Joshua, amelazwa hospitalini baada...
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 29/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 29/12/2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 29, 2025 – MVUA YAENDELEA KULETA MAAFA NCHINI
🔴TAARIFA YA HABARI YA DISEMBA 29, 2025 - MVUA YAENDELEA KULETA MAAFA NCHINI
@pengo_makeke tayari ametua Mjengoni na ulinzi wa hatari
@pengo_makeke tayari ametua Mjengoni na ulinzi wa hatari. Una swali lolote kwake? Tupia hapo chini👇 #SentroYaCloudstv
Mbali na uhai, unamshukuru Mungu kwa jambo gani mwaka huu 2025?
Mbali na uhai, unamshukuru Mungu kwa jambo gani mwaka huu 2025? Unaweza kuchangia mada zetu kila Jumatatu hadi Ijumaa kupitia kundi la WhatsApp 👉 065 229 1057 . Hosted by…
Kesi ya ‘vigogo wa Kigamboni’ wanaodai kuchepusha fedha za Tamisemi, kuunguruma Januari 13
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Januari 13, 2026 kuanza kusikiliza ushahidi wa upande...
Waliolipwa fidia ya makaburi Kurasini wakacha kwenda kuzika
Asilimia kubwa ya wananchi waliolipwa fidia ya makaburi ya Bongololo yaliyopo Mtaa wa Shimo la...
Jiji la Dodoma lawabana wadaiwa wa viwanja, lawapa siku 21 kulipa
Halmashauri ya Jiji la Dodoma imewataka wamiliki wa viwanja 6,560 vilivyoko maeneo ya Mtumba na...
Wafugaji walia uhaba wa soko la mkojo wa sungura
Wanawake wanaojishughulisha na ufugaji wa sungura katika Kata ya Bonde la Songwe, Wilaya ya...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SINGIDA – DISEMBA 29, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SINGIDA - DISEMBA 29, 2025
Mkuu wa mkoa wa Tabora PAUL CHACHA ametembelea kukagua baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoa…
Mkuu wa mkoa wa Tabora PAUL CHACHA ametembelea kukagua baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani humo ambapo ameziagiza mamlaka kuhakikisha zinasimamia na kuzuia wanaoendelea kujenga bila…
Mjini hawaji kwa kelele,
Mjini hawaji kwa kelele, wanakuja na suti, tabasamu na ahadi, Wanapanda tamaa, akili ikilala umeisha. Michapo ya utapeli ni sanaa, sanaa ya kukusoma, kukuharakisha, kukupa ndoto usiyotegemea Somo lake ni…
Uchaguzi mdogo jimbo la Fuoni kesho bila ACT – Wazalendo
Uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Fuoni, Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar, unafanyika...
Mwaka mpya vitu vipya ndani ya AzamONE, MARVEL’s THE PUNISHER kuanzia Ijumaa hii Januari 02, 2026
Mwaka mpya vitu vipya ndani ya AzamONE, MARVEL's THE PUNISHER kuanzia Ijumaa hii Januari 02, 2026. Baada ya kulipiza kisasi kwa watu waliohusika na vifo vya mkewe na watoto wake,…
Rais Trump kukutana na Netanyahu jijini Florida kujadili hali ya Gaza
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, atakutana na rais Donald Trump huko Florida saa chache zijazo, wakati huu Marekani ikiendelea kushinikiza utekelezwaji kikamifu kwa mkataba, uliomaliza vita kwenye ukanda wa…
Grey’s Anatomy rasmi kupitia AzamONE kuanzia Januari 05, 2026
Grey’s Anatomy rasmi kupitia AzamONE kuanzia Januari 05, 2026. Madaktari wa upasuaji na wasimamizi wao wapo kwenye safari ya kimatibabu, iliyojaa mambo mbalimbali ikiwemo hadithi za kuhuzunisha na kufanya kulazimika…
Dk Mwigulu aeleza sababu kuchelewa Bwawa la Kidunda, akikumbushia mgawo wa umeme
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, amesema kuchelewa kwa ujenzi wa Bwawa la Kidunda kumeibuka...
Mapromota, TPBRC watofautiana katiba mpya
MCHAKATO wa mabadiliko ya Katiba Mpya ya Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC) umeingia ‘mdudu’ baada ya Chama cha Mapromota wa mchezo huo (TAPBPA) kusema hakijafurahishwa na kilichofanyika na…
Fimbo ya Spika: Alama ya Mamlaka na Uhai wa Bunge la Tanzania
KATIKA mfumo wa utawala wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bunge ni mhimili muhimu wenye jukumu la kutunga sheria, kuisimamia Serikali, na kuwakilisha wananchi. The post Fimbo ya Spika: Alama…