Skip to content
  • Sun. Oct 19th, 2025

LTV TANZANIA

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY

Latest Post

Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini Nangu apewa mchongo wa maana Simba Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi Swing ya Gofu Afrika Mashariki ngoma nzito
MICHEZO

Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini

October 19, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Nangu apewa mchongo wa maana Simba

October 19, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba

October 19, 2025 mjombazecoder
BBC LIVE SOMA

Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi

October 19, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Swing ya Gofu Afrika Mashariki ngoma nzito

October 19, 2025 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini
MICHEZO
Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini
Nangu apewa mchongo wa maana Simba
MICHEZO
Nangu apewa mchongo wa maana Simba
Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba
MICHEZO
Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba
Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi
BBC LIVE SOMA
Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi
aarifa Kuu Za App
Uncategorized
aarifa Kuu Za App
MICHEZO
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini
MICHEZO
Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini
Nangu apewa mchongo wa maana Simba
MICHEZO
Nangu apewa mchongo wa maana Simba
Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba
MICHEZO
Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba
Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi
BBC LIVE SOMA
Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi
MWANANCHI

Taifa Stars kuvaana na Iran leo

October 14, 2025 mjombazecoder

Baada ya kupoteza mechi iliyopita dhidi ya Zambia kuwania nafasi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026,...

VIDEOS NEWS TV

Serikali kupitia Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) inaendelea kutekeleza miradi 13 ya dharura ya ujenzi wa barabara na madara…

October 14, 2025 mjombazecoder

Serikali kupitia Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) inaendelea kutekeleza miradi 13 ya dharura ya ujenzi wa barabara na madaraja mkoani Lindi kwa gharama ya shilingi bilioni 119, ili kurejesha miundombinu…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais Kunje Ngombale Mwiru wa Chama cha Wakulima (AAFP) ameahidi kuanzisha ujenzi wa masoko na hospitali za kanda mkoani…

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais Kunje Ngombale Mwiru wa Chama cha Wakulima (AAFP) ameahidi kuanzisha ujenzi wa masoko na hospitali za kanda mkoani Kigoma pamoja na kuwapatia bure wananchi bima ya afya akichaguliwa…

MWANANCHI

Kumbe maisha ya Zaiylissa yamekuwa hivi baada ya kuachana na Manara

October 14, 2025 mjombazecoder

Msanii wa Bongo Movies, Zaiylissa amezungumzia maisha yake baada ya kuachana na aliyekuwa mume...

VIDEOS NEWS TV

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amewahakikishia wananchi kuwa jeshi hilo limejipanga kikamilifu kuhakikish…

October 14, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amewahakikishia wananchi kuwa jeshi hilo limejipanga kikamilifu kuhakikisha amani na usalama wakati wa uchaguzi mkuu. Amesema wananchi wanapaswa kwenda kupiga kura…

VIDEOS NEWS TV

Mgombea Urais wa chama cha ADA-TADEA Georges Bussungu ameahidi kuleta mabadiliko katika sekta ya uchumi na teknolojia endapo ata…

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea Urais wa chama cha ADA-TADEA Georges Bussungu ameahidi kuleta mabadiliko katika sekta ya uchumi na teknolojia endapo atashinda kiti cha Urais. Amesongeza kuwa atafanikiwa katika hilo kwa kuhakikisha anaondoa…

MWANANCHI

Offset akanusha kumsaliti Cardi B kwa Saweetie

October 14, 2025 mjombazecoder

Rapa maarufu, Offset amevunja ukimya kuhusu uvumi unaomhusisha na msanii Saweetie, akikanusha...

VIDEOS NEWS TV

Mgombea wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu ameahidi kuwa na Bunge litakalokuwa na nguvu ya kuiwajibisha serik…

October 14, 2025 mjombazecoder

Mgombea wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu ameahidi kuwa na Bunge litakalokuwa na nguvu ya kuiwajibisha serikali atakayoiunda endapo atafanikiwa kushinda Urais mwaka huu. Mwalimu ametoa ahadi…

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Balozi wa Uganda nchini Tanzania Mh

October 14, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Balozi wa Uganda nchini Tanzania Mh. Anne Katusiime Kageye, katika ofisi ndogo ya Arusha, ameongoza wananchi wa nchi hiyo wanaoishi nchini Tanzania, kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa nchi…

MWANANCHI

TFF yaitwa tena mahakamani kesi ya kumfungia maisha Kocha

October 14, 2025 mjombazecoder

Mchakato usikilizwaji kesi ya madai inayolikabili Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF)...

MWANANCHI

Aliyezaa na Harmonize afunguka ya moyoni

October 14, 2025 mjombazecoder

Mwanadada Nana Shanteel aliyezaa na msanii wa Bongofleva Harmonize, amesema hawezi kumchukia...

VIDEOS NEWS TV

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema hali ya ulinzi na usalama nchini kuelekea uchaguzi mkuu utakaofany…

October 14, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania, DCP David Misime amesema hali ya ulinzi na usalama nchini kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025 imeendelea kuwa shwari, huku likiendelea kushirikiana na…

MWANANCHI

Mkubwa Fella awaonya mashabiki kuhusu bifu za wasanii

October 14, 2025 mjombazecoder

Meneja wa Diamond Platnumz, Mkubwa Fella, amewataka mashabiki kuacha kama yalivyo masuala ya...

BBC NEWS TANZANIA

Mashariki ya Kati ‘itaangamia’ bila taifa la Palestina, Mfalme wa Jordan aiambia BBC

October 14, 2025 mjombazecoder

Mfalme Abdullah II wa Jordan ameonya kuwa Mashariki ya Kati itaangamia iwapo hakutakuwa na mchakato wa amani utakaopelekea taifa la Palestina.

MWANANCHI

Polisi alivyouawa kwa kupigwa mshale nje ya lango la Ikulu Nairobi

October 14, 2025 mjombazecoder

Ni tukio linaloibua maswali nchini Kenya, baada ya mshukiwa aliyekuwa amejihami kwa upinde na...

MWANANCHI

Uhamiaji yaondoa raia wawili wa kigeni kwa kuvunja masharti ya viza

October 14, 2025 mjombazecoder

Idara ya Uhamiaji nchini imewaondosha raia wawili wa kigeni waliobainika kukiuka masharti ya...

BBC LIVE SOMA

Bunge la Kenya limepitisha sheria ya mali ya crypto ili kuimarisha uwekezaji

October 14, 2025 mjombazecoder

Wabunge wa Kenya wamepitisha mswada wa kudhibiti mali za kidijitali kama vile sarafu za siri, mbunge mkuu alisema Jumatatu.

MICHEZO

TFF yaitwa tena mahakamani kesi ya kumfungia kocha

October 14, 2025 mjombazecoder

Mchakato usikilizwaji wa kesi ya madai inayolikabili Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), iliyofunguliwa na Kocha Liston Katabazi akihoji uhalali wa kanuni za maadili zilizotumika kumuadhibu kifungo cha maisha…

BBC LIVE SOMA

Rais wa Ushelisheli aahidi kukabidhi madaraka kwa ‘heshima’ baada ya kushindwa katika uchaguzi

October 14, 2025 mjombazecoder

Kiongozi wa upinzani Herminie, ambaye alishinda duru ya pili ya uchaguzi wa Jumamosi, alifanya mkutano na rais anayemaliza muda wake siku ya Jumatatu.

HABARI ZA KIPEKEE

Iran: Trump hana haki ya kuzungumzia amani wakati anaisaidia Israel kuua watu kwa umati

October 14, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imejibu matamshi ya kibazazi ya Trump dhidi ya Tehran wakati alipolihutubia Bunge la Israel Knesset na imesema kuwa, Marekani ndiye nchi mzalishaji mkubwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Jihadul Islami yaupongeza Muqawama kwa kushikamana mpaka kuachiliwa kihistoria mateka wa Palestina

October 14, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Jihadul Islami ya Palestina imepongeza kuachiliwa huru mateka wa Palestina katika jela za kuogofya za kutokana na ushujaa wa wamamapambano wa kambi ya Muqawama…

BBC LIVE SOMA

‘Sura mpya kwa amani’ — Dunia inajibu baada ya kusaini hati rasmi ya kumaliza vita vya Gaza

October 14, 2025 mjombazecoder

Viongozi wa kimataifa wameitikia kwa furaha kusainiwa kwa mkutano wa Sharm El-Sheikh.

HABARI ZA KIPEKEE

Harakati ya Ukombozi wa Palestina: Hakuna mazungumzo yoyote kuhusu silaha

October 14, 2025 mjombazecoder

Utawala wa Kizayuni mara kwa mara umekuwa ukipiga ngoma ya kuwapokonya silaha wananchi wa Ghaza na hilo imelifanya zaidi wakati wa vita vyake vya miaka miwili dhidi ya Ghaza, lakini…

HABARI ZA KIPEKEE

Medvedev: Vita vitaendelea hadi taifa la Palestina litakapoundwa na kutambuliwa duniani

October 14, 2025 mjombazecoder

Rais wa zamani wa Russia, Dmitry Medvedev, amesisitizia haja ya kuundwa taifa huru la Palestina na kutambuliwa uwepo wa nchi huru ya Palestina duniani akisema kuwa, vita haviwezi kumalizika ila…

HABARI ZA KIPEKEE

Mkutano wa G20 kuhusu mazingira waanza kufanyika nchini Afrika Kusini

October 14, 2025 mjombazecoder

Mkutano wa Tatu na G20 wa mwisho wa Kikosi Kazi cha Mazingira na Ulinzi Endelevu wa Hali ya Hewa (ECSWG) ulifunguliwa rasmi jana Jumatatu mjini Cape Town, Afrika Kusini.

HABARI ZA KIPEKEE

Ndoto ya ushindi; mzozo mpya katika siasa za ndani za Israel baada ya makubaliano ya amani

October 14, 2025 mjombazecoder

Makubaliano ya amani ya Trump, licha ya madai ya Netanyahu kuwa ni "ushindi," yamewakasirisha Wazayuni wengi.

VIDEOS NEWS TV

#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Kalambo mkoani Rukwa ndugu Edfonce Kanoni, amesema endapo akichaguliwa kuwa mbunge atahakikisha…

October 14, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea ubunge Jimbo la Kalambo mkoani Rukwa ndugu Edfonce Kanoni, amesema endapo akichaguliwa kuwa mbunge atahakikisha anaishauri Serikali kupunguza bei za pembejeo za kilimo ili kuwawezesha wakulima kulima kwa…

BBC LIVE SOMA

Mzozo wasukuma nje watu 300,000 kutoka Sudan Kusini mwaka 2025: UN

October 14, 2025 mjombazecoder

Takriban watu 300,000 wa Sudan Kusini wameikimbia nchi mwaka 2025, hasa kutokana na kuongezeka kwa migogoro, Tume ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Kibinadamu ilisema Jumatatu.

BBC LIVE SOMA

Watu wanaoshukiwa kuwa waasi wa ADF wameua watu 19 mashariki mwa DRC

October 14, 2025 mjombazecoder

Watu wanaoshukiwa kuwa waasi wa ADF wamewauwa watu 19 katika shambulio la usiku moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, na kuzidisha ukosefu wa usalama katika eneo hilo lenye…

BBC LIVE SOMA

Rais wa Madagascar anachelewesha kuhutubia taifa, anasema kitengo cha jeshi kinaapa kudhibiti vyombo

October 14, 2025 mjombazecoder

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amerudisha nyuma hotuba yake ya kitaifa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu, na hivyo kuzidisha sintofahamu juu ya mahali alipo baada ya siku kadhaa za maandamano…

VIDEOS NEWS TV

Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 14, 2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108

October 14, 2025 mjombazecoder

Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 14, 2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108 #AzamTVUpdates

BBC LIVE SOMA

Wapiganaji wa ADF wauwa watu 19 mashariki mwa DRC

October 14, 2025 mjombazecoder

Wapiganaji wa ADF wanaohusishwa na Dola la Kiislamu wameua watu 19 mashariki mwa DRC, wakachoma nyumba na maduka, huku mamia ya wakazi wakikimbia makazi yao katika eneo la Lubero.

UM: Watu 300,000 walitoroka Sudan Kusini mnamo mwaka 2025 kufuatia mgogoro wa kivita

October 14, 2025 mjombazecoder

Takriban watu 300,000 wameikimbia Sudan Kusini tangu mwanzoni mwa mwaka 2025, huku mzozo kati ya viongozi wanaohasimiana ukitishia kuzua vita vya wenyewe kwa wenyewe, Umoja wa Mataifa unaonya. Imechapishwa: 14/10/2025…

MWANANCHI

Kauli ya Nyerere, ikulu ni mahali patakatifu, yawafikirisha wasomi

October 14, 2025 mjombazecoder

Wakati ikitimia miaka 26 tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere afariki dunia, moja ya...

MWANANCHI

Asante Mwalimu Nyerere kutujengea nchi ambayo ‘yote yanawezekana’

October 14, 2025 mjombazecoder

Oktoba 29, 2025, Tanzania itafanya uchaguzi mkuu kwa mara ya sita tangu Mwalimu Nyerere...

Senegal: Kaka wa rais wa zamani Macky Sall na mkewe wameachiliwa

October 14, 2025 mjombazecoder

Baada ya siku nne chini ya ulinzi wa polisi, hatimaye kaka wa rais wa zamani wa Senegal, Macky Sall, na mkewe waachiliwa. Aliou Sall na mkewe ambao wamekuwa wakishukiwa kuwa…

DRC: Kundi la waasi wa Uganda ADF limeua watu 19 Mukondo

October 14, 2025 mjombazecoder

Kundi lenye mfungamano na Islamic State, ADF, inashtumiwa kutekeleza shambulio lililogharimlu maisha ya wayu wasiopunguwa 19 katika kijiji cha Mukondo, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia. Mauaji hayo yanayobainisha kutokuwa na…

VIDEOS NEWS TV

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI: …OKTOBA 14 2025

October 14, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI: ...OKTOBA 14 2025

BBC NEWS TANZANIA

Trump atangaza mwisho wa vita vya Gaza

October 14, 2025 mjombazecoder

Trump aliwaita viongozi wa Kiislamu na Ulaya nchini Misri kujadili mustakabali wa Ukanda wa Gaza na uwezekano wa kupatikana kwa amani ya kudumu ya eneo hilo.

HABARI ZA KIPEKEE

Watumiaji wa X: Hamas imehuisha jina Palestina/ Israel ndilo neno linalochukiwa zaidi duniani

October 14, 2025 mjombazecoder

Katika radiamali kwa makubaliano ya kuhitimisha vita huko Gaza, watumiaji wa mtandao wa kijamii wa "X" wamesema utawala wa Kizayuni umeshindwa kufikia malengo yake dhidi ya muqawama wa Kiislamu wa…

BBC LIVE SOMA

Trump asifu “siku kubwa kwa Mashariki ya Kati”

October 14, 2025 mjombazecoder

Donald Trump na viongozi wa Mashariki ya Kati wametia saini tamko la Gaza nchini Misri, hatua iliyopelekea kubadilishana kwa mateka na wafungwa kati ya Israel na Hamas, na kuzua matumaini…

MWANANCHI

Alichoamini Mwalimu Nyerere kuhusu elimu

October 14, 2025 mjombazecoder

Alisisitiza kuwa elimu inapaswa kumwezesha mtu kufikiri, kuwa huru katika uamuzi, na kushiriki...

VIDEOS NEWS TV

Wagombea wanaotoa ahadi ambazo hazina uhalisia katika utekelezaji, Je, wanaelewa athari zake?

October 14, 2025 mjombazecoder

Wagombea wanaotoa ahadi ambazo hazina uhalisia katika utekelezaji, Je, wanaelewa athari zake?

MWANANCHI

Mtu ana elimu na maarifa kiasi gani?

October 14, 2025 mjombazecoder

Pamoja na uwepo wa methali hizi, na mifano mingine katika maisha inayotuonyesha kwamba hatujui...

Ghana: Makubaliano ya uhamiaji na Marekani yapingwa katika Mahakama ya Juu

October 14, 2025 mjombazecoder

Wakati kundi jipya la wahamiaji waliohamishwa kutoka Marekani wakiwasili mjini Accra siku ya Jumatatu, Oktoba 13, ofisi ya mawakili imewasilisha malalamiko katika mahakama ya juu zaidi ya Ghana ikitaka kusimamishwa…

BBC LIVE SOMA

China ‘kupambana hadi mwisho’ vita vya biashara na Marekani

October 14, 2025 mjombazecoder

China imesema iko tayari “kupambanaa hadi mwisho” katika vita vya kibiashara na Marekani, baada ya Rais Donald Trump kutangaza ushuru wa asilimia 100 kwa bidhaa zote za China, hatua iliyotikisa…

HABARI ZA KIPEKEE

Ushindi kwa HAMAS: Mamia ya mateka wa Kipalestina waachiliwa huru

October 14, 2025 mjombazecoder

Mamia ya mateka wa Kipalestina wameachiliwa huru kutoka jela za Israel siku ya Jumatatu chini ya awamu ya kwanza ya makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza. Katika uamuzi wa kushangaza jeshi…

BBC NEWS TANZANIA

Urusi: Tutaipatia Iran silaha za kijeshi inazohitaji

October 14, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov amesema ushirikiano wa kijeshi na Iran utaendelea "kwa mujibu wa sheria za kimataifa," hata baada ya vikwazo vya silaha vya Umoja…

MWANANCHI

Vikwazo utoaji wa elimu kidijitali shuleni, vyuoni

October 14, 2025 mjombazecoder

Kwa mujibu wa takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Watanzania wengi sasa...

Mgogoro Madagascar: Rais Rajoelina ahutubia taifa na kutoa wito wa ‘kuheshimu Katiba’

October 14, 2025 mjombazecoder

Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amehutubia taifa jioni ya Jumatatu, Oktoba 13, katika matangazo ya video kwenye mitandao ya kijamii. Mkuu wa nchi, anayepingwa sana na wakazi wake na sehemu…

Posts pagination

1 … 20 21 22 … 178

Recent Posts

  • Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini
  • Nangu apewa mchongo wa maana Simba
  • Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba
  • Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi
  • Swing ya Gofu Afrika Mashariki ngoma nzito

Recent Comments

  1. A WordPress Commenter on aarifa Kuu Za App

Archives

  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • July 2025
  • August 2024
  • June 2016

Categories

  • BBC LIVE SOMA
  • BBC NEWS TANZANIA
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • LTV LIVE TV
  • LTV TV
  • MAGAZETI
  • MICHEZO
  • MWANANCHI
  • ONLINETV
  • SPORTVTV
  • Uncategorized
  • VIDEOS NEWS TV

You missed

MICHEZO

Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini

October 19, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Nangu apewa mchongo wa maana Simba

October 19, 2025 mjombazecoder
MICHEZO

Nangu apewa mbinu za kung’ara Simba

October 19, 2025 mjombazecoder
BBC LIVE SOMA

Raila Odinga ashushwa kaburini kwa heshima ya kijeshi

October 19, 2025 mjombazecoder

LTV TANZANIA

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS