Cardinal Pengo: A pillar of the Catholic church in Tanzania
DAR ES SALAAM: HIS Eminence, Cardinal Polycarp Pengo, was a Tanzanian prelate of the Catholic Church who served as Archbishop of Dar es Salaam and became one of Africa’s most…
Miaka 20 ya Mwasiti kwenye Bongofleva, kuna haya usiyoyajua…
Kati ya wanamuziki wa mwanzo kabisa kutoka chini ya usimamizi wa Tanzania House (THT), ni...
Majeshi ya majini ya Iran, Afrika Kusini na Sri Lanka kushirikiana usalama baharini
Kamanda wa Jeshi la Wanamaji wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza udharura wa ushirikiano kati ya vikosi vya majini vya Iran na vile vya Afrika Kusini na Sri Lanka…
Mauzo ya nje ya kilimo ya Iran yaongezeka, asilimia 85 ya chakula ni uzalishaji wa ndani
Waziri wa Jihadi ya Kilimo wa Iran ametangaza ongezeko kubwa la mauzo ya nje ya kilimo hapa nchini hadi dola bilioni nane na kutangaza kwamba asilimia 85 ya usalama wa…
Russia yakanusha madai ya kuwaajiri Wakenya katika vita vya Ukraine
Russia imekanusha madai kwamba inawaajiri Wakenya kupigana vitani nchini Ukraine, kufuatia ripoti za Huduma ya Kijasusi ya Kitaifa ya Kenya kwamba zaidi ya Wakenya 1,000 kwa sasa wanapigana upande wa…
Zaidi ya Wapalestina na Waarabu 9,300 wanashikiliwa mateka katika magereza ya Israel
Klabu ya Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, zaidi ya mateka na wafungwa 9,300 wa Palestina na Kiarabu wanashikiliwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel na wamekuwa wakikabiliwa na sera…
Nchi 30, Tume ya EU yatoa wito wa kukomeshwa mara moja mapigano Sudan
Wawakilishi kutoka nchi 30 na Tume ya Umoja wa Ulaya wametoa wito wa kukomeshwa mara moja uhasama nchini Sudan, wakielezea wasiwasi mkubwa kuhusu kuendelea mashambulizi ya mauti dhidi ya raia…
#MEZAHURU: Je, baadhi ya vijana kutumia majina ya wasanii wanaojulikana na kujiingiza kipato Kwenye show na Mtandaoni, Kipi…
#MEZAHURU: Je, baadhi ya vijana kutumia majina ya wasanii wanaojulikana na kujiingiza kipato Kwenye show na Mtandaoni, Kipi kifanyike kupambana na hii changamoto..? -Weka maoni yako
Ishu ya kubeti yaibua mapya Yanga, Simba
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TFF imesema haki zote za kubashiri michezo ya Ligi Kuu...
Panda, shuka safari ya Luiza Mbutu kwenye muziki
Alianza kama utani kuipambania ndoto yake ya kuwa mwanamuziki tangu akiwa mdogo na sasa...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….FEBRUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....FEBRUARI 20, 2026
Ulaji sahihi wanaofunga Ramadhan na Kwaresma
Katika jamii yetu, kufunga ni sehemu ya maisha kwa misingi ya imani za dini na hata sababu za...
Charles Kanjama awashinda Peter Wanyama, Mwaura Kabata na kunyakuia kiti cha LSK
Charles Kanjama amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Mawakili nchini Kenya, akielezea maono yanayoangazia utawala wa sheria, uhuru wa mahakama na ustawi wa wanasheria
#HABARI: Vijana kutoka makundi mawili mkoani Mwanza, waliowasilisha mawazo yao kupitia Wizara ya Vijana mnamo Januari mwaka huu,…
#HABARI: Vijana kutoka makundi mawili mkoani Mwanza, waliowasilisha mawazo yao kupitia Wizara ya Vijana mnamo Januari mwaka huu, wamepatiwa jumla ya shilingi milioni 200 kwa ajili ya kutekeleza miradi yao…
Magazeti Ijumaa, 20: Jinsi polisi walivyozima shambulizi la kigaidi lililokuwa limepangwa Nairobi
Ijumaa, Februari 20, magazeti yalifichua jinsi vyombo vya usalama vilizuia shambulio la kigaidi lililopangwa kufanyika Nairobi wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Rais Samia aomboleza kifo cha Kardinali Pengo
Rais Samia ametuma salamu za pole kwa Askofu Mkuu Ruwa’ichi, Baraza la Maaskofu Katoliki...
Rekodi za Baresizashtua KMC
KMC iliyotolewa hatua ya 64 bora ya michuano hiyo, Baresi ameiongoza mechi saba za mashindano...
🔴KUMEKUCHA KISHINDO:….FEBRUARI 20, 2026
🔴KUMEKUCHA KISHINDO:....FEBRUARI 20, 2026
Nigeria yazindua operesheni ya kupambana na ugaidi katika Jimbo la Kwara
Jeshi la Nigeria limezindua rasmi operesheni kubwa ya kupambana na ugaidi siku ya Alhamisi katika Jimbo la Kwara katika eneo la katikati magharibi mwa nchi. Operesheni hii, iliyotangazwa mapema mwezi…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….FEBRUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....FEBRUARI 20, 2026
Funga za Ramadhan na Kwaresma ndani ya jicho la afya
Katika kalenda za dini mbili kubwa duniani Uislamu na Ukristo, kuna vipindi maalumu vya waumini...
Mali: Shambulio la ndege isiyo na rubani ya waasi wa FLA dhidi ya jeshi yaua watu kadhaa
Nchini Mali, waasi wanaotaka kujitenga wa Azawad Liberation Front (FLA) wamedai kuhusika na shambulio la ndege isiyo na rubani dhidi ya msafara wa jeshi la Mali na wanamgambo wa Urusi…
Hahaha Side ameshtuka mambo ya kuitwa na madawa ila kajichanganya kwenye maelezo yake 😆🙌 Usikose kutazama NOMA leo saa 1:00 usik…
Hahaha Side ameshtuka mambo ya kuitwa na madawa ila kajichanganya kwenye maelezo yake 😆🙌 Usikose kutazama NOMA leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD (Feed generated with FetchRSS)
Senegal: Serikali yaidhinisha muswada unaolenga kuimarisha sheria kuhusu wapenzi wa jinsia moja
Muswada huo uliyopitishwa na baraza la mawaziri jioni ya Jumatano, Februari 18, unalenga kuongeza adhabu kwa wale watakaopatikana na hatia ya “vitendo kinyume na maumbile” na kuzipanua kwa mashirika ambayo…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO:….FEBRUARI 20, 2026
🔴KUMEKUCHA MICHEZO:....FEBRUARI 20, 2026
Hawa wameruhusiwa kutofunga Mwezi wa Ramadhan
Saumu ni ibada inayohitaji subira na ustahimilivu. Wapo katika jamii ambao huenda wasiweze...
DRC: Ufaransa yakiri kuwapa mafunzo wanajeshi wa DRC kwa ombi la Kinshasa
Ubalozi wa Ufaransa nchini DRC umethibitisha uwepo wa maafisa wa jeshi la Ufaransa huko Kisangani kama sehemu ya mpango wa ushirikiano wa kijeshi kati ya nchi hizo mbili. Kimsingi wakiwa…
Unataka kufunga na una kisukari? Zingatia haya
Mwezi wa Ramadhani unapowadia, mamilioni ya Waislamu duniani huingia katika kipindi cha ibada...
Polisi wa Afrika Kusini wamekamata mtoto wa kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe
Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini. Imechapishwa: 20/02/2026 – 05:38 Dakika 2 Wakati wa kusoma Matangazo ya…
Mwathirika wa Mrusi aliyerekodi video za faragha za wanawake azungumza na BBC
Jitihada zinaendelea za "kufuatilia ushahidi wa kidijitali na kifedha" wa maudhui hayo ya faragha kwenye majukwaa ya kulipia.
KONA YA MSTAAFU: Siku ya Wastaafu itakuwa lini?
Mwaka mzima wa mwaka jana, kama ilivyo miaka mingine ya nyuma, mstaafu wetu wa taifa wa kima...
Mwanamfalme wa zamani wa Uingereza Andrew aachiliwa baada ya kukamatwa kwa utovu wa nidhamu
Andrew Mountbatten-Windsor, mwanachama wa zamani wa familia ya kifalme ya Uingereza, ameachiliwa huru baada ya kukamatwa kwa utumiajimbaya wa madaraka. Alishukiwa kumpa Jeffrey Epstein, aliyehukumiwa kwa unyanyasaji wa kingono, hati…
Trump aonya kuhusu ‘mambo mabaya yatatokea’ ikiwa Iran itashindwa kufikia makubaliano
Rais Donald Trump amesema siku ya Alhamisi anaamini Iran inaweza kufikia makubaliano ndani ya siku 10 hadi 15. Hata hivyo, mazungumzo yamekwama kwa miaka mingi, na Iran inakataa kujadili madai…
Ulaji daku unavyounganisha imani na afya ya mfungaji
Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, wakati wa alfajiri unapokaribia, mamilioni ya Waislamu...
AFCON 2025: Hukumu za miezi mitatu hadi mwaka mmoja jela dhidi ya mashabiki 18 wa Senegal
Mahakama ya Morocco imetoa uamuzi wake siku ya Alhamisi, Februari 19, huko Rabat, wakati wa kumalizika kwa kesi ya mashabiki 18 wa Senegal na Mfaransa mmoja waliokamatwa wakati wa vurgugu…
Dunia ina siku 10 kuona ikiwa Iran inafikia makubaliano au ‘kitu kibaya kitokee’ – Trump
Katika siku za hivi karibuni, Marekani imeongeza vikosi vya kijeshi Mashariki ya Kati, huku hatua ikisemekana kupigwa katika mazungumzo kati ya wapatanishi wa Marekani na Iran nchini Uswisi.
🔴#MAGAZETI: DARASA LENYE KITABU KIMOJA LAZUA ZOGO
🔴#MAGAZETI: DARASA LENYE KITABU KIMOJA LAZUA ZOGO
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: PSG inamsaka Haaland Man City
Paris St-Germain yaonyesha nia ya kumsajili Erling Haaland, vilabu kadhaa vya Ulaya vinamtaka Bernardo Silva na Carlo Ancelotti ana nia ya kuongeza muda wake wa ukocha wa Brazil.
Kiongozi Muadhamu ahudhuria hafla ya Qur’ani siku ya kwanza ya Ramadhani
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amehudhuria kikao cha kiroho cha Qur'ani katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, akijumuika na maqarii na wasomaji…
Wachunguzi wa UN: Yumkini mauaji ya halaiki yamefanyika El-Fasher
Ujumbe wa kutafuta ukweli wa Umoja wa Mataifa umesema ukatili uliofanywa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF wakati wa kuutwaa mji wa El-Fasher huko Darfur Magharibi nchini Sudan mwezi…
Magaidi wa Lakurawa waua watu 34 kaskazini mwa Nigeria
Kwa akali watu 34 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa Lakurawa kwenye vijiji kadhaa katika jimbo la Kebbi, kaskazini magharibi mwa Nigeria, ripoti ya usalama iliyoonekana na Reuters ilisema Alkhamisi.
Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa maisha jela
Mahakama ya Korea Kusini jana Alkhamisi ilimhukumu rais wa zamani wa nchi hiyo, Yoon Suk Yeol kifungo cha maisha jela kwa kutangaza sheria ya kijeshi mnamo Desemba 2024, na kumtia…
Waholanzi 640 waliohudumu katika jeshi la Israel Gaza kushtakiwa
Zaidi ya raia 640 wa Uholanzi wamehudumu katika jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya halaiki vya utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Gaza na kwneye mashambulizi dhidi…
Kardinali Pengo afariki dunia
Taarifa za kifo chake zimetolewa usiku wa kuamkia leo Ijumaa, Februari 20, 2025 na Askofu Kuu...
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 20, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 20, 2026
Ongezeko la shehena ya mizigo na ufanisi bandarini
Ongezeko la shehena ya mizigo na ufanisi bandarini. Je, unaendana na uboreshaji mifumo mingine wezeshi kuepusha mkwamo ?
Rais mpya wa Venezuela katika njia panda kati ya shinikizo kutoka Marekani na kuimarisha ushawishi wake nchini humo
Trump amemtaja Rodríguez kuwa "mtu mzuri" ambaye amefanya naye kazi. Rodríguez, kwa upande wake amesema wamekuwa na mawasiliano na Trump kwa njia ya "heshima" na "uangalifu".
Ijumaa, tarehe 20 Februari, 2026
Leo ni Ijumaa tarehe Pili Ramadhani 1447 Hijria sawa na Februari 20 mwaka 2026.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 20, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…