Hapa ndipo zilipo Sh200 bilioni za vijana
Serikali imesema Sh200 bilioni zilizoahidiwa kwa ajili ya kuwawezesha vijana tayari zimetolewa...
Gesi asilia imeendelea kutajwa kuwa nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi wa taifa kutokana na uwezo wake wa kutoa nishati nafuu, ya …
Gesi asilia imeendelea kutajwa kuwa nguzo muhimu ya ukuaji wa uchumi wa taifa kutokana na uwezo wake wa kutoa nishati nafuu, ya uhakika na rafiki kwa mazingira. Matumizi ya nishati…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Waziri Rajab Salum amezitaka taasisi zinazosimamia sekta ya viwanda na biashara ku…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Waziri Rajab Salum amezitaka taasisi zinazosimamia sekta ya viwanda na biashara kuweka mikakati madhubuti ya kuwasaidia wajasiriamali wabunifu kupata mikopo na mitaji…
Katika kukabiliana na changamoto zinazowakwamisha wafugaji na wavuvi nchini, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt
Katika kukabiliana na changamoto zinazowakwamisha wafugaji na wavuvi nchini, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Dkt. Bashiru Kakurwa amesema nafasi hiyo inapoteza maana iwapo changamoto hizo zitaendelea kuwasumbua na kuwafanya kuwa…
Minon’gono yaibuka Oburu Oginga akifanya mazungumzo na viongozi wa Siaya bila James Orengo
Mkutano wa Seneta Oburu Oginga na viongozi wa Siaya umezua minong'ono kuhusu nafasi ya Gavana Orengo huku kukiwa na mvutano wa kisiasa na mabadiliko yanayonusia.
#HABARI: Kesi ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, imeendelea katika Mahakama Kuu y…
#HABARI: Kesi ya uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, imeendelea katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ya Dar es Salaam mbele ya jopo la majaji watatu…
SMZ, Infinity kushirikiana mradi wa uhifadhi utakaogharimu dola mil 12
Zanzibar: Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale pamoja na Wizara ya Kazi na Uwekezaji, imesaini makubaliano ya Ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na…
Showmax hits airwaves with Jacob’s Daughters, Undugu
DAR ES SALAAM: LOVERS of entertainment and cinema in the country will soon be able to watch and be entertained by two popular Showmax Original productions, Undugu and Jacob’s Daughters,…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TABORA , FEBRUARI 19, 2026 – WAFUGAJI WAOMBA MBEGU BORA ZA MIFUGO ZA KISASA
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TABORA , FEBRUARI 19, 2026 - WAFUGAJI WAOMBA MBEGU BORA ZA MIFUGO ZA KISASA
Wafanyabiashara Kariakoo waendelea kukaidi tangazo la Jiji
Licha ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kutoa tangazo la kuwaondoa wafanyabiashara...
Billionaire Suri pays courtesy call to Zambia’s VP
LUSAKA, ZAMBIA: In a meeting marked by elegance, respect, and mutual admiration, Africa’s youngest billionaire and richest Indian on the continent, Prateek Suri, paid a prestigious courtesy visit to Zambia’s…
Tanzania bans public servants from using personal airmail for office communications
ARUSHA: TANZANIA has banned public servants from using personal emails to send official office communications, insisting that official government email systems must be used. “This is a major challenge. We…
VETA launches the VSOMO platform to facilitate mobile learning of technical skills
DODOMA: THE Vocational Education and Training Authority (VETA) has launched VSOMO, a mobile-based platform that allows citizens to learn, practice, and complete exams for technical skills directly from their smartphones.…
DC sees good progress in Msalato Airport, Outer Rings Road construction
DODOMA: THE Dodoma District Commissioner, Jabir Shekimweri, has inspected the progress of construction at Msalato International Airport as well as the Outer Ring Roads project and expressed satisfaction with the…
Bilioni 192 zatengwa miradi ya maendeleo Temeke
DAR ES SALAAM: BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Temeke limepitisha rasimu ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2026/2027 yenye jumla ya Shilingi bilioni 192, ambazo zinatarajiwa kutumika…
CCM yajitosa mgogoro ardhi Uvinza, yawatuliza wananchi
Chama cha Mapinduzi (CCM), kimewaahidi wananchi wa Uvinza mkoani Kigoma kufuatilia kwa ukaribu...
Temeke Municipality tables 192bn/- budget for development projects
DAR ES SALAAM: THE Council of Councilors of the Temeke Municipal Council has approved the draft budget for the 2026/2027 fiscal year, totaling 192bn/-. The draft budget will be used…
Kariakoo Derby haikwepekei
Kariakoo Derby haikwepekei Lipia sasa kifurushi chako cha shilingi 28,000 ili usipitwe na mchezo huu. #Kariakooderby #Azamtvsports (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Baraza la Madiwani la Manispaa ya Temeke limepitisha rasimu ya bajeti ya Shilingi bilioni 192.6 kwa ajili ya mwaka wa f…
#HABARI: Baraza la Madiwani la Manispaa ya Temeke limepitisha rasimu ya bajeti ya Shilingi bilioni 192.6 kwa ajili ya mwaka wa fedha 2026/27, ambapo Shilingi bilioni 75 zinatarajiwa kutokana na…
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, ikiongozwa na Mwenyekiti Mhe
#HABARI: Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, ikiongozwa na Mwenyekiti Mhe. Subira Mgalu, imetoa wito kwa sekta binafsi kuwekeza katika ujenzi wa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Zanzibar imetupilia mbali maombi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilis…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Zanzibar imetupilia mbali maombi ya kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi katika majimbo nane ya kisiwani Pemba, yaliyokuwa yamewasilishwa na wagombea…
Amekutana naye leo Februari 19, 2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katika mkutano uliofanyika katika kata ya Marangu-Kitowo,…
Amekutana naye leo Februari 19, 2026 alipokuwa akizungumza na wananchi katika mkutano uliofanyika katika kata ya Marangu-Kitowo, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro baada ya kupokea taarifa za ujenzi wa Mradi…
Waziri ataja sababu SMZ kukopa badala ya kutegemea wafadhili
Wakati baadhi ya wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakieleza wasiwasi wao kuhusu sababu za...
Sh30.9 bilioni kurejesha, kuhuisha maeneo ya kihistoria Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kupitia Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale pamoja na Wizara...
Tanzania’s Parliamentarians seek a broader promotion of CNG
DAR ES SALAAM: THE Parliamentary Standing Committee on Energy and Minerals visited the main natural gas filling station, Mlimani-CNG, in Dar es Salaam to learn how the station operates and…
Mashauri 40 ya ndoa yatinga kliniki ya sheria
Katika kipindi cha siku mbili jumla ya mashauri 40 yanayohusu migogoro ya ndoa yamepokelewa...
Serikali yatangaza mkakati kudhibiti nyani Rombo
Serikali ina mpango wa kurejesha biashara ya kuuza viumbe hai, wakiwemo nyani na tumbili, hatua...
Tanzania inavyoweza kuhakikisha usalama wa dawa za asili
Tiba za asili zimeendelea kuwa nguzo muhimu ya huduma za afya nchini Tanzania, huku Ripoti ya...
KAGIS yagusa maisha ya Watanzania 123,000 mikoa 2
MRADI wa Uwezeshaji Wasichana Balehe kuendelea na Masomo (KAGIS) umesaidia takribani watu 123,489 katika mikoa ya Geita na Kigoma kwa miaka mitano ya utekelezaji. Mradi wa KAGIS umetekelezwa chini ya…
TFS kuimarisha huduma kwa wananchi, mazingira bora ya kazi kwa vijana
KAMISHNA wa Uhifadhi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof Dos Santos Silayo, amewataka viongozi na makamanda wa vituo vya wakala huo kubadili mtazamo wa uongozi kwa kusikiliza…
Millicent Omanga aingia dau la Edwin Sifuna la Linda Mwananchi baada ya kumtema Ruto
Siku chache tu baada ya kusifia mkutano wa hadhara wa Kitengela uliohudhuriwa na halaiki Jumamosi, Februari 14, Omanga ametangaza amejiunga na timu hiyo.
taalamu wa Historia, Dkt
taalamu wa Historia, Dkt. Hubert Ndomba, amesema jamii inapaswa kupokea mabadiliko yanayoletwa na wakati, lakini ichague kwa makini yale yanayoendana na tamaduni na malengo yake ya maendeleo. Ameeleza kuwa maendeleo…
Vijana wa kizazi cha sasa maarufu kama Gen Z wameshauriwa kujifunza na kuenzi maadili ya vizazi vilivyotangulia maarufu ‘Wahenga…
Vijana wa kizazi cha sasa maarufu kama Gen Z wameshauriwa kujifunza na kuenzi maadili ya vizazi vilivyotangulia maarufu ‘Wahenga”, ikielezwa kuwa kuwa maadili ni msingi wa maendeleo ya jamii kiuchumi…
Kamati yashauri matumizi gesi asilia yaongezwe nchini
DAR ES SALAAM :KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imetembelea kituo mama cha kushindilia gesi asilia cha Mlimani-CNG jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujifunza namna…
Korea Kusini: Rais wa zamani Yoon Suk-yeol ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kuongoza uasi
Rais wa zamani wa Korea Kusini Yoon Suk-yeol amepatikana na hatia leo Alhamisi, Februari 19, ya kuongoza uasi kwa kuweka sheria ya kijeshi kwa muda mfupi na kupeleka jeshi Bungeni…
Ruth Odinga amuunga mkono Edwin Sifuna, aikosoa kambi ya Oburu kwa kumtimua vibaya SG
Ruth Odinga alimuunga mkono Edwin Sifuna wa ODM, akisema utaratibu unaofaa ulipuuzwa katika kuondolewa kwake, akisisitiza lazima kanuni za chama ziheshimiwe.
Soko la mbao linavyozidi kukua Tanzania
Asilimia 65.2 ya mauzo ya bidhaa za misitu yaliyofanyika katika robo ya mwaka iliyoishia...
Rekodi za Baresi zashtua KMC
JINAMIZI la mwenendo mbovu wa matokeo limeendelea kuikumba KMC msimu huu, huku kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’, akiendeleza rekodi mbaya, tangu alipojiunga nayo Desemba 30, 2025, akichukua nafasi…
#HABARI: Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani imepitisha kwa kishindo bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 yenye jumla ya Shilingi Bili…
#HABARI: Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani imepitisha kwa kishindo bajeti ya mwaka wa fedha 2026/2027 yenye jumla ya Shilingi Bilioni 68.7 ikilenga utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayowalenga wananchi.…
Masauni ahimiza wanafunzi Zanzibar kulinda, kuenzi Muungano
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amewataka wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu Zanzibar kuwa mstari wa mbele kulinda, kuuenzi…
Mastaa Ligi Kuu wajibu mapigo FA
WACHEZAJI wanaocheza timu za Ligi Kuu Bara, wameanza vyema michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), baada ya kufunga 'Hat-Trick' mbili kabla ya mechi za jana, ikiwa ni idadi kubwa kwa…
Ministry ordered to secure a contractor for the Lake Chala Water project
KILIMANJARO: PRIME MINISTER Mwigulu Nchemba has given the Ministry of Water two weeks to complete the process of securing a contractor for the construction of a water project sourcing water…
Ministry hails Rombo-based school for offering students marketable skills
MKUU: A newly constructed Mwalimu Stephen Moshi Technical Secondary School in Rombo District, Kilimanjaro Region, is emerging as a key hub for practical skills training in the country. The school…
DRC na nchi nyingine nne za Afrika zinataka kuanzisha kituo cha pamoja mpakani
DRC, Zambia, Msumbiji, Zimbabwe, na Botswana zimekubaliana kujenga kituo cha pamoja mpakani. Mradi huu ulikuwa lengo la mkutano wa kiufundi uliofanyika siku ya Jumatano, Februari 18, huko Dubai, Falme za…
Mfanyabiashara ya madini Arusha auawa kikatili, mikono yavunjwa, macho yatobolewa
Hali ya simanzi, majonzi na hofu imetanda jijini Arusha kufuatia kuuawa kikatili kwa...