Mastaa Ligi Kuu wajibu mapigo FA
WACHEZAJI wanaocheza timu za Ligi Kuu Bara, wameanza vyema michuano ya Kombe la Shirikisho (FA), baada ya kufunga 'Hat-Trick' mbili kabla ya mechi za jana, ikiwa ni idadi kubwa kwa…
Ministry ordered to secure a contractor for the Lake Chala Water project
KILIMANJARO: PRIME MINISTER Mwigulu Nchemba has given the Ministry of Water two weeks to complete the process of securing a contractor for the construction of a water project sourcing water…
Ministry hails Rombo-based school for offering students marketable skills
MKUU: A newly constructed Mwalimu Stephen Moshi Technical Secondary School in Rombo District, Kilimanjaro Region, is emerging as a key hub for practical skills training in the country. The school…
DRC na nchi nyingine nne za Afrika zinataka kuanzisha kituo cha pamoja mpakani
DRC, Zambia, Msumbiji, Zimbabwe, na Botswana zimekubaliana kujenga kituo cha pamoja mpakani. Mradi huu ulikuwa lengo la mkutano wa kiufundi uliofanyika siku ya Jumatano, Februari 18, huko Dubai, Falme za…
Mfanyabiashara ya madini Arusha auawa kikatili, mikono yavunjwa, macho yatobolewa
Hali ya simanzi, majonzi na hofu imetanda jijini Arusha kufuatia kuuawa kikatili kwa...
Zaidi ya Wakenya 1,000 wanatumikishwa katika vita kati ya Urusi na Ukraine, ripoti inasema
Jumla ya Wakenya 1,000 wameajiriwa kupigania Urusi, kulingana na ripoti ya ujasusi ya Kenya inayoelezea mtandao wa maafisa wahalifu wanaodaiwa kushirikiana na makundi ya biashara haramu ya binadamu. Imechapishwa: 19/02/2026…
Mawaziri wa Iran na Saudi Arabia wajadili uhusiano wa pande mbili, mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Saudi Arabia wamefanya mazungumzo na kujadili uhusiano wa pande mbili na mchakato wa mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani
Umoja wa Mataifa: Israel inaendeleza ‘hatua za taratibu’ kunyakua Ukingo wa Magharibi
Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba, mipango ya utawala ghasibu wa Israel ya kuimarisha udhibiti wa sehemu za Ukingo wa Magharibi inakwenda sambamba na…
CPJ: Waandishi wa Habari wa Kipalestina wanateswa katika magereza ya Israel
Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) imetangaza kuwa, waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia…
Ripoti: Uwezekano wa kutokea mzozo wa kijeshi kati ya Misri na Israel kuhusu “Somaliland”
Vyombo vya habari vya utawala wa kibaguzi wa Israel vimeelezea wasiwasi kwamba, matukio katika eneo la Pembe ya Afrika mpaka Februari mwaka huu (2026) yanaonyesha ongezeko kubwa la mvutano kati…
Tanzania-Korea project records good progress in the fight against infectious diseases
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government, in collaboration with South Korea, has noted a remarkable progress in the implementation of the project to improve the National Public Health Laboratory in…
Wimbi la picha, video za AI linatikisa imani ya watumiaji mtandao
Hivi umewahi kuingia kwenye mtandao wa Instagram, Facebook, X au Tiktok ukakutana na video au...
PM warns against hiding people with disabilities from the public
MOSHI: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has urged Tanzanians to stop hiding people with disabilities in their homes, stressing that the practice undermines the government’s efforts to reach them and provide…
Barbara Batte Guevara na harakati za kueneza Kiswahili nchini Cuba
Chuo Kikuu cha Havana nchini Cuba. Kwa kushirikiana na Tanzania chuo hicho ambacho mwezi uliopita kimetimiza miaka 298 tangu kuanzishwa kwake, hivi karibuni kimetoa fursa kwa Wacuba kujifunza lugha ya…
Ripoti yaihubua hofu ya utokomezaji wa kabila huko Gaza ya wapalestina
Ripoti mpya ya Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu (OHCHR), imeibua hofu ya uwezekano wa ‘utokomezaji wa kabila’ unaodaiwa kufanywa na mamlaka za Israel katika maeneo ya…
Katibu Mkuu wa UN apendekeza Mfuko wa dola bilioni 3 kuhakikisha AI inawanufaisha wote
AI haipaswi kuamuliwa na nchi chache au kuachwa mikononi mwa matajiri wachache wa teknolojia. AI lazima isimamiwe na kudhibitiwa na binadamu, kwa uwajibikaji wa wazi Ikitumika vyema AI inaweza kuharakisha…
Ushahidi kutoka El-Fasher Sudan wafichua kampeni ya mauaji ya kimbari inayolenga jamii zisizo za Kiarabu
Vikosi vya Rapid Support Forces (RSF) vya nchini Sudan vilitekeleza kampeni iliyoratibiwa ya uharibifu dhidi ya jamii zisizo za Kiarabu ndani ya mji wa El-Fasher na viunga vyake, kampeni yenye…
Mwitikio uwekezaji vitalu vya mafuta Zanzibar hakijaeleweka
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema mwitikio wa kampuni zinazojitokeza kuwekeza katika...
Moses Kuria amsifu Edwin Sifuna kwa mapendekezo yake kwa mkataba wa Ruto-Sakaja: “Well Done Omwami”
Moses Kuria amemsifia Seneta Edwin Sifuna kwa ukosoaji wake wa mkataba wa ushirikiano wa Nairobi, akiangazia mapendekezo yake ya kuboresha utoaji huduma.
Wakenya zaidi ya 1,000 wanashiriki katika vita vya Russia na Ukraine
Zaidi ya Wakenya 1,000 wamekwenda kupigana upande wa jeshi la Russia nchini Ukraine. Ripoti ya kijasusi iliyowasilishwa katika bunge la Kenya, imesema kuwa, wengi wa raia hao walidanganywa ili kusaini…
Tanzania seeks to expand research on appropriate medicine for schistosomiasis
MWANZA: THE Ministry of Health, in collaboration with the National Institute for Medical Research (NIMR), plans to expand research on medicines for treating schistosomiasis in children under five to further…
Prince Andrew akamatwa kwa tuhuma za ‘utovu wa nidhamu katika utekelezaji wa majukumu rasmi’
Mwanamfalme wa zamani Andrew, ambaye anatimiza miaka 66 siku ya Alhamisi, amekamatwa kufuatia madai ya “utovu wa nidhamu katika utendaji wa majukumu rasmi,” polisi ya Windsor imetangaza, kuhusiana na tuhuma…
Anayedaiwa kumtolea Vinicius kauli za kibaguzi afunguka
Staa wa Benfica, Gianluca Prestianni anayedaiwa kumtolea kauli za kibaguzi nyota wa Real...
Stephanie Ruto: Wakenya wavutiwa na kifaa cha ajabu kilichotundikwa kwenye mkono wa bintiye rais
Stephanie Jepchumba Ruto anaangazia harambee ya kuchangisha pesa, ambapo alitoa KSh 3 milioni kwa ajili ya ustawi wa watoto, akizingatia maendeleo ya vijana.
Waziri Mkuu aipa Wizara ya Maji wiki 2 kupata mkandarasi
WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba ameipa Wizara ya Maji kipindi cha wiki mbili kuhakikisha inakamilisha mchakato wa upatikanaji wa mkandarasi wa ujenzi wa mradi wa maji kutoka chanzo cha Ziwa…
PM orders efficiency in implementing strategic development projects
MWANGA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has urged public servants to increase speed and efficiency in overseeing the implementation of strategic development projects to ensure citizens receive quality services on time.…
Dk Mwigulu akutana na mwalimu wake mkutanoni Rombo
Mwalimu aliyemfundisha Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba jiografia darasa la nne...
Ubora wa P-Funk upo hapa..
Kabla ya P-Funk Majani kuwa mtayarishaji wa muziki mwenye mafanikio makubwa, awali kabisa...
Mashariki mwa DRC: Wakazi wa Uvira waomba mpaka na Burundi ufunguliwe tena
Wakazi na wafanyabiashara wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC),wanaomba mpaka na Burundi ufuguliwe tena. Mwezi mmoja baada ya waasi wa AFC/M23 kuondoka katika mji wa Uvira,…
Mfuko wa Miundombinu Kenya Wakwama
MPANGO wa kuanzisha mfuko wa kitaifa wa miundombinu nchini Kenya umekumbwa na changamoto mbalimbali ambazo zimezua mjadala mkubwa kuhusu mustakabali wa uchumi wa nchi hiyo hasa wakati taifa hilo likijiandaa…
Tanzania’s agricultural transformation captivates Burundian envoys
DODOMA: A delegation of experts from the Burundian government has visited the country with the aim to learn about the various steps taken by the government to develop the agricultural…
AZAM FC: Je unafahamu ni mchezaji gani katika kikosi cha Azam ana hekaheka linapokuja suala la ‘menu’?
AZAM FC: Je unafahamu ni mchezaji gani katika kikosi cha Azam ana hekaheka linapokuja suala la 'menu'? Mzikilize mpishi mkuu wa klabu ya Azam akielezea uzoefu wake wakati wa chakula…
Picha ya mkongwe kikapu yawekwa katika mpira
NYOTA wa kikapu wa aliyetamba na Pazi msimu uliopita wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam, Josephat Peter 'Tekenya' amekuwa mchezaji wa kwanza wa mchezo huo picha yake kutumika kama…
Tanzanian tourism reaps fortune from Seven Seas Voyager’s tour
DAR ES SALAAM: OVER 600 tourists aboard the luxury cruise ship Seven Seas Voyager visited the country on February 18–19, this year. Information from the Tanzania Tourism Board (TTB) today,…
TFS tasked to increase export of forest products  from 9,000 to 50,000 tonnes
MOROGORO: THE Tanzania Forest Services (TFS) has been urged to intensify tree planting, production, and export of forest products to reach 50,000 tonnes per year, in contrast to the current…
#HABARI: Mbunge wa Tunduru Kaskazini Mhe
#HABARI: Mbunge wa Tunduru Kaskazini Mhe. Ado Shaibu Ado amesema kuwa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) kinapaswa kukamilisha ujenzi wa Kampasi ya Chuo hicho katika Kijiji cha Darajambili…
Je, Arsenal imeweka rehani ubingwa wa ligi kuu?
Iwapo Manchester City, walio nyuma kwa alama tano katika nafasi ya pili watashinda mechi zao 12 zilizosalia, ikiwemo mchezo wao wa nyumbani Etihad dhidi ya Arsenal, basi watamaliza kileleni katika…
Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani
Waziri wa Nishati wa Marekani amesema, nchi hiyo itaanza tena kurutubisha madini ya urani
#HABARI: Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amewafuta kazi Waziri wa Afya lijah Muchima na Elias Mubanga, anayeshughulikia maende…
#HABARI: Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amewafuta kazi Waziri wa Afya lijah Muchima na Elias Mubanga, anayeshughulikia maendeleo ya biashara ndogo na za kati. Mabadiliko hayo, yanatokana na kifungu cha…
How beekeeping skills ‘sweeten’ widows’ economic futures
COAST REGION: IN Bagamoyo Town, the steady hum of bees is fast becoming the sound of opportunity. Here, more than 100 women from 10 regions recently gathered for intensive beekeeping…
Coutinho ajiandaa kuvunja mkataba Vaco da Gama
Kiungo Philippe Coutinho aliyewahi kuwa miongoni mwa wachezaji ghali zaidi katika historia ya...
From Dar es Salaam to Oslo: A journey into the legacy of the Nobel Peace prize
A JOURNEY spanning between 15 and 22 hours across two continents, Africa and Europe marked the beginning of my visit to one of the world’s most symbolic institutions of peace.…
Oketch Salah amlima Ruth Odinga kwa kumkana hadharani kwenye runinga: “Sijawahi jilazimisha kwako”
Mfanyabiashara Oketch Salah alimkashifu Ruth Odinga ambaye alimkana kwenye runinga akimshutumu kwa kusema uwongo kuhusu uhusiano wake na Raila Odinga.
Saudi Pro League inaendelea leo Alhamis
Saudi Pro League inaendelea leo Alhamis Saa 4:00 usiku, Al Ahli watakuwa uwanja wa nyumbani wakikipiga na Al Najmah Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports3HD. Kwa kifurushi cha shilingi 28,000…
Wezi walivyopora benki fedha za kujenga mji mzima kwa saa 4 tu
Iliwezekanaje hakuna aliyegundua kilichokuwa kinaendelea Je, kulikuwa na ushirikiano wa mtu wa ndani? Vipi mashine za kuchimba hazikusikika Na wezi walijuaje eneo halisi lenye hazina hiyo?
Wananchi 1,142 kulipwa fidia kupisha ujenzi barabara Rombo
Serikali itawalipa fidia wananchi 1,142 ili kupisha ujenzi wa barabara ya Lower iliyopo Wilaya...
Stendi mpya Buza bado pasua kichwa
Uamuzi na msimamo wa Serikali juu ya matumizi ya stendi mpya ya daladala ya Buza Kwamama...
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 19/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 19/02/2026 (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Msafara wa Mwenyekiti wa Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) Tundu Lissu ulivyowasili Mahakamani leo na Lissu a…
#HABARI: Msafara wa Mwenyekiti wa Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA) Tundu Lissu ulivyowasili Mahakamani leo na Lissu anayetuhumiwa kwa Uhaini akaingizwa katika chumba na.1 cha Mahakama Kuu ya Tanzania…