Watanzania wametakiwa kutoandamana tarehe 29 Oktoba na badala yake wajitokeze kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu ili kuw…
Watanzania wametakiwa kutoandamana tarehe 29 Oktoba na badala yake wajitokeze kupiga kura kwa wingi katika Uchaguzi Mkuu ili kuwachagua viongozi wapya na kuiondoa CCM kwenye hatamu za uongozi. Wito huo…
Mgombea urais wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo akiwa mkoani Manyara amesema ikiwa atachaguliwa kuwa rais ataboresha sekta ya a…
Mgombea urais wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo akiwa mkoani Manyara amesema ikiwa atachaguliwa kuwa rais ataboresha sekta ya afya kama anavyoeleza Hellen Kawiche. #AzamTVUpdates Mhariri | @moseskwindi
#HABARI: Idara ya Uhamiaji inapenda kuutarifu Umma kuwa tarehe 13 Oktoba, 2025 imewaondosha
#HABARI: Idara ya Uhamiaji inapenda kuutarifu Umma kuwa tarehe 13 Oktoba, 2025 imewaondosha nchini raia wawili wa kigeni ambao ni Dkt. Brinkel Stefanie mwenye hati ya kusafiria ya Ujerumani namba…
Historia ya ukombozi wa Tanganyika kupitia kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwl
Historia ya ukombozi wa Tanganyika kupitia kwa Hayati Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere imehifadhiwa katika maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi. Miongoni mwa maeneo yaliyohifadhi historia na harakati za…
Mgombea Urais kupitia chama cha ADC, Wilson Mulumbe ameahidi kuweka sawa mgawanyo wa rasilimali za taifa bila upendeleo ili kila…
Mgombea Urais kupitia chama cha ADC, Wilson Mulumbe ameahidi kuweka sawa mgawanyo wa rasilimali za taifa bila upendeleo ili kila mwananchi aweze kunufaika. Mulumbe ametoa ahadi hiyo mkoani Tabora katika…
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salim Mwalimu amesema iwapo ridhaa ya Watanzania kupitia sanduku la kura …
Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salim Mwalimu amesema iwapo ridhaa ya Watanzania kupitia sanduku la kura itampa mamlaka ya kuwa Rais wa Tanzania atahakikisha anafuata nyayo…
Katika kuadhimisha Kumbukumbu ya Miaka 26 ya Kifo cha Baba wa Taifa, Mwl
Katika kuadhimisha Kumbukumbu ya Miaka 26 ya Kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Julius Nyerere, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango amewataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii na kuheshimu sheria…
Jeshi la Madagascar laweka pembeni katiba, limetangaza kipindi cha mpito cha miaka miwili
Kikosi maalum cha kijeshi cha CAPSAT, kilitangaza Jumanne kusimamisha utekelezwaji wa Katiba na kuchukua mamlaka baada ya Bunge kumuondoa madarakani Rais Andry Rajoelina.
Aliyoahidi Samia kuchochea uchumi wa Kanda ya Ziwa
Katika kampeni zake Kanda ya Ziwa, mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia...
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kulinda amani na mshikamano wa taifa, hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba…