Wawekezaji wapatiwa leseni wakishauriwa mambo 10
WATOA huduma za uwekezaji nchini 110 wamepatiwa leseni huku wakiaswa mambo 10 ikiwemo kuwashika mkono wawekezaji wa ndani ili kutimiza maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kuwa na wawekezaji…
Gaza: Morocco kutuma wanajeshi kujiunga na kikosi cha kimataifa cha kuleta utulivu Gaza
Wakati wa mkutano wa Baraza la Amani huko Washington, D.C., Rais Donald Trump amejadili jukumu la kikosi cha kimataifa cha kuleta utulivu Gaza (ISF), siku ya Alhamisi, kwa lengo la…
Kortini wakidaiwa kusafirisha kilo 137 za mirungi
Washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo jana Februari 19, 2026 na kusomewa mashtaka yao na...
DRC: Kamishna wa misaada ya kibinadamu wa EU akamilisha ziara yake Goma
Hadja Lahbib amezuru mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kaskazini siku ya Ijumaa, Februari 20, ambapo alikutana na ujumbe wa maafisa kutoka AFC/M23, kundi linalodhibiti mji huo. Kufuatia majadiliano hayo,…
Ripoti yadai hali si shwari Balochistan
Inaeleza kuwa vifo, utekaji ni kati ya matukio yanayotikisa Balochistan na kutishia uhai wa...
Iran yaonya kuhusu wapenda vita wanaotaka “vita vya maafa”
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Marekani haijawahi kudai kusitishwa kabisa kwa urutubishaji wa urani katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea, huku akionya kuwa baadhi…
Guinea-Bissau yasitisha utafiti wa chanjo unaofadhiliwa na Marekani
Guinea-Bissau imesitisha utafiti tata wa chanjo ya homa ya ini aina ya B (Hepatitis B) uliokuwa ukifadhiliwa na utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump, baada ya Shirika la Afya…
WFP: Somalia inakabiliwa na hatari ya baa la njaa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani WFP limesema hali ya upatikanaji wa chakula nchini Somalia imefikia hatua mbaya ambapo mamilioni ya watu wako hatarini kukumbwa na…
Balozi wa Marekani: Ni sawa ikiwa Israel itanyakua ardhi kote Asia Magharibi
Balozi wa Marekani katika utawala Israel amesema itakuwa “sawa tu” iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utapanua mipaka yake kote katika Asia Magharibi chini ya mpango wa “Israeli Kubwa.”
Wabunge wa Marekani wanataka kupiga kura kuzuia mamlaka ya Trump ya kushambulia Iran
Wabunge wa Marekani huenda wakapiga kura mapema wiki ijayo juu ya muswada unaolenga kumzuia Rais Donald Trump kuanzisha mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran bila idhini ya wazi ya Bunge…
Sudan: Marekani yawawekea vikwazo makamanda watatu wa RSF ‘kwa ukatili El-Fasher’
Mjumbe Huru wa Umoja wa Mataifa wa Kutafuta Ukweli kuhusu Sudan uliripoti mnamo Februari 19, 2026, “vitendo vya mauaji ya kimbari” huko El-Fasher, eneo linalokumbwa na ukatili baada ya kuanguka…
How water project will transform Mwanza
MWANZA: WATER is a vital resource for human life and overall social development. Without water, there can be no agriculture, no industry, and no safe living. In today’s world, where…
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi: Casemiro kuondoka Man United?
Kinda wa Wolves Mateus Mane kuondoka Molineux, Liam Delap anatakiwa Merseyside na Casemiro anawaniwa na vilabu vya Ulaya, Amerika Kaskazini na Kusini.
Nyimbo za Jux kwa mkewe zina maana gani?
Ikiwa wameadhimisha mwaka mmoja wa ndoa hivi karibuni, Jux ameendelea kutoa nyimbo ambazo kwa...
Kasmuel McOure alazimika kuondoka chapu chapu baada ya kuzomewa na Gen Zs mtaani: “Enda home”
Kasmuel McOure alikabiliana na umati wenye uadui ambao haukutaka kusikiliza chochote alichokuwa karibu kusema, walimzomea na kumfukuza, wakimlazimisha kukimbia.
Magazeti ya Kenya: Walezi ODM wafanya juhudi kimya kimya kuwapatanisha Oburu na Edwin Sifuna
Jitihada zinaendelea ili kutatua mgogoro unaokua ndani ya Chama cha Orange Democratic Movement (ODM), hata kama ushindani wa ndani unatishia kuvuruga chama.
Silas Abungana: Waombolezaji wateketeza nyumba za familia ya marehemu mchezaji wa KK Homeboyz
Nyumba za familia ya mchezaji wa Kakamega Homeboyz FC marehemu Silas Abungana zimeteketezwa kutokana na vurugu zilizotokea. Mshukiwa mkuu ni kaka yake mdogo.
Taharuki yatanda mkutano wa Sifuna Kakamega, polisi wadai timu yake ina magenge yenye silaha
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna anakabiliwa na tuhuma kutoka kwa polisi za kuwapa silaha magenge kabla ya mkutano wake wa Kakamega, ili kuchochea mvutano wa kisiasa.
Mke wa Justin Bieber ‘Hailey’ anataka watoto zaidi!
Mwanamitindo na mwanzilishi wa kampuni ya Rhode, Hailey Bieber, 29, amefunguka kuhusu maisha...
Ndani ya Boksi: Tofauti ya Baba, Dingi, Faza, Dadii na Mshua
‘Long taimu’ maisha yalikuwa mchekea na watu walishikana. ‘Of coz’ kipato kilikuwa kidogo sana...
Tunachokifahamu kuhusu Rais wa zamani wa Korea Kusini aliyehukumiwa kifungo cha maisha
Waendesha mashitaka pia walidai kuwa Yoon alijaribu kuichokoza Korea Kaskazini kwa kutekeleza shambulio kusini mwa taifa hilo ili kutetea hatua yake ya kuidhinisha sheria ya kijeshi.
Said ashindwa kueleza alikuwa na nani 😆 Hafsa amemwambia ukweli Mwana kuhusu mumewe na anamuhakikishia Zuh yeye ndiye atabaki kw…
Said ashindwa kueleza alikuwa na nani 😆 Hafsa amemwambia ukweli Mwana kuhusu mumewe na anamuhakikishia Zuh yeye ndiye atabaki kwenye ndoa. Mike amvunjia heshima Wendy wakati ambao Tony anaingia ofisini…
Hekaya za Mlevi: Mama zetu sio mitambo
Nilikuwa na rafiki yangu aliyeumbwa na kichwa kisichoota nywele. Kwa imani za zamani, wazee...
Tangu 1999 hadi 2026 Hidaya anakimbiza
Mwaka 1999 akiwa bado binti, alipendelea sana kutazama namna filamu zinavyoandaliwa. Ingawa...
Tukilala tunanyeshewa na kulowa kama kuku- Maisha ya wakimbizi wa DRC nchini Burundi
Wakimbizi wamekataa kurejea nchini DRC, kwasababu hawaamini kuwa amani ipo au itarajea tena kutokana na mapigano yanayoshuhudiwa mara kwa mara.
Mwandishi wa NY Times: Netanyahu anamtumia vibaya Trump kwa ajili ya vita na Iran
Mwandishi maarufu wa gazeti la Marekani la New York Times, Thomas Friedman, ameonya kwamba waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu anamhadaa Rais wa Marekani, Donald Trump, na makundi ya jamii…
Ripota wa UN kuhusu Palestina asema, licha ya kuandamwa hatasalimu amri, hatajiuzulu
Francesca Albanese, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu, amesema hatajiuzulu wadhifa wake huo licha ya mashinikizo yanayotolewa dhidi yake na serikali za nchi…
Al-Burhan: Hakutakuwa na suluhu Sudan mpaka RSF iondoke kwenye maeneo yote inayoyakalia
Mkuu wa Baraza la Utawala la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema hakutakuwa na usitishaji mapigano mpaka pale Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vitakapojiondoa kwenye kile alichokieleza kuwa ni maeneo…
Mashabiki 18 wa Senegal wahukumiwa vifungo jela Morocco kwa yaliyojiri kwenye fainali ya AFCON
Mahakama ya Morocco imewahukumu mashabiki 19 wa soka kifungo cha mwaka mmoja jela kwa vitendo vya kihuni walivyovionesha wakati wa mchezo wa fainali ya AFCON 2025 kati ya Morocco na…
Russia yasisitizia uungaji mkono wake kwa haki za kisheria za Iran katika mazungumzo ya nyuklia
Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imetangaza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Sergey Lavrov amesema Moscow inaunga mkono kufikiwa suluhisho la kisiasa na kidiplomasia litakaloheshimu…
Kupinga Wabunge wa Marekani sera za Trump za kupiga ngoma ya vita dhidi ya Iran
Wimbi la upinzani limeibuka miongoni mwa Wabunge wa Marekani dhidi ya sera za Rais Donald Trump zinazochochea vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Jumamosi, 21 Februari, 2026
Leo ni Jumamosi 3 Ramadhani 1447 Hijria ambayo inasadifiana na 21 Februari 2026 Miladia.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 21, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Tanzania-India trade surges to 21.5tri/-
DAR ES SALAAM: TRADE between Tanzania and India has surged to 8.6 billion US dollars, (equivalent to 21.5tri/-), up from 2.3 billion US dollars (about 5.75tri/-) in 2020/2021, marking one…
Who is Cardinal Pengo
DAR ES SALAAM: POLYCARP Cardinal Pengo, who died on February 19, 2026 at the age of 81, was one of the most influential Catholic leaders in Tanzania’s modern history, serving…
Wanajichanganya wenyewe, ila Sofia na Ulugan haziiivi kabisa
Wanajichanganya wenyewe, ila Sofia na Ulugan haziiivi kabisa (Feed generated with FetchRSS)
Nguvu ya Zora 🙌
Nguvu ya Zora 🙌 (Feed generated with FetchRSS)
Oryx Gas waja na Pishi la Kibabe Kwaresma, Ramadhan
DAR ES SALAAM; IKIWA ni muendelezo wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Oryx Gas imezindua kampeni ya msimu wa mwezi wa Ramadhan na Kwaresma inayoitwa Pishi…
Dodoma yachechemea uandikishaji bima ya afya kwa wote
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema kuwa hajaridhishwa na uandikishwaji wa watu...
Video yamnasa lofa akiwika ‘wantam’ huku Ruto akiwapungia mkono wananchi katika msafara
Video ya mlofa mmoja wa Nairobi akipiga mayowe ya "wantam" katika msafara wa Rais Ruto yapepea, na kuibua vicheko na hisia kutoka kwa Wakenya wengi wakimuunga mkono.
Madawati ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto yaanzishwa
Serikali kupitia mpango mkakati wa kupambana na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na wanawake...
Dk Mwigulu awapiga kijembe Vunjo
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewataka wananchi wa Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro kuacha...
Tanzania, India to strengthen cooperation in defence, security
Dar es Salaam: Tanzania and India have discussed ways to further strengthen cooperation in various strategic areas, including defence and security. The discussions took place during a meeting between Vice…
CUF yafungua pazia uchukuaji, urejeshaji fomu nafasi ya mwenyekiti
Ni mwendo wa zimamoto. Hatimaye dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu limefunguliwa kwa...
Wakazi mbalimbali wa Pugu wameelezea namna walivyoguswa na msiba wa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mstaafu wa Jimbo K…
Wakazi mbalimbali wa Pugu wameelezea namna walivyoguswa na msiba wa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, Askofu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, kilichotokea usiku wa tarehe 19 Februari…
kuadhimisha siku ya kiamataifa ya haki za kijamii, huku serikali ikiwahimiza wananchi kuzitumia haki hizo na kutakiwa kutunza mi…
kuadhimisha siku ya kiamataifa ya haki za kijamii, huku serikali ikiwahimiza wananchi kuzitumia haki hizo na kutakiwa kutunza miundombinu inayowezesha kupatikana kwa haki za kijamii. #kilichoborakabisa (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Mvua iliyonyesha kwa muda mfupi katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam imesababisha adha kubwa kwa watumiaji wa b…
#HABARI: Mvua iliyonyesha kwa muda mfupi katika baadhi ya maeneo jijini Dar es Salaam imesababisha adha kubwa kwa watumiaji wa barabara ya Mandela, hususan katika eneo la Sokota. Maji mengi…
Waziri wa Maji, Mhe
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amemuhakikishia Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (Mb) kuwa Wizara ya Maji haitakuwa kikwazo katika utekelezaji wa Mradi wa Maji kwa kutumia chanzo…
Shahidi mfuasi wa Lissu adai kutishiwa, Lissu amtaka awapelekee Polisi ujumbe
Shahidi wa 14 katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na...
Dk Nchimbi aenda kuhani msiba wa Kardinali Pengo
Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi ametembelea msibani kwa Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa...