Morale boost for Taifa Stars players ahead of Morocco duel
RABAT: The Deputy Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Paul Makonda, has said Tanzania is ready to shock the world by making history with a victory over Morocco in…
Katika maisha ya kila siku unahitaji kuwa na mipango ambayo ni muongozo wako wa kila siku wa maisha yako
Katika maisha ya kila siku unahitaji kuwa na mipango ambayo ni muongozo wako wa kila siku wa maisha yako. Ili uweze kuwa mtu wa kuweka malengo lazima ujifunze kuwa mtu…
Watoto wa Gaza walilipa gharama kubwa mwaka uliomalizika majuzi wa 2025
Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watoto wa Gaza walilipa gharama kubwa mwaka uliomalizika wa 2025 kutokana na vita na mzingiro wa utawala wa Israel dhidi ya…
Hatua za Marekani nchini Venezuela zinaweka mfano hatari: Guterres
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema “ana hofu kubwa” juu ya mkwamo wa miezi ya hivi karibuni kati ya Marekani na Venezuela, hali iliyofikisha kitendo cha asubuhi…
Saratani ya shingo ya kizazi: Licha ya kuwa na kinga bado inaua maelfu ya wanawake
Fahamu kuwa mwezi Januari ni mwezi wa kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu saratani ya shingo ya kizazi, lengo ni kuongeza ufahamu dhidi ya ugonjwa huu ambao kila dakika mbili husababisha…
Mmoja pekee ajitokeza kupima DNA kutambua miili ajali ya Morogoro
Mwili mmoja ulihifadhiwa Kituo cha Afya Mikese na tayari ulishatambuliwa.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani vikali mashambulizi ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Venezuela
Chombo cha diplomasia cha Iran kimesisitiza kuwa imesisitiza katika taarifa yake kwamba: Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inalaani vikali mashambulizi ya kijeshi ya Marekani…
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa Chioma wa Side kutoka #NomaSeries ungana nasi kumtakia maisha marefu @ngelikah
Leo ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwa Chioma wa Side kutoka #NomaSeries ungana nasi kumtakia maisha marefu @ngelikah
Dr Samia rewards Taifa Stars 500m/- for qualifying for the Round of 16
DAR ES SALAAM: THE President of the United Republic of Tanzania, Dr Samia Suluhu Hassan, has awarded the national football team, Taifa Stars, 500m/- after they successfully qualified for the…
Trump aishambulia Venezuela, Rais Maduro na mkewe waondolewa nchini
Trump amesema operesheni hiyo ilifanywa kwa ushirikiano na vyombo vya sheria vya Marekani na...
Mashavu Kikala maana halisi ya niguse unase 😅
Mashavu Kikala maana halisi ya niguse unase 😅
Marekani yathibitisha kumkamata Rais Maduro wa Venezuela
Rais Donald Trump wa Marekani amethibitisha kuwa nchi yake imemkamata mwenzake wa Venezuela Nicolas Maduro.
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani imefanya “mashambulizi makubwa” dhidi ya Venezuela na kwamba imemkamata Rais wa n…
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani imefanya “mashambulizi makubwa” dhidi ya Venezuela na kwamba imemkamata Rais wa nchi hiyo, Nicolás Maduro, pamoja na mke wake. Katika taarifa aliyochapisha kwenye…
Jumamosi, 03 Januari, 2026
Leo ni Jumamosi 13 ya mwezi Rajab 1447 Hijria mwafaka na 3 Januari 2026 Miladia.
The mutual relationship between a hippo and oxpeckers
FROM our neighbourhoods to vast plains of Greater Serengeti Ecosystem, friendship between parts needs commitment from each individual. There may be different ways of showing the level or kind of…
TRC releases new SGR timetable for Dar-Dodoma route
DAR ES SALAAM: TANZANIA Railways Corporation (TRC) has officially released the new Standard Gauge Railway (SGR) timetable between Dar es Salaam and Dodoma, effective January 3, 2026. According to a…
2025, mwaka wa kushindwa uchumi wa Marekani
Gazeti la Marekani la Axios limeandika kuwa: Katika mwaka uliomalizika majuzi wa 2025, ambao ulikuwa mwaka wa kwanza wa urais wa Donald Trump, uchumi wa Marekani ulifika kwenye ukingo wa…
Kidia One yapata ajali Kilimanjaro, abiria wanusurika
Katika ajali hiyo, watu wawili wamejeruhiwa, akiwemo kondakta wa basi la Kidia One na abiria...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameliagiza Shirika la Reli Tanzania (TRC) kutanguliza usalama wa wananchi kwa kutoa taarifa mapema pale panapobainika uwezekano…
Dk Samizi awatembelea majeruhi ajali ya basi, lori Moro
NAIBU Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi, kwa niaba ya Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa, ametembelea na kuwajulia hali majeruhi wa ajali ya basi na lori iliyotokea usiku wa…
India pledges to deepen ties with Tanzania in diplomacy, defence, security
DAR ES SALAAM: INDIA has pledged to continue its collaboration with the Tanzanian government to ensure that the relationship continues to flourish for the benefit of both countries and their…
Dosari kisheria zageuka mlango wa uhuru kwa aliyehukumiwa kifo
Wambura alihukumiwa Aprili 25, 2024 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, baada ya...
#HABARI: Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kumkamata Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro pamoja na mke wake na kudai kuwa t…
#HABARI: Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kumkamata Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro pamoja na mke wake na kudai kuwa tayari wamesafirishwa nje ya nchi hiyo. Huku pia akidai kuwa…
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza taifa lake kumkamata rais wa Venezuela, Nicholas Maduro na mkewe.�Kupitia kurasa za mi…
Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza taifa lake kumkamata rais wa Venezuela, Nicholas Maduro na mkewe.�Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii, Trump ameandika kuwa wanajeshi wa Marekani wamefanya mashambulizi makubwa…
Beno Kakolanya kazungumzia mechi hizi
MBEYA City inajipima na mechi za kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu Bara, huku ikiwa tayari imeshacheza dhidi ya Ken Gold iliyowafunga mabao 2-1 na kushinda dhidi ya Kombaini ya Mbeya…
Kwa Ahmed Bakari ‘Pipino’ sasa kazi tu
BAADA ya kurejea uwanjani akiwa fiti akitoka kuwa majeruhi, kiungo wa KMC, Ahmed Bakari 'Pipino' amesema huu ni muda mwafaka wa kuunganisha nguvu na wenzake kuipambania timu hiyo kuondoka mkiani.
Straika aipa mechi tano Transit Camp
STAA wa Transit Camp, Adam Uledi amesema licha ya kuongoza katika Ligi ya Championship kwa idadi ya mabao, lakini matokeo waliyonayo hayaendani na mahitaji akizitaja mechi tano tu zitakawapa mwanga…
#HABARI: Waasi wanaohusishwa na Kundi la Islamic State wameua takriban watu 15 katika vijiji vitatu Mashariki mwa Jamhuri ya Kid…
#HABARI: Waasi wanaohusishwa na Kundi la Islamic State wameua takriban watu 15 katika vijiji vitatu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa wa eneo hilo wamesema. Mashambulizi hayo yalitokea…
#HABARI: Rais Nicolás Maduro wa Venezuela ametangaza hali ya dharura katika eneo lote la taifa hilo kufuatia mashambulizi ya Jum…
#HABARI: Rais Nicolás Maduro wa Venezuela ametangaza hali ya dharura katika eneo lote la taifa hilo kufuatia mashambulizi ya Jumamosi yanayoelezwa kufanywa na Marekani. Taarifa ya Serikali inasema hatua hii…
Alliance yatimua kocha, yamrejesha Mirambo
TIMU ya Alliance FC ya jijini Mwanza imemrejesha kocha wake wa zamani, Mirambo Camil kuongoza benchi la ufundi baada ya mwenendo usioridhisha katika First League.
Tanzanian miners alerted on safety measures as rains, thunderstorms hit regions
DAR ES SALAAM: THE Mining Commission has asked all miners in the country to fully comply with issues of Safety, Health, and Environmental Protection to avoid possible risks and damage…
Rais Nicolás Maduro wa Venezuela ametangaza hali ya dharura katika eneo lote la taifa hilo kufuatia mashambulizi ya Jumamosi yan…
Rais Nicolás Maduro wa Venezuela ametangaza hali ya dharura katika eneo lote la taifa hilo kufuatia mashambulizi ya Jumamosi yanayoelezwa kufanywa na Marekani. Taarifa ya serikali inasema hatua hii ni…
Waasi wanaohusishwa na kundi la Islamic State wameua angalau watu 15 katika vijiji vitatu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia …
Waasi wanaohusishwa na kundi la Islamic State wameua angalau watu 15 katika vijiji vitatu mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa wa eneo hilo wamesema. Mashambulizi hayo yalitokea usiku…
Maxime: Mbeya City ni ya burudani na mabao
‘RAHA ya mpira bao’. Ni kauli ya Kocha Mkuu wa Mbeya City, Mecky Maxime akielezea mipango yake akiahidi mambo mazuri pale Ligi Kuu Bara itakaporejea mapema mwezi huu. Maxime alitambulishwa…
Ripoti kadhaa kutoka vyombo vya ndani na nje zimemeripoti kuhusiana na mlipuko katika sehemu mbalimbali za jiji la Caracas, ikiw…
Ripoti kadhaa kutoka vyombo vya ndani na nje zimemeripoti kuhusiana na mlipuko katika sehemu mbalimbali za jiji la Caracas, ikiwemo kambi za kijeshi. Mashuhuda wanasema kwamba uwanja wa ndege wa…
Dua zote kwa Stars kesho
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imetinga hatua ya 16 bora ya Mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) na kuweka rekodi ya aina yake, tangu timu hiyo ianze…
JK appoints Prof Rose Upor as UDSM’s Deputy Vice Chancellor
DAES SALAAM: THE former Tanzanian President and Chancellor of the University of Dar es Salaam, Jakaya Kikwete, has appointed Prof. Rose Acen Upor as Deputy Vice Chancellor – Academic of…
Serikali kujenga kiwanda cha chakula cha samaki Mwanza
SERIKALI imesema kuwa itajenga Kiwanda cha Kutengeneza chakula cha samaki jijini Mwanza kwa lengo la kuwapunguzia gharama wafugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ili kuongeza uzalishaji wa samaki nchini.…
Milipuko yasikika Caracas: Rais Maduro alaani ‘uchokozi mkubwa’ wa Marekani
Venezuela imelaani “uchokozi mkubwa wa kijeshi” leo Jumamosi baada ya milipuko kutikisa mji mkuu wa nchi hiyo usiku kucha, na Rais Nicolas Maduro kutangaza hali ya hatari. Imechapishwa: 03/01/2026 –…
TRA Tanga yavuka lengo la makusanyo kwa asilimia 139
Kiasi hicho ni zaidi ya lengo la Sh181.9 bilioni walilopangiwa kukusanya katika kipindi hicho.
Kipute kikali Mapinduzi Cup 2026, Simba mzigoni leo
Unguja. Leo Jumamosi kuna mechi mbili za Kombe la Mapinduzi 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan...
ZRA yavuka lengo la makusanyo Desemba, sababu zatajwa
Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imefanikiwa kuvuka lengo la makusanyo ya mapato kwa Desemba...
#Happybirthday | @jbkazumba
#Happybirthday | @jbkazumba #Cloudsmediagroup inakutakia maisha marefu na mafanikio zaidi 2026 #NYOOSHA
Lucky to be alive, let the year begin
Dear Aunt Sophia, Wai, shangazi witu Sophia! My dear aunt, I begin this letter with our warm Nyamwezi greeting to let you feel, even from far away, the embrace of…
Libya Mashariki: Marshal Haftar atafuta washirika wapya baada ya mvutano na Misri
Wiki za mwisho za mwaka 2025 ziliangaziwa na mvutano mpya kati ya Misri na Marshal Khalifa Haftar, mbabe wa zamani wa kivita mashariki mwa Libya, ambaye anadhibiti eneo hilo na…
DRC: Mamlaka imeendesha operesheni kubwa ya usalama dhidi ya ‘Kuluna’ Kinshasa
Mamlaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetangaza operesheni kubwa ya usalama iliyofanywa wakati wa sherehe za mwisho wa mwaka huko Kinshasa ili kupambana na ukosefu wa usalama mijini.…
Shilole apata ajali akitoka kushiriki ‘Pilau Day’ Kigoma
Aidha kupitia ukurasa wake wa mitandao ya kijamii wa Instagram, Baba Levo amethibitisha tukio...
Wachumi waeleza mbinu ‘kutoboa’ Januari
WATAALAMU wa uchumi wametoa ushauri wa namna ya kukabiliana na hali ngumu ya kifedha mwezi Januari ikiwamo kuweka akiba mapema na kujiepusha na madeni mapya. Pia, wameshauri kutumia kipato vizuri…