Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya kodi za wananchi katika mradi wa Bwawa la Julius Nyerere, ikisema mrad…
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya kodi za wananchi katika mradi wa Bwawa la Julius Nyerere, ikisema mradi huo unaonesha jinsi kodi zinavyochochea maendeleo kwa kuongeza umeme…
Salamu za Rambirambi
Salamu za Rambirambi (Feed generated with FetchRSS)
Mjane wa Kelvin Kiptum aibuka tena, afurahia matembezi na marafiki
Urithi wa Kelvin Kiptum unadumu miaka miwili baada ya kifo chake, huku mizozo ya kifamilia ikizuka, na mjane wake, Asaneth Rotich, kuibuka tena kwenye mitandao
Samia atuma salamu za pole, kifo cha msanii Hiza
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MANYARA, FEBRUARI 17, 2026 -ASILIMIA 24 YA WANAFUNZI HAWAJARIPOTI SHULE
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MANYARA, FEBRUARI 17, 2026 -ASILIMIA 24 YA WANAFUNZI HAWAJARIPOTI SHULE
#HABARI: Watu watatu wakazi wa Mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu, wamenusurika kifo baada ya nyumba kuungua moto, u…
#HABARI: Watu watatu wakazi wa Mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu, wamenusurika kifo baada ya nyumba kuungua moto, unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme na kuteketeza baadhi ya samani…
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere ku…
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kufuatia ziara yao ya kikazi Februari 14, 2026, ikieleza…
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameamsha shangwe baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu ulihusu ene…
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameamsha shangwe baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu ulihusu eneo lililotengwa na Serikali kwa ajili ya maakaburi kuvamiwa na…
Wasanii wamlilia Steven Hiza wa ‘Tanzania yetu’
Kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe Steven Hiza, kilichotokea jana jioni Februari 17,2026...
Chalamila amaliza mgogoro miaka 15 Kariakoo
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemaliza mgogoro wa takriban miaka 15 kuhusu umiliki wa nyumba namba 12, kiwanja namba 15, eneo la Kariakoo uliokuwa ukihusisha familia…
Mbinu sita zinazotumiwa kukwepa kodi Tanzania
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeelezea maeneo yanayotumiwa na wafanyabiashara kukwepa kodi...
Ouma atumia mechi za CAF kuitisha Copco FC
KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema licha ya kushindwa kutinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini wamepata somo zuri wanalotaka kuanza kulitumia kesho Alhamisi dhidi…
Mgunda hataki kurudia makosa
BAADA ya vipigo viwili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema hatarajii kurudia makosa kwenye pambno lijalo la michuano ya Kombe la Shikirikisho…
Wosia, usimamizi wa mirathi vichocheo migogoro ya familia
Siku moja baada ya kuzinduliwa kwa Kliniki ya Sheria katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar...
REA expands clean energy campaign to Kondoa, targeting 52 schools
DODOMA: THE Deputy Minister of Energy, Salome Makamba, has today, February 17, 2026, launched a clean cooking energy project at Kondoa Girls’ Secondary School in Dodoma region. The project is…
Mkenya Pamba Jiji hesabu kwa vigogo
LICHA ya Pamba Jiji jioni ya leo kuwa na kibarua cha kukabiliana na Alliance FC katika mechi ya hatua ya 64 Bora ya Kombe la Shirikisho (FA), kocha wa timu…
Jumla ya Shilingi Bilioni 2 zimetolewa kwa wajasiriamali wa Jimbo la Mtumba, mkoani Dodoma, kwa lengo la kuwawezesha kupata mita…
Jumla ya Shilingi Bilioni 2 zimetolewa kwa wajasiriamali wa Jimbo la Mtumba, mkoani Dodoma, kwa lengo la kuwawezesha kupata mitaji nafuu na kujikwamua kutoka kwenye mikopo isiyo rasmi yenye riba…
Wadau watoa mapendekezo kuinusuru EAC
Wakati Rais wa Kenya, William Ruto akiitisha kikao cha dharura cha wakuu wa nchi wanachama wa...
#HABARI: Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, kufuatia kifo cha nguli wa muziki na m…
#HABARI: Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, kufuatia kifo cha nguli wa muziki na mtunzi wa wimbo, 'Tanzania Yetu', Mzee Steven Hiza. Rais Dkt.Samia…
How the India-Russia-China economic corridor promises speedier, cheaper transport
Cutting Through Distances: The New Economic Corridor’s Promise Reducing the time and expense involved in transporting goods is no small feat, but the new India-Russia-China corridor aims to do just…
Kero nne kutikisa ziara ya Mwigulu Kilimanjaro
Wakati Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, akitarajiwa kuanza ziara ya siku nne mkoani Kilimanjaro...
MAPUMZIKO | #CRDBBankFederationCupFinal:
MAPUMZIKO | #CRDBBankFederationCupFinal: HT: KMC FC 2-1 Bandari Iko LIVE #AzamSports1HD #CRDBBankFederationCup #CRDBBank #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #KMCFC #BandariFC #KMCBandari (Feed generated with FetchRSS)
Mechi za wiki hii ligi ya mabingwa kwa Wanawake
Mechi za wiki hii ligi ya mabingwa kwa Wanawake. Michezo hii kuruka mbashara kupitia chaneli ya ESPN. Chaneli hii ya ESPN inapatikana katika kifurushi cha shilingi 35,000. #UEFAWOMENSCHAMPIONSLEAGUE #ESPN #Azamtvsports…
Rais Samia amuomboleza mwanamuziki Steven Hiza
Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe, Steven Hiza. Hiza amefariki jana jioni nyumbani…
Iran, US zakamilisha duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya nyuklia, Geneva
Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, duru ya pili ya mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani imemalizika mjini Geneva, Uswisi.
DCEA seizes 299.8kg of khat, destroys 203 acres of the crop
SAME: THE Drug Control and Enforcement Authority (DCEA), in collaboration with the Tanzania Police Force, has completed a special operation in the villages of Marieni and Mhero in Chome Ward,…
Sanaipei alivyokacha masomo kisa sanaa
Kuna wasanii wanakuja kwenye tasnia kwa kishindo, wanatoa wimbo mmoja au miwili halafu...
Tanzania, Japan agree to deepen ties in key sectors and people’s relations
DAR ES SALAAM: TANZANIA has called for deeper strategic ties with Japan, pushing for expanded cooperation across key sectors to boost economic growth and strengthen people-to-people relations. Deputy Minister for…
Kero, vituko Kihongosi anapohitimisha ziara Tabora
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi...
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumanne Februari 17.2026 imesikiliza mapingamizi yaliyowe…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumanne Februari 17.2026 imesikiliza mapingamizi yaliyowekwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohamed na…
Mbeya’s City Park Garden impresses TISEZA officials
MBEYA: THE Tanzania Investment and Special Economic Zones Authority (TISEZA) has today, February 17, 2026, visited the City Park Garden project owned by BABITO Trading Company Limited being part of…
Miaka 10 ya mafanikio JMK
Wakati Kituo cha Michezo cha Jakaya Mrisho Kikwete kikiadhimisha miaka 10 tangu kianzishwe, baadhi ya makocha wamesema zaidi ya wachezaji bora 35 wametokea hapo.
US civil rights leader Jesse Jackson dies aged 84
USA: US civil rights leader Jesse Jackson has died at the age of 84. Jackson died peacefully on Tuesday morning surrounded by his family. “Our father was a servant leader…
Ukraine yalipa wanajeshi kuhifadhi mbegu zao za kiume
Ukraine inakabiliwa na tatizo kubwa la kidemografia, lililozidiwa na uvamizi wa kijeshi wa Russia.
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), ikishirikiana na Jeshi la Polisi, imefanikiwa kukamata kil…
#HABARI: Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), ikishirikiana na Jeshi la Polisi, imefanikiwa kukamata kilogramu 299.8 za mirungi na kuteketeza ekari 203 za mashamba ya zao…
Hatima maombi ya Lissu kesi ya rasilimali Chadema kutolewa Machi
Hatima ya uhalali wa maombi ya mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu...
Robo fainali CAF yamoto, Waarabu uhakika
Droo ya hatua ya robo fainali ya mashindano ya Klabu Afrika nsimu huu iliyofanyika leo huko...
PM graces the launch of 526.8bn/- oxygen producing equipment for Lushoto Hospital
LUSHOTO: PRIME Minister, Mwigulu Nchemba has launched an oxygen medical gas production equipment worth 526.8bn/- and demanded that every shilling allocated for development projects be used for its intended purpose.…
Equity yaja na mikakati kupanua huduma za kifedha
DAR ES SALAAM: KUFUATIA ongezeko la matumizi ya huduma za kifedha kupitia mawakala wa mitandao ya simu, Benki ya Equity Tanzania imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na Mixx by Yas…
Nzega Council Chairman dies after tragic road accident
NZEGA: THE Chairperson of Nzega Town Council, Paschal Kigalu, has died following a tragic road accident early today. The deceased was in one of the two vehicles involved in a…
NANAUKA CUP YAANZA KUWAKUTANISHA VIJANA MTWARA
NANAUKA CUP YAANZA KUWAKUTANISHA VIJANA MTWARA Mbunge wa Mtwara Mjini ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Joel nanauka ameanzisha mashindano ya michezo yanayojulikana kama Joel…
Kiongozi Muadhamu amjibu Trump na kusema, Meli za kivita zinaweza kuzamishwa baharini
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu vitisho vya mara kwa mara vya kijeshi kutoka Marekani dhidi ya Iran, akisema kuwa silaha zenye uwezo wa kuzamisha manowari za Marekani ni…
Marekani: Mchungaji mweusi Jesse Jackson, ishara ya mapambano ya haki za kiraia afariki dunia
Mchungaji wa Marekani Jesse Jackson, mtetezi mwenye bidii wa haki za Wamarekani Weusi na mshirika wa karibu wa Martin Luther King Jr., amefariki akiwa na umri wa miaka 84, familia…
Video ya Njugush Apakia Video Akilia Jinsi Alivyokuwa Akiteseka Katika Ndoa
Video ya zamani imeibuka ikimuonyesha Njugush akielezea jinsi ndoa ilivyobadilisha mambo kwake huku kukiwa na madai ya kutengana na mkewe Celestine Ndinda.
#HABARI: Watu wanne wa familia moja wakazi wa Kijiji cha Itekesha Kata ya Kilesha wilayani Kalambo mkoani Rukwa, wamefariki duni…
#HABARI: Watu wanne wa familia moja wakazi wa Kijiji cha Itekesha Kata ya Kilesha wilayani Kalambo mkoani Rukwa, wamefariki dunia baada ya kusombwa na maji ya Mto Kagera, wakati wakiwa…
Waziri Ndejembi, Balozi wa Oman wajadili mafuta, gesi
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Oman nchini Tanzania, Saud Al-Shidhani yaliyolenga kuimarisha na kuendeleza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika sekta ya…
#CAFCLDraw Ligi ya Mabingwa Afrika
#CAFCLDraw Ligi ya Mabingwa Afrika Robo fainali:- RS Berkane vs Al Hilal Esperance vs Al Ahly Mamelodi vs Stade Malien AS FAR vs Pyramids Nusu fainali:- Esperance/Al Ahly vs Mamelodi/Stade…