Mahakama ya Afrika kesho kutoa hukumu kesi ya Uchaguzi Mkuu 2020
Macho na masikio ya wadau wa siasa, sheria na watetezi wa haki za binadamu kesho yataelekezwa...
Magumu waliyopitia wananchi Ushetu kuvuka mto Igombe, Serikali…
Wananchi wa kata ya Ulowa na Ubangwe wameeleza changamoto waliyoipitia kuvuka mto Igombe...
Jukwaa la Rising Woman kukutanisha wadau zaidi ya 400 Dar kesho
Wadau wakiwamo wanawake zaidi ya 400 kutoka sekta mbalimbali nchini, wanatarajiwa kushiriki...
Saa tatu Kihongosi akisikiliza kero za wananchi Kahama, DMO ajikuta kwenye wakati mgumu
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, ametumia zaidi ya saa...
Khorramshahr-4 yaingia uwanjani katika operesheni Ahadi ya Kweli 4, yatwanga ngome za Israel
Idara ya Uhusiano wa Umma ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran (Sepah) imetangaza kuwa makombora ya Khorramshahr 4, (Khaybar), ya kikosi cha Anga cha jeshi hilo…
Maafisa 4 wa ngazi za juu wa CIA waangamizwa kwa mashambulizi ya Iran huko Saudia
Ripoti zinasema kuwa maafisa wanne wa ngazi za juu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) na askari 8 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi la jeshi la Iran lililolenga…
Soko jipya Kawe lakamilika, wafanyabiashara kicheko
Wafanyabiashara wa Soko la Kawe wameanza kupata matumaini mapya baada ya Serikali kutangaza...
Ferdinand Waititu: Gavana wa zamani aachiliwa baada ya korti kukagua dhamana ya kesi ya KSh 588m
Mahakama kuu yamuachilia Ferdinand Waititu kwa kurekebisha masharti ya dhamana katika kesi yake ya ufisadi ya KSh588 milioni. Bondi mpya imewekwa
James Orengo adai Raila Odinga alilazimishwa kwenda India kwa matibabu: “Hakuenda kwa hiari”
James Orengo ametilia shaka kifo cha Raila Odinga, akidai alipelekwa India bila kupenda na kutaja mchezo mchafu. Anasisitiza uchunguzi sahihi unahitajika kufanyika.
Sekta ya huduma kipaumbele uchumi SADC
DAR ES SALAAM :Sekta ya huduma imetajwa kuwa nguzo muhimu ya kukuza uchumi ndani ya Tanzania na Ukanda wa nchi wanachama wa SADC ambapo maboresho ya sera ni lazima ili…
Wakazi wa Mbagala wafuturishwa
Kampuni ya Yas Tanzania leo imeshiriki futari ya pamoja na wateja, viongozi wa dini na wakazi...
Benki ya Exim yazawadiwa tuzo mbili
Mastercard leo imefanya ziara yake maalumu katika makao makuu ya Benki ya Exim Tanzania jijini...
Serikali yazungumzia ushirikiano na sekta binafsi
FISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesema serikali iliamua kushirikiana na sekta binafsi katika uendeshaji wa baadhi ya mashirika ili kuongeza ufanisi, mtaji na matumizi ya teknolojia katika kuendeleza uchumi…
Uhuru Kenyatta ahojiwa jinsi alivyoamua kumuunga mkono Fred Matiang’i kuwania urais katika Jubilee
Chama cha Jubilee kiliafikiana na aliyekuwa Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang'i kupeperusha bendera ya urais.Uhuru Kenyatta alihojiwa kuhusu jinsi maamuzi yake
Nsajigwa aanza na pointi moja Prisons akiizuia Azam
Wakati Azam FC ikinung'unika na sare ya pili mfululizo, Tanzania Prisons ni kicheko kwa kupata...
Othman: Itumieni Ramadhani kuombea haki, utengamano wa Taifa
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amewahimiza Watanzania na waumini wa Kiislamu...
Yanga yaendeleza kasi ya ushindi Ligi Kuu
Bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeendeleza rekodi bora ya kutopoteza, baada ya kikosi...
Dodoma Jiji, JKT TZ kuanza msako wa CAF
TIKETI ya kuisaka michuano ya kimataifa msimu ujao, inaanza leo Ijumaa kwa mechi za raundi ya 32 bora ya Kombe la Shirikisho la CRDB, huku JKT Tanzania, Dodoma Jiji na…
Nsajigwa aanza na pointi moja Prisons, Ibenge akunja sura
Wakati Azam FC ikinung'unika na sare ya pili mfululizo, Tanzania Prisons ni kicheko kwa kupata pointi moja dhidi ya wapinzani wao hao katika mechi ya Ligi Kuu Bara.
Yanga yatakata Singida, Okelo afungua akaunti ya mabao Ligi Kuu
BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga imeendeleza rekodi bora ya kutopoteza, baada ya kikosi hicho kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Singida Black Stars, katika mechi kali…
Masaju ataka taasisi za haki jinai ziwajibike, zizingatie Katiba na sheria
Jaji Mkuu wa Tanzania, George Masaju ameagiza kila taasisi zilizopo katika mnyororo wa utoaji...
Unataka kulipiwa mahari? Soma masharti ya Sheikh Kishki
Kama Machi Mosi, 2026 ulisikia tangazo la kulipiwa mahari na umejipanga na mwenza wako, basi...
Ken Wa Maria amuuliza Wavinya Ndeti hadharani kuhusu deni la Sammy Kioko
Msanii Ken Wa Maria alikabiliana na Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti kuhusu deni la Sammy Kioko la KSh 19M, na kuzua wasiwasi kuhusu taswira ya kaunti na uwajibikaji
Ghalibaf: Majeshi ya Iran yataendelea kuwaadhibu wavamizi
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Bagher Ghalibaf amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza operesheni zake za kulipiza kisasi mpaka ihakikishe imewaadhibu vya kutosha na kuwatia…
Wadau wajadili kubadili tafiti za vyuo vikuu kuwa biashara
Licha ya Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki (EA) kuzalisha tafiti nyingi, vipaji na miliki bunifu,...
Agatha Naserian Amwaga Machozi Akimuomboleza Johana Ng’eno, Akumbuka Usaidizi Aliompa
Wakenya walimfariji msanii wa injili Agatha Naserian baada ya kifo cha mfuasi wake, mbunge Johana Ng’eno, katika ajali ya chopa, na kuacha familia yenye huzuni.
Dar entrepreneurs pocket 17m/- capital for winning the Wazo Bora Pitch contest
DAR ES SALAAM: THREE entrepreneurs with disabilities have won a total of 17m/- in seed capital after emerging as winners of the Wazo Bora Pitch Competition held in Dar es…
Tanzania affirms to work with TMRC to facilitate access to credit facilities
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has reaffirmed its commitment to continue collaborating with financial institutions, including the Tanzania Mortgage Refinance Company (TMRC), to enable the financial sector’s access to…
Kihongosi: Tunzeni miradi ya maendeleo
SHINYANGA: KATIBU Wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amewataka wananchi kutunza miundombinu na miradi ya maendeleo inayojengwa kwani ni urithi wao. Kihongosi…
Larijani: Iran haitajadiliana chochote na makundi yanayotaka kujitenga
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haitafanya majadiliano wala mazungumzo yoyote na makundi yanayotaka kujitenga.
Kituo cha Afya Kataryo kusogeza huduma kwa wananchi
Zaidi ya wakazi 13,200 wa Kata ya Tegeruka pamoja na vijiji jirani katika Wilaya ya Musoma...
Niger yaguswa na mauaji ya kigaidi ya Kiongozi Muadhamu wa Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger amelinyooshea mkono wa pole taifa la Iran kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
Shahidi aeleza washtakiwa walivyokiri kuhamisha fedha
Askari Polisi mwenye namba G 2325, Sajenti Joseph (41) ameieleza Mahakama jinsi mshtakiwa...
Tanzanian pavilion fascinates global visitors at ITB Berlin Tourism Trade Fair
BERLIN: TANZANIA continues to make a major impact at the ITB Berlin 2026 International Tourism Trade Fair, in Berlin, Germany, with its pavilion attracting voluminous number of visitors from across…
Programu ya AI yawasaidia wanafunzi wa sayansi Dodoma
Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuimarisha sekta ya elimu nchini, hususan katika...
Mambo yameiva mradi kiwanda cha uchapaji TSN
DAR ES SALAAM: MRADI wa ujenzi wa jengo la kiwanda cha uchapaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), umefikia asilimia 71., huku mitambo ambayo imeshawasili imefikia asilimia 85.6. Taarifa…
Tanzania implements robust security strategies for the 2027 AFCON
DAR ES SALAAM: TANZANIA has begun implementing robust security strategies ahead of the AFCON 2027 tournament, ensuring the games are held in a safe and secure environment. The preparations were…
Mayemba strikes gold at Mining Indaba to globally heighten Tanzanian status
DODOMA: TANZANIAN women continue to make waves in the mining sector, earning recognition on African and global platforms as the country strengthens its international profile in the industry. Recently, at…
Government launches agricultural mechanization training for youth under YEFFA project
MOROGORO: The Deputy Minister for Education, Science and Technology, Wanu Hafidh Ameir has officially launched the VETA Agricultural Mechanization Training Program implemented under the YEFFA (Youth Entrepreneurship for the Future…
Relief as TSN’s printing plant construction nears completion
DAR ES SALAAM: THE construction of a printing factory building at the Tanzania Standard Newspapers (TSN) is progressing steadily, with the building works reaching 71.2 percent completion, while the installation…
Mkongomani Namungo awekewa mkataba mpya
UONGOZI wa Namungo FC, uko katika mazungumzo ya kumwongezea mkataba mpya mshambuliaji wa kikosi hicho, Mkongomani, Fabrice Ngoy, baada ya mabosi wa timu hiyo kuridhishwa na kiwango chake.
Nyufa Katika Upinzani Jubilee Ikiteta Inatengwa na DCP Katika Mikutano ya Pamoja: “Hatupati Nafasi”
Mvutano unaongezeka ndani ya Muungano wa Upinzani huku Kioni wa Jubilee akidai kutotendewa haki katika mikutano ya hadhara, na kuwaweka kando wagombea wao wa 2027.
Wamiliki wa viwanda wakumbushwa kuboresha mazingira ya kazi
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Rahma Kisuo ameziagiza...
‘Mistari yote mekundu imevukwa’: Mataifa ya Kiarabu yatajibu mashambulizi ya Iran?
Hivi ni vita ambavyo serikali za Kiarabu hazikutaka vitokee na zilijaribu kuvizuia. Swali ni ikiwa nao wataingia katika vita baada ya mashambulizi waliyoyaitaya ya "usaliti" ya Iran.
Bonasi yaibua ushindani BDL
NAHODHA wa Stein Warriors, Mwalimu Herry amekiri kuna mabadiliko makubwa katika mchezo huo, yakichangiwa na udhamini pamoja na bonasi zinazotolewa kwa wachezaji.
Wanawake, watoto 41,000 kunufaika usawa wa kijinsia
Katika wiki ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, mradi wa pamoja wa kukuza usawa wa...
Planet, Bandari kazi ipo fainali Dunda Swish Basketball Tournament
FAINALI ya kwanza ya Dunda Swish Basketball Tournament, inatarajia kufanyika keshokutwa (Jumapili) ikizikutanisha Bugando Planet na Bandari Mwanza, kwenye Uwanja wa Mirongo, Mwanza.
Maendeleo vitendo sio propaganda
SHINYANGA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema maendeleo ya kweli yanahitaji vitendo na si propaganda, kikieleza kudhihirisha hayo kupitia utekelezaji wa yale yote waliyoyaeleza katika Ilani ya uchaguzi 2025/30. Katibu wa…
Mtandao wa utapeli wanaswa na laini 198, kadi 148 za benki
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro limefanikiwa kuvunja mtandao wa utapeli wa simu, maarufu...