Simba yaanza upya kusaka tiketi ya CAF
BAADA ya kukwama kutinga robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba inaanza upya msako wa tiketi ya kushiriki michuano ya CAF kwa msimu ujao, itakaposhuka usiku wa leo kwenye…
Gamondi asani miwili Taifa Stars, akiahidi raha
KOCHA Miguel Gmondi amehakikishiwa maisha Taifa Stars baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili wa kuinoa, huku akiwaahidi mashabiki wa soka nchini furaha kuliko ile ya kucheza 16 Bora ya…
Govt accelerates digital revolution in 100 days
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S digital transformation agenda has surged ahead with remarkable speed, as the government records sweeping progress in connectivity, innovation financing, skills development and advanced technology infrastructure within…
Mwanamke Aliyeanguka Kwenye Mtego wa Mwanaume wa Urusi Aomba Msamaha Akilia kwa Uchungu
Mwanamke alikiri kuhusika kwake na Vyacheslav Trahov, mwanamume wa Kirusi ambaye alirekodi matukio kwa siri, na kuzua gumzo moto kwenye mitandao ya kijamii
MOI to perform brain cancer removal surgery for the first time
DAR ES SALAAM: FOR the first time, the Muhimbili Institute of Neurology (MOI) is set to perform a state-of-the-art brain tumor removal surgery using a new technology to 10 people.…
Kwa miongo kadhaa, kumekuwapo mjadala mpana miongoni mwa wanasayansi kuhusu chimbuko la mwanadamu
Kwa miongo kadhaa, kumekuwapo mjadala mpana miongoni mwa wanasayansi kuhusu chimbuko la mwanadamu. Baadhi wamekuwa wakitetea nadharia ya mageuzi wakieleza kuwa mwanadamu anatokana na mabadiliko ya viumbe kama sokwe, huku…
Mkutano wa kimataifa kuhusu Akili Bandia wafunguliwa India katikati ya wasiwasi unaoongezeka
Mkutano wa kimataifa kuhusu Akili Bandia (AI) umefunguliwa leo Jumatatu jijini New Delhi kujadili athari za mapinduzi yanayokuja, kuanzia ajira hadi ulinzi wa watoto, lakini washiriki wana shaka kwamba utatoa…
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma kupitia Chama Cha Makini, Abdallah Ngonyani ameahidi kuwalipia mahari…
#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma kupitia Chama Cha Makini, Abdallah Ngonyani ameahidi kuwalipia mahari vijana wanaotaka kuoa pamoja na kumalizia mahari kwa vijana wa kike ambao…
Arusha taxpayers commends IDRAS system’s performance
KARATU: TAXPAYERS in Arusha region have commended the new Internal Domestic Revenue Administration System (IDRAS) introduced by the Tanzania Revenue Authority (TRA ) saying it has been very fruitful despite…
Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu (TOSCI) imefanya ukaguzi katika maduka yanayouza mbegu katika Wilaya ya Kongwa, mkoani Dodom…
Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu (TOSCI) imefanya ukaguzi katika maduka yanayouza mbegu katika Wilaya ya Kongwa, mkoani Dodoma, kwa lengo la kuhakikisha yanazingatia viwango na ubora uliowekwa na Serikali.…
Kihongosi : Ujenzi wa Sekondari Puge Ukamilike Machi
KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amemuagiza msimamizi wa mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari Puge kuhakikisha ujenzi wa shule hiyo…
Huwel writes a golden chapter in Tanzanian motorsports
DAR ES SALAAM: IRINGA-based wheeler, Ahmed Huwel, has written a golden chapter in the Tanzanian motorsports scene besides winning the National Rally Championship (NRC)title for 2025. His epic success in…
Wawili washikiliwa tuhuma mauaji kiongozi wa CCM, Polisi yamsaka kinara wa ‘TFF’
Imeeleza kuwa Sambala alifariki dunia muda mfupi baada ya kufikishwa Hospitali ya Wilaya ya...
Sandpit accident kills five people in Korogwe
TANGA: FIVE people have died after being buried by debris at the Bolbit sand quarry located in Makuyuni Village, Korogwe District, in Tanga Region. The accident occurred at around 5:30…
Mwandishi wa Wasifu wa Raila Amshutumu Kakake Oburu Oginga kwa Usaliti
Mwandishi huyo mashuhuri wa wasifu anaonyesha tofauti kubwa kati ya tabia ya Ruth "kupimwa vita" na uongozi wa sasa wa kaka yao mkubwa, Dk. Oburu Oginga
Ujerumani inaona juhudi za Ufaransa katika suala la matumizi ya ulinzi ‘hazitoshi’
Ujerumani inaona juhudi za Ufaransa katika suala la ulinzi “hazitoshi.” Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Johann Wadephul ameitaka Ufaransa “kuweka akiba,” hasa “katika nyanja ya kijamii,” ili “kuwa…
Kutoka mikononi mwa wabunifu wa Kusini mwa dunia AI inaweza kubadilisha maisha – UN Women
Akili Mnemba (AI) si mali ya kipekee tena ya mataifa tajiri ya Magharibi. Matumizi yake katika nchi za Kusini mwa Dunia kuanzia afya hadi kilimo na viwanda yanaleta mabadiliko makubwa…
UN yatoa wito mpya wa kukomesha ukoloni huku maeneo 17 yakiwa bado chini ya utawala wa kigeni
Je wajua kuwa hadi sasa kuna maeneo 17 duniani yanatawaliwa, yaani bado yanakabiliwa na ukoloni? Ni kwa mantiki hiyo hii leo Umoja wa Mataifa umetoa wito mpya wa kukomesha ukoloni,…
YALIYOJIRI JARIDANI LEO: Hali ya kibinadamu Cuba, Huduma za majisafi na afya DRC
OHCHR yaonya kuwa hali ya kibinadamu imefikia pabaya nchini Cuba UNICEF na KOICA waboresha huduma za usafi na lishe kwa wakazi wa Tanganyika DRC
IOM: Baridi kali bila umeme yatishia kuwafurusha tena wakimbizi 325,000 waliorudi nyumbani Ukraine
Zikiwa zimesalia siku chache kwa nchi ya Ukraine kutimiza mwaka wa nne tangu uvamizi kamili wa Urusi uanze mnamo Februari 24 mwaka 2022, mashambulizi yanayoendelea dhidi ya mifumo ya nishati…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….FEBRUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....FEBRUARI 16, 2026
Education Act review seen as key to strengthening education system
DAR ES SALAAM: TANZANIA’S ongoing review of the Education Act is being hailed by education stakeholders as a transformative opportunity to modernise the country’s legal framework and strengthen the delivery…
Araghchi, Grossi wakutana Geneva kabla ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na US
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi wamekutana katika jiji la Geneva nchini Uswisi,…
Machi Mosi patakuwa hapatoshi dimba la New Amaan Complex kwani itapigwa Kariakoo Derby, Yanga SC dhidi ya Simba SC
Machi Mosi patakuwa hapatoshi dimba la New Amaan Complex kwani itapigwa Kariakoo Derby, Yanga SC dhidi ya Simba SC. Mchezo huu utapigwa kuanzia saa 2:15 usiku na kuruka mbashara kupitia…
Milicent Omanga Ajiunga Rasmi na Kundi la Edwin Sifuna Baada ya Kumkimbia Ruto
Aliyekuwa seneta mteule Millicent Omanga alikihama chama cha UDA. Alisifu Linda Mwananchi Tour ya ODM huko Kitengela, na hivyo kuzua hisia kabla ya uchaguzi wa 2027.
TIRA turns Samia’s 100-Day UHI promise into action
DAR ES SALAAM: WITHIN just 100 days of the administration formed after the October 29, 2025 General Election, President Samia Suluhu Hassan demonstrated that her campaign pledge on the Universal…
Young entrepreneur champions smart investing through social media
DAR ES SALAAM: A 29-YEAR-OLD entrepreneur in stock markets, Ms Peris Leguna has rallied fellow youth to leverage social media for exploring investment opportunities, describing the digital space as valuable…
Tanzania tasks Gamondi to lead Taifa Stars in 2027 AFCON
DAR ES SALAAM: THE Ministry of Information, Culture, Arts and Sports has officially appointed coach Miguel Gamondi as the Head Coach of Tanzania’s national football team, Taifa Stars, on a…
Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz
Wakati mivutano kati ya Iran na Marekani inazidi kuongezeka, Tehran imesisitiza kuwa, machaguo yake yote yako mezani, licha ya mazungumzo yanayoendelea baina yake na Washington.
Sisitizo la Iran la kuendeleza ajenda ya mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Langobahari la Hormuz
Wakati mivutano kati ya Iran na Marekani inazidi kuongezeka, Tehran imesisitiza kuwa, machaguo yake yote yako mezani, licha ya mazungumzo yanayoendelea baina yake na Washington.
VAR inaharibu utamu wa soka
baada ya mechi za mwisho wa wiki za FA Cup na maamuzi mengi yaliyohusika ya utata, mjadala umeibuka kuhusu VAR. Ibaki au iondolewe? Uamuzi sahihi au kuharibu utamu?
SMZ yakiri kutokuwa na takwimu za ajira kwa wageni, yakusanya Sh12 bilioni za vibali na mikataba
Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira, Nambari 11 ya 2005 imeweka masharti ya ajira kwa wageni, ikiwa...
Ulimwengu wa Spoti, Feb 16
Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuzamie baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita katika pembe tofauti za dunia.
GAMONDI KUINOA STARS | Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi amesema anajisikia fahari kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na kuahidi ku…
GAMONDI KUINOA STARS | Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi amesema anajisikia fahari kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na kuahidi kushirikiana vema na taasisi zote za soka Tanzania, kuhakikisha…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….FEBRUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....FEBRUARI 16, 2026
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, imemhukumu Evarist Justin Chamtepa (44) kifungo cha miaka 30 jela, na kulipa …
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, imemhukumu Evarist Justin Chamtepa (44) kifungo cha miaka 30 jela, na kulipa fidia ya Shilingi Milioni 5 baada ya kumbaka mtoto wake…
Matukio ya wizi, uvamizi yatia hofu Mbeya, Polisi yatoa tahadhari
Matukio hayo yanatajwa kushamiri katika mitaa ya Makunguru, Ilemi, Isanga, Soweto na Mwenge...
Mbunge wa Nyeri Adai William Ruto Huwahonga Wabunge KSh 100k kwa Mikutano ya Ikulu
Mbunge wa Mukurweini John Kaguchia alifichua sababu zake za kumwacha Rais William Ruto, akitaja udanganyifu na utumizi mbaya wa pesa wakati wa mikutano ya Ikulu.
Leo kuanzia saa 8:30 mchana, chaneli ya CGTN itakuletea 2026 The CMG Festival Gala
Leo kuanzia saa 8:30 mchana, chaneli ya CGTN itakuletea 2026 The CMG Festival Gala. CGTN ni chaneli namba 238 kwenye kisimbuzi chako cha AzamTV. #CMGFestivalGala #CGTN #AzamTV (Feed generated with…
Vifaa saidizi, Sh342 milioni za mikopo yatolewa Mtwara Mikindani
Vifaa na fedha hizo zimekabidhiwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu...
Iran na Tanzania kupanua ushirikiano wa karantini na kilimo
Mkuu wa Shirika la Ulinzi wa Mimea la Iran ameeleza azma ya taifa hili ya kukuza ushirikiano na Tanzania katika uga wa karantini na kilimo.
“Ni muhali kufikia amani na Israel madhali inakiuka haki za Wapalestina”
Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Palestina, Varsen Aghabekian Shahin amesema kufikia amani na Israel "haiyumkiniki" madhali haki za Wapalestina zinakiukwa na utawala huo wa Kizayuni, akisisitiza kwamba…
Utumwa, ukoloni; Ghana yataka nchi za AU kuunga mkono Azimio la Algiers
Rais wa Ghana ametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuunga mkono rasimu ya azimio lenye lengo la kutambua dhulma za kihistoria zilizosababishwa na biashara ya utumwa…
Kallas: Estonia inaipiku Marekani katika uhuru wa kujieleza
Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas amepuuzilia mbali ukosoaji wa Washington kuhusu mbinyo wa kutoa maoni katika nchi wanachama wa umoja huo, akisisitiza kwamba nchi…
#MEZAHURU: Kitu gani kifanyike kuboresha MASOMO KWA LUGHA YA ALAMA kwa watu wenye ulemavu ndani ya Tanzania.?
#MEZAHURU: Kitu gani kifanyike kuboresha MASOMO KWA LUGHA YA ALAMA kwa watu wenye ulemavu ndani ya Tanzania.?
GAMONDI KUINOA STARS | Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda amesema Kocha Miguel Gamondi amepewa uwanda m…
GAMONDI KUINOA STARS | Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda amesema Kocha Miguel Gamondi amepewa uwanda mpana wa kuita vijana wote wa Kitanzania wenye vipaji wanaoishi mataifa…
Junet Mohamed Amnyorosha Oketch Salah Dhidi ya Kuchapisha T-Shirts za ODM na Picha ya Ruto
Junet Mohamed alimuonya mfanyabiashara Oketch Salah dhidi ya kuchapisha tshirt za ODM zenye sura ya Ruto, akisisitiza utiifu wa kisiasa na madhara yanayoweza kutokea
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 16/02/20226
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 16/02/20226 (Feed generated with FetchRSS)