Wataalamu ‘wamuuma sikio’ Mwigulu kuhusu ujenzi chini ya kiwango
Kwa mujibu wataalamu hao, mazingira hayo yamesababisha majengo na miradi mingi kujengwa chini...
Uwanja wa ndege wa Sabiha Gökçen umehudumia abiria milioni 44.2 katika kipindi cha miezi 11
Kwa mujibu wa maafisa, idadi ya abiria iliongezeka kwa asilimia 31 katika miezi 11 ya mwaka 2025 ikilinganishwa na kipindi cha kabla ya njia ya pili ya ndege kuanza kutumika…
Madereva wanne wanaswa kwa ulevi sikukuu
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia madereva wanne waliokutwa wakiendesha vyombo...
Mzenji anukia Fountain Gate
UONGOZI wa Fountain Gate uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji wa Pamba Jiji, Saleh Masoud Abdallah 'Tumbo', baada ya mchezaji huyo kudaiwa kufikia uamuzi huo…
Ayatullah Khatami: Adui atakumbwa na usiku wa giza iwapo atasababisha madhara kwa Iran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesisitiza kuwa, uwezo wa makombora wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utaendelea kuwepo na kwamba: "Maadui watakumbana na usiku wa…
Mapigano yazuka upya Uvira mashariki mwa Kongo
Mapigano mapya yamezuka Ijumaa karibu na Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kati ya kundi la M23 na wanamgambo wanaoiunga mkono serikali, kwa mujibu wa vyanzo vya usalama…
UN yatoa fedha za dharura kukabiliana na mlipuko hatari wa donda koo Mali: OCHA
Umoja wa Mataifa umeharakisha utoaji wa fedha za dharura kusaidia Mali kukabiliana na mlipuko unaoenea kwa kasi wa ugonjwa wa Donda koo au diphtheria, ambao tayari umeua makumi ya watu…
Iraq na UN wasaini mfumo mpya wa ushirikiano wa maendeleo kwa kipindi cha 2025–2029
Serikali ya Iraq na Umoja wa Mataifa wamesaini Mfumo mpya wa Ushirikiano wa Maendeleo Endelevu wa Umoja wa Mataifa UNSDCF kwa kipindi cha mwaka 2025–2029, hatua inayothibitisha upya ushirikiano wao…
Kuelekea uchaguzi, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa aisihi Guinea kukomesha ukiukwaji wa haki
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, ameitaka serikali ya Guinea kukomesha mara moja vitendo vya vitisho na ukiukwaji wa haki za binadamu kabla ya…
Gharibabadi: Mashambulizi ya adui dhidi ya raia wakati wa vita yamethibitisha suala la nyuklia lilikuwa kisingizio tu
Kazem Gharibabadi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Anayehusika na Masuala ya Kisheria na Kimataifa ameissitiza kuwa mashambulizi ya adui dhidi ya raia na makazi ya watu wakati…
UN yatahadharisha: Al-Shabab bado ni tishio kubwa nchini Somalia na Kenya
Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wametahadrharishakatika ripoti yao wiki hii kwamba kundi lenye misimamo mikali la al Shabab lingali ni tishio kubwa hivi sasa kwa amani na uthabiti huko Somalia…
Takriban watu 5 wameuawa katika shambulio la kigaidi msikitini wakati wa Sala ya Ijumaa huko Homs, Syria
Shambulio la kigaidi limewalenga waumini waliokuwa katika ibada ya Sala leo Ijumaa katika msikiti wa Imam Ali bin Abi Talib (a.S) katika kitongoji cha Wadi al Dhahab katika mkoa wa…
Waziri wa Vita: Israel kamwe haitaondoka Ukanda wa Gaza
Israel Katz Waziri wa Vita wa Israel amesisitiza kuwa Tel Aviv "kamwe haitaondoka " Gaza, na kwamba watajenga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kaskazini mwa ukanda huo, hatua ambayo ni…
Dar sees a peaceful, colourful, joyful Festive Season
DAR ES SALAAM: PEACE, stability, and tranquility have filled the commercial city of Dar es Salaam as citizens in various places have celebrated the festival seasons of Christmas joyfully with…
Serikali Shinyanga yaahidi kusaidia watoto yatima
MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita ametoa ahadi kwa watoto yatima na wanaoishi kwenye mazingira magumu kuwanunulia sare za shule na kuwalipia bima ya afya ili waweze kupata matibabu.…
#VIDEO: Hii hapa video ya dakika moja ikionesha baadhi ya wakazi wa kata ya Malolo na Mwinyi Manispaa ya Tabora wakipata shida …
#VIDEO: Hii hapa video ya dakika moja ikionesha baadhi ya wakazi wa kata ya Malolo na Mwinyi Manispaa ya Tabora wakipata shida kurudi kwenye makazi yao baada ya maji kuzingira…
Nyota hawa wanazibeba timu zao AFCON 2025
Kawaida mchezaji bora wa mchezo ni yule anayeonyesha kiwango bora uwanjani kinachochangia timu...
Kinachoendelea kwa Diamond Platnumz na Fantana
Kauli ya Fantana ilikuja kufuatia shoo ya Diamond huko Lagos, Nigeria ambako aliwauliza...
Nigeria yakiri mashambulizi ya Marekani maeneo ya kigaidi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Nigeria imethibitisha kuwa Marekani imefanya ‘mashambulizi ya uhakika dhidi ya maeneo lengwa ya kigaidi nchini Nigeria.
Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, ahukumiwa
Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia, Najib Razak, amehukumiwa tena Ijumaa kwa makosa ya ufisadi yanayohusiana na uporaji wa mabilioni ya dola kutoka mfuko wa uwekezaji wa taifa, 1MDB.
Bruno kukosa mechi tano Man United
Fernandes amekuwa na rekodi ya kipekee ya utimamu wa mwili tangu alipojiunga na klabu hiyo...
Myanmar kufanya uchaguzi mkuu wake wa kwanza Jumapili
Upigaji kura utafanyika katika sehemu mbalimbali kwa awamu tatu, ambapo awamu ya pili itakuwa Januari 11 na ya tatu Januari 25.Wakosoaji wanatia shaka kuhusu uwezekano wa mabadiliko halisi kuelekea utawala…
Ujerumani haitajiunga na kikosi cha kulinda amani Gaza
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Johann Wadephul amesema taifa hilo haliitashiriki katika kikosi cha kimataifa cha kuimarisha utulivu ISF kwa ajili ya kutekeleza mpango wa amani wa Gaza…
Nigeria yathibitisha mashambulizi ya Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh
Rais wa Marekani amesema nchi yake ilifanya mashambulizi mengi yaliyolenga shabaha dhidi ya Daesh nchini Nigeria.
#HABARI: Viongozi wa Serikali wa Mkoa wa Shinyanga wametumia Sikukuu ya Krismasi kusherehekea pamoja na watoto yatima wanaolelew…
#HABARI: Viongozi wa Serikali wa Mkoa wa Shinyanga wametumia Sikukuu ya Krismasi kusherehekea pamoja na watoto yatima wanaolelewa katika vituo mbalimbali mkoani humo. Katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa…
Kim, ameagiza uzalishaji zaidi wa makombora mwaka 2026
Kongozi wa taifa Korea Kaskazini, Kim Jong Un ameagiza ‘kuongeza' na kuboresha uzalishaji wa makombora ya nchi hiyo mwaka ujao, pamoja na ujenzi wa viwanda zaidi ili kukidhi mahitaji yanayoongezeka.
Vita vilivyosambaratisha mustakabali wa watoto wa Ghaza
Hali ya watoto wa Ukanda wa Ghaza ni ushahidi wa wazi wa janga la kibinadamu na mauaji ya kimbari ya kimfumo yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni kwa muda wa miaka…
Mtoto mwenye umri wa miaka (3) aliyekuwa akifahamika kwa jina la Samir Adam amekutwa amefariki dunia huku mwili wake ukiwa kwen…
Mtoto mwenye umri wa miaka (3) aliyekuwa akifahamika kwa jina la Samir Adam amekutwa amefariki dunia huku mwili wake ukiwa kwenye dimbwi la maji katika mtaa wa kizigo kata ya…
Trump aishambulia Islamic State Nigeria
Serikali ya Marekani, imefanya mashambulizi kwa kundi la kigaidi la Islamic State (IS) katika...
Mambo matatu yaliyobamba kwa Jux 2025
Jux amefanikisha mengi kwa huu uliobakiza siku chache kumalizika, huku mengine yakiweka rekodi...
Mambo matatu yaliyobamba kwa Jux 20205
Jux amefanikisha mengi kwa huu uliobakiza siku chache kumalizika, huku mengine yakiweka rekodi...
Chama Kikuu Cha Ushirika Cha Songea Na Namtumbo (SONAMCU) mkoani Ruvuma kimegawa mbegu za zao la mbaazi tani 10 kwa wakulima wa …
Chama Kikuu Cha Ushirika Cha Songea Na Namtumbo (SONAMCU) mkoani Ruvuma kimegawa mbegu za zao la mbaazi tani 10 kwa wakulima wa Halmashauri ya Namtumbo ikiwa sehemu ya utekelezaji wa…
Wakati sikukuu za mwisho wa mwaka zikiendelea, Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Pwani umefanya operesheni maalumu ya kukagua mizan…
Wakati sikukuu za mwisho wa mwaka zikiendelea, Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Pwani umefanya operesheni maalumu ya kukagua mizani inayotumika kuuzia nyama katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Kibaha,…
Ifahamu historia ya ‘Boxing Day’
Kila ifikapo Desemba 26, dunia husherehekea Sikukuu ya ‘Boxing Day’ ambayo mara nyingi huenda...
Mil 150/- kuleta maendeleo pembezoni mwa Longido
ARUSHA: SHIRIKA Lisilo la Kiserikali la Pingo’s Forum linapanga kutumia zaidi ya Sh milioni 150 kwa ajili ya miradi ya maendeleo pembezoni mwa Wilaya ya Longido mkoani Arusha ikiwemo mradi…
Advancing tuberculosis diagnostics to reach more Africans
DAR ES SALAAM: SIGNIFICANT progress has been made in TB diagnostics in the past decade as countries in the African region embrace new technologies. However, many people still have no…
Ugumu uliopo matumizi ya tiketi za mtandao
Kwa mujibu wa sheria, kila basi linapaswa kuwa na nakala tatu za manifesto ya abiria, moja...
Waliojenga maeneo ya barabara Siha kulipwa fidia
ARUSHA: NAIBU Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa amesema wananchi wote waliojenga maeneo ambayo barabara ya Siha wilayani Hai mkoani Kilimanjaro hadi Longido mkoani Arusha itakapopita watalipwa fidia kupisha ujenzi…
Calls grow for youth peace vigilance
DAR ES SALAAM: TANZANIAN youths have been urged to exercise caution in their actions and decisions, avoiding undue influence from individuals who seek to incite unrest and threaten the country’s…
Unemployed but undeterred, turning survival into success
DAR ES SALAM: AT just 32 years old, Halary Msoka embodies a powerful truth often overlooked in conventional success stories: life’s unexpected detours can sometimes lead to the most fulfilling…
All you need to know about 2027 AFCON
DAR ES SALAAM: THE 2027 Africa Cup of Nations (AFCON), set to be hosted by Tanzania, Uganda and Kenya marks a historic milestone as the first-ever edition of the tournament…
Alkhamisi 25 Disemba, 2025
Leo ni Alkhamisi tarehe 4 Rajab 1447 Hijria sawa na 25 Disemba 2025.
Stars undeterred by loss
DAR ES SALAAM: TAIFA Stars remain hopeful about Africa Cup of Nations (AFCON) Group C campaign despite a 1-0 defeat to Nigeria in their Group C opener at Fez Stadium.…
Trump asema US imeshambulia kijeshi ndani ya Nigeria kuwalenga wanaoua wakristo wasio na hatia
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanya shambulio la anga dhidi ya wapiganaji wa kundi la DAESH (ISIS) au ISIL kaskazini magharibi mwa Nigeria.
Why is Afcon taking place in December?
MOROCCO: THE Africa Cup of Nations (Afcon) will take place between 21 December 2025 and 18 January 2026 in Morocco. The 2025 edition was originally due to be a mid-year…
Academics told to turn research into action
DAR ES SALAAM: ACADEMICS in higher learning institutions have been urged to reorient research efforts toward practical, solution-driven outcomes that address societal challenges and improve community livelihoods, amid growing concern…
#HABARI: Waumini wa Kanisa Katoliki nchini, wametakiwa kusimamia maadili kuanzia ngazi ya familia, kudhibiti matumizi ya simu za…
#HABARI: Waumini wa Kanisa Katoliki nchini, wametakiwa kusimamia maadili kuanzia ngazi ya familia, kudhibiti matumizi ya simu za mkononi na kuepuka tabia zinazoharibu ustawi wa kifamilia ikiwamo ulevi wa kupindukia,…
Kwa wiki moja, Israel imesababisha hasara ya dola milioni 7 kwenye mashamba ya Wapalestina
Wizara ya Kilimo ya Palestina imetangaza kuwa, ndani ya muda wa wiki moja, uvamizi uliofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel na walowezi haramu umeharibu zaidi ya mizeituni…