Mythos ni nini na kwa nini inaonekana kuwa tishio kubwa kuliko Mlango bahari wa Hormuz?
"Tunajua Mlango Bahari wa Hormuz ulipo na ukubwa wa tishio lake, lakini bado hatuelewi kikamilifu hatari tunayokabiliwa nayo kutoka Mythos'', anasema Waziri wa fedha wa Canada.
Ni nini hasa kinachoiunganisha China na Urusi?
Wachambuzi wa Magharibi kwa muda mrefu wameuelezea ushirikiano kati ya China na Urusi kwa namna mbili tofauti: kama "mhimili wa tawala za kiimla" unaounganishwa na lengo la pamoja la kuipinga…
Refa bora wa Afrika azuiwa kuingia Marekani licha ya kuteuliwa na FIFA kwa Kombe la Dunia
Katika tukio jingine la kashfa siku chache kabla ya Kombe la Dunia 2026, mwamuzi mashuhuri kutoka Somalia, anayesifiwa sana kuwa miongoni mwa marefa bora zaidi barani Afrika, amezuiwa kuingia nchini…
Katibu Mkuu wa WHO anazuru Uganda
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amezuru Uganda na kukutana na maafisa wakuu wa afya nchini humo huku taifa hilo likiendelea kukabiliana na mlipuko wa…
Dunia yahimizwa kugeukia matumizi ya nishati safi
Mgogoro wa mafuta duniani uliochangiwa na vita kwenye eneo la mashariki ya kati, unaonesha namna dunia inapaswa kuachana na utegemezi wa mafuta ya visukuku na kuelekea kutumia nishati safi, hii…
Afrika: Soko la kuweka miadi ya visa na faida zake
Soko la kuweka miadi ya visa lina faida kubwa, lakini linamikanganyiko mingi kwa waombaji wanaolalamika kuhusu ugumu na gharama ya taratibu wa kuzipata. Imechapishwa: 09/06/2026 – 04:47 Dakika 2 Wakati…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 9, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Tuchukue mazuri ya Kombe la Dunia 2026
Baada ya kusubiri kwa miaka minne, hatimaye keshokutwa Alhamisi, Fainali za Kombe la Dunia...
Why teacher motivation matters for 3Rs success
DODOMA: Tanzania understands that human capabilities and social development are crucial for driving its socio-economic transformation and achieving the goals of Tanzania Development Vision 2050 (Dira 2050). Through Dira 2050’s…
Gachagua aapa kuendelea na vita vya kisheria baada ya kushindwa katika Mahakama Kuu
Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua anaenda Mahakama ya Rufaa baada ya Mahakama Kuu kuidhinisha kubanduliwa kwake licha ya kubaini kuwa haki zake zilikiukwa.
Tanzania, Singapore boost cooperation during historic state visit
DAR ES SALAAM: Tanzania and Singapore are set to deepen economic and diplomatic relations following the arrival of Singapore President Tharman Shanmugaratnam for a three day state visit. Singapore President…
ZURA announces new fuel prices in Zanzibar for June
ZANZIBAR: THE Zanzibar Utilities Regulatory Authority (ZURA) has announced new fuel prices that will take effect from this month, with petrol and diesel both set to retail at Sh3,890 per…
PCCB arraigns CWT president in economic sabotage case
DODOMA: Tanzania Teachers’ Union (CWT) President Suleiman Ikomba on Monday appeared before the Dodoma Resident Magistrate’s Court, where he joined seven other current and former union leaders facing charges of…
Villa Rosa Kempinski: Kutana na bilionea Mkenya anayemiliki hoteli ya kifahari, mali zake nyingine
Adil Popat, mlezi wa Abdul Karim Popat ndiye mbunifu wa hoteli ya kifahari ya Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi. Anahudumu kama mwenyekiti wa Simba Corporation.
“Haki zake zilikiukwa”: Mahakama Kuu yamzawadia Gachagua fidia kubwa
Mahakama imempa aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua KSh 50 milioni baada ya kubaini kuwa Seneti ilikiuka haki zake wakati wa mchakato wa kumbandua madarakani.
“Hakukuwa na upendeleo”: Mahakama yatoa uamuzi mzito dhidi ya Gachagua
Mahakama ya Juu imeunga mkono uamuzi wa Seneti wa kumtimua aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua, na hivyo kuthibitisha uhalali wa kikatiba wa mchakato huo
Hazina ya Riadha: Mamilioni Ambayo Omanyala Ametia Mfukoni Kutoka Diamond League Mwaka wa 2026
Ferdinand Omanyala, mwanamume mwenye kasi zaidi Afrika, ameanza vyema 2026 na kujishindia KSh 3.4 milioni katika tuzo ya Diamond League katika mashindano chini ya 10
Iran yawalilia waliouawa shambulio la Marekani, ikitua Mexico
Timu ya taifa ya Iran imeibua mjadala mpya wa kisiasa kuelekea Kombe la Dunia 2026 baada ya...
England waandaa paredi ya ubingwa kimya kimya
Imefichuka kuwa Serikali ya England inaandaa kwa siri mipango ya kufanya paredi kubwa...
Mahakama Kuu Kenya yatupilia mbali baadhi ya hoja zilizopinga kuondolewa madarakni kwa Gachagua
Akitoa uamuzi huo kwa niaba ya jopo la majaji watatu, Jaji Eric Ogola alishikilia kuwa ushiriki wa kisiasa na maoni ya wabunge peke yake, hakuwezi kuthibitisha kuwa ni upendeleo wa…
Udanganyifu wa kidijitali waibua tahadhari Serikali
Rais wa ACFE Tanzania, Ali Mabrouk Juma, amesema dunia inakabiliwa na ongezeko la udanganyifu...
Tanzania, Singapore set for high level trade, digital economy talks
DAR ES SALAAM: AS dusk settles over the city, a warm African welcome awaits Tharman Shanmugaratnam, President of the Republic of Singapore, whose arrival this evening marks the beginning of…
KIOO Limited donates150m/- in equipment to schools in Mkuranga as its CSR program.
DAR ES SALAAM: KIOO Limited has provided various donations to Primary and Secondary Schools in Mkuranga Coast Region amounting to 150m/- last year as part of its Corporate Social Responsibility…
MUHAS, One Health Society train experts to boost pandemic preparedness
DAR ES SALAAM: MUHIMBILI University of Health and Allied Sciences (MUHAS) is reinforcing Tanzania’s preparedness against future disease outbreaks through a five day short course aimed at strengthening capacity in…
Women traders get cash boost at Kobero–Kabanga OSBP
KIGOMA: WOMEN and youth cross border traders operating between Tanzania and Burundi have received new financial and institutional support aimed at boosting their businesses and easing trade at the Kobero–Kabanga…
Arusha braces for June Tanzania Annual Scientific Conference
ARUSHA:RESEARCHERS , policymakers, health experts and development partners from within and outside Tanzania are expected to gather in Arusha City from June 9 to 11, 2026, for the 33rd Tanzania…
Mwanamke wa Nairobi asimulia jinsi mchungaji aliyemuahidi ndoa alimuoa rafiki yake wa karibu
Sheila Cherop alisimulia masikitiko yake baada ya kuchumbiana na pasta kwa miaka minane, na kugundua kuwa alioa rafiki yake wa karibu huku akikabiliwa na usaliti
Takukuru yaokoa Sh116 milioni, mfumo wa NeST wasaidia
Taasisi ya Kuzuiana na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imebainisha kuwa mfumo wa ununuzi wa...
Bei ya mafuta Zanzibar yapaa licha ya kupokea shehena ya mafuta
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei mpya za mafuta...
Nchemba donates mobility bike, demands leader accountability
DAR ES SALAAM/IRINGA: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has wrapped up his working visit to Iringa region with a firm call for accountability and faster response to public concerns, while also…
Steve wa Massage afungua roho kuhusu mapambano yake na afya ya kiakili: “Sijaoga siku tatu”
Steve wa Massage amefichua kuhusu vita yake inayoendelea na afya unyongovu akionyesha hisia za kutengwa na hamu ya kuvunja ukimya juu ya mapambano ya afya ya akili.
Straika Mkongomani aiteka Singida Black Stars
MABOSI wa Singida Black Stars wanaendelea kufanyia tathimini maeneo ya kuboresha msimu ujao, ambapo kwa sasa inaangalia uwezekano wa kuinasa saini ya mshambuliaji nyota Mkongomani Gusto Wa Ilungo Mulongo anayeichezea…
Chadema yasubiri uamuzi wa Msajili, yeye asema…
Majibu hayo yanatokana na barua ya Mei 26, 2026, iliyotolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa...
Wasira aiagiza Samwasa kuharakisha usambazaji wa maji Same mjini
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira ameiagiza Mamlaka...
Health Ministry steps up emergency care and Ebola preparedness training in Iringa
IRINGA: THE MINISTRY of Health, through its Emergency and Disaster Management Department, has intensified training aimed at strengthening emergency medical services, accident response, critical care, and preparedness for infectious disease…
Forbes Africa recognition puts Tanzania’s shipbuilding industry on global map
DAR ES SALAAM: TANZANIA’s maritime industry has received a major boost after Forbes Africa recognised Dar es Salaam Merchant Group (DMG) for establishing what it describes as the country’s Class…
Mwaka mmoja baadaye: Nevnina Onyango atoa ujumbe mzito akikumbuka kifo cha mumewe Albert Ojwang
Nevnina Onyango alishiriki heshima ya kugusa moyo katika kumbukumbu ya kifo cha mume wake, mwanaharakati Albert Ojwang, ambaye aliuawa kwa mateso mwaka jana.
Upelelezi umekamilika kesi ya Najim na mkewe wanaodaiwa kusafirisha kilo 3,000 za ‘unga’
Upelelezi wa kesi ya kusafirisha shehena ya kilo 3,050 za dawa za kulevya, inayomkabili...
Rais wa CWT asomewa mashtaka 14 ya rushwa, uhujumu uchumi
Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Suleiman Ikomba amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...