🔴KUMEKUCHA KISHINDO:….FEBRUARI 20, 2026
🔴KUMEKUCHA KISHINDO:....FEBRUARI 20, 2026
Nigeria yazindua operesheni ya kupambana na ugaidi katika Jimbo la Kwara
Jeshi la Nigeria limezindua rasmi operesheni kubwa ya kupambana na ugaidi siku ya Alhamisi katika Jimbo la Kwara katika eneo la katikati magharibi mwa nchi. Operesheni hii, iliyotangazwa mapema mwezi…
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55….FEBRUARI 20, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA MBILI NA DAKIKA 55....FEBRUARI 20, 2026
Funga za Ramadhan na Kwaresma ndani ya jicho la afya
Katika kalenda za dini mbili kubwa duniani Uislamu na Ukristo, kuna vipindi maalumu vya waumini...
Mali: Shambulio la ndege isiyo na rubani ya waasi wa FLA dhidi ya jeshi yaua watu kadhaa
Nchini Mali, waasi wanaotaka kujitenga wa Azawad Liberation Front (FLA) wamedai kuhusika na shambulio la ndege isiyo na rubani dhidi ya msafara wa jeshi la Mali na wanamgambo wa Urusi…
Hahaha Side ameshtuka mambo ya kuitwa na madawa ila kajichanganya kwenye maelezo yake 😆🙌 Usikose kutazama NOMA leo saa 1:00 usik…
Hahaha Side ameshtuka mambo ya kuitwa na madawa ila kajichanganya kwenye maelezo yake 😆🙌 Usikose kutazama NOMA leo saa 1:00 usiku ndani ya #SinemaZetuHD (Feed generated with FetchRSS)
Senegal: Serikali yaidhinisha muswada unaolenga kuimarisha sheria kuhusu wapenzi wa jinsia moja
Muswada huo uliyopitishwa na baraza la mawaziri jioni ya Jumatano, Februari 18, unalenga kuongeza adhabu kwa wale watakaopatikana na hatia ya “vitendo kinyume na maumbile” na kuzipanua kwa mashirika ambayo…
🔴KUMEKUCHA MICHEZO:….FEBRUARI 20, 2026
🔴KUMEKUCHA MICHEZO:....FEBRUARI 20, 2026
Hawa wameruhusiwa kutofunga Mwezi wa Ramadhan
Saumu ni ibada inayohitaji subira na ustahimilivu. Wapo katika jamii ambao huenda wasiweze...
DRC: Ufaransa yakiri kuwapa mafunzo wanajeshi wa DRC kwa ombi la Kinshasa
Ubalozi wa Ufaransa nchini DRC umethibitisha uwepo wa maafisa wa jeshi la Ufaransa huko Kisangani kama sehemu ya mpango wa ushirikiano wa kijeshi kati ya nchi hizo mbili. Kimsingi wakiwa…
Unataka kufunga na una kisukari? Zingatia haya
Mwezi wa Ramadhani unapowadia, mamilioni ya Waislamu duniani huingia katika kipindi cha ibada...
Polisi wa Afrika Kusini wamekamata mtoto wa kiongozi wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe
Mtoto mdogo wa rais wa zamani wa Zimbabwe amekamatwa baada ya mtunza bustani kupigwa risasi nyumbani kwake Afrika Kusini. Imechapishwa: 20/02/2026 – 05:38 Dakika 2 Wakati wa kusoma Matangazo ya…
Mwathirika wa Mrusi aliyerekodi video za faragha za wanawake azungumza na BBC
Jitihada zinaendelea za "kufuatilia ushahidi wa kidijitali na kifedha" wa maudhui hayo ya faragha kwenye majukwaa ya kulipia.
KONA YA MSTAAFU: Siku ya Wastaafu itakuwa lini?
Mwaka mzima wa mwaka jana, kama ilivyo miaka mingine ya nyuma, mstaafu wetu wa taifa wa kima...
Mwanamfalme wa zamani wa Uingereza Andrew aachiliwa baada ya kukamatwa kwa utovu wa nidhamu
Andrew Mountbatten-Windsor, mwanachama wa zamani wa familia ya kifalme ya Uingereza, ameachiliwa huru baada ya kukamatwa kwa utumiajimbaya wa madaraka. Alishukiwa kumpa Jeffrey Epstein, aliyehukumiwa kwa unyanyasaji wa kingono, hati…
Trump aonya kuhusu ‘mambo mabaya yatatokea’ ikiwa Iran itashindwa kufikia makubaliano
Rais Donald Trump amesema siku ya Alhamisi anaamini Iran inaweza kufikia makubaliano ndani ya siku 10 hadi 15. Hata hivyo, mazungumzo yamekwama kwa miaka mingi, na Iran inakataa kujadili madai…
Ulaji daku unavyounganisha imani na afya ya mfungaji
Katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, wakati wa alfajiri unapokaribia, mamilioni ya Waislamu...
AFCON 2025: Hukumu za miezi mitatu hadi mwaka mmoja jela dhidi ya mashabiki 18 wa Senegal
Mahakama ya Morocco imetoa uamuzi wake siku ya Alhamisi, Februari 19, huko Rabat, wakati wa kumalizika kwa kesi ya mashabiki 18 wa Senegal na Mfaransa mmoja waliokamatwa wakati wa vurgugu…
Dunia ina siku 10 kuona ikiwa Iran inafikia makubaliano au ‘kitu kibaya kitokee’ – Trump
Katika siku za hivi karibuni, Marekani imeongeza vikosi vya kijeshi Mashariki ya Kati, huku hatua ikisemekana kupigwa katika mazungumzo kati ya wapatanishi wa Marekani na Iran nchini Uswisi.
🔴#MAGAZETI: DARASA LENYE KITABU KIMOJA LAZUA ZOGO
🔴#MAGAZETI: DARASA LENYE KITABU KIMOJA LAZUA ZOGO
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: PSG inamsaka Haaland Man City
Paris St-Germain yaonyesha nia ya kumsajili Erling Haaland, vilabu kadhaa vya Ulaya vinamtaka Bernardo Silva na Carlo Ancelotti ana nia ya kuongeza muda wake wa ukocha wa Brazil.
Kiongozi Muadhamu ahudhuria hafla ya Qur’ani siku ya kwanza ya Ramadhani
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amehudhuria kikao cha kiroho cha Qur'ani katika siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, akijumuika na maqarii na wasomaji…
Wachunguzi wa UN: Yumkini mauaji ya halaiki yamefanyika El-Fasher
Ujumbe wa kutafuta ukweli wa Umoja wa Mataifa umesema ukatili uliofanywa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF wakati wa kuutwaa mji wa El-Fasher huko Darfur Magharibi nchini Sudan mwezi…
Magaidi wa Lakurawa waua watu 34 kaskazini mwa Nigeria
Kwa akali watu 34 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa Lakurawa kwenye vijiji kadhaa katika jimbo la Kebbi, kaskazini magharibi mwa Nigeria, ripoti ya usalama iliyoonekana na Reuters ilisema Alkhamisi.
Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa maisha jela
Mahakama ya Korea Kusini jana Alkhamisi ilimhukumu rais wa zamani wa nchi hiyo, Yoon Suk Yeol kifungo cha maisha jela kwa kutangaza sheria ya kijeshi mnamo Desemba 2024, na kumtia…
Waholanzi 640 waliohudumu katika jeshi la Israel Gaza kushtakiwa
Zaidi ya raia 640 wa Uholanzi wamehudumu katika jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya halaiki vya utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Gaza na kwneye mashambulizi dhidi…
Kardinali Pengo afariki dunia
Taarifa za kifo chake zimetolewa usiku wa kuamkia leo Ijumaa, Februari 20, 2025 na Askofu Kuu...
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 20, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 20, 2026
Ongezeko la shehena ya mizigo na ufanisi bandarini
Ongezeko la shehena ya mizigo na ufanisi bandarini. Je, unaendana na uboreshaji mifumo mingine wezeshi kuepusha mkwamo ?
Rais mpya wa Venezuela katika njia panda kati ya shinikizo kutoka Marekani na kuimarisha ushawishi wake nchini humo
Trump amemtaja Rodríguez kuwa "mtu mzuri" ambaye amefanya naye kazi. Rodríguez, kwa upande wake amesema wamekuwa na mawasiliano na Trump kwa njia ya "heshima" na "uangalifu".
Ijumaa, tarehe 20 Februari, 2026
Leo ni Ijumaa tarehe Pili Ramadhani 1447 Hijria sawa na Februari 20 mwaka 2026.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 20, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Msaliti wa kwanza kwa wakayi, uso kwa uso na Bey
Msaliti wa kwanza kwa wakayi, uso kwa uso na Bey (Feed generated with FetchRSS)
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 19, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 19, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 19, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 19, 2026
#HABARI: Mamia ya wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara wamejitokeza kuifariji familia ya aliyekuwa Mbunge wa Mbulu Vijijin…
#HABARI: Mamia ya wananchi wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara wamejitokeza kuifariji familia ya aliyekuwa Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay, kufuatia kifo cha mama yake mzazi, Mariana Tkuway, aliyefariki…
Kampuni ya mawasiliano yasherehekea kwa kuwambuka wateja wake
Kampuni ya Mawasiliano Tanzania Yas leo imekabidhi hundi ya Sh5 milioni kwa mkazi wa Wilaya ya...
#HABARI: Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati, Mhe
#HABARI: Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati, Mhe. Subira Mgalu, ameipongeza Serikali kwa usimamizi madhubuti wa mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja (BPS) unaohakikisha nishati hiyo inapatikana…
Baba wa Nyeri Azungumza baada ya Mwanamume Aliyemuua Bintiye wa Miaka 7 Kuhukumiwa Kifo
Nicholas Julius Macharia aliphukumiwa kifo kwa kumuua Blessing Tamara Kabura mwenye umri wa miaka saba. Mahakama ilitupilia mbali madai yake ya ushawishi wa shetani.
Wakimbilia Kliniki ya Sheria baada ya mnunuzi kupewa haki
Baada ya siku moja Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kumaliza mgogoro wa nyumba...
Mv Liemba kuanza tena safari zake Julai
Meli kongwe ya Mv Liemba iliyokuwa ikifanya safari zake kuzunguka mwambao wa Ziwa Tanganyika...
MAFAILI YA EPSTEIN: Taasisi ya Wexner ilivyofichua namna Epstein alivyoiba fedha-10
Wakati tuhuma za Epstein zikiwa zimezagaa, Wexner hakutaka kusikia lolote, na hakuchukua uamuzi...
Zanzibar, Infinity sign USD 12m heritage restoration project
Zanzibar: The government of Zanzibar has announced a major heritage restoration initiative backed by a $12 million public–private investment, in a move aimed at strengthening cultural preservation while expanding the…
Mama Mkwe wa Aziza kachachamaa… #AzamTWO
Mama Mkwe wa Aziza kachachamaa... #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema kuwa, katika kuhakikisha vijana wanajengewa uzo…
#HABARI: Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema kuwa, katika kuhakikisha vijana wanajengewa uzoefu, serikali imedhamini vijana takribani 5000 katika mafunzo ya ufundi yatakayowawezesha kukidhi…
🔴#MALUMBANO: NINI KIFANYIKE KUDHIBITI VURUGU ZA WAENDESHA BODABODA BARABARANI KWA USALAMA WAO ….FEBRUARI 19, 2026
🔴#MALUMBANO: NINI KIFANYIKE KUDHIBITI VURUGU ZA WAENDESHA BODABODA BARABARANI KWA USALAMA WAO ....FEBRUARI 19, 2026
#HABARI: Mradi wa maji wenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni saba uko hatarini kusimama baada ya wananchi wa Kata ya Luana,…
#HABARI: Mradi wa maji wenye thamani ya zaidi ya shilingi Bilioni saba uko hatarini kusimama baada ya wananchi wa Kata ya Luana, Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe kuvamia chanzo cha…
RC Mtaka apigia chapuo uchakataji zao la parachichi
Wakulima na wafanyabiashara mkoani Njombe wametakiwa kuongeza uzalishaji wa matunda ya...
WASAIDIZI WA NDANI: Mwelekeo mpya katika malezi bora, kupunguza unyanyasaji
Siku moja baada ya Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) kutangaza kuanza mchakato wa kutoa...