Sisitizo la Iran la kuendeleza mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Lango-bahari la Hormuz
Wakati mivutano kati ya Iran na Marekani inazidi kuongezeka, Tehran imesisitiza kuwa, machaguo yake yote yako mezani, licha ya mazungumzo yanayoendelea baina yake na Washington.
Sisitizo la Iran la kuendeleza ajenda ya mazungumzo na kubakisha machaguo yake, kuanzia makombora hadi ufungaji wa Langobahari la Hormuz
Wakati mivutano kati ya Iran na Marekani inazidi kuongezeka, Tehran imesisitiza kuwa, machaguo yake yote yako mezani, licha ya mazungumzo yanayoendelea baina yake na Washington.
VAR inaharibu utamu wa soka
baada ya mechi za mwisho wa wiki za FA Cup na maamuzi mengi yaliyohusika ya utata, mjadala umeibuka kuhusu VAR. Ibaki au iondolewe? Uamuzi sahihi au kuharibu utamu?
SMZ yakiri kutokuwa na takwimu za ajira kwa wageni, yakusanya Sh12 bilioni za vibali na mikataba
Kwa mujibu wa Sheria ya Ajira, Nambari 11 ya 2005 imeweka masharti ya ajira kwa wageni, ikiwa...
Ulimwengu wa Spoti, Feb 16
Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tuzamie baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyoshuhudiwa ndani ya siku saba zilizopita katika pembe tofauti za dunia.
GAMONDI KUINOA STARS | Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi amesema anajisikia fahari kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na kuahidi ku…
GAMONDI KUINOA STARS | Kocha wa Taifa Stars, Miguel Gamondi amesema anajisikia fahari kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na kuahidi kushirikiana vema na taasisi zote za soka Tanzania, kuhakikisha…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….FEBRUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....FEBRUARI 16, 2026
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, imemhukumu Evarist Justin Chamtepa (44) kifungo cha miaka 30 jela, na kulipa …
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, imemhukumu Evarist Justin Chamtepa (44) kifungo cha miaka 30 jela, na kulipa fidia ya Shilingi Milioni 5 baada ya kumbaka mtoto wake…
Matukio ya wizi, uvamizi yatia hofu Mbeya, Polisi yatoa tahadhari
Matukio hayo yanatajwa kushamiri katika mitaa ya Makunguru, Ilemi, Isanga, Soweto na Mwenge...
Mbunge wa Nyeri Adai William Ruto Huwahonga Wabunge KSh 100k kwa Mikutano ya Ikulu
Mbunge wa Mukurweini John Kaguchia alifichua sababu zake za kumwacha Rais William Ruto, akitaja udanganyifu na utumizi mbaya wa pesa wakati wa mikutano ya Ikulu.
Leo kuanzia saa 8:30 mchana, chaneli ya CGTN itakuletea 2026 The CMG Festival Gala
Leo kuanzia saa 8:30 mchana, chaneli ya CGTN itakuletea 2026 The CMG Festival Gala. CGTN ni chaneli namba 238 kwenye kisimbuzi chako cha AzamTV. #CMGFestivalGala #CGTN #AzamTV (Feed generated with…
Vifaa saidizi, Sh342 milioni za mikopo yatolewa Mtwara Mikindani
Vifaa na fedha hizo zimekabidhiwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu...
Iran na Tanzania kupanua ushirikiano wa karantini na kilimo
Mkuu wa Shirika la Ulinzi wa Mimea la Iran ameeleza azma ya taifa hili ya kukuza ushirikiano na Tanzania katika uga wa karantini na kilimo.
“Ni muhali kufikia amani na Israel madhali inakiuka haki za Wapalestina”
Waziri wa Mambo ya Nje na Wahamiaji wa Palestina, Varsen Aghabekian Shahin amesema kufikia amani na Israel "haiyumkiniki" madhali haki za Wapalestina zinakiukwa na utawala huo wa Kizayuni, akisisitiza kwamba…
Utumwa, ukoloni; Ghana yataka nchi za AU kuunga mkono Azimio la Algiers
Rais wa Ghana ametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) kuunga mkono rasimu ya azimio lenye lengo la kutambua dhulma za kihistoria zilizosababishwa na biashara ya utumwa…
Kallas: Estonia inaipiku Marekani katika uhuru wa kujieleza
Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas amepuuzilia mbali ukosoaji wa Washington kuhusu mbinyo wa kutoa maoni katika nchi wanachama wa umoja huo, akisisitiza kwamba nchi…
#MEZAHURU: Kitu gani kifanyike kuboresha MASOMO KWA LUGHA YA ALAMA kwa watu wenye ulemavu ndani ya Tanzania.?
#MEZAHURU: Kitu gani kifanyike kuboresha MASOMO KWA LUGHA YA ALAMA kwa watu wenye ulemavu ndani ya Tanzania.?
GAMONDI KUINOA STARS | Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda amesema Kocha Miguel Gamondi amepewa uwanda m…
GAMONDI KUINOA STARS | Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Paul Makonda amesema Kocha Miguel Gamondi amepewa uwanda mpana wa kuita vijana wote wa Kitanzania wenye vipaji wanaoishi mataifa…
Junet Mohamed Amnyorosha Oketch Salah Dhidi ya Kuchapisha T-Shirts za ODM na Picha ya Ruto
Junet Mohamed alimuonya mfanyabiashara Oketch Salah dhidi ya kuchapisha tshirt za ODM zenye sura ya Ruto, akisisitiza utiifu wa kisiasa na madhara yanayoweza kutokea
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI – 16/02/20226
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI - 16/02/20226 (Feed generated with FetchRSS)
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55….FEBRUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55....FEBRUARI 16, 2026
Kwaresima: Kwa nini kipindi hiki ‘takatifu’ ni cha kipekee kwa Wakristo duniani?
Kufunga kwa wakatoliki hujikita sana kwa maisha ya kiroho na huruma ya mtu, kwa hivyo wakati wa kufunga si kubadilisha tu lishe,bali tabia na mienendo ya mtu.
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetoa taarifa ya ajali ya kusikitisha iliyotokea jana Februari 15, 2026, majira ya saa …
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limetoa taarifa ya ajali ya kusikitisha iliyotokea jana Februari 15, 2026, majira ya saa 11:30 jioni, ambayo imesababisha vifo vya watu watano katika…
Mke wa Zinchenko noma hadi Guardiola anaujua moto wake
Beki wa zamani wa Manchester City na Arsenal, Oleksandr Zinchenko (29) kwa sasa ni baba wa...
Jamaa Ashtuka Kumuona Mchumba Wake Katika Video za Mwanamume Mrusi
Jaman Kwabena aliumia moyoni baada ya kumuona dada ambaye alimchumbia kwenye video za mtandaoni za mwanamume Mrusi Yaytseslav, na kuzua hisia tofauti mtandaoni.
Makonda ampa msajili siku 12 kumaliza utata Simba
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo Tanzania, kuipa Simba majibu ya kinachoendelea kuhusu mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji.
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeendelea kusikiliza Ushahidi katika kesi ya Uhaini ya Lissu…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeendelea kusikiliza Ushahidi katika kesi ya Uhaini ya Lissu, ambapo shahidi wa kwanza anaelindwa P2 (38) ambae ni fundi…
Kifusi chaua watano Tanga, Polisi watoa tahadhari
Ajali hiyo ilitokea saa 11:30 jioni Februari 15, 2026, wakati watu hao wakiwa katika shughuli...
Dk Mwigulu aonya wageni kuanzisha kampuni kwa kivuli cha wazawa
Kuhusu wageni kuanzisha kampuni kwa kivuli cha wazawa, Dk Mwigulu ameonya watu wanaoanzisha...
“Kawaambieni …” Shabiki Yanga apasuka baada ya kutupwa nje CAFCL wakiibajua JS Kabylie bao 3-0
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Ndo basi tena! Yanga ilivyokuwa inasikilizia matokeo ya Al Ahly vs FAR Rabat ikiiua JS Kabylie 3-0
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Mwingine aeleza ujumbe wa Lissu ulivyomhamasisha kuzuia uchaguzi
Lissu anakabiliwa na shtaka moja la uhaini kinyume na kifungu cha 39(2)(d) cha Sheria ya Kanuni...
Makonda aingilia kati sakata la Simba, atoa siku 12
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amemtaka Msajili wa Vyama vya...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55….FEBRUARI 16, 2026
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55....FEBRUARI 16, 2026
Kitila Mkumbo, World Gold Council Discuss Gold Sector Cooperation
DAR ES SALAAM: THE Minister of State in the President’s Office for Planning and Investment, Prof Kitila Mkumbo presents a gift to the Chief Executive Officer of the World Gold…
George Ruto Anaswa Ndani ya Matatu Yake ya Mood na Kuwachangamsha Wanamtandao
George Ruto aliwavutia vijana wa Nairobi, akifichua maisha mahiri huku akionyesha matatu zake maridadi, na kuibua mijadala kuhusu mustakabali wake wa kisiasa.
Country Wizzy naye yumo kwenye maisha ya S2kizzy
Kati ya wasanii wa Hip Hop Bongo wanaofisika kwa kuwa na mitindo mingi ya kuwasilisha muziki...
Queenie Masanja anavyotoa somo kwa wanawake wapambanaji
Kila mwaka ifikapo Machi 8, huadhimishwa Siku ya Wanawake Duniani, ikilenga zaidi kutambua...
Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars)
Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars). Akizungumza katika hafla fupi ya utiaji saini wa mkataba huo,…
Painful exit for TZ clubs
ZANZIBAR: TANZANIA’s continental campaign came to a grinding halt yesterday as Young Africans SC and Azam FC failed to reach the knockout stages of the CAF Champions League and the…
DRC: Marufuku jela ya Makala kupokea wafungwa wapya
Waziri wa nchi anayehusika na sheria nchini DRC Guillaume Ngefa, amepiga marufuku kwa muda uandikishaji wowote mpya wa wafungwa katika gereza la Makala jijini Kinshasa. Imechapishwa: 16/02/2026 – 09:40Imehaririwa: 16/02/2026…
New dawn as firm launches USD 250m landmark community in Zanzibar
Zanzibar: Infinity Developments has launched Infinity Hills, a landmark residential and mixed-use project in Kikwajuni, Stone Town, following the completion of all regulatory requirements. Infinity Hills is envisioned as a…
UDSM ranked top in Tanzania, third in East Africa
THE University of Dar es Salaam (UDSM) has once again cemented its status as Tanzania’s academic powerhouse, clinching the top spot nationally and securing a prestigious third-place finish in East…
Prisons yaipeleka Simba Dodoma, Otieno bado hakijaeleweka
SIKU chache baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuufungia Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, Tanzania Prisons imesema inatarajia kutumia Uwanja wa Jamhuri uliopo Dodoma kuikaribisha Simba katika mechi ya…
Droo ya robo fainali CAF kupigwa kesho
Droo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho msimu wa 2025/26...
“…..Mkurugenzi kuna ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ya Sekondari Chongoleani, mmepokea fedha tangu tarehe 3 mwezi wa nne m…
".....Mkurugenzi kuna ujenzi wa vyumba vya madarasa Shule ya Sekondari Chongoleani, mmepokea fedha tangu tarehe 3 mwezi wa nne mwaka 2025 ni mwaka sasa hamjaanza ujenzi na fedha hizo zipo…
Kunenge: New airstrip to drive Coast Regional economy
RUFIJI: THE launch of Mtemere Airstrip in Mloka Village, Rufiji District, Coast Region, is expected to expand tourism and stimulate economic growth in the region and across Tanzania. Coast Regional…
Mapinduzi sekta makazi mradi wa dola mil 250 ukizinduliwa Zanzibar
Zanzibar: Kampuni ya Infinity Developments imezindua rasmi mradi wa makazi na matumizi mchanganyiko wa Infinity Hills katika eneo la Kikwajuni, Stone Town, baada ya kukamilisha taratibu zote za kisheria. Infinity…
TRA urges taxpayers to embrace IDRAS for transparent, efficient services
KAGERA: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) in Kagera Region has urged taxpayers to adopt the newly introduced Integrated Domestic Revenue Administration System (IDRAS) to enhance transparency, efficiency and convenience in…
Yaibuka Mwanamume Mrusi Alitumia KSh20 Pekee Kuwanasa Wanawake Wengi Chumbani Mwake
Yaytseslav Truhov alivuma huku video zikifichua jinsi alivyokutana na wanawake, ikiwa ni pamoja na madai ya kulipia mahusiano ya kimapenzi. Wanamtandao walitoa maoni