Baba Levo: Mbunge wa Tanzania atangaza mipango ya kujiunga na kidato cha kwanza
Baba Levo, mwimbaji huyo ambaye amegeuka kuwa mwanasiasa, alifichua mipango ya kujiunga na Kidato cha Kwanza, akitaja changamoto za elimu na usaidizi wa Diamond.
Vyama vya siasa vyashauriwa kipaumbele wanawake
OFISI ya msajili wa vyama vya siasa imevitaka vyama vya siasa nchini kuzingatia masuala ya jinsia kwa kuhakikisha vinatoa fursa na nafasi ya wanawake kushiririki kwenye masuala mbalimbali na kufanya…
Mastaa Yanga wawekewa mamilioni wakisonga mbele Caf
Uongozi wa Yanga umepanga kukipa kikosi chao nusu ya fedha ambazo timu hiyo itapata kutoka...
Maseneta Sifuna, Cherargei wadaiwa walikuwa wakiitisha hongo kutoka kwa Magavana waliofika mbele yao
Baraza la Magavana (CoG) liliorodhesha maseneta wanne wanaoshutumiwa kwa kupenda rushwa. Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna na Samson Cherargei wa Nandi ni miongoni mwao
Nyota Yanga kuoga mamilioni ya CAF
Uongozi wa Yanga umepanga kukipa kikosi chao nusu ya fedha ambazo timu hiyo itapata kutoka...
Tanzania yashiriki mkutano Baraza la Mawaziri Afrika
Tanzania inashiriki Mkutano wa 48 wa Baraza la Mawaziri Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa, Ethiopia Februari 11-12, 2026. Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huo unaongozwa na Waziri wa Mambo ya…
Video ya William Ruto akiahidi kumwadhibu Edwin Sifuna yaibuka tena baada ya kuondolewa kwake
Rais William Ruto aliahidi kuitisha mkutano wa kumtimua aliyekuwa SG wa ODM Edwin Sifuna kwa kumshambulia kufuatia kubuniwa kwa serikali pana....
Majadiliano kumaliza migongano Simba
Wadau wa soka wamesema kuwa njia ya majadiliano ndio sahihi kwa sas inayoweza kumaliza...
Oburu Oginga Abadilisha Kauli, Asisitiza Wanafuata Kiti cha Kithure Kindiki: “Ndio Tunalienga Sana”
Kiongozi wa ODM Oburu Oginga amefafanua nia ya chama kujadili kuhusu afisi ya naibu rais, akisisitiza mamlaka ya umma kuhusu ushindani wa kibinafsi.
Ushuru wa Canada: Wabunge wa Republican wampinga Donald Trump
Wabunge kadhaa wa chama cha Republican kutoka Baraza la Wawakilishi la Marekani wamepinga Donald Trump siku ya Jumatano na kupiga kura ya kufuta ushuru kwa Canada, jambo ambalo pigo kubwa…
EU inataka kuharakisha mageuzi yake ya kiuchumi ili kukabiliana na China na Trump
Nchi 27 wanachama wa Umoja wa Ulaya, EU, zinakutana leo Alhamisi nchini Ubelgiji ili kuharakisha mageuzi yanayolenga kurejesha ushindani wa uchumi wa Ulaya, uliozidiwa na ushindani mkali wa China na…
Edwin Sifuna: Ruth Odinga apakia picha ya mafumbo akiwa katika mawazo tele wakati wa mkutano wa ODM
ODM ilimtimua SG Edwin Sifuna katika mkutano wa NEC uliokumbwa na utata huku kukiwa na mijadala kuhusu haki na uadilifu. Catherine Omanyo aliteuliwa kuwa kaimu SG
Maandamano ya tarehe 22 Bahman, ishara ya mwamko, kuwa macho, umoja na mshikamano wa watu wa Iran.
Ikiwa ni katika kuadhimisha mwaka wa 47 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, maandamano ya tarehe 22 Bahman sawa na tarehe 11 Februari yamefanyika mjini Tehran sambamba na miji mingine…
Admeri Shamkhani asisitiza: Mpango wa makombora wa Iran hautajadiliwa katu
Uwezo wa makombora ya balestiki ya Iran ni "mstari mwekundu" ambao hautawekwa katu kwenye meza ya mazungumzo. Hayo yameelezwa na afisa wa ngazi ya juu wa ulinzi wa Jamhuri ya…
Baada ya mkutano wake na Netanyahu, Trump asema mazungumzo na Iran inapasa yaendelee
Rais wa Marekani Donald Trump ameeleza baada ya kukutana na waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu kwamba mkutano huo ulikuwa "mzuri sana" na akasema: "nimesisitiza kwamba…
Serikali ya Kenya yamuongezea mchungaji Mackenzie mashtaka kwa vifo vya watu wengine 52
Paul Mackenzie, kiongozi wa tapo la kikristo nchini Kenya aliyewaamuru wafuasi wake wajiue kwa njaa wao na watoto wao ili waende mbinguni amesomewa shtaka jengine jipya yeye na wenzake saba…
Wabangladesh washiriki katika uchaguzi wa kihistoria tangu kuangushwa utawala wa Hasina
Upigaji kura unaendelea nchini Bangladesh katika uchaguzi muhimu unaoonekana kama mtihani muhimu wa kurejea kwa demokrasia nchini humo baada ya vuguvugu la umma lililoongozwa na wanafunzi kumng'oa madarakani kiongozi wa…
China: Marekani ndiyo sababu kubwa zaidi ya kuvurugika nidhamu ya nyuklia duniani
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ametoa mjibizo kwa madai ya Marekani kwamba nchi hiyo ilifanya jaribio la nyuklia mnamo mwaka 2020 na kusisitiza: "Marekani ndiyo chanzo…
Edwin Sifuna avunja ukimya baada ya kutimuliwa kwenye wadhifa wa katibu mkuu wa ODM
Seneta Edwin Sifuna amevunja ukimya baada ya kuondolewa kwenye wadhifa wa ODM, amesema amezidiwa na uungwaji mkono na atahutubia wanahabari baadaye.
NBC Premier League leo Alhamis
NBC Premier League leo Alhamis Saa 1:00 usiku,Dodoma Jiji watakuwa uwanja wa Jamhuri, Dodoma wakiwakaribisha TRA United. Je, ni walima Zabibu ama wakusanya mapato nani kuondoka na alama tatu? Mchezo…
Ramaphosa na Putin wajadili suala la kuajiri raia wa Afrika Kusini katika vita dhidi ya Ukraine
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amezungumza kwa simu siku ya Jumanne, Februari 10, na mwenzake wa Urusi, Vladimir Putin. Miongoni mwa mada zilizojadiliwa kati ya wakuu hao wawili wa…
IMF yatoa kauli madai imemjibu Gachagua kwa ukosoaji wake kuhusu mradi wa NYOTA
Benki ya Dunia ilikanusha kumkosoa naibu rais wa zamani Rigathi Gachagua kuhusu kauli yake dhidi ya programu ya NYOTA ya Kenya Kwanza yenye thamani ya KSh 5 bilioni.
Wapiganaji wa Kiafrika Urusi: Majina yaliyofichuliwa na AEOW yathibitisha ukubwa wa tukio
Katika “Biashara ya kukata tamaa,” kundi la uchunguzi la All Eyes on Wagner linachunguza mitandao inayowaajiri wapiganaji wa Kiafrika kwa ajili ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Kwa mara ya…
Oburu Oginga adokeza kuhusu lini ODM watamtema Ruto ili kuwa na mgombea urais wao 2027
Kiongozi wa ODM Oburu Oginga amesema chama cha ODM hakijajitolea kwa serikali au upinzani, akisema bado kinatafuta washirika wanaofaa wakati unaofaa.
Kundi lenye kusini mwa Libya ladai shambulio la pili dhidi ya vikosi vya Marshal Haftar
“Wanamapinduzi wa Libya Kusini” wanadai kushambulia msafara wa Jeshi la Kitaifa la Libya (LNA) uliokuwa ukisafirisha mafuta kwenda Sudan siku ya Jumatatu, Februari 9. Siku chache mapema, Januari 31, wapiganaji…
Edwin Sifuna atangaza mkutano wake wa kwanza wa kisiasa baada ya kumvuliwa kofia ya katibu mkuu ODM
Katibu mkuu wa zamani wa ODM Edwin Sifuna ana mkutano wa kisiasa Jumapili hii, Februari 15, huko Kitengela, kaunti ya Kajiado, wa kwanza baada ya kuvuliwa ubosi.
Kisiwa ambacho wenyeji hawaruhusiwi kujivinjari katika fukwe zake
Wavuvi waliokuwa wakiishi karibu na eneo hilo ghafla walizuiwa kuchota hata maji mahali ambapo walikuwa wakiegesha boti zao kwa vizazi.
Magazeti ya Kenya, Feburuari 12: Ndani ya mkutano mrefu wa ODM faraghani ulioafikia kumtimua Sifuna
Kuvuliwa kofia ya katibu mkuu wa ODM kutoka kwa seneta wa Nairobi Edwin Sifuna kulitiwa muhuri katika mkutano wa saa nyingi wa Kamati Kuu ya Kitaifa (NEC).
Morocco: Wakulima wanakaribisha kurudi kwa mvua licha ya mafuriko
Baada ya miaka saba ya ukame, hali inarudi kwenye asili yake nchini Morocco. Mvua nyingi za wiki za hivi karibuni zimewapa wakulima matumaini mapya. Kwa takwimu, milimita 121 za mvua…
Ruto amkemea Gachagua kisa kumzomea kuhusu mikutano ya mradi wa Nyota: “Idler and Jobless”
Rais William Ruto ametetea jukumu la kusambaza fedha za NYOTA dhidi ya madai ya Gachagua ya kuchochea siasa, akisisitiza uwezeshaji wa vijana na uundaji wa ajira.
Nottingham Forest yamtimua Sean Dyche
Klabu ya Nottingham Forest imemtimua kazi kocha wake, Sean Dyche kufuatia Suluhu dhidi ya...
Kenya: Mchungaji Paul Mackenzie ameshtakiwa kwa vifo vingine 52
Tayari anakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya Shakahola, ambayo yalisababisha vifo vya zaidi ya watu 450 mwaka wa 2023, mwanzilishi wa Kanisa la Good News International pia ameshtakiwa kwa “ugaidi,”…
Mwisho wa enzi za ODM na mwanzo wa mtikisiko wa siasa za Kenya
Chungwa lililokuwa tamu na kukata kiu ya wengi waliokuwa wanafungamana nalo kisera, leo limegeuka kuwa chungu kwao.
Sababu mikoa hii kuongozwa na askari
Kwa zaidi ya muongo sasa, magwanda ya kijeshi na taaluma ya ulinzi , imeshuhudiwa ikichukua...
Madagascar: Kimbunga Gezani chaua zaidi ya thelathini
Zaidi ya watu 30 wamefariki baada ya Kimbunga Gezani kupiga Madagasar kwa kasi kubwa siku ya Jumanne, na kuacha angalau theluthi mbili ya jiji la pili kwa ukubwa la kisiwa…
Wadau wachora ramani hatma ya bajaji, boda za umeme Tanzania
Wadau wa sekta za usafirishaji na uzalishaji wametoa wito wa kuboreshwa kwa mifumo ya usajili...
Ujerumani: Makombora ya Iran yanatishia sio Israel pekee bali hata Ulaya
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema nchi yake imejitolea kupata suluhu la kidiplomasia kati ya Marekani na Iran kuhusu mipango ya nyuklia na makombora ya Tehran.
Watoto wa marais waliopitia masahibu baada ya wazazi wao kutoka Ikulu
Mwanafalsafa Aung San Suu Kyi alisema ''Si mamlaka yanayoharibu, bali ni hofu. Hofu ya kupoteza mamlaka huwaharibu wale wanaoyashikilia."
Viongozi wa dunia watoa salamu za pongezi kwa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Viongozi wa nchi mbalimbali wametuma jumbe kwa Rais wa Iran wakimpongeza kwa mnasaba wa Siku ya Taifa ya Iran na ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Tetesi za soka Ulaya: Bayern, Chelsea zinapigana vikumbo kwa Verbruggen
Bayern Munich na Chelsea zinamwania kipa Bart Verbruggen majira ya kiangazi, John Stones anaelekea kuondoka Manchester City mkataba wake utakapomalizika, huku Atletico Madrid wakipanga kumsajili Marc Cucurella.
Katika upeo wa unyama, Israel imetumia silaha ‘zilizoyeyusha’ maelfu ya Wapalestina Ghaza
Uchunguzi uliofanywa na televisheni ya Al Jazeera ya Qatar umefichua kuwa, utawala wa kizayuni wa Israel umetumia silaha zilizopigwa marufuku kimataifa zenye joto kupindukia katika vita vya mauaji ya kimbari…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia atahadharisha kuhusu unyonyaji wa madola ya kigeni, ahimiza umoja wa Afrika
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ethiopia ametoa wito wa kuwepo Afrika yenye nguvu na mshikamano zaidi ili kulilinda bara hilo dhidi ya 'hatua za unyanyasaji' na ukandamizaji za pande…
Balozi wa Marekani katika NATO: Nchi za Ulaya wanachama wa NATO ni ‘watoto wadogo’
Balozi wa Marekani katika shirika la kijeshi la NATO Matthew Whitaker amewafananisha na watoto wanachama wa kambi ya Ulaya katika shirika hilo, ambao amesema ni lazima hatimaye waache kuwa chini…
Alkhamisi, tarehe 12 Februari, 2026
Leo ni Alkhamisi tarehe 23 Sha'ban 1447 Hijria sawa na Februari 12 mwaka 2026.
Kimbunga Gezani chaikumba Madagascar, chaua 20 na kujeruhi 33
Kimbunga cha Tropiki cha Gezani kimepiga mji wa bandari wa Toamasina ulioko kwenye pwani ya mashariki mwa Madagascar, na kuua watu wasiopungua 20 na kujeruhi wengine 33 katika jiji hilo…
Kashfa ya Epstein ilivyofichua mmomonyoko wa kimaadili katika nchi za Magharibi
Wimbi la kujiuzulu linaloshuhudiwa huko Downing Street, kuanzia mkuu wa wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza hadi mkurugenzi wake wa mawasiliano, ni ishara za nje za mgogoro mkubwa…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 12, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa…