Kwa nini Mamlaka ya Ndani ya Palestina imezidi kuwatia nguvuni watu kwa malengo ya kisiasa
Hatua ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuzidisha kasi ya kuwatia mbaroni watu kwa malengo ya kisiasa katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan imekabiliwa na upinzani na wasiwasi…
PMT, FISO set to roll out OCR training
DAR ES SALAAM: PENTATHLON Multisport Tanzania (PMT), in partnership with the Fédération Internationale de Sports d’Obstacles (FISO), has announced a four-day introductory training programme. The training is designed to enhance…
Arusha National Park: Rewarding hiking destination
ARUSHA: ARUSHA National Park, one of the most enigmatic national parks in northern Tanzania, is nestled in north east of Arusha city. This scenic paradise is home to Tanzania’s second-highest…
Aweso aagiza mradi wa maji Msumi kukamilika
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kukamilisha Mradi wa Maji wa Msumi wenye thamani ya takribani Sh Bilioni 1.9…
Kimbembe huduma ofisi za Serikali za mitaa zilizochomwa moto
Ofisi za wenyeviti, watendaji wa mitaa na kata zimewaka moto.
Closing gender gap: Deep dive into inequality and strategic gender needs
DODOMA: THE persistent struggle for gender equality remains one of the most defining challenges of global development, shaping not only the lived experiences of individuals but also the broader socio-economic…
Aucho ampa mzuka Gamondi, Singida ikiwavaa Wasauzi kesho
KOCHA wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi, amesema hawazi sana kuhusu presha ya mechi ya kesho dhidi ya Stellenbosch, huku akiweka wazi kwamba kiungo Khalid Aucho atacheza.
NEMC yaendesha mafunzo ya nyenzo za usimamizi mazingira
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linaendesha mafunzo kuhusu nyenzo za usimamizi wa mazingira kwa Wizara, Taasisi pamoja na Halmashauri za Manispaa na Wilaya nchini. Mafunzo…
Je, kinda wa Chelsea Estevao atafikia kiwango cha Yamal?
Estevao alitawazwa jina 'Messinho' - iliyotafsiriwa kama 'Messi mdogo' - kupitia mchezo wake katika ligi kuu ya Brazil, na ameanza vyema tangu ajiunge na Chelsea baada ya Kombe la Dunia…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Peter Masindi, amesema mradi wa umeme unaozalishwa kwa nguvu ya jua ni kiel…
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, Peter Masindi, amesema mradi wa umeme unaozalishwa kwa nguvu ya jua ni kielelezo cha ongezeko la uzalishaji wa umeme nchini ikiwa ni…
#HABARI: Serikali imeanza ujenzi wa soko jipya la mnada wa mifugo, katika Kijiji cha Mkoe wilayani Kalambo mkoani Rukwa, litakal…
#HABARI: Serikali imeanza ujenzi wa soko jipya la mnada wa mifugo, katika Kijiji cha Mkoe wilayani Kalambo mkoani Rukwa, litakalo kuwa na uwezo wa kuhudumia mifugo 1000 kwa wakati mmoja.…
Karia achagua bao la Mzize, agomea la Sakho
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Wallace Karia amesema kuwa amefurahishwa zaidi...
Kimbunga chaua watu 123 nchini Sri Lanka
Kimbunga hicho kijulikanacho kama Ditwah, kilitokea Novemba 26 na kuathiri zaidi ya watu 373,400.
Ulega kukagua miradi Mkoa wa Kilimanjaro
WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega leo tarehe 29 Novemba, 2025 amekutana na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu katika ofisi za Mkuu wa Mkoa huo. Katika ziara hiyo, Waziri…
Bunge la Ulaya lakosolewa kwa kuingilia mambo ya Tanzania
Ulaya imekosolewa kwa “kujipa haki ya kujadili kila kinachotokea Afrika,” mfano wa karibuni ukiwa ukosoaji wa Bunge la Ulaya kuhusu uchaguzi nchini Tanzania.
Marais wa Congo, Rwanda kutia saini makubaliano ya amani wiki ijayo
Rais wa DRC na mwenzake wa Rwanda wanatarajiwa kusafiri kwenda jijini Washington wiki ijayo kusaini makubaliano ya amani ambapo pia watakutana na Rais Donald Trump wa Marekani, vyanzo vitatu vimeithibitishia…
Indonesia: Idadi ya vifo kutokana na mafuriko yazidi 200, zaidi ya 100 bado hawajulikani walipo
Idadi ya vifo kutokana na mafuriko nchini Indonesia imezidi 200 leo Jumamosi, Novemba 29, huku zaidi ya watu 100 wakiwa hawajulikani walipo, shirika la usimamizi wa maafa limeripoti. Imechapishwa: 29/11/2025…
Mapigano yaibuka mashariki mwa DRC, wakimbizi waongezeka
Mapigano mapya kati ya waasi wa M23 na jeshi la amhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, likisaidiwa na wanamgambo wanaojulikana kamma Wazalendo, yamesababisha wakazi wengi kuyahama makazi yao katika maeneo kadhaa…
Sri Lanka: Idadi ya vifo kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaongezeka hadi 123
Mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Sri Lanka, yaliyosababishwa na mvua kubwa, yamegharimu maisha ya watu wasiopungua 123 na makumi ya maelfu wakilazimika kuhama makazi yao, Kituo cha Usimamizi wa…
Umoja wa Afrika wasimamisha uanachama wa Guinea-Bissau kufuatia mapinduzi ya kijeshi
Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuizuia mara moja Guinea-Bissau kushiriki katika shughuli zake zote hadi utaratibu wa kikatiba utakaporejeshwa nchini.
Uvamizi wa kijeshi wa Israel nchini Syria walaaniwa na Iran na nchi za Kiarabu
Uvamizi wa nchi kavu na anga uliofanywa na jeshi la Israel katika mji wa Beit Jinn, kusini mwa Syria, ambapo watu wasiopungua 13, wakiwemo watoto, waliuawa umelaaniwa vikali na Iran…
Ali Ameir Mohamed, Son of Zanzibar: A Tribute to the integrity of a father, minister and journalist who served TZ
MY father was… My father was a politician, but first, he was a patriot. My father was the former Minister of Home Affairs, who considered his post a sacred trust.…
Wanafunzi wa Iran wang’ara katika Mashindano ya Hisabati ya Marekani
Wanafunzi wa Iran washinda dhahabu na fedha katika Mashindano ya Hisabati ya Marekani (AMO) ya mwaka huu wa 2025.
Gavana BoT awaasa wahitimu uadilifu, uzalendo
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, amewataka wahitimu wa Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania kudumisha uadilifu, uzalendo na ubunifu wanapoanza safari zao katika sekta ya fedha.…
Uwanja wa Ndege wa Goma: Mwezi Mmoja Baada ya Tangazo la Macron, mvutano unaendelea
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, sasa imepita karibu mwezi mmoja tangu Emmanuel Macron atangaze kufunguliwa tena kwa sehemu ya Uwanja wa Ndege wa Goma “katika wiki chache zijazo” ili…
Anko Kitime: Mlango wangu wa kuingia katika muziki
Bendi yangu kubwa ya kwanza ilikuwa Orchestra Mambo Bado iliyokuwa ikiongozwa na mwanamuziki...
Paul Kagame atoa mtazamo wake kuhusu mgogoro kati ya DRC na Rwanda
Nchini Rwanda, Rais Paul Kagame amezungumza kwa kirefu siku ya Alhamisi, Novemba 27, wakati wa mkutano na waandishi wa habari. Alizungumzia michakato ya amani ya Washington na Doha, suala la…
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za Urusi yakumba maeneo ya makazi ya Kyiv licha ya hatua za amani
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani na kombora dhidi ya mji mkuu wa Ukraine Kyiv yamesababisha vifo vya mtu mmoja na kuwajeruhi wengine saba, maafisa wa mji huo wamesema.
HLI pushes EALA to review culture-sensitive bills
DAR ES SALAAM: HUMAN Life International (HLI) has expressed plans to engage members of the East African Legislative Assembly (EALA) in an effort to persuade them to challenge Bills that…
Zambia: Maandamano dhidi ya marekebisho ya katiba yashutumiwa kumpendelea Rais Hichilema
Usajili wa wapiga kura unaisha leo Jumamosi, Novemba 29, nchini Zambia, miezi tisa kabla ya uchaguzi wa urais wa Agosti 2026. Kutokana na hali hii, marekebisho ya katiba yaliyopendekezwa, kupanga…
Sudan: Mauaji ya kikatili, ubakaji, mateso… Jinamizi la El-Fasher lasimuliwa na mashahidi
Katika ripoti iliyochapishwa mnamo Novemba 25, shirika la haki za binadamu la Amnesty International limechapisha ushuhuda takriban thelathini kutoka kwa wakazi wa jiji la El-Fasher la Sudan ambao walifanikiwa kutoroka.…
KUTOKA MALI: Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev amefunguka sababu za kupanga kikosi chake bila mshambuliaji asilia, aizungu…
KUTOKA MALI: Meneja Mkuu wa Simba SC, Dimitar Pantev amefunguka sababu za kupanga kikosi chake bila mshambuliaji asilia, aizungumzia mechi ya kesho ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Stade…
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi: Manchester City yamlenga mchezaji wa Nottingham Forest
Kiungo wa Nottingham Forest Elliot Anderson anasakwa na Manchester City, Napoli wanamuulizia Kobbie Mainoo wa Manchester United, Sunderland na Newcastle wako vita vya kumnasa Matteo Guendouzi wa Lazio.
Guinea-Bissau: Ilidio Vieira Té ateuliwa kuwa waziri mkuu, utulivu warejea Bissau
Jeshi lililochukua madaraka nchini Guinea-Bissau limetangaza siku ya Ijumaa, Novemba 28, uteuzi wa Waziri Mkuu mpya, Ilidio Vieira Té. Kuhusu rais aliyeondolewa madarakani, Umaro Sissoco Embalo, ilijulikana Alhamisi kwamba aliwasili…
‘Govt backs ecological farming’
DODOMA: THE government, through the Ministry of Agriculture, has reaffirmed its commitment to advancing ecological agriculture in collaboration with key stakeholders, including Participatory Ecological Land Use Management (PELUM) Tanzania, to…
A post from AzamSports
(Feed generated with FetchRSS)
Baada ya talaka nne, Jennifer Lopez auza pete!
Maisha yanaenda kasi sana kwa Jennifer Lopez (J.Lo), 56, ambaye amewahi kuvalishwa pete za...
Korea envoy praises NM-AIST innovation
ARUSHA: THE Republic Korean Ambassador to Tanzania has praised the Nelson Mandela African Institution of Science and Technology (NM-AIST) for its growing role in promoting innovation, research excellence and national…
Hekaya za Mlevi: Maofisa Usafirishaji wawe walinzi wetu
Nilijisahau nikaita “Bodaboda...”. Yule jamaa alisimama na kuniangalia kwa jicho la kejeli hadi...
Rayvanny hajaanza na Salima Chica, kuna hawa!
Staa wa Bongofleva, Rayvanny anaendelea kufanya vizuri na wimbo wake mpya, Songi Songi (2025)...
Sarajevo Safari: Kuwinda wanadamu kwa ajili ya kujifurahisha
Karibuni kutupia jicho kipindi chetu cha wiki hii cha Makala ya Wiki kinachobeba kichwa cha maneno: 'Sarajevo Safari'. Ni kipindi kinachohusu mojawapo ya ukatili wa kutisha na usiozungumziwa sana wa…
UDSM signs 8bn/- contracts to boost learning
DAR ES SALAAM: THE University of Dar es Salaam (UDSM) has advanced its on-going modernisation efforts after signing 12 contracts valued at 8bn/- for the installation of furniture and ICT…
🔴#MAGAZETI: HECHE, MNYIKA WALIVYOPANGUA MADAI YA KUDHARAU MAHAKAMANI / YANGA MDOGO MDOGO
🔴#MAGAZETI: HECHE, MNYIKA WALIVYOPANGUA MADAI YA KUDHARAU MAHAKAMANI / YANGA MDOGO MDOGO....
Waziri wa Ulinzi: Iran imejipanga kutoa majibu makali zaidi ikishambuliwa kijeshi
Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo katika kiwango cha juu zaidi cha utayari wa kijeshi kuwahi kushuhudiwa, akisisitiza kuwa kila kitendo cha uhasama kitapokewa kwa majibu…
Adolf Hitler ashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa Namibia
Mwanasiasa wa Namibia aliyepewa jina la dikteta wa zamani wa Ujerumani, Adolf Hitler, ametangazwa mshindi kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa mujibu wa matokeo rasmi yaliyoripotiwa Ijumaa.
Baraza la Waislamu Ufaransa latoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu ujasusi dhidi ya Waislamu kwa niaba ya Israel
Baraza la Waislamu la Ufaransa limetoa wito kwa serikali kuanzisha uchunguzi kuhusu madai kwamba watu wawili walikusanya taarifa kuhusu Waislamu nchini Ufaransa na kuzikabidhi kwa shirika la ujasusi la Israel.
Rais wa Guinea-Bissau akimbilia Senegal baada ya mapinduzi ya kijeshi
Rais wa Guinea-Bissau aliyeondolewa madarakani, Umaro Sissoco Embaló, amekimbilia nchi jirani ya Senegal baada ya jeshi kuchukua mamlaka kufuatia uchaguzi ulioibua utata, maafisa wamesema.
#KIPIMAJOTO: Ukatili wa watoto kupitia mitandao
#KIPIMAJOTO: Ukatili wa watoto kupitia mitandao. Je, Jamii inaelimishwa mbinu za kuwalinda kuwaepusha na janga hilo?