CAFCL: Mnyama kachomoa kupitia mchezaji Anicet Oura
CAFCL: Mnyama kachomoa kupitia mchezaji Anicet Oura 85’: Petro Atletico 1-1 Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PetroAtleticoVsSimbaSC #PetroAtletico #SimbaSC
#HABARI: Jeshi la polisi mkoani Songwe, linamshikilia mtu mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa kwa ajili ya upelelezi, kwa tuhum…
#HABARI: Jeshi la polisi mkoani Songwe, linamshikilia mtu mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa kwa ajili ya upelelezi, kwa tuhuma za kuhusika na tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha aina ya…
CAFCL: Game bado ipo LIVE
CAFCL: Game bado ipo LIVE 80’: Petro Atletico 1-0 Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PetroAtleticoVsSimbaSC #PetroAtletico #SimbaSC
#HABARI: Serikali ya Awamu ya Sita imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kulinda haki za wafanyakazi na kuboresha maslahi ya wal…
#HABARI: Serikali ya Awamu ya Sita imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kulinda haki za wafanyakazi na kuboresha maslahi ya walimu nchini, huku ikiitaka CWT kuwa nguzo imara ya weledi, mshikamano…
#HABARI: Watu sita wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Ulamba, Kata ya Kalunde wilayani Tabora, wamenusurika kifo baada ya kup…
#HABARI: Watu sita wa familia moja, wakazi wa Kijiji cha Ulamba, Kata ya Kalunde wilayani Tabora, wamenusurika kifo baada ya kupigwa na radi iliyoambatana na mvua kubwa ,iliyokuwa ikinyesha usiku…
CAFCC: Bado Azam FC inaongoza kwa goli moj kupitia Lusajo Mwaikenda
CAFCC: Bado Azam FC inaongoza kwa goli moj kupitia Lusajo Mwaikenda 65’: Azam FC 1-0 AS Maniema Union LIVE #AzamSports3HD #CAFCC #KombeLaShirikishoAfrika #AzamFCVsASManiema #AzamFC #ASManiemaUnion #AFCASMU
CAFCL: Bado Petro Atletico wanaongoza kwa goli moja
CAFCL: Bado Petro Atletico wanaongoza kwa goli moja. 60’: Petro Atletico 1-0 Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PetroAtleticoVsSimbaSC #PetroAtletico #SimbaSC
Ndoto ya kukwea pipa, imeishia njiani 😂
Ndoto ya kukwea pipa, imeishia njiani 😂 #KombolelaSeriea #KombolelaSeason2 (Feed generated with FetchRSS)
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 07/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 07/02/2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU FEBRUARI 07, 2026- RAIS SAMIA NA MUSEVENI KUONDOA VIKWAZO VYA KIBIASHARA
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU FEBRUARI 07, 2026- RAIS SAMIA NA MUSEVENI KUONDOA VIKWAZO VYA KIBIASHARA (Feed generated with FetchRSS)
CAFCC| Azam FC inakwenda mapumziko ikiwa kifua mbele
CAFCC| Azam FC inakwenda mapumziko ikiwa kifua mbele. HT: Azam FC 1-0 AS Maniema Union LIVE #AzamSports3HD #CAFCC #KombeLaShirikishoAfrika #AzamFCVsASManiema #AzamFC #ASManiemaUnion #AFCASMU
#NBCPL: Mzani upo sawa kwa timu zote
#NBCPL: Mzani upo sawa kwa timu zote HT: Mtibwa Sugar 1-1 Namungo FC LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #RRAUnitedVsMbeyaCity #TRAUnited #MbeyaCity
Suzy ameamua kufukua makaburi
Suzy ameamua kufukua makaburi #NomaSeries #SinemaZetuHD (Feed generated with FetchRSS)
CAFCL: Petro Atletico inakwenda mapumziko ikiwa kifua mbele kwa goli moja
CAFCL: Petro Atletico inakwenda mapumziko ikiwa kifua mbele kwa goli moja. HT: Petro Atletico 1-0 Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PetroAtleticoVsSimbaSC #PetroAtletico #SimbaSC
CAFCL: Simba ipo pungufu baada ya nahodha Shomari Kapombe kupewa kadi nyekundu
CAFCL: Simba ipo pungufu baada ya nahodha Shomari Kapombe kupewa kadi nyekundu. 45’: Petro Atletico 1-0 Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PetroAtleticoVsSimbaSC #PetroAtletico #SimbaSC
Sita wanusurika kifo radi ikiteketeza nyumba Tabora
Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, Kitete, Swaumu Kimaro...
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Patrobas Katambi, amesema serikali itaweka mifumo ya kudhibiti uhalifu katika maen…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Patrobas Katambi, amesema serikali itaweka mifumo ya kudhibiti uhalifu katika maeneo ya biashara,makazi na mashambani ili kuweza kudhibiti matendo ya uhalifu ikiwemo…
Mnangagwa, Prateek Suri map Africa’s growth path
HARARE, ZIMBABWE: When political leadership meets entrepreneurial ambition, the outcome often shapes the future of nations. Such a moment unfolded when Emmerson Mnangagwa, President of Zimbabwe, sat down with global…
CAFCC| Lusajo Mwaikenda tayari ameshaitanguliza Azam FC
CAFCC| Lusajo Mwaikenda tayari ameshaitanguliza Azam FC. 35': Azam FC 1-0 AS Maniema Union LIVE #AzamSports3HD #CAFCC #KombeLaShirikishoAfrika #AzamFCVsASManiema #AzamFC #ASManiemaUnion
Baba asimulia alivyowaokoa wanawe wawili moto ukiteketeza nyumba
Tukio hilo la moto lilitokea jana Ijumaa Februari 6, 2026 na kuteketeza mali zote zilizokuwapo...
#NBCPL: TRA walianza kwa kulimwa kadi nyekundu kupitia mchezaji Omary Yusuf na baadae Adily Buha akafunga goli la kwanza kwa pen…
#NBCPL: TRA walianza kwa kulimwa kadi nyekundu kupitia mchezaji Omary Yusuf na baadae Adily Buha akafunga goli la kwanza kwa penati na baadae Said Naushad akaweka la pili. FT: TRA…
15’| CAFCL
15’| CAFCL Petro Atletico 1-0 Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PetroAtleticoVsSimbaSC #PetroAtletico #SimbaSC
#BSSNextLevelRevolution | Majaji wamesema haiishi hadi iishe, bado tunaendelea na usaili hapa La Kairo Hotel
#BSSNextLevelRevolution | Majaji wamesema haiishi hadi iishe, bado tunaendelea na usaili hapa La Kairo Hotel. Msimu wa 16 #BongoStarSearch utaanza kuoneshwa rasmi kuanzia Machi 22, 2026 kupitia @sinemazetuhd na @azamtvmaxapp…
Watu wawili wameripotiwa kufariki dunia kufuatia ajali ya gari la kampuni ya Mining Nice lililokuwa likisafiri kutoka Dar es Sal…
Watu wawili wameripotiwa kufariki dunia kufuatia ajali ya gari la kampuni ya Mining Nice lililokuwa likisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Masasi mkoani Mtwara, baada ya kugonga lori la mizigo…
DRC: Idadi ya wagonjwa wa surua yaongezeka katika eneo la Afya la Idjwi, Kivu Kusini
Ukanda wa afya wa Idjwi unakabiliwa na ongezeko kubwa la visa vya surua, hasa vinavyoathiri watoto wenye umri wa miaka 0 hadi 5 katika maeneo kadhaa ya afya. Ili kukabiliana…
Waziri Shemdoe aridhishwa na maandalizi ya ufunguzi Soko la Kariakoo
Waziri huyo amesema uwekezaji wa Sh28 bilioni uliofanyika katika soko hilo baada ya kuungua...
#KaziNaUtuTunasongaMbele
#KaziNaUtuTunasongaMbele #TabasamuLaUtu #diplomasiayauchumi #MaendeleoEndelevu (Feed generated with FetchRSS)
Wananchi wa Mtaa wa Kisiwa cha Fokoland, Kata ya Yombo Vituka, Manispaa ya Temeke, wamejichanga na kujenga barabara ya zege kwa …
Wananchi wa Mtaa wa Kisiwa cha Fokoland, Kata ya Yombo Vituka, Manispaa ya Temeke, wamejichanga na kujenga barabara ya zege kwa lengo la kutatua kero ya muda mrefu ya miundombinu,…
Man United gari limewaka hilo, Mbeumo aweka rekodi
Mabao ya ushindi ya Man United katika mechi ya leo yamepachikwa na Bryan Mbeumo na Bruno...
#NBCPL: TRA United wameduazwa kwa magoli 2-0
#NBCPL: TRA United wameduazwa kwa magoli 2-0. FT: TRA United 0-2 Mbeya City Saa 1:00 usiku ni Mtibwa Sugar dhidi ya Namungo FC, LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi…
Serikali Wilayani Mbulu Mkoani Manyara imepanga kutoa kipaombele cha kugawa Bima za afya bure kwa jamii ya wahardzabe kupitia mp…
Serikali Wilayani Mbulu Mkoani Manyara imepanga kutoa kipaombele cha kugawa Bima za afya bure kwa jamii ya wahardzabe kupitia mpango wa Bima ya afya kwa wote ikiwa ni manufaa yatokanayo…
#CAFCL: RS Berkane wamekula chuma mbili bila kupepesa macho
#CAFCL: RS Berkane wamekula chuma mbili bila kupepesa macho. FT: Power Dynamos 2-0 RS Berkane Saa 1:00 usiku ni Petro Atletico dhidi ya Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika…
Wavuvi Mkokotoni waomba kipaumbele masoko mapya ya samaki
Unguja. Wavuvi na wajasiriamali wa mazao ya baharini wanaofanya shughuli zao katika maeneo ya...
Ukosefu wa taa za barabarani wachochea uporaji Tanga
Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kwa nyakati tofauti wiki hii katika Kata ya Majengo jijini...
Serikali yatangaza FARDC kuchukuwa udhibito wa maeneo kadhaa kusini mwa mkoa wa Kivu
Waziri wa Ulinzi wa DRC amesema wakati wa mkutano wa Baraza la Mawaziri siku ya Ijumaa, Februari 6, kwamba vikosi vya jeshi la DRC (FARDC) vilizima mashambulizi ya “muungano wa…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Mchezaji Abdulqadir Haji anafunguka namna alivyojipanga katika mashindano ya #Vishada msimu huu
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Mchezaji Abdulqadir Haji anafunguka namna alivyojipanga katika mashindano ya #Vishada msimu huu. Uhondo umeanza leo Februari 7, visiwani Zanzibar. #KusiCup2026.
#CAFCL: Bado hakuna goli kwa pande zote mbili
#CAFCL: Bado hakuna goli kwa pande zote mbili. HT: Power Dynamos 0-0 RS Berkane LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PowerDynamosVsRSBerkane #PDFCRSB
#NBCPL: Mbeya City wapo mbele kwa mkwaju wa penati uliopigwa na Adily Buha
#NBCPL: Mbeya City wapo mbele kwa mkwaju wa penati uliopigwa na Adily Buha. TRA United wapo pungufu baada ya Omari Yusufu kuoneshwa kadi nyekundu. HT: TRA United 0-1 Mbeya City…
Mabinti Kenya wafunguka kwa nini ni vigumu kuchumbiana na maafande: “Utakuwa na co-Wives wengi”
Wanawake wa Kenya wameelezea sababu mseto kuhusu ni kwa nini ni nadra kuchumbiana na maafisa wa vikosi vya polisi, wakifichua kiwewe na dhana potofu.
Meli ya kwanza ya EACOP kusafirisha mafuta Julai
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026, Ikulu jijini Dar es Salaam, alipokuwa...
Wananchi Yanga SC, wapo mzigoni nchini Morocco, leo saa 4:00 usiku wapo dimba la CSPMA wakikipiga na AS FAR, mechi ya marudiano…
Wananchi Yanga SC, wapo mzigoni nchini Morocco, leo saa 4:00 usiku wapo dimba la CSPMA wakikipiga na AS FAR, mechi ya marudiano Ligi ya mabingwa Afrika. Katika mchezo wa kwanza…
Mke Mjamzito wa Silas Abungana asema hangeweza kumsaidia mumewe kwani ndugu zake walimshambulia
Beki wa Kakamega Homeboyz Silas Abungana alifariki kutokana na majeraha ya kichwani baada ya shambulio la kikatili la usiku kutoka kwa ndugu zake.
Bundesliga leo Jumamosi
Bundesliga leo Jumamosi Saa 11:30 jioni, Wolfsburg watakuwa nyumbani Volkswagen Arena wakiwakaribisha Borussia Dortmund. Mchezo huu utaruka mbashara kupitia ZBC2. @bundesliga
NFL Superbowl LX – Patriots Vs Seahawks
NFL Superbowl LX - Patriots Vs Seahawks Superbowl 2026 ni New England Patriots dhidi ya Atlanta Seahawks, mwaka 2015 timu hizi zilikutana na Patriots wakashinda kwa 28 – 24 kwa…
Tanzania, UNITAID agree to strengthen TMDA capacity
GENEVA: UNITAID has announced its commitment to continue collaborating wth the Tanzanian government to strengthen the capacity of the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), including facilitating its upgrade…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Msikie Marley ambaye ni mmiliki wa shule ya mchezo wa #Vishada Zanzibar akielezea namna bora ya kuanz…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Msikie Marley ambaye ni mmiliki wa shule ya mchezo wa #Vishada Zanzibar akielezea namna bora ya kuanza kuucheza mchezo huo. Marley hapa anamwelekeza mtangazaji Patrick Nyembera.…
Wizi wa Mtwapa: Washukiwa 6 wa ujambazi wakamatwa baada ya video za CCTV kuzinasa nyuso zao
Washukiwa sita wamekamatwa kuhusiana na wizi eneo la Mtwapa baada ya makachero kuwafuatilia kupitia CCTV. Ushahidi unawahusisha na uhalifu mwingi.
Muhimbili finds better treatment for incapacitated patients
DAR ES SALAAM: MUHIMBILI National Hospital (MNH) has planned well using modern methods to serve patients who cannot support themselves, including paralyzed patients, elderly people who need help being carried,…