Iran, Venezuela zalaani ‘uharamia’ wa Marekani Caribbean
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na mwenzake wa Venezuela, Yvan Gil Pinto wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu ambapo wamelaani uwepo wa jeshi la Marekani katika…
Israel yaendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza, Ukingo wa Magharibi
Wapalestina wawili, akiwemo kijana mmoja, wameuawa shahidi huku wengine wawili wakijeruhiwa kwa risasi baada ya vikosi vya Israel kufanya mashambulizi tofauti katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, katika ghasia…
BBC yafichua kashfa ya Mzayuni aliyelaghai kwa jina la saratani Canada
Uchunguzi wa Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC umefichua kashfa ya utapeli, ambapo Muisraeli amekuwa akipokea misaada eti kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa saratani nchini Canada.
Marekani kusaidia Nigeria kuimarisha sekta ya afya
Marekani imetia saini mpango wa dola zaidi ya bilioni 2 wa kuisadia Nigeria kuimarisha mfumo wake wa Afya
HABARI: Zikiwa zimesalia siku chache kuanza kwa msimu wa masomo kwa mwaka wa 2026, baadhi ya viongozi wilayani Handeni, mkoani T…
HABARI: Zikiwa zimesalia siku chache kuanza kwa msimu wa masomo kwa mwaka wa 2026, baadhi ya viongozi wilayani Handeni, mkoani Tanga, wameanzisha kampeni ya nyumba kwa nyumba yenye lengo la…
Israel kujenga makaazi mapya Ukingo wa magharibi
Makaazi mapya 19 ya walowezi wakiyahudi yaidhinishwa rasmi kujengwa katika ardhi ya wapalestina ya Ukingo wa Magharibi (Judea na Samaria)
Urusi: Hakuna uhakika wa makubaliano ya amani
Juhudi za kidiplomasia za rais Donald Trump zakabiliwa na ugumu kufuatia matakwa yanayokinzana kati ya Kiev na Moscow
Umeolewa mke wa pili, tulia Masha wetu 🥹
Umeolewa mke wa pili, tulia Masha wetu 🥹 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Viongozi wa Somalia na Ethiopia wajadili uhusiano katika maadhimisho ya Azimio la Ankara
Azimio la Ankara, lililotiwa saini mwezi Disemba 2024, lilipongezwa na viongozi wa dunia kwa kutuliza hofu ya mzozo mkubwa wa kikanda katika Pembe ya Afrika.
Unilever Tea yakwama rufaa ya kupinga kodi ya Sh27 bilioni
Jitihada za Kampuni ya Unilever Tea Tanzania Limited kujinusuru katika malipo ya kodi ya zaidi...
Shilingi yazidi kuimarika, BoT yaingiza Dola 175 milioni sokoni
Hatua zilizochukuliwa na Benki Kuu ya Tanzania (BoT), pamoja na ongezeko kubwa la mapato...
Mbinu za ulinzi faragha ya familia zama za dijitali
Kadiri teknolojia inavyozidi kuingia katika maisha ya kila siku, suala la kulinda faragha ya...
TAZAMA VAR YA ODEMBA ILIVOMNASA ALIYEWAHI KUWA KADA WA CHADEMA
TAZAMA VAR YA ODEMBA ILIVOMNASA ALIYEWAHI KUWA KADA WA CHADEMA
Adeyum afichua jambo Bigman
BEKI wa kushoto wa Bigman, Adeyum Saleh, amesema siri ya timu hiyo kufanya vizuri ni kwa sababu ya wachezaji kuelewana aina ya uchezaji, hali ambayo ilikuwa ngumu kwao mwanzoni mwa…
TMA yapiga hesabu mapema Championship
UONGOZI wa TMA unatarajia kukutana wiki hii na kocha wa kikosi hicho, Habibu Kondo ili kuzungumzia mambo mbalimbali ya timu hiyo, hususani wachezaji wa kuwaongeza katika dirisha dogo linalotarajiwa kufunguliwa…
Wanazuoni wa Yemen: Kutetea matukufu ya Kiislamu ni wajibu wa kidini
Jumuiya ya Maulamaa wa Yemeni ilifanya mkutano mkubwa katika mji mkuu Sanaa siku ya Jumamosi, na kusisitiza jukumu la kidini la wasomi na maulamaa katika kutetea Qur’an na matukufu ya…
Straika Songea United aota ufungaji bora
MSHAMBULIAJI wa Songea United, Raymond Lulendi, amesema licha ya kushirikiana na wachezaji wenzake kuipambania timu hiyo kumaliza nafasi nne za juu, ila malengo yake binafsi ni kuhakikisha pia anakuwa mfungaji…
KADA WA CCM HABIBU MCHANGE AFAFANUA KUHUSU KUITWA TAKUKURU KWA TUHUMA ZA RUSHWA
KADA WA CCM HABIBU MCHANGE AFAFANUA KUHUSU KUITWA TAKUKURU KWA TUHUMA ZA RUSHWA
Khalid Adam atua African Sports
ALIYEKUWA Kocha wa Fountain Gate, Khalid Adam, amejiunga na kikosi cha African Sports 'Wanakimanumanu' cha mjini Tanga, baada ya hivi karibuni timu hiyo kuachana na Sharifu Joseph Ndokezi, kutokana na…
Jibu la Caracas kwa Trump katika Umoja wa Mataifa
Mwakilishi wa kudumu wa Venezuela katika Umoja wa Mataifa amelaani madai ya Rais Donald Trump kwamba Marekani inamiliki eneo la nchi hiyo na rasilimali za mafuta, akionya kwamba enzi ya…
Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa: Misri inaunga mkono mauaji ya halaiki ya Wapalestina
Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa ameitaja hatua ya Misri ya kuidhinisha makubaliano ya ununuzi wa gesi kutoka kwa utawala wa Israel kuwa ni uungaji mkono wa nchi hiyo kwa…
Wananchi wa Kijiji cha Sitalike, kilichopo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi, wameiomba Serikali kushirikiana nao katika ujenz…
Wananchi wa Kijiji cha Sitalike, kilichopo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi, wameiomba Serikali kushirikiana nao katika ujenzi wa masoko maalumu yatakayowawezesha kuuza bidhaa mbalimbali za asili kwa watalii,…
Lugha tano za mapenzi, yako ipi?
Makala inaeleza kwa kina lugha tano za mapenzi na jinsi zinavyoweza kuboresha maisha ya wapenzi...
Bunge la Algeria lafungua mjadala kuhusu mswada wa kuharamisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa
Rasimu ya sheria inalenga kuainisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya 1830 na 1962 kama uhalifu.
Bunge la Algeria laanza kujadili muswada wa kujinaisha ukoloni wa Ufaransa
Bunge la Algeria jana lilifungua mjadala kuhusu rasimu ya sheria inayotaka kujinaisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini humo kati ya mwaka 1830 na 1962.
HABIBU MCHANGE AFUNGUKA UPINZANI WANAPOKOSEA/ AFAFANUA SUALA LA KUKOSA MIPANGO
HABIBU MCHANGE AFUNGUKA UPINZANI WANAPOKOSEA/ AFAFANUA SUALA LA KUKOSA MIPANGO
Simbu amaliza wa pili mbio za Kolkata India
MWANARIADHA maarufu nchini, Alphonce Simbu, ameendelea kuonyesha kiwango cha juu kimataifa baada ya kumaliza nafasi ya pili katika mbio za Kolkata zilizofanyika leo Jumapili huko India.
Mcongo wa Simba apewa ufunguzi AFCON 2025
Refa ambaye Simba wamekuwa na bahati naye katika mashindano ya kimataifa, Jean-Jacques Ndala...
Wendy aulizwa maswali magumu na Tony 🙃👀
Wendy aulizwa maswali magumu na Tony 🙃👀 #NomaSeries
ALIYEWAHI KUWA KADA WA CHADEMA AFICHUA MAZITO/ “WANASIASA WOTE WANATAMANI KUWA CCM”
ALIYEWAHI KUWA KADA WA CHADEMA AFICHUA MAZITO/ "WANASIASA WOTE WANATAMANI KUWA CCM"
Simbu afunga mwaka kwa heshima India
Mwanariadha wa Tanzania na Jeshi la Wananchi (JWTZ), Alphonce Felix Simbu, ameendelea kuonyesha...
Kombe la Mataifa ya Afrika Afcon, litafanyika kila baada ya miaka minne kuanzia 2028
Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) alisema mabadiliko hayo ni sehemu ya marekebisho muhimu ili kupatana vyema na michuano hiyo katika kalenda ya kimataifa iliyojaa.
Nane wavuna milioni 12 droo ya pili
Kampuni inayotoa huduma za kifedha kidijitali, Mixx, leo imekabidhi kiasi cha Sh12 milioni kwa...
Mangungu afunguka ishu ya mgogoro Simba
ILE SIKU NDO LEO! Afcon 2025 kinawaka, Morocco v Comoros utamu uko hapa HAYAWI hayawi yamekuwa. Baada ya kungoja kwa miaka, miezi, wiki na sasa ile siku imewadia na utepe…
Miaka 52 ya babu wa tiktok alivyoumizwa na mapenzi, ana watoto 7 mama tofauti
Kisa mashabiki, Mlandege yatozwa faini Sh1 milioni MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, imetozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la mashabiki wa timu hiyo kufanya vurugu kwa kurusha…
Mabalozi wa Uturuki katika nchi za Afrika watembelea Jumba la Afrika
Mabalozi wa Uturuki barani Afrika walikusanyika mjini Ankara kwa ajili ya Kongamano la Mabalozi, na kutembelea Jumba la Sanaa za Mikono na Utamaduni la Kiafrika, ambalo lilianzishwa chini ya uangalizi…
Kampeni mpya yazinduliwa kuwazawadia wateja
Mtandao wa Airtel Tanzania umezindua rasmi kampeni ya “Sikukuu Imenyooka na Airtel Santa...
Kampeni ACB kuwanufaisha Watanzania
DAR ES SALAAM: WATANZANIA watapata fursa ya kujishindia zawadi mbalimbali ambazo zitabadili maisha yao msimu huu wa sikukuu baada ya Benki ya Akiba Commercial Bank Plc kuzindua kampeni maalumu ya…
Leo kwenye #SheriaUpdates mwanasheria amezungumzia kanuni nane muhimu za mauziano ya bidhaa katika biashara
Leo kwenye #SheriaUpdates mwanasheria amezungumzia kanuni nane muhimu za mauziano ya bidhaa katika biashara. Mhariri | @claud_jm #AzamTVUpdates #hellowikiendi
Kwa nini mpango wa Al‑Ahram kuhusu usalama wa Asia Magharibi ni wa kupotosha na ni hatari?
Tovuti ya Ahram Online (sehemu ya Kiingereza ya gazeti la Al-Ahram la Misri) katika makala yake imependekeza kufanyika kwa mkutano wa usalama katika eneo la Asia ya Magharibi, kwa ushiriki…
Picha za satelaiti zaonyesha Israel ikijimarisha kuwepo kijeshi katika Ukanda Gaza
Utawala wa Israel unaonekana kuandaa mazingira ya kudumisha uwepo wake kijeshi katika maeneo makubwa ya Ukanda wa Gaza. Hii ni kwa mujibu wa uchambuzi mpya wa picha za satelaiti ulioweka…
Marekani yazuia meli nyingine ya mafuta kutoka Venezuela huku ikizidisha mashinikizo dhidi ya Caracas
Wanajeshi wa Marekani wameisimamisha meli nyingine ya mafuta ya Venezuela katika pwani ya nchi hiyo ikiwa ni operesheni ya pili ya aina hiyo ndani ya wiki mbili, huku Rais Donald…
Lavrov: Kuimarishwa usalama ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya Afrika
Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuimarisha amani na usalama barani Afrika ni jambo muhimu ili kuhakikisha ustawi wa bara hilo na maendeleo endelevu, na…
Ufyatuaji risasi Afrika Kusini; watu wenye silaha waua 9 karibu na Johannesburg
Watu waliokuwa na silaha, usiku wa kuamkia leo, wamefyatua risasi kiholela katika kitongoji kimoja karibu na Johannesburg nchini Afrika Kusini na kuua takriban watu 9 na kujeruhi wengine kadhaa.
#HABARI: Mzee mwenye umri wa miaka 85 amefariki dunia huku wengine watatu wa familia yake, wakipata majeraha baada ya kundi la n…
#HABARI: Mzee mwenye umri wa miaka 85 amefariki dunia huku wengine watatu wa familia yake, wakipata majeraha baada ya kundi la nyuki kuwashambulia na kuwang'ata katika Kijiji cha Magare, katika…
Jake Paul amponza Drake akipoteza Sh500 milioni
Rapa maarufu duniani, kutoka Canada, Drake, amepoteza kiasi kikubwa cha fedha baada ya bondia...
Ohooo leo Tony mapema sana ofisini kwa Wendy, hii drama hapo sio ya kukosa 😅 Suzy bado anashindwa kuamua cha kufanya na Chichi n…
Ohooo leo Tony mapema sana ofisini kwa Wendy, hii drama hapo sio ya kukosa 😅 Suzy bado anashindwa kuamua cha kufanya na Chichi nj kimbilio lake japo amekuwa na mambo…