🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 21, 2025 – BEI ZA BIDHAA ZA VYAKULA ZAENDELEA KUPANDA DAR ES SALAAM
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 21, 2025 - BEI ZA BIDHAA ZA VYAKULA ZAENDELEA KUPANDA DAR ES SALAAM
Polisi Dodoma wakanusha kumkamata Katibu wa Chadema kanda ya kati
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limekana taarifa zinazosambazwa kupitia mitandao ya kijamii...
Shirika la Kitaaluma la Afrika la Utawala na Usimamizi wa Umma (AAPAM) limeitunuku tuzo Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (…
Shirika la Kitaaluma la Afrika la Utawala na Usimamizi wa Umma (AAPAM) limeitunuku tuzo Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ya ubunifu wa mifumo ya kidigitali kufuatia wasilisho la…
Patali aomba machifu kuhamasisha vijana kuchangamkia fursa mafunzo uanagenzi
Mbunge wa Mbeya vijijini ,Patali Shida amewaomba wazee wa mila (machifu),kutumika kama daraja...
#HABARI: Dereva wa gari ya Serikali amekamatwa akiwa na kiwango cha juu cha ulevi huku akidaiwa kutaka kusababisha ajali, derev…
#HABARI: Dereva wa gari ya Serikali amekamatwa akiwa na kiwango cha juu cha ulevi huku akidaiwa kutaka kusababisha ajali, dereva huyo amekamatwa kupitia ukaguzi wa mabasi ya mikoani ukaguzi ulioendana…
2025 ulivyoshuhudia vigogo wakijiondoa
Mwaka 2025 unaisha kwa kushuhudia mageuzi makubwa katika nyadhifa za juu serikalini na ndani ya...
Kitengo cha Huduma za Ajira cha Ofisi ya Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano kimetakiwa kuwaunganisha vijana na furs…
Kitengo cha Huduma za Ajira cha Ofisi ya Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano kimetakiwa kuwaunganisha vijana na fursa za ajira ndani na nje ya nchi ili…
Mpogolo avutiwa mabadiliko jina jipya chemba ya biashara
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amesema mabadiliko ya jina la Chemba ya Taifa ya...
Herzog ataka dunia ipinge chuki dhidi ya Wayahudi
Kumbukizi ya tukio la mauaji ya Bondi, yafanyika chini ya ulinzi mkali nchini Australia
#HABARI: Wadau wa elimu na wanafunzi wa Masomo ya Ukutubi na Uhifadhi wa Nyaraka, wameiomba Serikali kuongeza kasi ya matumizi …
#HABARI: Wadau wa elimu na wanafunzi wa Masomo ya Ukutubi na Uhifadhi wa Nyaraka, wameiomba Serikali kuongeza kasi ya matumizi ya tehama katika fani hiyo wakati wa mafunzo, ili kuendana…
Mvutano wa Cambodia na Thailand kujadiliwa leo
Mawaziri wa mambo ya nje wa kanda ya Kusini Mashariki mwa Asia wanajiandaa kuutafutia ufumbuzi mgogoro kati ya majirani-Cambodia na Thailand
Mvutano wa Cambodia na Thailand kujadiliwa jumatatu
Mawaziri wa mambo ya nje wa kanda ya Kusini Mashariki mwa Asia wajiandaa kuutafutia ufumbuzi mgogoro kati ya majirani-Cambodia na Thailand
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SONGWE – DESEMBA 21, 2025 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA SONGWE - DESEMBA 21, 2025 -
Rais Putin yuko tayari kuzungumza na Macron
Rais Vladmir Putin anaamini kukaa mezani na Macron kunaweza kuwa na tija ikiwa kuna dhamira ya pamoja ya kisiasa
Ikanga Speed anatupia tu DR Congo
UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao.
Maafande wa Prisons yampigia hesabu Mpole
KOCHA wa maafande wa Tanzania Prisons, Mkenya Zedekiah ‘Zico’ Otieno, ameanza mipango ya kuisuka upya timu hiyo katika dirisha dogo litakalofunguliwa Januari Mosi, 2026, huku akimfuatilia aliyekuwa mshambuliaji wa Pamba…
Juma Nyenyezi apewa miwili Mashujaa FC
KIUNGO mshambuliaji wa maafande wa Mashujaa, amesaini mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo hadi mwaka 2027, hivyo, kuzikaushia JKT Tanzania na Namungo ambao walikuwa wanamfuatilia dirisha hili dogo la Januari…
Beki Mkenya apata tumaini Coastal Union
BEKI wa kati wa Coastal Union, Christopher Oruchum amesema kikosi chao kwa sasa kimeimarika na kinacheza soka la kuvutia, tofauti na hali ilivyokuwa awali kabla ya ujio wa benchi jipya…
Singida Black Stars yamgeukia Chobwedo
WAKATI ikielezwa uongozi wa Singida Black Stars unaweza ukaachana na winga nyota wa timu hiyo, Ayoub Lyanga anayewindwa na Mbeya City, mabosi wa kikosi hicho wameanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji…
Kipa Mbeya City awindwa Pamba Jiji
UONGOZI wa Pamba Jiji umefungua mazungumzo ya kupata saini ya kipa wa Mbeya City, Hashim Mussa, baada ya kudaiwa nyota huyo anatafuta changamoto sehemu nyingine, kutokana na kutopata nafasi ya…
Mzee Kikala ameanza kupambana na Bintri Msumi 🙂
Mzee Kikala ameanza kupambana na Bintri Msumi 🙂 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Elon Musk anakuwa bilionea wa kwanza duniani wa $700b baada ya mkataba wa malipo wa Tesla kurejeshwa
Mapema wiki hii, Musk alikua mtu wa kwanza kuvuka thamani ya dola bilioni 600 baada ya ripoti kwamba SpaceX inaweza kuanza kuuzwa kwa umma.
Kinabo wa Chaumma anavyomng’angania Waziri Angellah Kairuki
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imempunguzia Edward Kinabo dhamana ya gharama za kesi...
Dk Mwigulu ataka mikoa kuchunguza manunuzi ya umma
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, ameelekeza mikoa yote nchini kuanzisha vitengo...
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA JIONI – 21/122025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA JIONI - 21/122025
AzamTWO Weekend Movie
AzamTWO Weekend Movie Katika movie ya kihindi kupitia AzamTWO leo saa 4:00 usiku ni kitu cha Bell Bottom. Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #AzamTWO #BellBottom
TCAA inavyoimarisha usafiri wa anga
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imesema imepiga hatua kubwa katika kuimarisha...
Tanzania, India zaingia makubaliano kuendeleza tiba asili
Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuibua, kukuza...
#HABARI: Waziri wa Uchukuzi, Prof
#HABARI: Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amesisitiza mradi wa ujenzi wa bandari ya kuifadhi na kusafirisha mizigo michafu, ikiwemo makaa ya mawe na saruji, kukamilika kwa wakati ili wananchi…
Kisa mashabiki, Mlandege yatozwa faini Sh1 milioni
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, imetozwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la mashabiki wa timu hiyo kufanya vurugu kwa kurusha chupa uwanjani wakati mechi ikiendelea.
Wazalishaji wa mafuta walia na magendo
Wamiliki wa viwanda vya kutengeneza mafuta ya kula nchini wamelia na biashara ya magendo, huku...
Tanzanian cricket hits new heights with school project
DAR ES SALAAM: 202S will remain a banner year for cricket as it has made Tanzania shine globally in both 50-over and 20-over disciplines Among the notable milestones are the…
Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kuhusu ushirikiano kwenye Sekta ya Afya katika kuendeleza tiba…
Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) kuhusu ushirikiano kwenye Sekta ya Afya katika kuendeleza tiba asilia (Ayurveda), huku Tanzania ikiwakaribisha wawekezaji kutoka sehemu duniani kuja kuwekeza…
Trump aingiza ‘huduma ya Kikristo’ katika mkataba wa afya wa Marekani na Nigeria
Trump alikuwa amesema kuwa Marekani iko tayari kuchukua hatua za kijeshi nchini Nigeria kukabiliana na "mauaji ya Wakristo".
#HABARI: Abiria waliokuwa wakisafiri kwa basi la Kampuni ya Super Zambia kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma wamenusurika kifo …
#HABARI: Abiria waliokuwa wakisafiri kwa basi la Kampuni ya Super Zambia kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma wamenusurika kifo baada ya basi hilo kugongwa pembeni na lori la mafuta katika…
Tamasha la AFCON 2025 kufungua pazia Morocco
Tamasha maarufu la kandanda barani Afrika la Kombe la Mataifa ya Afrika – AFCON linaanza kutifua vumbi nchini Morocco. Morocco ina kibarua kigumu kutokana na matumaini makubwa ya mashabiki wake…
Mkurugenzi Mbarali kuwashughulikia watumishi wanaokwamisha miradi
Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali Mkoa wa Mbeya, imejipanga kudhibiti mianya ya upotevu wa...
Wapagazi 30,000 waungana, waanzisha TAP kutetea haki zao
Zaidi ya wapagazi 30,000 kutoka vyama vinne nchini wameungana na kuunda umoja wao uitwao...
Dk Tulia kutoa tabasamu kwa kaya 130
Mbunge wa Uyole, Dk Tulia Ackson amesema ataendelea kugusa jamii kwa kugharamia bima za afya na...
Polisi, uhamiaji kuanzisha ‘one stop center’ kuhudumia watalii
Ili kuboresha huduma kwa watalii, Kituo cha Utalii na Diplomasia kwa kushirikiana na Idara ya...
Maulamaa wa Yemen walaani kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu nchini Marekani
Maulamaa na wanazuoni wa Yemen wamelaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini Marekani. Tukio la hivi karibuni la uhalifu huo limefanywa na mgombea mmoja wa Baraza la Seneti la Marekani.
Uuzaji wa bidhaa za ulinzi wa Uturuki wapanda 30% katika miezi 11: Rais wa Uturuki
Erdogan anasema ulinzi na usafirishaji wa anga wa Uturuki ulifikia $7.45B katika muda wa miezi 11, huku nchi ikishika nafasi ya 11 duniani kwa mauzo ya ulinzi.
Askofu Bagonza: KKKT halisemwi vizuri
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza,...
Bodi Tanroads yaridhishwa ujenzi daraja Pangani
TANGA: Bodi ya Ushauri ya Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Pangani lililopo mkoani Tanga. Bodi hiyo imeeleza mradi huo unaendelea vizuri na…
Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limeendelea kutoa elimu kwa madereva na abiria pamoja na kufanya ukaguzi w…
Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani limeendelea kutoa elimu kwa madereva na abiria pamoja na kufanya ukaguzi wa mabasi ya abiria, kama sehemu ya jitihada za kudhibiti ajali…
AU yamuunga mkono Jenerali Al Burhan na kuwalaani RSF Sudan
Umoja wa Afrika AU umetangaza kumuunga mkono Jenerali Abdel Fattah al Burhan na serikali yake nchini Sudan na kusisitizia wajibu wa kurejeshwa umoja wa ardhi na utulivu wa nchi hiyo.…
Askofu Bagonza: KKKT haisemwi vizuri
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Benson Bagonza,...
Mkataba wa kibiashara wa Mercosur wakwama
Maandamano na upinzani wa wakulima Ulaya wakwamisha kusainiwa mkataba wa kibiashara kati ya EU na kanda ya Amerika ya Kusini