Shirika la Mabalozi wa Usalama Barabarani linalofanya shughuli zake ndani ya mikoa ya Tanzania Bara limewataka abiria wanaosafir…
Shirika la Mabalozi wa Usalama Barabarani linalofanya shughuli zake ndani ya mikoa ya Tanzania Bara limewataka abiria wanaosafiri kuelekea mikoa mbalimbali nchini kupaza sauti kuhusu changamoto za usafiri zikiwemo kupandishiwa…
Kampuni inayojishughulisha na huduma ya mikopo hapa nchini ya Platinum Credit Tanzania imeeleza kuwa tuzo iliyopata ya “Consume…
Kampuni inayojishughulisha na huduma ya mikopo hapa nchini ya Platinum Credit Tanzania imeeleza kuwa tuzo iliyopata ya “Consumer Choice Awards Africa 2025”, imekuwa chachu kwao kuongeza ufanisi zaidi. Kauli hiyo…
Serikali yaonya ununuzi, ugavi kutekelezwa na wasio wataalamu
Maagizo hayo yametolewa jana Ijumaa, Desemba 19, 2025 na Naibu Waziri wa Fedha, Mshamu Ally...
#HABARI: Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro, kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri Ardhini (LATRA…
#HABARI: Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Kilimanjaro, kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri Ardhini (LATRA), imewafungia leseni Madereva 14 kwa makosa mbalimbali, ikiwemo Mwendokasi huku mmoja wa…
Chelsea yakwepa kipigo ugenini kwa Newcastle United
Mabao ya Reece James na Joao Pedro yametosha kuinusuru Chelsea kukumbana na kipigo kwenye...
Mabadiliko mapya AFCON, kuchezwa kila baada ya miaka minne
Akizungumza Rabat leo, Motsepe amesema kuwa uamuzi huo wa Kamati ya Utendaji ya CAF unalenga...
NAOT ilivyowanoa wanahabari kuinua mjadala ya uwajibikaji
Mfugale ameongeza kuwa Ofisi ya mkaguzi itaendelea kuboresha mifumo yake ya mawasiliano, ili...
Umoja wa Mataifa waitaka Rwanda kuondoa vikosi vyake DRC
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka Rwanda kuondoa vikosi vyake mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Makamba bingwa mashindano Ujirani Mwema Burundi
BURUNGA, Burundi: TIMU ya Kombaini ya Wilaya Makamba mkoa Burunga nchini Burundi imeibuka kuwa mabingwa wa mashindano ya Ujirani Mwema kwa mwaka 2025 baada ya kuifunga kombaini ya Wilaya Kigoma…
Why adopting LPG with safety standards matters
Dodoma: The Tanzanian Government, through its National Clean Cooking Strategy (2024–2034), has demonstrated the country’s unwavering commitment to advancing the clean cooking agenda as part of global efforts to address…
Mazungumzo ya amani kuhusu mzozo wa Ukraine yafanyika Miami
Duru nyingine ya mazungumzo ya kujaribu kuutafutia suluhu mzozo kati ya Urusi na Ukraine imeanza Jumamosi katika mji wa Miami, nchini Marekani baada ya mkutano kama huo kufanyika Jumapili iliyopita…
Marekani yafanya shambulizi Syria na kuwaua magaidi watano
Jeshi la Marekani limefanya mashambulizi ya anga nchini Syria usiku wa kuamkia Jumamosi na kuwaua wanachama watano wa kundi la kigaidi linalojiita Dola la Kiislamu - IS.
Waziri Mkuu wa Sudan ziarani Marekani kuujadili mzozo
Waziri Mkuu wa Sudan Kamil Idris ameelekea Jumamosi mjini New York, kukutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na maafisa wengine ili kujadili namna ya kumaliza mzozo…
Uturuki inawasilisha mzigo wa kwanza wa mahema 30,000 ya misaada nchini Sudan
Meli iliyobeba mahema 10,000 ya kwanza kati ya 30,000 yaliyotolewa kwa Sudan na Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa na Dharura ya Uturuki (AFAD) kwa ushirikiano na Shirika la Kimataifa la…
“Zipo vita za Kibiashara, zipo vita za Kiuchumi, kwa sababu rasilimali zetu zipo ambazo wengine hawana, na mimi hii nitaendelea …
"Zipo vita za Kibiashara, zipo vita za Kiuchumi, kwa sababu rasilimali zetu zipo ambazo wengine hawana, na mimi hii nitaendelea kuisema hata wakereke, ndio...Mungu aliumba kila nchi akaipa rasilimali zake,…
Pakistan: Imran Khan, mkewe wahukumiwa kifungo cha miaka 17
Mahakama moja nchini Pakistan imemhukumu Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan na mkewe Bushra Bibi, kifungo cha miaka 17 jela baada ya kupatikana na hatia ya kujitwalia na kuziuza zawadi…
Suri unveils Maser’s Africa philanthropy drive
LAGOS, NIGERIA: Prateek Suri, Chairman and CEO of Maser Group, has unveiled an ambitious philanthropic roadmap that will see millions of dollars channelled into community-driven initiatives across Africa, beginning with…
Usikose kutazama VAR za Chief Odemba kwenye Medani za siasa leo saa 3:30 usiku
Usikose kutazama VAR za Chief Odemba kwenye Medani za siasa leo saa 3:30 usiku
UDSM continues to benefit from CCCC
DAR ES SALAAM: The University of Dar es Salaam (UDSM) has received more than 300 books from the China Communications Construction Company (CCCC) as part of efforts to enhance skills,…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA – DESEMBA 20, 2025 -MKANDARASI ALIYETELEKEZA UJENZI KUVUNJIWA MKATABA
🔴HAPA NA PALE KUTOKA GEITA - DESEMBA 20, 2025 -MKANDARASI ALIYETELEKEZA UJENZI KUVUNJIWA MKATABA
Kampasi ya UDSM Lindi kuzalisha wataalamu, watafiti kilimo
Amesema ujenzi huo ni ushahidi wa dhamira ya Serikali ya kuhakikisha elimu ya juu inakuwa...
Viongozi wa Kiafrika wahimizwa kudumisha ‘ujasiri’ katika kushinikiza fidia ya utumwa
Rais wa Ghana, John Dramani Mahama, amekutana na kuzungumza wajumbe wa kimataifa, lengo likiwa ni kutafuta fidia ya utumwa na ukoloni wa Wazungu katika maeneo mbalimbali ya dunia hasa barani…
Wanamgambo wa RSF wamewaachia huru wafanyakazi 9 wa sekta ya afya huko Darfur
Mtandao wa Madktari nchini Sudan umeripoti kuwa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) umewaachia huru wafanyakazi 9 wa sekta ya afya waliokuwa wakishikiliwa katika magareza na kikosi hicho…
Zaidi ya wakulima 2,600 wa alizeti mkoani Geita wanatarajiwa kuzalisha zaidi ya Shilingi Bilioni 20 zitakazotokana na uzalishaji…
Zaidi ya wakulima 2,600 wa alizeti mkoani Geita wanatarajiwa kuzalisha zaidi ya Shilingi Bilioni 20 zitakazotokana na uzalishaji wa tani 20,000 katika msimu huu wa kilimo. Malengo hayo yamewekwa baada…
Aladdin yake Will Smith ndio movie ya leo saa 4:00 usiku kupitia AzamTWO katika movie ya weekend
Aladdin yake Will Smith ndio movie ya leo saa 4:00 usiku kupitia AzamTWO katika movie ya weekend . Movie hii imetafsiriwa kwa Kiswahili. #Aladdin #AzamTWO
Kazakhstan marks 35 years of State Sovereignty declaration
KAZAKHSTAN: On October 25, the Republic of Kazakhstan celebrates Republic Day, a national holiday that marks one of the most significant milestones in the country’s modern history. This year, the…
Da China amuamsha Binti Msumi usingizi
Da China amuamsha Binti Msumi usingizi #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Iran yamnyonga ajenti wa Mossad aliyekuwa akiifanyia ujasusi Israel
Idara ya Mahakama ya Iran imetangaza kuwa ajenti wa Shirika la Ujasusi la Israel (Mossad) aliyepatikana na hatia ya kuufanyia ujasusi utawala wa Israel, amenyongwa baada ya kukamilika kwa taratibu…
ACT-Wazalendo inavyojaribu kupindua matokeo ya uchaguzi mkuu kupitia mahakama
Dar es Salaam. Kufuatia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 uliofaa sintofahamu, chama cha...
Hamas yalaani shambulizi la kikatili dhidi ya shule katika mji wa Gaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani shamulizi la kikatili la Israel dhidi ya shule moja katika mji wa Gaza lililouwa Wapalestina kadhaa. Hamas imeitaja hujuma hiyo kuwa…
Mahakama ya Pakistan yamhukumu Imran Khan na mkewe kifungo cha miaka 17 jela
Mahakama Maalumu ya Pakistan mapema leo Jumamosi imemhukumu Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Imran Khan, na mkewe Bushra Bibi kifungo cha miaka 17 jela, kila mmoja wao, katika…
Mahakama ya Pakistani yamhukumu Imran Khan na mkewe kifungo cha miaka 17 jela
Mahakama Maalumu ya Pakistan mapema leo Jumamosi imemhukumu Waziri Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Imran Khan, na mkewe Bushra Bibi kifungo cha miaka 17 jela, kila mmoja wao, katika…
Fikra za Nyerere ziolivyo msingi wa amani, umoja wa kitaifa
Katika mkutano huo, wajumbe wameeleza kuwa urithi wa fikra na falsafa za Mwalimu Nyerere...
Dk Mwigulu ataka TRA kuweka mabango miradi iliyotekelezwa kwa kodi za wananchi
Mtendaji huyo mkuu wa shughuli za Serikali, amesema hatua hiyo itawezesha Watanzania kutambua...
Wewe bado ni mfuasi wa utamaduni wa jamii yako?
Wewe bado ni mfuasi wa utamaduni wa jamii yako?. Mutamaduni ingawa maendeleo yamesababisha kwa namna moja au nyingine baadhi ya watu kupuuza njia hiyo. Miongoni mwa manufaa ya tamaduni za…
Baraza la Usalama la UN laongezea MONUSCO mamlaka kwa mwaka mmoja zaidi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimiol akuongezea ujumbe wa kulinda amani nchini DRC MONUSCO mwaka mmoja zaidi
Taiwan: Rais aahidi uchunguzi baada ya shambulio kubwa kwenye kituo cha treni cha Taipei
Rais wa Taiwan Lai Ching-te ameahidi siku ya Jumamosi, Desemba 20, uchunguzi wa kina kuhusu shambulio hilo lililogharimu maisha ya watu watatu siku kwenye kituo ha treni cha Taipei. Mshambuliaji…
Serikali yaagiza tathmini mpya ujenzi uwanja wa mpira Geita
SERIKALI mkoani Geita imeelekeza tathimini mpya ifanyike kufanikisha ukamilishaji wa uwanja wa mpira wa miguu katika Manispaa ya Geita ambao umeshindwa kukamilika kwa wakati. Mkataba wa mradi wa ujenzi wa…
Kipindupindu na Utapiamlo: Wakimbizi Wakongo 40 wafariki ndani ya siku 10 Gatumba
Angalau wakimbizi 40 wa Kongo wamefariki kutokana na kipindupindu na utapiamlo katika kambi ya mpito ya Gatumba nchini Burundi katika muda wa siku 10 pekee. Kifara Kapenda, naibu meya wa…
Vita kati ya Urusi na Ukraine vimeingia zaidi ya mwaka wa tatu huku mashambulizi ya Israel kwa Palestina na kinachoendelea Sudan…
Vita kati ya Urusi na Ukraine vimeingia zaidi ya mwaka wa tatu huku mashambulizi ya Israel kwa Palestina na kinachoendelea Sudan vikiwa ni uthibitisho kuwa matumizi ya silaha yanayoendelea kuongezeka…
#HABARI: Watumishi wa Sekta ya Afya mkoani Rukwa, wamehimizwa kuendelea kutoa elimu na hamasa kwa wananchi, ili kuongeza uelewa …
#HABARI: Watumishi wa Sekta ya Afya mkoani Rukwa, wamehimizwa kuendelea kutoa elimu na hamasa kwa wananchi, ili kuongeza uelewa na ushiriki wao katika mpango wa Bima ya Afya kwa Wote,…
Mali: Paris yalaani kukamatwa kwa Yann Vezilier, hatua ‘isiyokubalika na ni kinyume cha sheria’
Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufaransa imejibu tangazo la Jumanne, Desemba 16, la kufunguliwa kwa uchunguzi wa kimahakama nchini Mali unaomlenga Yann Vezilier, ikielezea kukamatwa kwake kama hatua “isiyokubalika…
Stopper aingia anga za Namungo
KLABU ya Namungo 'Wauaji wa Kusini', imeanza mazungumzo ya kumsajili beki wa kati wa KMC, Salum Athuman 'Stopper', kwa ajili ya kwenda kuchukua nafasi ya Abdallah Mfuko, anayedaiwa yuko katika…
Kocha wa Zambia Moses Sichone hatoshelezi kanuni za CAF
Maafisa wa Zambia wanatarajia kutatua tatizo hilo kwa kubadilisha cheo cha kocha mkuu na kuwa kocha msaidizi anapokidhi masharti ya kustahiki nafasi hiyo.
Chama awaibia mastaa Stars siri ya AFCON
WAKATI fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zikitarajiwa kuanza leo Jumapili nchini Morocco, kikosi cha Taifa Stars kitashuka dimbani Desemba 23, 2025 kucheza dhidi ya Nigeria, huku nyota…
Mwigulu aagiza dawa mahsusi kupatikana hospitalini
Katika ziara yake aliyoifanya leo Jumamosi, Desemba 20, 2025 mkoani Lindi, Waziri Mkuu, Dk...