Hundreds benefit from KCMC medical camp
KILIMANJARO: HUNDREDS of people have turned up for health screening and treatment at a special medical camp held at Kilimanjaro Christian Medical Centre Zonal Referral Hospital (KCMC ZRH) in Moshi,…
MUHAS boosts infrastructure to enhance global standing
DAR ES SALAAM: THE Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) is intensifying investments in infrastructure and academic facilities as part of broader efforts to sustain quality education, strengthen…
Mtabiri wa hali ya hewa aonya kuhusu mvua katika maeneo 5, jua na anga kavu katika siku 7 zijazo
Idara ya Hali ya Hewa Kenya imetabiri hali ya jua na ukame nchini kote kuanzia Februari 10-16, huku mvua ikitarajiwa katika maeneo teule matano karibuni.
Wajackoyah Afichua Jinsi Roho ya Raila Odinga Inavyoishi Ndani Yake
George Wajackoyah anadai kuwa mrithi wa kisiasa wa Raila Odinga, akisisitiza upako wa kiroho, huku akipinga madai ya wapinzani kama Oketch Salah.
Rais Pezeshkian: Iran haitaki vita; mashinikizo ya kiuchumi yanalenga kuichafua serikali
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza tena msimamo wa Iran wa kuunga mkono amani, akisema kuwa nchi hii haijawahi kutaka kuanzisha vita, licha ya kukabiliwa na…
Katibu Mkuu wa UN alaani mradi mpya wa Israel wa kunyakua maeneo ya Ukingo wa Magharibi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameonyesha wasiwasi mkubwa na kulaani uamuzi wa hivi karibuni wa Israel wa kuidhinisha hatua zinazorahisisha upanuzi wa makaazi ya walowezi wa Kizayuni…
Iran inaweza kupunguza kiwango cha urutubishaji urani iwapo ‘vikwazo vyote vitaondolewa’
Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema kuwa uwezekano wowote wa kupunguza kiwango cha urutubishaji wa urani ambayo sasa ni imefika hadi asilimia 60 utategemea kikamilifu…
Türk: Janga la haki za binadamu Sudan linaweza kuzuilika
Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Binadamu, Volker Türk, ameliambia Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kwamba machafuko ya El Fasher, Sudan, ni “janga…
DODOMA: Post-harvest losses remain…
DODOMA: Post-harvest losses remain one of the biggest challenges facing Tanzania’s agricultural sector, with studies indicating that farmers lose up to 30–40 percent of their harvest annually due to poor…
Msemaji wa Majeshi: Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani wakati wa mazungumzo
Iran haitasalimu amri wala kukubali mashinikizo au masharti ya Marekani huku ikiendelea na mazungumzo na Washington, amesema Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi, msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, katika mahojiano…
Ripoti: Kenya yazidi kuathiriwa na mihadarati
RIPOTI ya Global Organised Crime Index zinaonesha kuwa Kenya imeendelea kuwa miongoni mwa vituo vikuu vya usafirishaji wa dawa za kulevya, hususan kokeini, katika ukanda wa Afrika Mashariki, licha ya…
Samia sets benchmark
Tasks leaders to drive socio-economic transformation, Vision 2050 DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has directed the newly sworn-in leaders and those already in office to spearhead the country’s…
Yanga kwenye presha, tatizo la kufunga likiwaandama CAFCL
Wakielekea kwenye mechi yao ya mwisho ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF), Young Africans wanajua kuwa ni muujiza pekee ndio unaweza kuwaweka hai katika mashindano ya…
Grealish amaliza msimu kwa maumivu Everton
Mchezaji wa Everton anayekipiga kwa mkopo kutokea Manchester City, Jack Grealish, amethibitisha...
Mfanyabiashara azua sarakasi Thika baada ya dalali kupiga mnada malori yake 2: “Uuuuui”
Taharuki ulitokea Thika baada ya Rufas Kiretai kupoteza malori yake mawili hii ni baada ya dalali kuyapiga mnada licha ya mgogoro wa kisheria. Alilia na watoto wake.
Imam mkuu Omar Athman Omar Atuhumiwa kwa Wizi wa KSh 774,000
Imam mkuu Omar Athman Omar alikanusha mashtaka ya ulaghai ya Umrah ya KSh 774,000 wakati mahakama ikitathmini uamuzi wa dhamana katika Mahakama ya Milimani Nairobi.
Kwa nini Arsenal haitashinda Ligi Kuu baada ya Manchester City kuwanyatia
Arsenal wanaongoza Ligi Kuu kwa kampeni kali, lakini changamoto kama vile mechi ngumu na ukosefu wa uzoefu zinaweza kukwamisha azma yao ya kutwaa ubingwa.
Uchungu wa Baba Kuwapoteza Wanawe Wote 4 Wakiogelea Huko Kisumu
Familia ya ndugu wanne wa Kisumu waliozama kwenye machimbo yaomba msaada wa kufadhili mazishi yao, ikionyesha hitaji la dharura la hatua za usalama.
Bomet: Afisa wa Kliniki Akamatwa Akimdhulumu Kingono Mama Mjamzito Wakati wa Kumkagua
Polisi wa Bomet walimkamata afisa wa kliniki anayetuhumiwa kumnyanyasa kingono mwanamke mjamzito wakati wa kukaguliwa kimatibabu. Mwathiriwa alikimbizwa hospitali
Bungoma Goliath afanya amani na Oga Obinna mwaka baada ya YouTuber “Kumdhalilisha”
Goliath wa Bungoma amerekebisha uhusiano uliochacha na YouTuber Oga Obinna baada ya mwaka, walitafakari kuhusu maisha yao ya zamani na walipofikia sasa.
NEMC yakifunga kiwanda cha HOOTA
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC limekifunga kiwanda cha urejelezaji wa taka za plastiki cha HOOTA kilichopo Kata ya Vikindu mkoani Pwani kutokana na kutekeleza shughuli…
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Evalist iliyopo kata ya Nyarugusu pamoja na Shule ya Sekondari Lwamudasa wilayani Geit…
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Evalist iliyopo kata ya Nyarugusu pamoja na Shule ya Sekondari Lwamudasa wilayani Geita wameondokana na adha ya kutembea kwa miguu zaidi ya kilometa…
Man Fongo kutetea haki za wanawake watoto
MSANII wa singeli Man Fongo ameweka wazi kuwa anaandaa nyimbo zenye ujumbe maalum wa kutetea haki za Wanawake na Watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia. The post Man Fongo kutetea…
Guardiola atoa maneno ya vitisho
Pep Guardiola ameapa kuwa Manchester City itaendelea “kupumua shingoni mwa Arsenal” baada ya...
Tunda la ufundishaji bora ni ujifunzaji bora
Hivi karibuni Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, ilizindua Mkakati wa Kisayansi wa...
Sauti za Busara 2027 kufanyika Machi
TAMASHA la Sauti za Busara linalofanyika kila mwezi Februari kwa mwaka 2027 litafanyika mwezi Machi ili kupisha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani unaotarajiwa kuwa Februari. Mwenyekiti wa Tamasha hilo,…
Serikali yalipa deni trilioni 4/- PSSSF
SERIKALI imelipa madeni ya zaidi ya Sh trilioni 4.27 za watumishi yaliyokuwa yanadaiwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF). Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF,…
Senegal: Watu Kumi na wawili wakamatwa kwa madai ya ushoga
Nchini Senegal, kesi inayohusisha ushoga na shutuma za kusambaza VVU kimakusudi imeibua hisia kali kwenye vyombo vya habari na kisheria. Wanaume kumi na wawili—wakiwemo watu wawili mashuhuri—wamekamatwa na polisi kwa…
Mbunge wa Zamani Ahusishwa na Wizi wa Gari la Kaunti ya Murang’a
Mbunge wa zamani kutoka kaunti ya Murang'a anazuiliwa na polisi kufuatia kukamatwa kwake na maafisa wa DCI kuhusiana na wizi wa magari katika kaunti hiyo.
Salif Keita ashindwa kutumbuiza Sauti za Busara
MWANAMUZIKI Mkongwe Salif Keita ameshindwa kufika Zanzibar na kutumbuiza katika Tamasha la Sauti za Busara 2026 kutokana na kuugua. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa tamasha hilo, Journey…
Ronaldo amaliza mgomo Al-Nassr
Cristiano Ronaldo amemaliza mgomo wake ndani ya Klabu ya Al-Nassr baada ya uongozi wa timu hiyo...
DRC: Félix Tshisekedi akutana na Joao Lourenço na Faure Gnassingbe nchini Angola
Rais wa Kongo amefanya ziara katika mji mkuu wa Angola, Luanda siku ya Jumatatu, Februari 9, ambapo alijadili mgogoro unaoigawanya mashariki mwa DRC na wenzake wa Angola na Togo. Wakati…
Nchimbi ahimiza mambo 3 ushirikiano vyuo, waajiri
MAKAMU wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi ameagiza mambo matatu ili kuhakikisha mpango wa ushirikiano kati ya vyuo na viwanda unatekelezwa kwa tija. Dk Nchimbi alitoa maagizo hayo wakati wa uzinduzi…
Treni 5 SGR kubeba mizigo bandarini Dar kwa siku
SERIKALI imetaja mikakati ya kupunguza msongamano wa makasha ndani ya Bandari ya Dar es Salaam ikiwemo kuongeza safari za Treni ya Kisasa (SGR) ya mizigo. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Februari 10, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Februari 10, 2026 kwenye #Moorning Trumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
DRC: Watu 12 wafariki katika tukio la kuporomoka kwa mgodi wa chuma karibu na Kolwezi
Chini ya wiki mbili tu baada ya maporomoko ya ardhi katika mgodi wa madini ya coltan wa Rubaya katika mkoa wa Kivu Kaskazini, janga lingine kama hilo lilitokea mwishoni mwa…
Wazazi wanapogeuza shule ‘madampo’ kubwaga watoto
Wakati shule zilianzishwa ili kutoa elimu ya kitaaluma kwa watoto, hali imebadilika hivi sasa.
Thamani mifuko hifadhi ya jamii yafikia tril 24/-
SERIKALI imesema thamani ya mifuko ya hifadhi ya jamii imeongezeka kutoka Sh trilioni 10.43 mwaka 2020 hadi Sh trilioni 24.20 Desemba mwaka jana. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu,…
Sudan: UM walaani ‘janga la kibinadamu ambalo lingeweza kuepukika’ El-Fasher
Ukatili uliofanywa huko El-Fasher, Sudan, mwezi Oktoba mwaka uliyopita ni “janga la kibinadamu ambalo lingeweza kuepukika,” Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ametangaza siku ya Jumatatu,…
Kenya yapinga usajili wa raia wake katika jeshi la Urusi
Kenya inasema kuwa itazungumza na Urusi kuhusu ripoti zinazoongezeka kuwa raia wake wanasajiliwa kupigana vita nchini Ukraine, ikielezea kitendo hicho kama kisichokubalika.
Kenya: Mamilioni ya watu wakabiliwa na njaa kutokana na ukame, mifugo imeangamia
Hali ya ukame imesababisha zaidi ya watu milioni 2 kukabiliwa na njaa katika sehemu za Kenya, huku jamii za wafugaji kaskazini mashariki zikiwa zimeathiriwa zaidi, kulingana na Umoja wa Mataifa…
Utawala wa Iran hauwezi kuangushwa kwa shambulio la anga – Uturuki
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Hakan Fidan, alisema kuwa kwa maoni yake, serikali ya Iran “haitaangushwa kwa shambulio la anga, bali mfumo utadhoofishwa na huenda usiwe tena na…
Siri kufanikiwa mkakati wa KKK hii hapa
Mkakati huu si wa kawaida, bali ni wa aina yake kwa kuwa umejikita katika misingi ya kisayansi,...
Eritrea yafutilia mbali madai ya Ethiopia kuwa inahatarisha usalama wake
Eritrea imekanusha madai ya Ethiopia kuwa wanajeshi wake wapo katika nchi hiyo jirani, madai wanayosema ni ya uongo na yaliyotengezwa. Imechapishwa: 10/02/2026 – 04:59 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo…
Mkuu wa Operesheni za kikosi cha UM cha kulinda amani ziarani DRC kuthathmini hali ya amani
Mkuu wa Operesheni za kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani Pierre Lacroix, ameanza ziara ya siku tatu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Imechapishwa: 10/02/2026 – 04:53 Dakika…
Israel yaidhinisha hatua za kupanua mamlaka yake katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa
Baraza la Mawaziri nchini Israel, limepitisha hatua za kuchukua maeneo zaidi na kutawala katika Ukingo wa Magharibi inayokalia kimabavu. Imechapishwa: 10/02/2026 – 04:47 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya…
Tetesi za soka Ulaya Jumanne: Cristiano Ronaldo kusitisha mgomo wake Saudia
Cristiano Ronaldo anatazamiwa kurejea Saudi Arabia, mabadiliko katika chumba cha baraza la Barcelona huenda yakaamua iwapo Marcus Rashford atasalia Uhispania, na Zinedene Zidane huenda akarejea Real Madrid.
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘kuabudu shetani’ ya watu mashuhuri wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…
Lavrov: Kadhia ya Epstein imedhihirisha sura halisi ya ‘kuabudu shetani’ ya watu muhimu wa Magharibi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, mtindo mchafu wa maisha wa mfadhili na mhalifu wa vitendo vya ngono wa Marekani Jeffrey Epstein pamoja na tapo lake…