Ledama afungua siri: Mlango wa ajabu wenye teknolojia ya yuu kutoka Türkiye waduwaza Wakenya
Seneta Ledama Olekina alionesha mlango wa kisasa wa pivot kutoka Türkiye, wenye teknolojia ya kuduwaza. Maoni ya umma yalitofautiana, yakionesha sifa na wasiwasi pia
Healing Through Harmony: How Yoga reconnects humanity in an age of healthy ageing
DAR ES SALAAM: In a world increasingly defined by stress, distraction, loneliness, and division, yoga offers a rare invitation to reconnect with ourselves and with one another. As humanity navigates…
TRA reminds Tanzania’s taxpayers to submit tax returns before June 20, 2026
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has reminded taxpayers to submit their tax returns on time as the 2025/2026 financial year approaches its end. Speaking in Dar es…
Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Nairobi kupinga kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano leo mjini Nairobi wakipinga makubaliiano yaliyofikiwa kati ya serikali ya nchi hiyo na Marekani wa kuanzisha nchini kenya kituo cha kuhifadhi Wamarekani…
Bajaji iliyobeba wanafunzi zaidi ya 10 yanaswa, dereva afungiwa leseni
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limemkamata na kumfungia leseni kwa miezi mitatu dereva wa...
Florent Ibenge aigomea Mali
DILI la kocha Mkuu wa Azam FC Florent Ibenge kwenda Mali limebuma, huku sababu kubwa ikitajwa ni bosi huyo kugoma kwenda nchini humo kwa kuwa anataka kubaki Tanzania.
Mayanga ataja maeneo mawili Mbeya City
KOCHA Mkuu wa Mbeya City, Salum Mayanga amesema atatumia mapumziko ya siku 14 kuimarisha safu ya ulinzi na ushambuliaji wa timu hiyo katika harakati za kujinasua kutoka hatari ya kushuka…
Bodi yategua mtego Ligi Kuu
BODI ya Ligi Kuu Bara (TPLB) imefanya mabadiliko kwenye muda wa michezo mitatu ya mwisho ya ligi hiyo ili kuepuka upangaji wa matokeo, lakini mashabiki kupata nafasi ya kutazama mechi…
Wanne kortini Zanzibar kwa tuhuma za kusafirisha, kuuza dawa za kulevya
Watu wanne wamefikishwa katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kwa makosa matano ya kusafirisha kuuza...
Nahodha Serengeti atoa ya moyoni
NAHODHA wa Serengeti Girls, Elizabeth John amesema timu hiyo imeshindwa kufikia malengo waliyojiwekea ya kufuzu Kombe la Dunia la Wanawake chini ya miaka 17 baada ya kupoteza mchezo wa kwanza…
Ziara ya Samia Russia kufungua fursa mpya za biashara kwa Tanzania
Kwa jumla, Tanzania ina nafasi ya kuongeza mauzo ya bidhaa zake Russia yenye thamani ya Dola 14...
Singida Black Stars yamfungia kazi msauzi
Singida Black Stars imeanza mipango ya kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao kwa kuweka macho kwa kiungo mshambuliaji wa Golden Arrows ya Afrika Kusini, Siyanda ‘Skhwishi’ Ndlovu.
Singida Black Stars yamfugia kazi msauzi
Singida Black Stars imeanza mipango ya kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao kwa kuweka macho kwa kiungo mshambuliaji wa Golden Arrows ya Afrika Kusini, Siyanda ‘Skhwishi’ Ndlovu.
Wizara ya Afya ya Uganda imethibitisha visa sita vipya vya ugonjwa wa Ebola, na hivyo kufanya jumla ya maambukizi yaliyothibitis…
Wizara ya Afya ya Uganda imethibitisha visa sita vipya vya ugonjwa wa Ebola, na hivyo kufanya jumla ya maambukizi yaliyothibitishwa nchini humo kufikia 15. Katika taarifa iliyochapishwa kwenye X, wizara…
Ushiriki wa wadau watajwa siri mafanikio ya Dira 2050
Tume ya Taifa ya Mipango imesema mafanikio ya utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya...
Tuliketi kwa faragha: Ruto afunua ukweli mzito kuhusu majadiliano yake na Uhuru
Rais William Ruto alifichua maelezo ya mazungumzo ya faragha na rais wa zamani Uhuru Kenyatta kuhusu nishati, miundo msingi, umwagiliaji na mustakabali wa Kenya.
Tuliketi kwa faragha: Ruto afunua ukweli mzito kuhusu mazungumzo yake na Uhuru
Rais William Ruto alifichua maelezo ya mazungumzo ya faragha na rais wa zamani Uhuru Kenyatta kuhusu nishati, miundo msingi, umwagiliaji na mustakabali wa Kenya.
36 kushiriki Yamle Yamle Cup
JUMLA ya timu 36 kutoka Zanzibar zinatarajiwa kushiriki mashindano ya Yamle Yamle Cup 2026 yenye lengo la kutoa fursa kwa vijana kuonyesha vipaji vyao vya soka.
Chipukizi, New Kings bado zina nafasi ZPL
USHINDI wa bao 1-0 wa Polisi dhidi ya Chipukizi katika mchezo wa Ligi Kuu Zanzibar uliochezwa Uwanja wa Gombani, Pemba, umeongeza presha kwa Chipukizi na New Kings katika vita vya…
Utumishi Girls : Wanafunzi 9 waliowasha moto uliowaua wenzao 16 wafika kortini, Wakenya wachemka
Washukiwa wa moto wa bweni la Utumishi Girls walifikishwa mahakamani Naivasha, wakikabiliwa na mashtaka baada ya tukio hilo la kusikitisha kuua wanafunzi 16.
Huduma za dharura Manyara zapunguza hatari ya vifo
MANYARA: UBORESHAJI wa miundombinu ya huduma za afya katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara umechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza vifo vinavyotokana na ajali za barabarani na dharura mbalimbali,…
Hizi hapa biashara zinazovutia wafadhili wa mitaji nchini
Kilimo kinaendelea kuwa uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania, kikichangia takribani asilimia 26...
Kampeni ya kombe la dunia Zanzibar yazinduliwa
Mixx kwa kushirikiana na Hisense imeendelea na uzinduzi wa kampeni yake ya “Kila Muamala ni Bao...
RISE project restores year round access on key Morogoro rural road
MOROGORO: A RURAL road rehabilitation project under Tanzania’s Roads to Inclusion and Socioeconomic Opportunities (RISE) programme has improved year-round access for communities in Kilosa District, easing the movement of agricultural…
Changamoto ilizopitia Wizara ya Fedha, yataja mikakati kuzikabili
Serikali imesema kuwa, licha ya mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa vipaumbele kwa...
Marekani Yatoa Onyo la Dharura kwa Raia Wake Kufuatia Ghasia za Karantini ya Ebola Kenya
Serikali ya Marekani imetoa onyo la kusafiri Kenya kufuatia maandamano ya vurugu huko Nanyuki dhidi ya kituo cha karantini cha Ebola ikiwahimiza raia wake kuwa macho
Government projects 6.3% economic growth as inflation targeted at 3–5%
DODOMA: The Government has announced plans to strengthen the national economy with the aim of achieving a growth rate of 6.3 percent in 2026, while maintaining inflation within a range…
IGP Wambura pushes for technology-driven policing in crime investigations
MOSHI: THE Inspector General of Police (IGP), Camillus Wambura, has urged forensic investigators to sharpen their professional skills and embrace emerging technologies as Tanzania strengthens its response to increasingly sophisticated…
Wahukumiwa jela maisha kwa kuuza dawa za kulevya
DAR ES SALAAM: Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewahukumu kifungo cha maisha jela Suleiman Thabit Ngulangwa na Farid Hamis Said baada ya kutiwa…
CCM: Mshikamano wa Taifa uendelee kulindwa
Chama hicho kimesema vitendo hivyo havina nafasi katika jamii ya Kitanzania, kikisisitiza kuwa...
Absa Tanzania yaadhimisha mafanikio ya Tanzania Pickleball Open 2026
Mashindano hayo ya siku tano yaliyofanyika katika viwanja vya Gymkhana Club jijini Dar es...
Serikali imelipa deni kwa asilimia 68 ya malengo
Hadi kufikia Aprili mwaka huu, Serikali ilishalipa deni la Serikali la Sh9.74 trilioni ambalo...
Namna programu ya EnDev inavyoleta mapinduzi ya matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini
Katika kaya nyingi nchini, kuna janga linalotokota jikoni kila kukicha. Hii ni kutokana kwamba,...
Kihongosi asisitiza umakini mapokezi ya wageni
MANYARA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amewataka wananchi wa Wilaya ya Babati mkoani Manyara kuwa makini wanapowapokea wageni katika maeneo…
Government boosts debt clearance efforts with TSh 100 Billion monthly allocation
DODOMA: FINANCE Minister Ambassador Khamis Mussa Omar has announced that the Government plans to allocate TSh 100 billion every month to settle outstanding debts owed to public servants, contractors, suppliers,…
Siri nyota ya Tyla kung’ara
Katika tasnia ya muziki wapo watu wanaofanya kazi nyuma ya pazia. Wakipanga na kupambana...
Je, ni klabu gani zilizo na wachezaji wengi zaidi kwenye Kombe la Dunia 2026?
Kuna timu 17 ambazo zina wachezaji 10 au zaidi kwenye Kombe la Dunia ambao walicheza mpira wa vilabu mara ya mwisho, ambapo watano kati yao ni wa Uingereza.
Wafanyakazi Wafurahishwa baada ya Rais Nguesso Kuondoa Vikwazo vya Visa kwa Waafrika Wote
Jamhuri ya Kongo itaondoa masharti ya viza kwa raia wote wa Afrika kuanzia Januari 1, 2027, hatua ya kihistoria iliyoadhimishwa katika mikutano ya kila mwaka ya AfDB
Finance Ministry unveils TSh 21.3 trillion spending proposal for 2026/27
DODOMA: THE Government, through the Ministry of Finance, has requested Parliament to approve a total of TSh 21.3 trillion for the implementation of the Ministry’s responsibilities and those of its…
Mafanikio ya mradi wa Pamba na Kazi Bora yaonekana
DAR ES SALAAM: MRADI wa Pamba na Kazi Bora unaotekelezwa kwa ushirikiano kati ya Serikali za Tanzania na Brazil umeendelea kuonesha mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya ajira za watoto,…
Tanzania-Brazil cotton project records significant progress in combating child labour
DAR ES SALAAM: THE Cotton with Decent Work project, implemented through cooperation between the governments of Tanzania and Brazil, has continued to register significant achievements in the fight against child…
Dkt. Khalilur Rahman wa Bangladesh achaguliwa kuwa Rais wa kikao cha 81 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Mataifa wanachama wa Umoja wa Mataifa yamemchagua Dkt. Khalilur Rahman wa Bangladesh kuwa Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa kikao cha 81 kitakachoanza mwezi Septemba mwaka huu.
Ebola inaweza kutibika ikiwa wagonjwa watapata huduma za afya mapema
Idadi ya watu waliokufa kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola uliogundulika nchini Jamhuri ya Kidemokrasia Congo DRC na Uganda mwezi Mei mpaka sasa ni watu 49 ambapo, 48 kutoka…
Mzozo wa Mashariki ya Kati waongeza gharama za chanjo na chakula tiba Afrika
Takribani siku 100 tangu kuanza kwa mzozo wa Mashariki ya Kati (tarehe 28 Februari 2026) baada ya Israel na Marekani kuishambulia Iran kwa makombora na kisha Iran kujibu mashambulizi na…