Mbunge wa viti maalumu mkoa wa njombe kwa Tiketi ya CCM Rebecca Sanga Nsemwa amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Bunge Sports Club
Mbunge wa viti maalumu mkoa wa njombe kwa Tiketi ya CCM Rebecca Sanga Nsemwa amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Bunge Sports Club. Rebeca amepata kura 158 dhidi ya mshindani wake Mh.Abbas…
ASKOFU Mkuu wa Global Concert Church (NGURUMO YA UPAKO), Nabii Mkuu na Mstahiki Meya wa Amani Duniani, Profesa GeorDavie K
ASKOFU Mkuu wa Global Concert Church (NGURUMO YA UPAKO), Nabii Mkuu na Mstahiki Meya wa Amani Duniani, Profesa GeorDavie K. Moses, amempongeza Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kuelekea kutimia kwa…
Iran-Marekani: Mazungumzo yanatarajiwa kuendelea, kulingana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Iran na Marekani zimekubaliana “kuendelea na mazungumzo yao,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ametangaza siku ya Ijumaa baada ya duru ya kwanza ya mazungumzo yaliyofanyika Oman,…
Maelfu wamzika mtoto wa Gaddafi aliyeuawa kwa risasi
Maelfu ya watu wamejitokeza Ijumaa kwa ajili ya mazishi ya mtoto wa mtawala wa zamani wa Liibya, Muammar Gaddafi, katika mji ambao bado unaendelea kuonyesha utii kwa kiongozi huyo wa…
KUTOKA ANGOLA: Kikosi cha Simba kimefanya mazoezi yake ya mwisho tayari kuikabili Petro Atletico kwenye mchezo wa Ligi ya Mabing…
KUTOKA ANGOLA: Kikosi cha Simba kimefanya mazoezi yake ya mwisho tayari kuikabili Petro Atletico kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL). Mechi ni saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports2HD #CAFCL…
Halmashauri ya Kahama yavunja mkataba wa mkandarasi
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imevunja mkataba kati yake na mkandarasi...
Chalamila aagiza hatua za haraka kukabili msongamano wa wanafunzi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amemuagiza Katibu Tawala na Ofisa Elimu wa mkoa...
Posta kuwatumia wataalamu wa alama kurahisisha mawasiliano
Shirika la Posta Tanzania limepanga kuanza kuwatumia wataalamu wa lugha ya alama kuwezesha...
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili”
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili” Kocha msaidizi wa Coastal Union, Joseph Lazaro anasema mwenendo walionao na fikra zilizopo kwa wachezaji, wanaweza kujikuta wanapoteza mechi zote. Kocha huyo…
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili”
NBCPL: “Kwa nini tunaruhusu magoli kipindi cha pili” Kocha msaidizi wa Coastal Union, Joseph Lazaro anasema mwenendo walionao na fikra zilizopo kwa wachezaji, wanaweza kujikuta wanapoteza mechi zote. Kocha huyo…
Aliyeshtakiwa kwa kusafirisha kilo nne za heroin ashinda kesi
Hukumu iliyomwachia huru mshtakiwa huyo imetolewa Februari 3, 2026, na Jaji George Kazi...
Familia, marafiki wamlilia mchezaji wa Kakamega Homeboyz, mchumba wake avujisha gumzo lao la mwisho
Mchezaji wa Kakamega Homeboyz Silas Abungana alifariki baada ya mzozo wa kifamilia. Mpenzi wake aliyehuzunika ameelezea kusikitishwa na hali iliyomkuta.
UN: Mashirika ya Haki za binadamu yako ‘taabani’
Mkuu wa Shirika la Umoja Mataifa linaloshughulikia haki za binadamu Volker Turk amefahamisha kuwa shughuli za shirika hilo zimekwama kutokana na ukosefu wa fedha kutokana na wafadhili kuacha kutoa ufadhili…
Rufaa ya aliyekuwa DED Simanjiro yagonga mwamba
Gunzah aliyekuwa DED wa Simanjiro kuanzia mwaka 2021 hadi 2023 alihukumiwa na Hakimu Mkazi Mkuu...
Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kwa kushirikiana na Zimbabwe na Chuo Kikuu cha Uingereza (OXFORD) wa…
Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kwa kushirikiana na Zimbabwe na Chuo Kikuu cha Uingereza (OXFORD) wamezindua mradi wa utafiti wa kupunguza ajali za barabarani kwa watoto…
Siaya: CCTV yanasa tukio la kutisha mwenye duka akiwaomba majambazi ndani ya kiosk yake wasimuue
Picha za CCTV kutoka kwenye kiosk huko Siaya zilinasa tukio la wizi wakati majambazi walipovamia usiku. Tukio hilo limezua maswali kuhusu hali ya usalama nchini.
Aga Khan, MZRH kushirikiana huduma bora za matibabu nchini
Hospitali ya Aga Khan na Hospitali ya Rufaa Kanda Mbeya (MZRH) zimetiliana saini makubaliano ya...
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuif…
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuifunga Zimbabwe kwa fremu 14-11 na baadae ikawafunga wenyeji Afrika…
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuif…
KUTOKA KWA MADIBA: Timu ya Taifa ya Tanzania imepata ushindi katika michezo yake miwili iliyocheza leo Februari 6, 2025 kwa kuifunga Zimbabwe kwa fremu 14-11 na baadae ikawafunga wenyeji Afrika…
Iran yasifu mazungumzo na Marekani, yakataa kujadili silaha
Iran imesema mazungumzo ya nyuklia na Marekani Oman ni mwanzo mzuri huku hofu ya vita ikitanda Mashariki ya Kati. Tehran yakataa kujadili mpango wa makombora, yakisisitiza kuondolewa kwa vikwazo.
Wanafunzi wataja mwarobaini kero ya usafiri
Baadhi ya wanafunzi nchini wameeleza adha wanazokumbana nazo wanapotumia usafiri wa umma, huku...
Abbas Araqchi: Mazungumzo ya Muscat yamekuwa na mwanzo mzuri
Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya nje wa Iran amesema kuwa, mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja na Marekani huko Muscat Oman yamekuwa na mwanzo mzuri, huku…
Baraza la Mazingira nchini (NEMC) limesema linaendelea kushirikiana na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa ajili y…
Baraza la Mazingira nchini (NEMC) limesema linaendelea kushirikiana na Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwa ajili ya upangaji mzuri wa na utambuzi wa maeneo kwa lengo la kutunza…
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani …
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani na kupata matokeo mazuri yatakayowasaidia kufuzu hatua ya robo…
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani …
KUTOKA MOROCCO: Kocha wa Yanga Pedro Goncalves yupo anasema timu yake ipo tayari kuikabili AS FAR katika Uwanja wao wa nyumbani na kupata matokeo mazuri yatakayowasaidia kufuzu hatua ya robo…
Araghchi asema mazungumzo na Marekani ni mwanzo mzuri
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ametaja mazingira ya mazungumzo na Marekani kuwa mazuri huku pande hizo mbili zikikubaliana kuendelea na mazungumzo zaidi.
Mkuu wa wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph amevitaka vikundi 24 vilivyopokea mikopo ya asilimia 10 kutoka halmashauri kutumia fedha…
Mkuu wa wilaya ya Mpanda, Jamila Yusuph amevitaka vikundi 24 vilivyopokea mikopo ya asilimia 10 kutoka halmashauri kutumia fedha za mkopo katika kujikwamua biashara zao na shughuli za ujasiriamali sambamba…
Kumbukizi ya Profesa Hubert Clemence Kairuki: Urithi wa maono ya maendeleo katika sekta ya afya na elimu nchini
Hospitali ya Kairuki, iliyoanzishwa mwaka 1987, ilikuwa hatua ya kihistoria katika maendeleo ya...
Watu 31 wauawa katika shambulizi nchini Pakistan
Watu 31 wameuawa na wengine zaidi ya 170 kujeruhiwa leo wakati mlipuaji wa kujitoa mhanga kufa alipolipua bomu katika msikiti wa Washia wa Khadija Tul Kubra Imambargah viungani mwa Islamabad…
Tafrani ODM: Oburu Oginga amfunda Edwin Sifuna baada ya kuamsha hoja nzito kwenye mahojiano ya TV
Kiongozi wa ODM Oburu Odinga alimkosoa SG wa chama Edwin Sifuna kwa kuhoji uongozi wake, akisisitiza mgawanyiko kuhusu sera za chama na ushirikiano na UDA.
Merz: Umoja wa Ulaya uko tayari kwa mazungumzo na Urusi
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema leo kuwa Umoja wa Ulaya daima uko tayari kufanya mazungumzo na Urusi katika juhudi za kumaliza vita nchini Ukraine, lakini "hautafungua njia zozote sambamba…
Shambulio la kujitoa muhanga laua watu 31 Msikitini Pakistan
Karibu watu 31 wamefariki na wengine zaidi ya 150 wamejeruhiwa katika shambulizi la kujitoa muhanga kwenye msikiti wa madhehebu ya Shia uliopo kwenye mji mkuu wa Pakistan, Islamabad wakati wa…
MSIMAMO: Pamba Jiji yatua nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tano
MSIMAMO: Pamba Jiji yatua nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tano. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable #ImenogaZaidi
MSIMAMO: Pamba Jiji yatua nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tano
MSIMAMO: Pamba Jiji yatua nafasi ya tatu kutoka nafasi ya tano. #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #Msimamo #Standing #LeagueTable #ImenogaZaidi
Fidan wa Uturuki akutana na Kamishna wa Maswala ya Wanachama wa EU, kujadili masuala ya ushirikiano
Pande zote mbili zimesisitiza umuhimu wa kuimarisha uratibu katika masuala ya usalama na muunganisho wa kikanda katika maeneo ya Bahari Nyeusi, Caucasus Kusini na Asia ya Kati, ikiwemo nishati, usafirishaji,…
Kongo yawakubali wahamiaji wanaorejea kutoka Uingereza
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imekubali kuwapokea wahamiaji walioingia Uingereza bila vibali stahiki baada ya waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo Shabana Mahmood kutishia kuzuia utoaji wa visa…
NBCPL: Kila timu imeondoka na alama moja
NBCPL: Kila timu imeondoka na alama moja. FT: Tanzania Prisons 0-0 Mashujaa FC Ilikuwa LIVE #azamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TZPrisonsVsMashujaa #Prisons #Mashujaa
NBCPL: Kila timu imeondoka na alama moja
NBCPL: Kila timu imeondoka na alama moja. FT: Tanzania Prisons 0-0 Mashujaa FC Ilikuwa LIVE #azamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TZPrisonsVsMashujaa #Prisons #Mashujaa
Mahakama ya Rufaa yaregesha Sheria ya NG-CDF, yatengua uamuzi wa Mahakama Kuu
Mahakama ya Rufaa imerejesha Sheria ya NG-CDF, 2015, imebatilisha uamuzi wa Mahakama Kuu. Majaji waliangazia mno makosa katika uchambuzi wa katiba.
Kinachomleta Museveni Tanzania kesho hiki hapa
Yoweri Museveni anakuwa kiongozi wa kwanza wa kimataifa kufanya ziara yake Tanzania baada ya...
NBCPL: Bado hakuna goli
NBCPL: Bado hakuna goli 65’: Prisons 0-0 Mashujaa FC LIVE #azamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TZPrisonsVsMashujaa #Prisons #Mashujaa
NBCPL: Bado hakuna goli
NBCPL: Bado hakuna goli 65’: Prisons 0-0 Mashujaa FC LIVE #azamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi #TZPrisonsVsMashujaa #Prisons #Mashujaa
Urusi yaituhumu Ukraine kwa jaribio la kumuua jenerali wake
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema Ijumaa kuwa Umoja wa Ulaya uko tayari kufanya mazungumzo na Urusi katika juhudi za kuvimaliza vita nchini Ukraine.
Kule Championship msako Ligi Kuu Bara unaendelea
RAUNDI ya 17 ya lala salama ya Ligi ya Championship inaendelea tena Jumamosi hii kwa mechi tatu kupigwa kwenye viwanja mbalimbali na nyingine zikiendelea Jumapili, huku kila timu ikipambana kwa…
Super Bowl ya mwaka huu imegubikwa na mgawanyiko
Mchezo wa fainali wa Ligi ya Mpira wa Miguu Marekani (NFL) wa Super Bowl mwaka huu, unazikutanisha Seattle Seahawks na New England Patriots.
Pamba Jiji Kirumba yaichapa Coastal Union 3-0
Baada ya kupoteza michezo miwili ya ugenini, leo Pamba Jiji imerudi nyumbani kwa kishindo baada ya kuichapa Coastal Union kwa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.