WFP yagawa msaada wa chakula cha kuokoa maisha mpakani mwa CAR na Sudan
Katika mpaka kati ya Jamhuri ya Afrika ya Kati CAR, na Sudan, maelfu ya familia waliokimbia makazi yao kutokana na vurugu wanapokea msaada wa chakula unaookoa maisha kutoka kwa Shirika…
Njiapanda ya matumaini na machungu, familia Gaza zinatafuta wapendwa wao kwa kuangalia picha za miili
Huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel, wiki hii, mamlaka za Israel zimewasilisha miili 54 pamoja na mifuko 66 iliyosheni mabaki ya viungo vya binadamu ya…
Wasichana zaidi ya milioni 4.5 wapo hatarini kufanyiwa ukeketaji mwaka huu wa 2026, waonya viongozi wa UN
Zaidi ya wasichana milioni 4.5 duniani kote, wengi wao wakiwa wenye umri wa chini ya miaka mitano, wako hatarini kufanyiwa ukeketaji mwaka huu pekee, wameonya viongozi wa mashirika ya Umoja…
Manusura waongoza mapambano dhidi ya ukeketaji wanawake na wasichana (FGM) katika jamii
Ukeketaji wanawake na wasichana au FGM, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu na Afya ya Uzazi, UNFPA, unatajwa kuwa ni ukiukaji mkubwa wa haki…
Ngoy aeleza siri ya ubora Namungo
AKIWA amehusika na pointi 14 kati ya 19 ilizoivunia Namungo, mshambuliaji Fabrice Ngoy amesema mafanikio ya ubora yanatokana na kuamini katika kujaribu na ushirikiano uliopo kati yake na wenzake.
Mtaalamu wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi ya Kilimo (SUA), Dkt
Mtaalamu wa kilimo kutoka Chuo Kikuu cha Sayansi ya Kilimo (SUA), Dkt. Richard Madege, amesema teknolojia ya kisasa haiwezi kuepukika kwa wale wanaotaka kilimo kuwa biashara, kwani hurahisisha shughuli za…
Mashujaa FC, Fikiri Elias kuna jambo
WAZEE wa mapigo na mwendo, Mashujaa FC, wameanza mchakato wa kumchukua kocha Fikiri Elias ili kumrithi Salum Mayanga, baada ya uongozi kutoridhishwa na mwenendo wa timu.
Jamii imehimizwa kuendelea kupinga vikali ukatili wa kijinsia ambao bado umeendelea kusababisha matokeo hasi katika jamii na kut…
Jamii imehimizwa kuendelea kupinga vikali ukatili wa kijinsia ambao bado umeendelea kusababisha matokeo hasi katika jamii na kutatiza ndoto za wengi kutokana na athari za matukio hayo. Wito huo umetolewa…
Iran na Marekani zafanya mazungumzo Oman
Iran na Marekani zimeanza leo mazungumzo nchini Oman, huku Washington ikikataa kuondoa kitisho cha hatua za kijeshi dhidi ya jamhuri hiyo ya Kiislamu .
Naibu mkuu wa idara ya Ujasusi ya Urusi apigwa risasi
Naibu mkuu wa idara ya ujasusi wa kijeshi wa Urusi luteni jenerali Vladimir Alekseyev amepigwa risasi na kujeruhiwa mjini Moscow .
Rais wa Rwanda aitaka nchi yake kujitegemea
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameirai nchi yake kujiandaa kujitegemea huku miito ikiongezeka nchini Marekani ya kuiwekea vikwazo zaidi kwa kushiriki kwake katika mzozo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Trump ataka mkataba mpya wa nyuklia baada ya New START
Rais wa Marekani, Donald Trump ametoa wito wa kuwepo makubaliano mapya ya nyuklia baada ya Mkataba wa mwisho wa kudhibiti silaha za nyuklia kati ya Urusi na Marekani kumalizika jana…
Ofisi za Save the Children zashambuliwa Sudan Kusini
Shirika la kimataifa la hisani kwa watoto, Save the Children, limesema makundi yenye silaha jimbni Jonglei, Sudan Kusini yamechoma na kuzipora ofisi za shirika la misaada la Uingereza na kuharibu…
PRISONS vs MASHUJAA: Chuma ya kazi ipo katika dimba la Sokoine Mbeya kwa ajili ya mechi ya NBC Premier League kati ya Tanzania P…
PRISONS vs MASHUJAA: Chuma ya kazi ipo katika dimba la Sokoine Mbeya kwa ajili ya mechi ya NBC Premier League kati ya Tanzania Prisons dhidi ya Mashujaa FC. Mechi ni…
Ndayiragije afurahia kuwanasa kina Nkane
KOCHA Mkuu wa TRA United, Etienne Ndayiragije, amesema maboresho yaliyofanywa na kikosi hicho katika dirisha dogo la usajili yamezingatia mahitaji, na ana matarajio makubwa na nyota wote waliojiunga na timu…
Wawakilishi wa Marekani hii leo wanatarajiwa kufanya mazungumzo na wenzao wa Iran jijini Muscat, nchini Oman kuhusu mpango wa ny…
Wawakilishi wa Marekani hii leo wanatarajiwa kufanya mazungumzo na wenzao wa Iran jijini Muscat, nchini Oman kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi
Wananchi wanaosumbuliwa na ugonjwa wa mabusha mkoani Lindi wametakiwa kujitokeza kwenye kambi ya upasuaji wa mabusha inayotaraji…
Wananchi wanaosumbuliwa na ugonjwa wa mabusha mkoani Lindi wametakiwa kujitokeza kwenye kambi ya upasuaji wa mabusha inayotarajiwa kutolewa na madaktari bingwa kuanzia Februari 9 - 25 mwaka huu katika Hospitali…
Rais Mwinyi awafariji familia ya Munde, Nassor
Wawili hao walifariki dunia kwa nyakati tofauti wakati wakipatiwa matibabu katika Hospitali ya...
Serikali imekiri uwepo wa masharti magumu ya benki zinazotumika kutoa mikopo ya asilimia kumi na kufanya kuwa miongoni mwa sabab…
Serikali imekiri uwepo wa masharti magumu ya benki zinazotumika kutoa mikopo ya asilimia kumi na kufanya kuwa miongoni mwa sababu zinazokwamisha vikundi kupata huduma hiyo, jambo ambalo bado linaendelea kuzua…
KUTOKA KWA ‘MADIBA”: Mtanzania Jackson Ng’anyi ametinganusu fainali ya mashindano ya mchezo wa Pool kwa kumfunga Mtanzania mwenz…
KUTOKA KWA ‘MADIBA”: Mtanzania Jackson Ng’anyi ametinganusu fainali ya mashindano ya mchezo wa Pool kwa kumfunga Mtanzania mwenzke Omary Akida hatua ya robo fainali. Katika mchezo huo, wachezaji wote walionesha…
Mchambuzi wa masuala ya kimataifa, Ibrahim Rahbi amedai kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump amejikuta akiingia kwenye migogoro n…
Mchambuzi wa masuala ya kimataifa, Ibrahim Rahbi amedai kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump amejikuta akiingia kwenye migogoro na washirika wake wa kisiasa kutokana na kwenda kinyume na sera ya…
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Mapinduzi ya Kiislamu yameitoa Iran kwenye utumwa wa Marekani
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amezungumzia maadhimisho ya miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kubainisha kwamba: "katika kipindi hiki, zimefanyika kazi kubwa…
Marekani, Iran zaanza kuzungumza kwa kutishiana
Mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya Iran na Marekani yameanza Ijumaa nchini Oman, katika juhudi za kupunguza mvutano unaohusiana na mpango wa nyuklia wa Tehran na kuzuia kuzuka kwa…
MTIBWA vs NAMUNGO FC: Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema wataanza kwa kuangalia mapungufu ya mpinzani wao yalipo ili wak…
MTIBWA vs NAMUNGO FC: Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amesema wataanza kwa kuangalia mapungufu ya mpinzani wao yalipo ili wakifanya mabadiliko ya wachezaji yakatoe matokeo chanya uwanjani. Naye nahodha…
Kwa nini mazungumzo ya Iran na Marekani ni nyeti
Haya ni mazungumzo ya kwanza ya moja kwa moja tangu kile kilichoitwa "vita vya siku 12," vilivyoibuka baada ya shambulio la Israel dhidi ya Iran na kuibua hofu ya vita…
Waziri Riziki awataadharisha wawekezaji kwenye sanaa Zanzibar
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar Riziki Pembe, ametoa wito kwa wawekezaji kwenye sanaa Zanzibar kuzingatia mila na tamaduni.
Miji zaidi yakabiliwa na baa la njaa mjini Darfur
Vita vinavyoendelea nchini Sudan vimeendelea kusababisha hali ngumu ya maisha, huku njaa ikizidi kuenea katika maeneo yanayokumbwa na mapigano, hususan katika eneo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.
AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema amewaelekeza wachezaji kucheza kwa kujiamini kwa kuwa wamej…
AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge amesema amewaelekeza wachezaji kucheza kwa kujiamini kwa kuwa wamejiandaa vema. Ibenge amesema watacheza kama Azam na hivyo mchezo…
Charles Wangari: Familia ya Mkenya aliyeuawa katika vita vya Urusi-Ukraine yaandaa mkesha bila mwili
Familia inamwomboleza Charles Wangari, mchezaji wa zamani wa Kubali FC aliyeuawa katika jeshi la Urusi. Ukumbusho ulifanyika bila mwili unaangazia msiba wa vita.
Zungu ahimiza Watanzania kukipenda Kiswahili, amkingia kifua Shingo
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu amewataka Watanzania kuionea fahari lugha yao ya...
Rais wa Uturuki aadhimisha kumbukumbu ya miaka 3 ya tetemeko la ardhi
Kulingana na Rais Recep Tayyip Erdogan, ukarabati ulifanyika katika maeneo yaliyoathirika zaidi na tetemeko la mwaka 2023, akisema kuwa waathirika wataendelea kukumbukwa.
Mahakama Kuu yaamuru IG Kanja, bosi wa DCI kumleta kortini mfanyabiashara aliyetoweka Busia maiti au hai
Mahakama Kuu yaamuru IG Douglas Kanja na bosi wa DCI Mohamed Amin kueleza kuhusu mfanyabiashara aliyetoweka, Ahmed Ibrahim, aliyeripotiwa kutekwa nyara na KSh 17.5m.
AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha wa klabu ya AS Maniema, Papy Kimoto Okitankoyi amesema wanatambua Azam ni timu bora hasa ikiwa nyum…
AZAM FC vs AS MANIEMA: Kocha wa klabu ya AS Maniema, Papy Kimoto Okitankoyi amesema wanatambua Azam ni timu bora hasa ikiwa nyumbani lakini wamekuja na lengo kuu la kuzitafuta…
Maandalizi ufunguzi Soko Kuu Kariakoo, wamachinga wahama
Wamachinga wanaofanya biashara katika mitaa ya kuingia Soko Kuu la Kariakoo wameondoa meza na...
Mkoa wa Lindi unatarajia kuanza kambi rasmi ya matibabu ya upasuaji wa mabusha kuanzia Februari 9 hadi 25, 2026, ambapo zaidi ya…
Mkoa wa Lindi unatarajia kuanza kambi rasmi ya matibabu ya upasuaji wa mabusha kuanzia Februari 9 hadi 25, 2026, ambapo zaidi ya wananchi 500 wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji huo bila malipo.…
Olmert akiri: Maangamizi ya kizazi cha Wapalestina yanafanyika Ukingo wa Magharibi
Waziri Mkuu wa zamani wa utawala wa kizayuni wa Israel Ehud Olmert amekiri kwamba polisi, jeshi na Shirika la Usalama wa Ndani la utawala huo (Shabak) wanahusika katika mashambulizi yaliyopangwa…
Tabibu wa viungo: Huenda Trump akawa amebakiwa na miaka 2 hadi 4 tu ya kuishi
Mtaalamu wa tiba ya viungo Adam James, amezungumzia baadhi ya harakati na alama za kimwili za Donald Trump na kutahadharisha kwamba, huenda rais huyo wa Marekani asiishi zaidi ya miaka…
Nguesso kuwania tena urais baada ya kuitawala Jamhuri ya Kongo kwa zaidi ya miaka 40
Rais wa Jamhuri ya Kongo (Brazzaville), Denis Sassou Nguesso, ametangaza kwamba atagombea tena urais wa nchi hiyo katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao wa Machi, akiwa na lengo la kusalia…
Waziri Mkuu wa Uhispania: Lazima serikali iwalinde watoto na ‘sumu’ ya mitandao ya kijamii
Waziri Mkuu wa Uhispania Pedro Sanchez amesema, nguvu ya serikali ipo kuzilinda demokrasia na "mashambulizi zinayopata" na kuwalinda watoto na vijana na "ulimwengu wenye madhara makubwa, usioadhibiwa" ambavyo ndivyo imekuwa…
Kagame aitaka Rwanda kujitegemea zaidi
Rais wa Rwanda Paul Kagame Alhamis alitoa mwito kwa nchi yake kujitegemea zaidi.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuthibitisha uimara wake kama mhimili wa amani, mshikamano na maendeleo ya Taifa, huku kik…
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuthibitisha uimara wake kama mhimili wa amani, mshikamano na maendeleo ya Taifa, huku kikitimiza miaka 49 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1977, kikiwa kimebeba mafanikio makubwa…
Jinsi sakata ya Epstein inavyokuza propaganda za Urusi
Faili za Epstein ni uthibitisho wa masimulizi ya muda mrefu ya Kremlin kuhusu kuzorota kwa maadili ya Magharibi na unyanyasaji wa kijinsia wa dhidi ya watoto
KUTOKA ANGOLA: Angola ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayozungumza Kireno ikiwa ni lugha rasmi ya Taifa
KUTOKA ANGOLA: Angola ni miongoni mwa mataifa machache duniani yanayozungumza Kireno ikiwa ni lugha rasmi ya Taifa. Kwa Afrika ni Guinea Bissau, Msumbiji, Angola na Cape Verde wanaotumia lugha hii…
VIWANJANI: “Simba hawana tena cha kupoteza…”
VIWANJANI: “Simba hawana tena cha kupoteza…” Mchambuzi wa soka, Philip Nkini amesema mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Atletico De Luanda dhidi ya Simba SC ni mchezo…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Seif Shaban Seif anasema mwaka jana ‘alitisha’ sana kwenye mashindano ya #Vishada, changamoto ndogond…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Seif Shaban Seif anasema mwaka jana 'alitisha' sana kwenye mashindano ya #Vishada, changamoto ndogondogo zilikuwa ni upepo tu. Uhondo unaanza kesho Februari 7. Mashindano yatakayoanza ni…
Mbunge wa Jimbo la Malindi, Muhsin Haji Ussi ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Vijana kuweka fedha kwaajili ya mitaji rafiki k…
Mbunge wa Jimbo la Malindi, Muhsin Haji Ussi ameiomba Serikali kupitia Wizara ya Vijana kuweka fedha kwaajili ya mitaji rafiki kwa Vijana Nchini. Ameyasema hayo leo Bungeni Jijini Dodoma ambapo…
KUTOKA MOROCCO: Meneja habari na mawasiliano wa Yanga SC amefunguka sababu za nyota wao mpya Buba Jammeh kutokuungana na timu nc…
KUTOKA MOROCCO: Meneja habari na mawasiliano wa Yanga SC amefunguka sababu za nyota wao mpya Buba Jammeh kutokuungana na timu nchini Morocco. Kamwe ametoa ratiba ya mchezaji huyo namna atakavyofika…
AZAM FC vs MANIEMA UNION: Nyota wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ awaita Watanzania kuujaza uwanja wa New Amaan Complex, Zanzi…
AZAM FC vs MANIEMA UNION: Nyota wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' awaita Watanzania kuujaza uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kwa ajili ya mchezo wao wa kesho wa…
KUTOKA ANGOLA: “Mazoezi ya leo ndio mazoezi ya mechi kabisa…”
KUTOKA ANGOLA: “Mazoezi ya leo ndio mazoezi ya mechi kabisa…” Meneja habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally, alipozungumza jana na mwandishi wa #AzamTV @mangasore_ ambapo amebainisha kuwa mazoezi…