Mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuanza Oman
Marekani na Iran zinakutana Ijumaa mjini Muscat nchini Oman kwa mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. Ajenda kamili ya mkutano huo haijabainika bado, lakini Iran inataka vikwazo vijadiliwe.
Paul Kagame ajibu vitisho vya vikwazo vya kimataifa dhidi ya Rwanda
Rwanda imefungua Mazungumzo yake ya kitaifa siku ya Alhamisi, Februari 5, jukwaa linalofanyika kila baada ya miaka miwili. Katika sherehe ya ufunguzi, Rais Paul Kagame, katika hotuba yake kwa taifa,…
Wagonjwa wanavyoteseka vitengo vya dharura hospitalini
Ni dakika za kuhesabu uhai. Umempeleka mgonjwa, amepata dharura au ajali, lakini wahudumu...
Siri za kiafya kwenye nywele za kwapa
Makala inajadili kwa undani faida za nywele za kwapa na kwa nini zinapaswa kutunzwa badala ya...
Tunaukaribishaje Mwezi Mtukufu wa Ramadhani?
Muislamu, ajitahidi kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa njia sahihi kama kuwa na nia ya...
Ujerumani kuimarisha mashirikiano ya ulinzi na nchi za Ghuba
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ameahidi kushirikiana kwa karibu na nchi za Ghuba katika masuala ya ulinzi. Merz anaendelea na ziara yake ya kwanza katika eneo la Ghuba.
Kagame ahimiza kujitegemea huku miito ya ikwazo ikiongezeka
Rais wa Rwanda Paul Kagame ameihimiza nchi yake kujitegemea zaidi. Wito wake unakuja huku miito ikiongeza ya kuwekewa vikwazo na Marekani kuhusiana na kujihusisha na vita vya Kongo.
Njaa yaenea katika eneo la Darfur nchini Sudan
Wtaalamu wametahadharisha juu ya kuenea kwa njaa katika jimbo la Darfur nchini Sudan, huku mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na wapiganaji yakiwalazimu maalfu kuyakimbia makazi yao.
Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: Juventus inamfukuzia Sandro Tonali Newcastle United
Kiungo wa kati wa Newcastle United Sandro Tonali analengwa na Juventus, Cristiano Ronaldo ana kipengele cha kuachiliwa katika mkataba wake na Al-Nassr na Napoli kuufanya mazungumzo ya kuongeza mkataba wa…
Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza huku kukiwa na hofu ya kutokea kwa mzozo wa kijeshi
Nchi zote mbili bado zina misimamo yao. Matumaini ni kwamba, ikiwa zitafanikiwa, majadiliano yanaweza kuchochea mazungumzo.
Meja Jenerali Mousavi: Tumeimarisha uwezo wa makombora yetu
Afisa mwandamizi wa Jeshi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imeimarisha mifumo yake ya kujilinda kwa kuboresha makombora ya balestiki yaliyotengenezwa ndani ya nchi.
‘Shujaa wa vita’ wa Urusi aliyetoroka: ‘Nilijipiga risasi na watu wangu ili tuondoke Ukraine’
Afisa mmoja wa Urusi aliyewahi kuonyeshwa kama shujaa wa vita anasema kukata tamaa na hofu ya kurudishwa Ukraine ilimsukuma kuwajeruhi watu wake na yeye mwenyewe ili kutoroka mstari wa mbele.
Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Ukanda wa Gaza; Netanyahu amekusudia kukwamisha mapatano
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani mashambulizi makubwa ya anga ya Israel katika Ukanda wa Gaza yaliyouwa shahidi Wapalestina 23 tangu ustishaji vita wa Oktoba mwaka jana…
Watu 22 wauawa katika shambulio la RSF katika hospitali ya kijeshi Kordofan Kusini
Watu wasiopungua 22 wakiwemo wahudumu 4 wa sekta ya afya wameuawa na wengine wawane kujeruhiwa baada ya wanangambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) jana kuishambulia hospitali ya jeshi…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil: Uanzishwe mfumo mpya wa kimataifa kupitia marekebisho ya Umoja wa Mataifa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil, Mauro Vieira, amesisitiza haja ya kuanzishwa mfumo mpya wa kimataifa unaotegemea marekebisho ya mashirika ya kimataifa yaliyopo, ikiwa ni pamoja na Umoja wa…
UN: ISIS inasasisha mbinu zake na kuzidisha vitishio tangu katikati ya 2025
Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu kile ulichokielezea kama ongezeko la vitishio vya kundi la Daesh (ISIS) tangu katikati ya mwaka jana, ukieleza kuwa kundi hilo limekuwa "tata zaidi".
Vita vya kieneo ni nini na ni vya aina gani?
Je, nini maana ya vita vya kieneo na ni vya aina gani?
Ijumaa, tarehe 6 Februari, 2026
Leo ni Ijumaa tarehe 17 Sha'bani 1447 Hijria, sawa na Februari 6 mwaka 2026.
Mazungumzo kuhusu amani ya Ukraine yakamilika
Ukraine na Urusi zimekamilisha duru ya pili ya mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani huko Abu Dhabi yanayolenga kufikisha mwisho vita kati ya nchi hizo mbili. Duru mpya ya mazungumzo inatarajiwa kufanyika…
Rwanda itaweza kuvikabili vikwazo vya Marekani?
Rais Paul Kagame amewarai wananchi wake kujiandaa kujitegemea zaidi kufuatia shinikizo linaloongezeka la vikwazo zaidi vya Marekani kutokana na kuhusika kwake katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.
06.02.2026
Tuanzie huko Abu Dhabi ambako hii leo wajumbe wa Ukraine na Urusi na Marekani wanaendelea na mazungumzo ya kuelekea amani ya Ukraine+++Baada ya takriban miaka mitatu ya vita, Khartoum inahamasisha…
06.02.2026 Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Mazungumzo kuhusu amani ya Ukraine yakamilika huko Abu Dhabi. Wajumbe wa Marekani na Iran wajiandaa kuzungumza kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran mjini Muscat, Oman. Na Rais wa Rwanda Paul…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 6, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa…
#CoppaItaliaFrecciarossa Wanaokwenda nusu fainali ni….!!!!
#CoppaItaliaFrecciarossa Wanaokwenda nusu fainali ni....!!!! FT: Atalanta 3-0 Juventus. Je, ulitarajia!!? Burudani zinaendelea LIVE #AzamSportsHD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve
#CoppaItaliaFrecciarossa Juve wanakung’utwa….!!!
#CoppaItaliaFrecciarossa Juve wanakung'utwa....!!! 89' : Atalanta 3-0 Juventus. LIVE #AzamSports3HD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve
65′ | #CoppaItaliaFrecciarossa
65' | #CoppaItaliaFrecciarossa Atalanta 1-0 Juventus (Scamacca 27'p) LIVE #AzamSports3HD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve
Tyla anavyotembeza kifimbo cheza kwa kina Davido
Ushindani wa Tyla, 24, katika tuzo za Grammy, kwa mara nyingine umegeuka mwiba kwa mashabiki wa...
Wametemana na Bongo Fleva bila huruma
Tasnia ya Bongo Fleva imejaa vipaji vingi vya kike vilivyoacha alama kubwa licha ya kudumu kwa...
2011 majaji walimpa nafasi nyingine mshiriki Haji Ramadhan | #BSSNextLevelRevolution
2011 majaji walimpa nafasi nyingine mshiriki Haji Ramadhan | #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16 wa #BongoStarSearch utaanza kuruka…
Mambo yalivyokuwa BSS 2011 😅 | #BSSNextLevelRevolution
Mambo yalivyokuwa BSS 2011 😅 | #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16 wa #BongoStarSearch utaanza kuruka hewani kuanzia Machi…
Bela Kombo – Mshiriki wa BSS 2010 | #BSSNextLevelRevolution
Bela Kombo - Mshiriki wa BSS 2010 | #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16 wa #BongoStarSearch utaanza kuruka hewani…
Kitambo hicho, DC @ggondwe akisherehesha BSS 2010 | Sasa ni msimu wa 16 #BSSNextLevelRevolution
Kitambo hicho, DC @ggondwe akisherehesha BSS 2010 | Sasa ni msimu wa 16 #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16…
BENKI YA USHIRIKA TANZANIA COOP KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA ZANA ZA KILIMO SHAMBANI
BENKI YA USHIRIKA TANZANIA COOP KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA ZANA ZA KILIMO SHAMBANI Kupitia kongamano la kwanza la kimataifa linaloangazia matumizi ya teknolojia endelevu ya zana za kilimo, Benki ya ushirika…
IITA YADHAMIRIA KUWA UNGANISHA WAKULIMA WENGI ZAIDI NA TAASISI ZA MIKOPO
IITA YADHAMIRIA KUWA UNGANISHA WAKULIMA WENGI ZAIDI NA TAASISI ZA MIKOPO Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo cha Kitropiki (IITA) Inaonesha nia yake ya kuwa unganisha wakulima wengi zaidi na Taasisi…
#CoppaItaliaFrecciarossa Ni mapumziko, na walio mbele hadi sasa ni wenyeji kwa penati ya Scamacca dakika ya 27
#CoppaItaliaFrecciarossa Ni mapumziko, na walio mbele hadi sasa ni wenyeji kwa penati ya Scamacca dakika ya 27. HT: Atalanta 1-0 Juventus LIVE #AzamSports3HD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe. Joel Nanauka, hundi ya Sh200 bilioni ambazo ni ahadi ya Rais Dkt. Samia Suluhu…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na kufanya shughuli za m…
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na kufanya shughuli za maendeleo bila kuangalia tofauti ya vyama vyao. Akizungumza kwenye sherehe za…
Uturuki imelaani shambulizi la kigaidi nchini Nigeria lililoua takriban watu 170
Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki yalaani kitendo cha ugaidi na kutoa rambirambi kwa familia za walio poteza maisha kufuatia shambulio lililotekelezwa na makundi yenye silaha katika jimbo la…
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mafuriko, maporomoko ya ardhi, uharibifu wa miundombinu na mazingira,…
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mafuriko, maporomoko ya ardhi, uharibifu wa miundombinu na mazingira, milipuko ya magonjwa pamoja na upotevu wa mali na maisha katika…
Rais wa Congo kuwania tena urais baada ya kuiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 40
Sheria ya nchi hiyo inamruhusu kuwania muhula mpya kufuatia mageuzi ya kikatiba mwaka 2015.
Bantu Ride waja na suluhisho kutokomeza adha ya usafiri Jijini Dar es Salaam
Kwa wakazi wengi wa jiji la Dar es Salaam, usafiri wa kila siku umeendelea kuwa chanzo cha...
Kampuni ya Ekima yaingia makubaliano kusaidia utekelezaji matuminzi ya teknolojia mashuleni
Ni katika muktadha huo ambapo kampuni ya teknolojia ya elimu, Ekima Interactive Company...
Tanzania imeingia katika nchini zenye ushawishi mkubwa wa rasilimali za madini ya kimkakati na adimu duniani ikishika nafasi ya …
Tanzania imeingia katika nchini zenye ushawishi mkubwa wa rasilimali za madini ya kimkakati na adimu duniani ikishika nafasi ya nne kwa wingi wa madini hayo ardhini na ya ikishika nafasi…
Wadau wa utalii visiwani Zanzibar wameiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serkali ya Oman kukamilisha ujenzi wa nyumba ya “B…
Wadau wa utalii visiwani Zanzibar wameiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serkali ya Oman kukamilisha ujenzi wa nyumba ya "Baitul Ajaib" ambayo ni kielelezo cha utawala wa kale na sehemu…
Uturuki kuimarisha uwepo wake wa kijeshi kuisaidia Somalia kupambana na ugaidi
Uturuki inaimarisha uwepo wake wa kijeshi huku Somalia ikikabiliana na wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi ya Al-Shabaab.
Wizara yatangaza kuwapiga jeki wabunifu zana za kilimo
Wizara ya Kilimo imesema inawatambua na inawapa kipaumbele wabunifu wa zana za kilimo nchini...
Teknolojia ya nyuklia yatumika kuchagiza maendeleo ya afya, kilimo, nishati
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki nchini (TAEC), Profesa Najat Kassim Mohammed...
Uturuki na Saudi Arabia kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na uwekezaji katika ndege za kivita za KAAN
Uturuki na Saudi Arabi zatia saini makubaliano 'muhimu' ya ushirikiano wa sekta ya ulinzi huku Rais wa Uturuki Erdogan akieleza azma ya Uturuki ya kupanua mikataba hiyo.
Geita DC yafikia 45% ukusanyaji mapato ya ndani
GEITA: HALMASHAURI ya wilaya ya Geita mkoani Geita imefanikiwa kukusanya kiasi cha sh bilioni 6.37 sawa na asilimia 45.42 ya makisio ya makusanyo ya mapato ya ndani mwaka wa fedha…
Waziri Mkuu akemea mikopo kausha damu, atoa agizo
Wakati Serikali ikitoa hundi ya Sh200 bilioni kuwezesha vijana na wanawake kiuchumi, Waziri...