Skip to content
  • Sun. Mar 1st, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar Yanga, Simba ngoma imelala Utendaji wamng’arisha DC Mbeya Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini Tanzania, Afrika itakavyoathirika na mzozo Mashariki ya Kati
MWANASPOTI

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Yanga, Simba ngoma imelala

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Utendaji wamng’arisha DC Mbeya

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Tanzania, Afrika itakavyoathirika na mzozo Mashariki ya Kati

March 1, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
MWANASPOTI
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
Yanga, Simba ngoma imelala
MWANANCHI
Yanga, Simba ngoma imelala
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
MWANANCHI
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
MWANANCHI
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Uncategorized
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
MWANASPOTI
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
Yanga, Simba ngoma imelala
MWANANCHI
Yanga, Simba ngoma imelala
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
MWANANCHI
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
MWANANCHI
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
DW SWAHILI

Mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuanza Oman

February 6, 2026 mjombazecoder

Marekani na Iran zinakutana Ijumaa mjini Muscat nchini Oman kwa mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. Ajenda kamili ya mkutano huo haijabainika bado, lakini Iran inataka vikwazo vijadiliwe.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Paul Kagame ajibu vitisho vya vikwazo vya kimataifa dhidi ya Rwanda

February 6, 2026 mjombazecoder

Rwanda imefungua Mazungumzo yake ya kitaifa siku ya Alhamisi, Februari 5, jukwaa linalofanyika kila baada ya miaka miwili. Katika sherehe ya ufunguzi, Rais Paul Kagame, katika hotuba yake kwa taifa,…

MWANANCHI

Wagonjwa wanavyoteseka vitengo vya dharura hospitalini

February 6, 2026 mjombazecoder

Ni dakika za kuhesabu uhai. Umempeleka mgonjwa, amepata dharura au ajali, lakini wahudumu...

MWANANCHI

Siri za kiafya kwenye nywele za kwapa

February 6, 2026 mjombazecoder

Makala inajadili kwa undani faida za nywele za kwapa na kwa nini zinapaswa kutunzwa badala ya...

MWANANCHI

Tunaukaribishaje Mwezi Mtukufu wa Ramadhani?

February 6, 2026 mjombazecoder

Muislamu, ajitahidi kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa njia sahihi kama kuwa na nia ya...

DW SWAHILI

Ujerumani kuimarisha mashirikiano ya ulinzi na nchi za Ghuba

February 6, 2026 mjombazecoder

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ameahidi kushirikiana kwa karibu na nchi za Ghuba katika masuala ya ulinzi. Merz anaendelea na ziara yake ya kwanza katika eneo la Ghuba.

DW SWAHILI

Kagame ahimiza kujitegemea huku miito ya ikwazo ikiongezeka

February 6, 2026 mjombazecoder

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameihimiza nchi yake kujitegemea zaidi. Wito wake unakuja huku miito ikiongeza ya kuwekewa vikwazo na Marekani kuhusiana na kujihusisha na vita vya Kongo.

DW SWAHILI

Njaa yaenea katika eneo la Darfur nchini Sudan

February 6, 2026 mjombazecoder

Wtaalamu wametahadharisha juu ya kuenea kwa njaa katika jimbo la Darfur nchini Sudan, huku mapigano kati ya wanajeshi wa serikali na wapiganaji yakiwalazimu maalfu kuyakimbia makazi yao.

IDHAA YA DUNIA

Tetesi za Soka Ulaya Ijumaa: Juventus inamfukuzia Sandro Tonali Newcastle United

February 6, 2026 mjombazecoder

Kiungo wa kati wa Newcastle United Sandro Tonali analengwa na Juventus, Cristiano Ronaldo ana kipengele cha kuachiliwa katika mkataba wake na Al-Nassr na Napoli kuufanya mazungumzo ya kuongeza mkataba wa…

IDHAA YA DUNIA

Mazungumzo ya Marekani na Iran kuanza huku kukiwa na hofu ya kutokea kwa mzozo wa kijeshi

February 6, 2026 mjombazecoder

Nchi zote mbili bado zina misimamo yao. Matumaini ni kwamba, ikiwa zitafanikiwa, majadiliano yanaweza kuchochea mazungumzo.

HABARI ZA KIPEKEE

Meja Jenerali Mousavi: Tumeimarisha uwezo wa makombora yetu

February 6, 2026 mjombazecoder

Afisa mwandamizi wa Jeshi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu imeimarisha mifumo yake ya kujilinda kwa kuboresha makombora ya balestiki yaliyotengenezwa ndani ya nchi.

IDHAA YA DUNIA

‘Shujaa wa vita’ wa Urusi aliyetoroka: ‘Nilijipiga risasi na watu wangu ili tuondoke Ukraine’

February 6, 2026 mjombazecoder

Afisa mmoja wa Urusi aliyewahi kuonyeshwa kama shujaa wa vita anasema kukata tamaa na hofu ya kurudishwa Ukraine ilimsukuma kuwajeruhi watu wake na yeye mwenyewe ili kutoroka mstari wa mbele.

HABARI ZA KIPEKEE

Hamas yalaani mashambulizi ya Israel Ukanda wa Gaza; Netanyahu amekusudia kukwamisha mapatano

February 6, 2026 mjombazecoder

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imelaani mashambulizi makubwa ya anga ya Israel katika Ukanda wa Gaza yaliyouwa shahidi Wapalestina 23 tangu ustishaji vita wa Oktoba mwaka jana…

HABARI ZA KIPEKEE

Watu 22 wauawa katika shambulio la RSF katika hospitali ya kijeshi Kordofan Kusini

February 6, 2026 mjombazecoder

Watu wasiopungua 22 wakiwemo wahudumu 4 wa sekta ya afya wameuawa na wengine wawane kujeruhiwa baada ya wanangambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) jana kuishambulia hospitali ya jeshi…

HABARI ZA KIPEKEE

Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil: Uanzishwe mfumo mpya wa kimataifa kupitia marekebisho ya Umoja wa Mataifa

February 6, 2026 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil, Mauro Vieira, amesisitiza haja ya kuanzishwa mfumo mpya wa kimataifa unaotegemea marekebisho ya mashirika ya kimataifa yaliyopo, ikiwa ni pamoja na Umoja wa…

HABARI ZA KIPEKEE

UN: ISIS inasasisha mbinu zake na kuzidisha vitishio tangu katikati ya 2025

February 6, 2026 mjombazecoder

Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu kile ulichokielezea kama ongezeko la vitishio vya kundi la Daesh (ISIS) tangu katikati ya mwaka jana, ukieleza kuwa kundi hilo limekuwa "tata zaidi".

HABARI ZA KIPEKEE

Vita vya kieneo ni nini na ni vya aina gani?

February 6, 2026 mjombazecoder

Je, nini maana ya vita vya kieneo na ni vya aina gani?

HABARI ZA KIPEKEE

Ijumaa, tarehe 6 Februari, 2026

February 6, 2026 mjombazecoder

Leo ni Ijumaa tarehe 17 Sha'bani 1447 Hijria, sawa na Februari 6 mwaka 2026.

DW SWAHILI

Mazungumzo kuhusu amani ya Ukraine yakamilika

February 6, 2026 mjombazecoder

Ukraine na Urusi zimekamilisha duru ya pili ya mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani huko Abu Dhabi yanayolenga kufikisha mwisho vita kati ya nchi hizo mbili. Duru mpya ya mazungumzo inatarajiwa kufanyika…

DW SWAHILI

Rwanda itaweza kuvikabili vikwazo vya Marekani?

February 6, 2026 mjombazecoder

Rais Paul Kagame amewarai wananchi wake kujiandaa kujitegemea zaidi kufuatia shinikizo linaloongezeka la vikwazo zaidi vya Marekani kutokana na kuhusika kwake katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

DW SWAHILI

06.02.2026

February 6, 2026 mjombazecoder

Tuanzie huko Abu Dhabi ambako hii leo wajumbe wa Ukraine na Urusi na Marekani wanaendelea na mazungumzo ya kuelekea amani ya Ukraine+++Baada ya takriban miaka mitatu ya vita, Khartoum inahamasisha…

DW SWAHILI

06.02.2026 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

February 6, 2026 mjombazecoder

Mazungumzo kuhusu amani ya Ukraine yakamilika huko Abu Dhabi. Wajumbe wa Marekani na Iran wajiandaa kuzungumza kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran mjini Muscat, Oman. Na Rais wa Rwanda Paul…

MAGAZETI

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 6, 2025

February 5, 2026 mjombazecoder

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa The post Habari kubwa…

TZSPORTS

#CoppaItaliaFrecciarossa Wanaokwenda nusu fainali ni….!!!!

February 5, 2026 mjombazecoder

#CoppaItaliaFrecciarossa Wanaokwenda nusu fainali ni....!!!! FT: Atalanta 3-0 Juventus. Je, ulitarajia!!? Burudani zinaendelea LIVE #AzamSportsHD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve

TZSPORTS

#CoppaItaliaFrecciarossa Juve wanakung’utwa….!!!

February 5, 2026 mjombazecoder

#CoppaItaliaFrecciarossa Juve wanakung'utwa....!!! 89' : Atalanta 3-0 Juventus. LIVE #AzamSports3HD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve

TZSPORTS

65′ | #CoppaItaliaFrecciarossa

February 5, 2026 mjombazecoder

65' | #CoppaItaliaFrecciarossa Atalanta 1-0 Juventus (Scamacca 27'p) LIVE #AzamSports3HD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve

MWANANCHI

Tyla anavyotembeza kifimbo cheza kwa kina Davido

February 5, 2026 mjombazecoder

Ushindani wa Tyla, 24, katika tuzo za Grammy, kwa mara nyingine umegeuka mwiba kwa mashabiki wa...

MWANANCHI

Wametemana na Bongo Fleva bila huruma

February 5, 2026 mjombazecoder

Tasnia ya Bongo Fleva imejaa vipaji vingi vya kike vilivyoacha alama kubwa licha ya kudumu kwa...

2011 majaji walimpa nafasi nyingine mshiriki Haji Ramadhan | #BSSNextLevelRevolution

February 5, 2026 mjombazecoder

2011 majaji walimpa nafasi nyingine mshiriki Haji Ramadhan | #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16 wa #BongoStarSearch utaanza kuruka…

Mambo yalivyokuwa BSS 2011 😅 | #BSSNextLevelRevolution

February 5, 2026 mjombazecoder

Mambo yalivyokuwa BSS 2011 😅 | #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16 wa #BongoStarSearch utaanza kuruka hewani kuanzia Machi…

Bela Kombo – Mshiriki wa BSS 2010 | #BSSNextLevelRevolution

February 5, 2026 mjombazecoder

Bela Kombo - Mshiriki wa BSS 2010 | #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16 wa #BongoStarSearch utaanza kuruka hewani…

Kitambo hicho, DC @ggondwe akisherehesha BSS 2010 | Sasa ni msimu wa 16 #BSSNextLevelRevolution

February 5, 2026 mjombazecoder

Kitambo hicho, DC @ggondwe akisherehesha BSS 2010 | Sasa ni msimu wa 16 #BSSNextLevelRevolution Tunaanza na Mwanza wikiendi hii, La Kairo Hotel Februari 07 na 08, 2026. Msimu wa 16…

ASTV TANZANIA

BENKI YA USHIRIKA TANZANIA COOP KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA ZANA ZA KILIMO SHAMBANI

February 5, 2026 mjombazecoder

BENKI YA USHIRIKA TANZANIA COOP KUHAKIKISHA UPATIKANAJI WA ZANA ZA KILIMO SHAMBANI Kupitia kongamano la kwanza la kimataifa linaloangazia matumizi ya teknolojia endelevu ya zana za kilimo, Benki ya ushirika…

ASTV TANZANIA

IITA YADHAMIRIA KUWA UNGANISHA WAKULIMA WENGI ZAIDI NA TAASISI ZA MIKOPO

February 5, 2026 mjombazecoder

IITA YADHAMIRIA KUWA UNGANISHA WAKULIMA WENGI ZAIDI NA TAASISI ZA MIKOPO Taasisi ya Kimataifa ya Kilimo cha Kitropiki (IITA) Inaonesha nia yake ya kuwa unganisha wakulima wengi zaidi na Taasisi…

TZSPORTS

#CoppaItaliaFrecciarossa Ni mapumziko, na walio mbele hadi sasa ni wenyeji kwa penati ya Scamacca dakika ya 27

February 5, 2026 mjombazecoder

#CoppaItaliaFrecciarossa Ni mapumziko, na walio mbele hadi sasa ni wenyeji kwa penati ya Scamacca dakika ya 27. HT: Atalanta 1-0 Juventus LIVE #AzamSports3HD #CoppaItalia #ItalianCup #AtalantaJuve

ASTV TANZANIA

Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe

February 5, 2026 mjombazecoder

Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe. Joel Nanauka, hundi ya Sh200 bilioni ambazo ni ahadi ya Rais Dkt. Samia Suluhu…

ASTV TANZANIA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na kufanya shughuli za m…

February 5, 2026 mjombazecoder

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amewataka wananchi kuendelea kulinda amani na kufanya shughuli za maendeleo bila kuangalia tofauti ya vyama vyao. Akizungumza kwenye sherehe za…

TRT SWAHILI

Uturuki imelaani shambulizi la kigaidi nchini Nigeria lililoua takriban watu 170

February 5, 2026 mjombazecoder

Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki yalaani kitendo cha ugaidi na kutoa rambirambi kwa familia za walio poteza maisha kufuatia shambulio lililotekelezwa na makundi yenye silaha katika jimbo la…

ASTV TANZANIA

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mafuriko, maporomoko ya ardhi, uharibifu wa miundombinu na mazingira,…

February 5, 2026 mjombazecoder

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mafuriko, maporomoko ya ardhi, uharibifu wa miundombinu na mazingira, milipuko ya magonjwa pamoja na upotevu wa mali na maisha katika…

TRT SWAHILI

Rais wa Congo kuwania tena urais baada ya kuiongoza nchi hiyo kwa zaidi ya miaka 40

February 5, 2026 mjombazecoder

Sheria ya nchi hiyo inamruhusu kuwania muhula mpya kufuatia mageuzi ya kikatiba mwaka 2015.

MWANANCHI

Bantu Ride waja na suluhisho kutokomeza adha ya usafiri Jijini Dar es Salaam

February 5, 2026 mjombazecoder

Kwa wakazi wengi wa jiji la Dar es Salaam, usafiri wa kila siku umeendelea kuwa chanzo cha...

MWANANCHI

Kampuni ya Ekima yaingia makubaliano kusaidia utekelezaji matuminzi ya teknolojia mashuleni

February 5, 2026 mjombazecoder

Ni katika muktadha huo ambapo kampuni ya teknolojia ya elimu, Ekima Interactive Company...

ASTV TANZANIA

Tanzania imeingia katika nchini zenye ushawishi mkubwa wa rasilimali za madini ya kimkakati na adimu duniani ikishika nafasi ya …

February 5, 2026 mjombazecoder

Tanzania imeingia katika nchini zenye ushawishi mkubwa wa rasilimali za madini ya kimkakati na adimu duniani ikishika nafasi ya nne kwa wingi wa madini hayo ardhini na ya ikishika nafasi…

ASTV TANZANIA

Wadau wa utalii visiwani Zanzibar wameiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serkali ya Oman kukamilisha ujenzi wa nyumba ya “B…

February 5, 2026 mjombazecoder

Wadau wa utalii visiwani Zanzibar wameiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Serkali ya Oman kukamilisha ujenzi wa nyumba ya "Baitul Ajaib" ambayo ni kielelezo cha utawala wa kale na sehemu…

TRT SWAHILI

Uturuki kuimarisha uwepo wake wa kijeshi kuisaidia Somalia kupambana na ugaidi

February 5, 2026 mjombazecoder

Uturuki inaimarisha uwepo wake wa kijeshi huku Somalia ikikabiliana na wimbi jipya la mashambulizi ya kigaidi ya Al-Shabaab.

MWANANCHI

Wizara yatangaza kuwapiga jeki wabunifu zana za kilimo

February 5, 2026 mjombazecoder

Wizara ya Kilimo imesema inawatambua na inawapa kipaumbele wabunifu wa zana za kilimo nchini...

MWANANCHI

Teknolojia ya nyuklia yatumika kuchagiza maendeleo ya afya, kilimo, nishati

February 5, 2026 mjombazecoder

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki nchini (TAEC), Profesa Najat Kassim Mohammed...

TRT SWAHILI

Uturuki na Saudi Arabia kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na uwekezaji katika ndege za kivita za KAAN

February 5, 2026 mjombazecoder

Uturuki na Saudi Arabi zatia saini makubaliano 'muhimu' ya ushirikiano wa sekta ya ulinzi huku Rais wa Uturuki Erdogan akieleza azma ya Uturuki ya kupanua mikataba hiyo.

HABARILEO

Geita DC yafikia 45% ukusanyaji mapato ya ndani

February 5, 2026 mjombazecoder

GEITA: HALMASHAURI ya wilaya ya Geita mkoani Geita imefanikiwa kukusanya kiasi cha sh bilioni 6.37 sawa na asilimia 45.42 ya makisio ya makusanyo ya mapato ya ndani mwaka wa fedha…

MWANANCHI

Waziri Mkuu akemea mikopo kausha damu, atoa agizo

February 5, 2026 mjombazecoder

Wakati Serikali ikitoa hundi ya Sh200 bilioni kuwezesha vijana na wanawake kiuchumi, Waziri...

Posts pagination

1 … 91 92 93 … 645

Recent Posts

  • Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
  • Yanga, Simba ngoma imelala
  • Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
  • Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
  • Tanzania, Afrika itakavyoathirika na mzozo Mashariki ya Kati

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

MWANASPOTI

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Yanga, Simba ngoma imelala

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Utendaji wamng’arisha DC Mbeya

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

March 1, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS