Waziri Paul Makonda: Siku ya Jumanne, tarehe 02, 2026 Kila Mkoa tuweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya michuano ya AF…
Waziri Paul Makonda: Siku ya Jumanne, tarehe 02, 2026 Kila Mkoa tuweke Luninga kubwa ili watu watazame fainali ya michuano ya AFCON kati ya Timu ya Taifa ya Vijana chini…
Seif Karihe afichua jambo Mashujaa
NYOTA wa Mashujaa, Seif Karihe amekiri kukutana na ugumu wa ligi msimu huu akitoa matumaini kwa mechi tano zilizobaki kufufuka, huku akisisitiza timu hiyo kutoshuka daraja.
Mapambano dawa za kulevya yaendelea kuzaa matunda
DODOMA: Serikali imesema imeendelea kupata mafanikio makubwa katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini kutokana na kuimarika kwa operesheni za udhibiti, ushirikiano wa vyombo vya dola pamoja na utoaji…
Dawa za kulevya kwenye vyakula zatikisa Tanzania
Wimbi jipya la matumizi ya dawa za kulevya kupitia vyakula na vinywaji limeibua hofu nchini...
Julius Ogamba avunja bodi ya Utumishi Girls huku mwalimu mkuu, walimu wakiadhibiwa
Waziri wa elimu Julius Ogamba amevunja bodi ya shule ya wasichana ya Utumishi kufuatia moto uliosababisha vifo vya wanafunzi 16 na kuagiza mkuu na walimu kuadhibiwa
Ratiba yamuibua kocha Muembe Makumbi
KOCHA Mkuu wa Muembe Makumbi, Sheha Khamis, amesema ushindani wa msimu huu umekuwa mgumu zaidi ikilinganishwa na misimu iliyopita.
Sh Bilioni 4.4 zaboresha mazingira ya elimu Siha
KILIMANJARO: SERIKALI ya Awamu ya Sita imeendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa wanafunzi wa kike nchini kupitia uwekezaji mkubwa wa miundombinu ya elimu, ambapo zaidi ya Sh bilioni 4.4 zimetumika…
Malindi yahitaji miujiza kubaki ZPL
HALI iliyonayo Malindi hivi sasa inahitaji maombi kuona inasalia Ligi Kuu Zanzibar kutokana na kupoteza mechi mbili za karibuni dhidi ya Polisi (3-0) na Muembe Makumbi (3-1).
CCM yaonya watakaokwamisha huduma kwa wananchi
KILIMANJARO: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitakuwa tayari kuvumilia mtumishi yeyote wa chama au serikali atakayekwamisha jitihada za utoaji huduma kwa wananchi, kikisisitiza kuwa hatua zitachukuliwa bila kuangalia cheo, umaarufu…
KVZ imepania kutoshuka kileleni ZPL
BAADA ya KVZ kushinda bao 1-0 dhidi ya Uhamiaji, kocha mkuu wa timu hiyo, Hababuu Ali, amesema watahakikisha hawashuki kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) hadi kumalizika msimu…
Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Marekani na Israel zimedhoofika baada ya Vita vya Ramadhani
Katibu wa muda wa swala ya Ijumaa mjini Tehran amesema kuwa Marekani na Israel zinashuhudia “kudhoofika” katika eneo la Asia Magharibi. Amesisitiza kuwa vita vya siku 40 vya Ramadhani vilivyoanzishwa…
Bunda MP hails Dr Samia for backing Tanzania’s sports excellence
DODOMA: THE Parliament has commended President Samia Suluhu Hassan for major investments in the sports sector, saying the initiatives have directly contributed to the strong performance of national teams in…
Dili iliyokufa – 4
““LINALETA ubishi. Tutakunyoosha, ondoa mikono yako” Nikaondoa mikono kwenye uso. “Naomba msinipige, Mimi ni mgeni” Nikawambia kwa sauti ya kusihi. “Tena linanuka pombe, linajifanya ni mgeni” “Ni mgeni kweli, nilikuja…
Rulenge wazindua AMCOs kuboresha masoko ya mazao
KAGERA: Wananchi wanaojishughulisha na kilimo cha mazao katika Tarafa ya Rulenge, wilayani Ngara mkoani Kagera, kwa pamoja wameanzisha Chama cha Msingi Rulenge (AMCOs) ambacho kitawasaidia kukusanya mazao yao na kufuatilia…
SCTIF’s experts call for practical solutions EAC’s long-standing trade challenges
ARUSHA: THE 48th Conference for Sectoral Council of Ministers on Trade, Industry, Finance and Investment (SCTIFI) of the East African Community (EAC) has officially begun in Arusha, bringing together experts,…
Zanzibar announces readiness to launch the Samia Legal Aid exercise in mid- June
DODOMA: THE Ministry of Constitution and Legal Affairs is set to launch the second phase of the “Samia Legal Aid” programme in Zanzibar on June 20, 2026, as part of…
Kwa nini makubaliano yoyote na Iran ni fedheha kwa Trump?
Kadiri uwezekano wa kufikiwa makubaliano kati ya Marekani na Iran unavyoongezeka, waandishi wa habari na wachambuzi mashuhuri wa Marekani wanatoa maoni yao kwa uwazi zaidi kuhusu kushindwa Trump na Netanyahu…
Serikali yaimarisha mazingira usafiri mtandao
DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wa huduma za usafiri wa mtandao huku ikisisitiza kuwa sekta hiyo imekuwa mhimili muhimu wa ukuaji wa uchumi, ajira…
‘Sikukuu ya wanyonya damu imekwisha’: Iran yasema hakuna ngao tena kwa kambi za Marekani
Ulinzi wenye nguvu wa Iran umeonyesha kwamba "sikukuu ya wanyonya damu" imekwisha.
IRIB yalaani mauaji ya Israel dhidi ya mwandishi habari wa al-Alam kusini mwa Lebanon
Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (IRIB), Peyman Jebelli, na Kitengo cha Matangazo ya Ng'ambo cha IRIB wamelaani vikali mauaji ya Hesam Zidan, mwandishi wa…
UN yaanika uhalifu wa kutisha wa Israel… Ripoti ya Guterres kuhusu unyanyasaji wa kingono imefichua nini?
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, Alkhamisi ya jana aliwasilisha ripoti yake ya kila mwaka kwa wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu ukatili wa…
Mwanza churches environmental conservation as it readies for Environment Day celebrations
MWANZA: THE Regional Administrative Secretary for Mwanza, Balandya Elikana, has said that environmental conservation and protection remain a key priority in the region’s development plans. Elikana made the remarks today,…
Muungano wa Madaktari Kenya waipa serikali masaa 48, wapinga wagonjwa wa Ebola Marekani kutumwa Kenya
Muungano wa Madaktari, Wafamasia na Madaktari wa Meno nchini Kenya (KMPDU) umepatia serikali muda wa saa 48 kueleza hadharani masharti kamili ya makubaliano yake na Marekani au ikabiliwe na mgomo…
CCM: Hatutaangalia cheo wala umaarufu kwa wazembe
Katika utekelezaji wa hilo, kimesema hakitaangalia cheo cha mtu, umaarufu wake wala umri, wote...
Eight students arrested in Kenya after suspected deadly school arson attack
NAIROBI: Eight students alleged to have been involved in a suspected arson attack at a Kenyan girls’ school that killed 16 pupils have been arrested, police say. The fire in…
Ule utamu wa Championship sasa umefikia pazuri
UHONDO wa Ligi ya Championship umefikia hatua nzuri kwa sasa, ambapo leo Jumamosi itashuhudiwa mechi zote nane zikipigwa za raundi ya 27, huku ushindani ukiongezeka kwa timu zinazopigania kupanda Ligi…
Cecilia Wanjiku: Mbunge amuomboleza mwanafunzi wa Utumishi Academy aliyefariki akiwaokoa wengine
Mwanafunzi wa Utumishi Girls Academy Cecilia Wanjiku aliombolezwa baada ya kifo cha kutatanisha wakati wa jaribio la uokoaji, huku mbunge akimsifu kwa ushujaa wake.
Zanzibar’s 269bn/- road projects for AFCON signals a bigger sporting ambition
ZANZIBAR: AFTER Tanzania won the right to co-host the 2027 Africa Cup of Nations (AFCON) alongside Kenya and Uganda, the immediate focus was naturally on stadiums, training grounds and football…
Mtu wa kwanza kutoka ‘dunia ya kusini’ kuongoza nafasi ya juu UNOCHA, Joyce Msuya astaafu
Mwisho wa wiki hii, Mei 31, 2026, Joyce Msuya, raia wa Tanzania ambaye pia amewahi kuhudumu katika Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo, UNEP na pia Benki ya Dunia…
WHO yataka serikali zilinde vijana dhidi ya uraibu wa tumbaku na nikotini
Shirika la Umoja wa Matiafa la Afya Duniani (WHO) limezitaka serikali duniani kuimarisha hatua za kuwalinda watoto na vijana dhidi ya matumizi ya bidhaa za tumbaku na nikotini, huku matumizi…
Niko hapa kuonesha mshikamano na watu wa DRC katika vita dhidi ya Ebola: Tedros
Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO, Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amewasili nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC leo Ijumaa Ijumaa, taifa linalokabiliana na mlipuko…
Siku ya Kimataifa ya walinda amani wa UN yamulika dharura ya kuwekeza katika amani
Mei 29 ni tarehe ya misheni ya kwanza ya UN mwaka 1948 Walinda amani waliopoteza maisha kutunukiwa nishani Juni 5 Miongoni mwao ni kutoka Burundi, Kenya, Rwanda na Tanzania Guterres…
Ukatili wa kingono kwenye migogoro wafurutu ada 2025 – Ripoti
Umoja wa Mataifa umeripoti ongezeko kubwa la ukatili wa kingono kwenye maeneo yenye migogoro duniani kote mwaka 2025, huku wanawake na wasichana wakiwa idadi kubwa ya waliokumbwa na madhila hayo…
Mradi waboresha huduma ya maji Hanang
MANYARA: Wananchi wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara wameendelea kunufaika na huduma za maji safi, vyoo bora pamoja na elimu ya usafi wa mazingira na usafi binafsi baada ya Shirika…
PM launches digital system monitoring pollution in marking NEMC’s Ruby Jubilee
DAR ES SALAAM: PRIME Minister Mwigulu Nchemba has launched a new digital system for monitoring environment pollution called the Tanzania Online Continuous Emission Monitoring System (TOCEMS) of the National Environment…
TARURA’s World Bank-funded road project clears transport barriers in Morogoro region
GAIRO: TANZANIA Rural and Urban Roads Agency (TARURA), through the World Bank-funded RISE project, has completed the construction of the 21.5-kilometre Iyogwe–Chogohali road in Gairo District, Morogoro Region, significantly improving…
Mama afariki dunia kwa ajali akiwahi shuleni lilikoungua bweni la wanafunzi
Ni huzuni! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa mwanafunzi mmoja ambaye ni miongoni mwa...
Mama afariki dunia kwa ajali akiwahi shuleni lilikoungua bweni la wanafunzi
Ni huzuni! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa mwanafunzi mmoja ambaye ni miongoni mwa...
BMH, Mkapa Foundation take specialist medical camp to Mtwara Region
DODOMA: BENJAMIN Mkapa Hospital (BMH), in collaboration with the Benjamin Mkapa Foundation (BMF), will next week take specialised medical services to Masasi District in Mtwara Region as part of activities…
Kigoma kuondoa vikwazo vya wasafirishaji saruji
KIGOMA: SERIKALI mkoani Kigoma imeahidi kutatua changamoto zisizo za kikodi zinazowakabili wafanyabiashara na wasafirishaji wa malighafi ya kutengeneza saruji (Clinker) kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kupitia Bandari ya Kigoma…
Burna Boy anavyoiweka Afrika kwenye ramani ya muziki duniani
Mkali wa Afrobeats kutokea Nigeria, Burna Boy, 34, ameshirikiana na staa wa muziki wa Pop...
Tanzania unveils plans to enroll all poor households into a Universal Health Insurance scheme
DODOMA: THE Tanzanian government has announced plans to enroll all poor households into a Universal Health Insurance scheme by the 2028/29 financial year, in a major move aimed at expanding…
Ngorongoro wins Tripadvisor’s Best of the Best Award as an elite global destination
DAR ES SALAAM: NGORONGORO Crater has solidified its status as an elite global destination, securing the prestigious Traveller’s Choice – Best of the Best Award by Tripadvisor The Ngorongoro Conservation…
CETAWICO promotes Tanzania’s wine to enotourism with premium travel experiences
DODOMA: TANZANIA’S growing wine tourism sector is set for global expansion after Ultimate Africa Journeys announced a strategic partnership with the Central Tanzania Wine Company (CETAWICO) to promote enotourism and…
Ghetto Kids waokota dodo kwa Shakira
Ndoto imekuwa kweli. Hayo ni maneno ya baadhi ya watoto kutoka katika kundi la dansi la Ghetto...
Arsène Wenger hails Serengeti Boys for reaching CAF U-17 final, securing U-17 World Cup ticket
RABAT: THE former Arsenal manager and current FIFA Chief of Global Football Development, Arsène Wenger, has praised Tanzania’s U-17 national team for their outstanding performance after reaching the AFCON U-17…
Tanzania kutekeleza miradi 60 ya Dola bilioni 2.85
ARUSHA: TANZANIA imejiandaa kutekeleza kwa zaidi ya miradi 60 yenye thamani ya Dola za Kimarekani bilioni 2.85 sawa na zaidi ya Sh trilioni 7 hadi 8 kupitia sekta mbalimbali za…
Tido calls for impactful and thought-provoking journalism to restore the profession’s dignity, influence
DAR ES SALAAM: JOURNALISTS Accreditation Board (JAB) Chairman, Tido Mhando, has called on Tanzanian journalists to rethink their role in shaping society, urging a shift toward more impactful and thought-provoking…