Alfajiri Kumi- Sekta ya afya ya Iran kabla na baada ya Mapinduzi
Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Kipindi chetu kinazungumzia…
Mkataba wa New START kati ya Marekani na Urusi wamalizika
Mkataba wa mwisho uliosalia wa kudhibiti silaha za nyuklia kati ya Urusi na Marekani umemalizika rasmi leo Alhamisi, hatua inayofuta mipaka yote ya idadi ya silaha za nyuklia kwa mataifa…
Ndani ya siku mia za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
Ndani ya siku mia za uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali imefanikiwa kuwasha umeme katika kata ya Mlima wa Uluguru, Manispaa ya…
Tahadhari ya mvua kubwa mikoa sita, wananchi watahadhirishwa
Takribani mikoa sita nchini inayopata mvua mara mbili kwa mwaka, ukiwamo Dar es Salaam...
Ripoti: Kuzimwa kwa intaneti kunazidi kuwa silaha ya kisiasa
Kampuni ya teknolojia ya Proton inasema kuzimwa kwa intaneti kunazidi kuwa silaha ya kisiasa, baadhi ya serikali zikitumia fursa hiyo kuimarisha mifumo ya udhibiti, uchujaji wa taarifa na kupambana na…
THRDC NA MAIPAC yawapika waandishi wa Habari za mazingira
Waandishi wa habari 35 kutoka mikoa ya Kanda ya Kaskazini na Kati wameanza kupatiwa mafunzo ya...
CCM kutoa elimu kwa wanachama wake kujiimarisha
Chama cha Mapinduzi (CCM) kinatarajia kuanza kutoa elimu kwa wanachama wake nchi nzima ili...
Nactvet yabaini changamoto mfumo wa udahili, ucheleweshaji matokeo
Katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na...
Vikundi 130 Makambako vyakopeshwa Sh1 bilioni
Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe imetoa mikopo zaidi ya Sh1.042 bilioni kwenye...
Mwigulu akabidhi hundi ya Bil 200/-kuwezesha wanawake, vijana
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba akimkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka, hundi ya sh bilioni 200 ambazo ni ahadi ya Rais Samia Suluhu Hassan…
KUTOKA ANGOLA: Umekuwa ukisikia watangazaji mbalimbali wa #AzamTV wakiita timu ya taifa ya Angola “Palancas negras”
KUTOKA ANGOLA: Umekuwa ukisikia watangazaji mbalimbali wa #AzamTV wakiita timu ya taifa ya Angola "Palancas negras" Katika kupata ufafanuzi wa hilo mtangazaji @mangasore_ ambaye yupo Angola kwa ajili ya mechi…
Utajiri wa Afrika: Takienta, nyumba maalumu za udongo nchini Togo
Upekee wake ni kwamba nyumba hizi zimejengwa katika muundo wa kasri na zinaonekana kama ghorofa ndogo.
Abdulla ahimiza usimamizi wa maadili kwa vijana
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla ameitaka jamii kuendelea kusimamia...
Health at risk as illicit alcohol costs over 1tri/-
DAR ES SALAAM: Illicit alcohol continues to pose a significant threat to public health, government revenue, and legitimate businesses in Tanzania. A new study reveals that 61 percent of all…
AFCON 2027 YAPAMBA MOTO: “Tunaunda kamati saba”
AFCON 2027 YAPAMBA MOTO: “Tunaunda kamati saba” Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Amos Makalla amezungumzia maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa #AFCON Arusha huku akifafanua majukumu ya kamati saba ambazo…
‘Mchango’ yazinduliwa kurahisisha usimamizi wa michango nchini
Wakati familia zinapokabiliwa na dharura za kiafya, jamii inapoandaa shughuli za misiba, au...
Watu wasioweza kugharamia matibabu ya NCDs kutambuliwa
Wakati Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ikiadhimisha siku 100 za uongozi, wananchi...
Klabu ya Simba imetoa onyo kali kwa watu waliotumia nembo za wadhamini wake bila ruhusa katika mkutano binafsi ambao haukutambul…
Klabu ya Simba imetoa onyo kali kwa watu waliotumia nembo za wadhamini wake bila ruhusa katika mkutano binafsi ambao haukutambuliwa rasmi na klabu. Uongozi wa Simba umeeleza kusikitishwa na hatua…
Wajuzi wa masuala ya maendeleo binafsi wanashauri kuwa ili kufanikisha malengo yako, ni muhimu kuwa na watu watakaokusaidia kuso…
Wajuzi wa masuala ya maendeleo binafsi wanashauri kuwa ili kufanikisha malengo yako, ni muhimu kuwa na watu watakaokusaidia kusonga mbele katika maisha. Vijana wengi wanaita hilo “connection,” yaani mtandao wa…
KUTOKA ANGOLA: Simba bado inahitaji alama tatu, licha ya kuwa na matumaini finyu kwenye kundi lake
KUTOKA ANGOLA: Simba bado inahitaji alama tatu, licha ya kuwa na matumaini finyu kwenye kundi lake. Hayo yamesemwa na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally jana wakati…
Watu wanaodaiwa kuwa majambazi wamemjeruhi kwa kumpiga risasi mkazi wa Sogea mjini Tunduma, wilayani Momba, Yengo Mwapina, na ku…
Watu wanaodaiwa kuwa majambazi wamemjeruhi kwa kumpiga risasi mkazi wa Sogea mjini Tunduma, wilayani Momba, Yengo Mwapina, na kumpora kiasi cha Shilingi milioni 54 akiwa njiani kutokea benki. Kwa mujibu…
Utafiti: Pombe, Sigara vinachangia ongezeko la ugonjwa wa saratani Kenya
Shirika la habari za afya la Willow limetangaza kuuwa, vidonda vya tumbo, uvutaji wa sigara, na matumizi ya pombe vinachangia kwa kiasi kikubwa kuongezeka kwa ugonjwa wa saratani nchini Kenya.
Epstein’s help sought in bid to meet Chuck Schumer, files reveal
USA: AN associate of the United States Virgin Islands’ sole representative in the US Congress asked Jeffrey Epstein for help to arrange a meeting between the politician and Senate Minority…
Baresi asuka bomu la washambuliaji KMC
KOCHA wa KMC, Abdallah Mohamed 'Baresi', baada ya kupata ushindi wa kwanza na timu hiyo tangu ajiunge nayo, Desemba 30, 2025, akichukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, amesema malengo yaliyopo…
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: “Ni jambo la kuhuzunisha haifurahishi…”
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: “Ni jambo la kuhuzunisha haifurahishi…” Kocha mkuu wa Tanzania Prisons, Zedekiah Otieno amesema hawafurahishwi na matokeo ya hivi karibuni hasa katika mechi za ugenini, amesema…
Mafaili ya Epstein ni jehanamu ya Trump na wenzake?
Matajiri wakubwa wa ulimwengu, wanasiasa wenye nguvu kubwa ya ushawishi na wanaoweza...
Mechi za kijiuliza Ligi Kuu Bara
IJUMAA hii, kuna mechi mbili za Ligi Kuu Bara zinapigwa zikikutanisha timu ambazo hazina matokeo mazuri ziliposhuka dimbani hivi karibuni, hivyo zinatumia kujirekebisha ili kupanda kutoka zilipo kwenye msimamo.
Naibu Waziri wa Maji Mhe
Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb), amesema serikali imetenga jumla ya shilingi Bilioni 9.167 kulipa fidia kwa wananchi wa eneo la Mindu, Manispaa ya Morogoro, waliopisha ujenzi…
PPP experts prepare draft guidelines to manage budgetary support for 2025-26
DAR ES SALAAM: EXPERTS from the Public-Private Partnership (PPP) Unit of the Ministry of Finance, in collaboration with the Public-Private Partnership Centre (PPPC), together with specialists from the Ministry of…
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeawaahidi wakazi wa mtaa wa Msumi, Kata ya Mbezi wilayani Ubu…
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imeawaahidi wakazi wa mtaa wa Msumi, Kata ya Mbezi wilayani Ubungo kupata huduma ya uhakika wa maji safi kuanzia…
Pombe haramu inavyozidi kuwa tishio kwa jamii, Serikali
Wakati juhudi za kukuza mapato ya ndani zikiendelea, utafiti mpya umebaini kuwa biashara na...
Tanzania tables a resolution on Smart Pharmacovigilance for drug safety
GENEVA: TANZANIA has submitted a proposed resolution on “Smart Pharmacovigilance,” which aims to strengthen drug safety monitoring, recognizing that a large proportion of deaths resulting from adverse drug reactions occur…
Katibu Mkuu wa UN alaani shambulio la kigaidi huko Kwara, nchini Nigeria
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea tarehe 3 Februari katika jimbo la Kwara, kaskazini-kati mwa Nigeria, ambalo linaripotiwa kuua zaidi ya watu…
Catherine Mootian: Safari ya maumivu, ukimya na mapambano dhidi ya ukeketaji nchini kenya
Februari 6 kila mwaka ikiwa ni siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji wa wanawake na wasichana, manusura wa mila hiyo potofu Catherine Mootian, kutoka nchini Kenya anasimulia simulizi yake ya…
Tahadhari ya IPC: Maeneo mawili zaidi Darfur Sudan yakumbwa na baa la njaa
Takriban miaka mitatu ya mzozo, vizuizi vya ufikiaji wa kibinadamu, na kupunguzwa kwa ufadhili vinazidisha mgogoro wa chakula nchini humo Sudan imesema tahadjhri iliiyotolewa leo ikionya hali ni ni hatari…
IOM: Mambo 10 unayopaswa kujua kuhusu hali ya sasa nchini Sudan
Vita vinavyoendelea nchini Sudan vimesababisha watu wengi kukimbia makazi ya, wengine wakikimbilia kambi za wakimbizi wa ndani na wengine wakienda kwa nchi jirani. Kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa…
MUHTASARI WA HABARI: Sudan baa la njaa, UNAIDS na UNRWA
Muhtasari wa habari leo unamulika baa la njaa katika maeneo mawili zaidi Sudan, habari njema ya ufadhli wa Marekani UNAID na UNRWA inaendelea kupinga taarifa potofu dhidi yake
Serikali kurejesha betri 474 za taa za barabarani Moshi
Serikali kupitia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) Wilaya ya Moshi, mkoani...
Kugongwa na nyoka kwa mwanamuziki wa Nigeria Nwangene kwazua mjadala nchini humo
Kifo cha nyota wa Nigeria kimefanya watu waangazie tatizo la kugongwa na nyoka na ukosefu wa huduma za dharura hata maeneo ya mji kama Abuja.
Takribani watu 200 wanahofiwa kufariki dunia kufuatia mashambulio ya watu wenye silaha katika maeneo ya kati na kaskazini mwa nc…
Takribani watu 200 wanahofiwa kufariki dunia kufuatia mashambulio ya watu wenye silaha katika maeneo ya kati na kaskazini mwa nchi ya Nigeria. Shambulio kubwa zaidi limeripotiwa kutokea katika Jimbo la…
Russia: Tunataraji Marekani itatumia akili na busara kuhusiana na kadhia ya Iran
Vassily Nebenzya, mwakilishi wa kudumu Russia katika Umoja wa Mataifa amesem kuwa, Moscow inatumai kwamba Marekani itatumia akili na busara kuhusiana na kadhia ya Iran.
Rais wa Uturuki akosoa vikali hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland
Rais Recep Tayyip Erdogani wa Uturuki amekosoa vikali hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupuuza mamlaka ya kujitawala Somalia kwa kutambua jimbo lililojitenga na Somalia la Somaliland kama…
Human Rights Watch: Israel inafanya mauaji ya halaiki Ukanda wa Gaza
Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Rights Watch limetangaza kuwa, utawala wa Israel unafanya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza, Palestina.
OCHA: DRC inakabiliwa na tishio la mgogoro mkubwa wa kibinadamu
Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa (OCHA) imeonya kuhusiana na mgogoro wa kutisha wa kibinadamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Shirikisho la Vyama vya Mahujaji Tanzania (TAHAFE) limelalamikia idadi ndogo ya Waislamu waliojitokeza kujiandikisha kwa ajili y…
Shirikisho la Vyama vya Mahujaji Tanzania (TAHAFE) limelalamikia idadi ndogo ya Waislamu waliojitokeza kujiandikisha kwa ajili ya ibada ya hija nchini Saudi Arabia. Hadi sasa, mahujaji 1,300 pekee ndio wamejiandikisha,…