Israel yatakiwa kuachana na mpango wa kuidhibiti Gaza
Akizungumza Alhamisi na waandishi habari, Guterres amesema maelfu ya raia wa Gaza watalazimika kukimbia tena, na kuzitumbukiza familia katika hatari kubwa zaidi. Amerudia wito wake wa kusitishwa mapigano mara moja,…
Amka Na BBC
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki Source link
🔴KUMEKUCHA:.TANZANIA NA VIVUTIO VYA UWEKEZAJI…AGOSTI 29, 2025
🔴KUMEKUCHA:.TANZANIA NA VIVUTIO VYA UWEKEZAJI…AGOSTI 29, 2025
Guterres aitaka Israel kujizuia kuidhibiti Gaza
Akizungumza Alhamisi na waandishi habari, Guterres amesema maelfu ya raia wa Gaza watalazimika kukimbia tena, na kuzitumbukiza familia katika hatari kubwa zaidi. Amerudia wito wake wa kusitishwa mapigano mara moja,…
Hamas: US ni mshiriki wa jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema hatua ya Marekani ya kutumia turufu dhidi maazimio ya Umoja wa Mataifa “inaifanya kuwa mshiriki” wa jinai za utawala wa Israel…
Zelensky: Putin anataka kuendeleza vita
Akilihutubia taifa kwa njia ya video Alhamisi usiku, Zelensky amesema licha ya madai ya kuwa tayari kwa mazungumzo, malengo ya Urusi kuhusu vita hayajabadilika. Maafisa wamesema mashambulizi hayo makubwa ya…
Tetesi za soka Ijumaa: Mainoo aomba kuondoka Man Utd
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Kobbie Mainoo Dakika 11 zilizopita Kobbie Mainoo ameiambia Manchester United anataka kuondoka kwa mkopo kutafuta nafasi ya kucheza mara kwa mara, lakini…
🔴MAGAZETI: AHADI SIKU 100 ZA SAMIA.AGOSTI 29, 2025
🔴MAGAZETI: AHADI SIKU 100 ZA SAMIA.AGOSTI 29, 2025
Macron, Merz wasisitiza uhusiano wa karibu kati yao
Pongezi hizo amezitoa Alhamisi wakati akimkaribisha Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz nchini humo. Macron amesema baada ya miaka mingi ya uhusiano mbaya na Kansela wa zamani Olaf Scholz, kuanza upya…
Nchi 4 za Afrika kukosa chakula cha watoto wenye utapiamlo
Shirika hilo lilisema Alhamisi kwamba hali hiyo itachangiwa na uhaba uliosababishwa na kupunguzwa misaada. Yvonne Arunga, Mkurugenzi wa Save the Children katika eneo la Mashariki na Kusini mwa Afrika, amesema…
Iran: Tuko tayari kurejea kwenye mazungumzo ya ‘haki’
Katika barua yake aliyomuandikia mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya, Kaja Kallas, Araqchi amesisitiza utayari na nia thabiti ya Iran kuanza tena mazungumzo ya kidiplomasia ya haki…
Ijumaa, tarehe 29 Agosti, 2025
Leo ni Ijumaa tarehe 5 Mfunguo Sita Rabiul Awwal, mwaka 1447 Hijria, inayosadifiana na tarehe 29 Agosti mwaka 2028. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Urusi yashambulia Makao makuu ya EU na kuua 23
Chanzo cha picha, Getty Images Rais wa Tume ya Ulaya, Ursula von der Leyen, ameeleza hasira yake kufuatia shambulio kubwa zaidi la Urusi mjini Kyiv tangu Julai, ambapo watu 23…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 29, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 29, 2025
Kurejea malori yanayoegeshwa hifadhi ya barabara za Dar es Salaam
Kurejea malori yanayoegeshwa hifadhi ya barabara za Dar es Salaam. Je, Operesheni iliyofanyika kuyaondoa ilikua nguvu ya soda?
WHO: Zaidi ya watu 15,600 wakiwemo watoto 3,800 wanahitaji kuondolewa haraka Gaza kwa ajili ya matibabu
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameeleza kuwa watu zaidi ya 15,600 katika Ukanda wa Gaza, wakiwemo watoto 3,800, wanahitaji kuondolewa haraka katika eneo hilo lililokumbwa na vita…
Araqchi atahadharisha kuhusu njozi za "Israel Kubwa" kabla ya mkutano wa dharura wa OIC
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ametahadharisha kuwa kuwepo njozi za “Israel Kubwa” kunawakilisha hatari na tishio kubwa kwa amani na usalama wa dunia. Araqchi amezitolea wito…
29.08.2025
DIRA.BZ29.08.202529 Agosti 2025 Jeshi la Israel limeanza oparesheni kubwa za kijeshi pembezoni mwa mji wa Gaza+++Kesho dunia inaadhimisha siku ya kimataifa ya waathirika wa matukio ya kutoweka na utekaji+++Ligi kuu…
Matangazo ya Asubuhi 29.08.2025
29.08.202529 Agosti 2025 Israel bado inaendeleza mashambulizi Gaza huku kukiwa na hofu ya kutokea janga la kiutu // Vikwazo vya kibiashara vilivyowekwa na Rais wa Marekani, Donald Trump, dhidi ya…
Taarifa ya Habari Asubuhi 29.08.2025
29.08.202529 Agosti 2025 Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Israel kujizuia kuuteka na kuudhibiti Mji wa Gaza // Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema mashambulizi makubwa ya anga ya Urusi…
Pongezi za Kamati za Muqawama wa Palestina/Yemen yafanyia majaribio kombora jipya dhidi ya Israel
Katika shambulio lake la Ijumaa usiku Yemen ilifanyia majaribio kwa mafanikio kombora jipya dhidi ya adui Mzayuni, jambo ambalo lilizifurahisha sana kamati za muqawama wa Palestina na kuzifanya ziwashukuru watu…
Afisa mkuu wa Hezbollah nchini Lebanon: Muqawama hauwezi kusalimu amri
Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah huku akisisitiza kuwa, uamuzi wa serikali ya Lebanon wa kuupokonya silaha muqawama ni uamuzi usio wa kisheria wala halali amesema: Muqawama ni utamaduni…
Kwa nini utawala wa Kizayuni hauna uwezo wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora ya muqawama wa Yemen?
Maafisa wa utawala wa Kizayuni wamekiri kwamba utawala huo hauna uwezo wa kukabiliana na mashambulizi ya makombora ya muqawama wa Yemen, ambayo yanalenga kwa usahihi mkubwa shabaha zilizoko katika ardhi…
#MALUMBANOYAHOJA: “Kwanza wananchi wanatakiwa kujua mgombea bora ni yupi ni kwatika hawa wanaogombea nani anafaa…”
#MALUMBANOYAHOJA: “Kwanza wananchi wanatakiwa kujua mgombea bora ni yupi ni kwatika hawa wanaogombea nani anafaa…”
#MALUMBANOYAHOJA: “Hoja ambayo nimeipenda sana na imenivutia sana ni kuanzishwa kwa bima kwa wazee Watoto na watu walemavu…”
#MALUMBANOYAHOJA: “Hoja ambayo nimeipenda sana na imenivutia sana ni kuanzishwa kwa bima kwa wazee Watoto na watu walemavu…”
#MALUMBANOYAHOJA: “Wagombea naomba Zaidi wajikite chini kwa wananchi ambao tuna hali ya chini sana…”
#MALUMBANOYAHOJA: “Wagombea naomba Zaidi wajikite chini kwa wananchi ambao tuna hali ya chini sana…”
#MALUMBANOYAHOJA: “Ninacho kitarajia kwanza kabisa ni maendeleo na kukua kwa siasa bora Tanzania…”
#MALUMBANOYAHOJA: “Ninacho kitarajia kwanza kabisa ni maendeleo na kukua kwa siasa bora Tanzania…”
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28, AGOSTI 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28, AGOSTI 2025
Mawakili wa Uingereza katika vita vya kisheria dhidi ya Uzayuni
Dunia imeshuhudia karibu miezi 23 ya mauaji ya wazi dhidi ya watu wa Palestina yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Azma ya Malaysia ya uungaji mkono endelevu kwa Palestina
Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Malaysia amesema kuwa, nchi hiyo itadhibiti na kusimamia vilivyo vitisho au ugaidi wowote unaohusiana na suala la uungaji mkono wa Kuala Lumpur kwa…
Venezuela yashukuru Iran kwa mshikamano dhidi ya vitisho vya uvamizi vya Marekani
Waziri wa mambo ya nje wa Venezuela ameishukuru Iran kwa msimamo wake thabiti wa kuunga mkono taif hilo a la Amerika ya Kusini mbele ya vitisho vya uchokozi vinavyotolewa na…
🔴 MALUMBANOYAHOJA:KUANZA RASMI KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025
🔴 MALUMBANOYAHOJA:KUANZA RASMI KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025. JE, NINI MATARAJIO YA WANANCHI?
Aliyeua watoto kwa bunduki katika skuli ya kanisa Marekani ni mwanamume aliyebadilisha jinsia
Mshambuliaji aliyefyatulia risasi kanisa katika skuli ya kikatoliki kusini mwa mji wa Minneapolis nchini Marekani jana Jumatano na kuua na kujeruhi watu kadhaa ametambuliwa na gazeti la The New York…
Iran yaionya E3: Fanyeni chaguo la busara, mkitekeleza 'snapback' ushirikiano na IAEA utasita
Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezionya Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kwamba itasitisha maingiliano yake na shirika la Umoja wa Mataifa la kuratibu masuala ya nyuklia iwapo nchi hizo tatu zitalifanya…
#HABARI: Familia ya Jacob Ndukwa, wanaoishi katika Kijiji cha Ilowelo, Kata ya Lwanjilo, mkoani Mbeya, wameiomba Serikali kuingi…
#HABARI: Familia ya Jacob Ndukwa, wanaoishi katika Kijiji cha Ilowelo, Kata ya Lwanjilo, mkoani Mbeya, wameiomba Serikali kuingilia kati mgogoro wa ardhi baina yao na Bw. Juma Tusiwe, ambaye anadaiwa…
Utumiaji mbaya wa silaha Marekani wasababisha vifo vya watu wawili
Shule moja katika mji wa Minneapolis, ulioko katika jimbo la Minnesota, siku ya Jumatano, ilishuhudia maafa mengine yaliyotokana na utumizi mbaya wa silaha zilizoko mikononi mwa raia. BONYEZA HAPA USOME…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 28, 2025 – CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 28, 2025 – CCM YAZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU 2025
#HABARI:Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewataka madereva na makondakta wa magari ya abiria kuheshimu sheria za usalama barabar…
#HABARI:Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limewataka madereva na makondakta wa magari ya abiria kuheshimu sheria za usalama barabarani, kwa kutoingilia misafara ya viongozi wakiwemo wagombea, kuheshimu ving’ora vya magari ya…
#MALUMBANOYAHOJA: Kuanza rasmi Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025
#MALUMBANOYAHOJA: Kuanza rasmi Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025. Je, nini matarajio ya wananchi?
Trump dhidi ya Modi: Ni nini matokeo ya kuanza rasmi vita vya ushuru vya Marekani dhidi ya India?
Marekani imeanza kutekeleza ushuru wa asilimia 50 kwa bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka India. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI
Mamas of Zanzibar: Kutunza utamaduni, kujenga maisha
Katika mitaa tulivu ya Bububu Ngalawa, Zanzibar, kuna hadithi ya wanawake waliogeuza changamoto kuwa fursa, wakitumia urithi wa utamaduni wa Kizanzibari kubadilisha maisha yao na jamii zao. Kikundi hiki, kinachojulikana…
Umoja wa Ulaya waghadhabishwa na shambulizi la Urusi
Umoja wa Ulaya umemwita balozi wa Urusi mjini Brussels Alhamisi, baada ya mashambulizi makubwa ya Urusi dhidi ya Kiev huko Ukraine ambayo yamesababisha vifo vya watu 14. Mashambulizi hayo ya…
Israel kufungua vituo vipya vya kusambaza misaada Gaza
Vituo hivyo vinatazamiwa kukamilishwa katika siku zijazo na vitawekwa kusini mwa pwani ya Gaza iliyo chini ya mzingiro. Lakini vitafunguliwa huku kile kilichoko kwa sasa kikifungwa. Katika tukio jingine, wanachama…
Hali ya Gaza yazidi kuzorota, watoto walipa walipa gharama
Taarifa za Wizara ya Afya ya Gaza zinaonyesha kuwa zaidi ya watu 62,000 wameuawa tangu Oktoba 2023, wengi wao wakiwa wanawake na watoto. Wakati huo huo, Shirika la GHF, linaloungwa…
Rwanda: Kundi la kwanza la wahamiaji saba waliofukuzwa Marekani wapokelewa mjini Kigali
Mamlaka ya Rwanda imetangaza siku ya Alhamisi, Agosti 28, kuwasili kwa wahamiaji saba waliofukuzwa kutoka Marekani, ambao wako Kigali tangu katikati ya mwezi Agosti. Hili ni kundi la kwanza kupokelewa…
Polisi Ujerumani watoa tahadhari, watoto kuuzwa mtandaoni
Mamlaka nchini Ujerumani zimekamilisha uchunguzi wa idadi kubwa zaidi ya kesi za usafirishaji haramu wa binadamu na unyanyasaji mnamo mwaka 2024 tangu matukio hayo yalipoanza kuorodheshwa mnamo mwaka 2000. Maafisa…
Denmark yalalamika rasmi kuhusu juhudi za Marekani kujipenyeza kwa siri Greenland
Wizara ya Mambo ya Nje ya Denmark ilitangaza Jumatano kwamba imemwita balozi wa Marekani kufuatia ripoti za intelijensia zinazosema kwamba raia wa Marekani wamehusika kwa siri katika kuchochea upinzani dhidi…
CCM yazindua kampeni kuelekea uchaguzi wa Oktoba 29
Shangwe, nderemo na nyimbo za hamasa zilitawala leo jijini Dar es Salaam wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipozindua rasmi kampeni zake kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Uzinduzi huo uliofanyika…
Rwanda yawapokea wahamiaji 7 waliofurushwa Marekani
Hatua hiyo ni sehemu ya mkataba unaoiruhusu Rwanda kuwapokea wahamiaji wanaofurushwa Marekani. Serikali ya Rwanda imesema hayo Alhamisi. Msemaji wa serikali ya Rwanda Yolande Makolo, ameliambia shirika la Habari la…
Malawi yakabiliwa na uhaba wa dawa za kifua kikuu
Malawi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa dawa za kifua kikuu, huku maafisa wa afya wakionya kuwa akiba wanayo itaisha mwishoni mwa Septemba. Imechapishwa: 28/08/2025 – 17:25 Dakika 2 Wakati wa…