Papa asema, Wapalestina wanahamishwa ‘kwa mara nyingine tena’ katika ardhi yao, ataka vita vya Ghaza vikomeshwe
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV amesema Wapalestina wanaishi katika "mazingira yasiyokubalika" huku wakihamishwa kwa nguvu katika Mji wa Ghaza, wakati huu wa mashambulizi makubwa yanayoendelea kufanywa na…