Raia wa Malawi wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa urais
Raia wa Malawi, hivi leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, Wabunge na madiwani, uchaguzi ambao unatarajiwa kuamua mustakabali wa taifa hilo kuhusu uchumi na vita dhidi ya rushwa.…
Raia wa Malawi, hivi leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, Wabunge na madiwani, uchaguzi ambao unatarajiwa kuamua mustakabali wa taifa hilo kuhusu uchumi na vita dhidi ya rushwa.…
IQNA – Shirika la ujasusi la Israel, Mossad, limeahirisha mpango wa uvamizi wa nchi kavu uliolenga kuwaua viongozi wa Hamas walioko Qatar, mpango uliokuwa ukifanyiwa kazi katika wiki za hivi…
Shirika la Kimataifa la Save the Children limetangaza kuwa, karibu watoto 1,200 wamepoteza maisha na maelfu ya wengine kuachwa bila makao katika tetemeko la ardhi la hivi majuzi mashariki mwa…
Familia za mateka wa Israel wanaoshikiliwa na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kwa mara nyingine tena zimemtuhumu Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel kuwa…
SK2 / S02S16.09.202516 Septemba 2025 Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Jeshi la Israel limesema vikosi vyake vimeanza operesheni ya ardhini katika Jiji la Gaza / Malawi inafanya uchaguzi mkuu utakaowapambanisha…
Uhaba wa mafuta ya Petroli nchini Malawi uliodumu kwa muda mrefu umesababisha matatizo makubwa na kuwa na taathira hasi kwa maiasha ya wananchi wa nchi hiyo. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI…
Afisa mmoja wa jeshi la Sudan ameziambia duru za habari kwamba droni kadhaa za wanamgambo wa RSF zimeshambulia vituo muhimu vya kijeshi na miundo mbinu ya raia nchini Sudan. BONYEZA…
Maandamano makubwa ya kihistyoria ya kuunga mkono wananchi wa Palestina hususan wa Ukanda wa Gaza yamefanyika nchini New Zealand. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa vifo vilivyosababishwa na ugonjwa wa kipindupindu viliongezeka kwa asilimia 50 duniani kote katika mwaka uliopita wa 2024 ikilinganishwa na mwaka wa kabla yake.…
#HABARI: Mkaguzi Kata ya Kisangura Serengeti katika Mkoani Mara, Mkaguzii wa Polisi (INSP) Genuine Kimario, amewataka wananchi kuendelea kukemea na kutoa taarifa kwa Polisi Juu ya vitendo vya ukatili. (INSP)…
Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umesema una wasi wasi mkubwa juu ya hali mbaya sana ya maisha katika Ukanda wa Ghaza sambamba na kushadidi mashambulizi ya mabomu na…
Maelfu ya watu wamemiminika barabarani mjini Berlin kupinga sera za Ujerumani katika eneo la Asia Magharibi hususan za kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel. BONYEZA HAPA KUSOMA…
Serikali ya Russia imezionya vikali nchi za Ulaya kwamba itachukua hatua kali dhidi ya taifa lolote litakalochukua mali yake. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Waziri wa Fedha wa Marekani Scott Bessent amesema kumefikiwa makubaliano ya mfumo kuhusu umiliki wa jukwaa maarufu la kijamii la video la TikTok baada ya mazungumzo ya biashara kati ya…
Medvedev amesema kwenye mtandao wa kijamii wa Telegram kwamba kutelekeza wazo la kuiwekea Ukraine ulinzi wa anga na kuyaruhusu mataifa ya NATO kuzidungua droni za Urusi kunamaanisha kwamba muungano huo…
Hata hivyo Israel imeendelea kusema operesheni zake za kijeshi huko Gaza zinalenga kuwaokoa mateka wote wanaozuiliwa na Hamas na kuliangamiza kabisa kundi hilo. Matamshi ya Hamad Al-Thani yamekuja leo wakati…
Hii inamaanisha kuanzia mwaka ujao wanafunzi kutoka Israel hawatokubaliwa kujiunga na chuo hicho kinachotoa mafunzo ya kimataifa ya kimkakati kwa wanafunzi wa Uingereza na maeneo mengine ya dunia. Israel imekasirishwa…
Mkataba huo unakataza ruzuku kwa ajili ya meli zinazochangia uvuvi haramu, usioripotiwa na usiodhibitiwa lakini pia uvuvi kwenye bahari kuu. Utafiti wa mwaka 2019 uliochapishwa kwenye jarida la Marine Policy…
Waziri wa Ulinzi wa Venezuela, Vladimir Padrino López amelaani kitendo cha Marekani cha kupeleka vikosi vyake vya majini kwenye visiwa vya Caribbean kwa kisingizio kupambana na ulanguzi wa dawa za…
Msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa China, Lin Jian, amesema matakwa ya China yakiathirika kwa namna yoyote ile, itachukua hatua sawa kulinda usalama na maslahi yake. Jian amesema…
Machar, ambaye alikuwa makamu wa kwanza wa rais chini ya mkataba wa kugawana madaraka wa mwaka 2018, aliondolewa madarakani wiki iliyopita baada ya hapo awali kuwekwa chini ya kifungo cha…
Ushindi huo unatokea wakati chama kinachofuata siasa kali za mrengo wa kulia, AfD, kikiongeza umaarufu wake kwa asilimia 5 ikilinganishwa na uchaguzi uliopita wa mwaka 2020. Merz aliyeigia madarakani mwezi…
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekutana na kufanya mazungumzo hii leo Jumatatu mjini Jerusalem na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio. Viongozi hao wametoa kauli inayosisitiza…
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo amekutana na kufanya mazungumzo na Amir wa Qatar katika mji mkuu wa nchi hiyo Doha. BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Vyama vya mrengo wa kushoto, Social Democrats (SPD) na Greens, vimeshindwa kulingana na matokeo ya awali. CDU imepata takribani asilimia 33.3 ya kura zote, huku SPD ikishika nafasi ya pili…
Kundi la wanasayansi wa baharini kutoka Chuo Kikuu cha Malaysia Sabah (UMS) limeandika historia kwa kugundua spishi mpya ya tardigrada wa baharini, waliyoipa jina Batillipes Malaysianus kwa heshima ya nchi…
Natumai u mzima wa afya mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Karibu tuangazie baadhi ya matukio muhimu ya spoti yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbali mbali za dunia.…
Israel iliishambulia Qatar ikiwalenga viongozi wa Hamas. Hatua hiyo inahofiwa huenda ikaathiri juhudi za usitishwaji mapigano Gaza. Rubio amesema Marekani imekasirishwa na uamuzi wa Israel kuishambulia Qatar lakini sasa ni…
Jeshi la Pakistan limesema limeua watuhumiwa kadhaa wa ugaidi ndani siku mbili Jeshi la Pakistan limesema Jumatatu kuwa katika mashambulio mawili ya usalama yaliyofanyika katika sehemu ya kaskazini magharibi ya…
Philippe Lazzarini, Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema kuwa, hivi sasa hakuna sehemu salama huko Gaza na kwamba mashambulizi ya anga yanaendelea…
Qatar inatumai viongozi wanaoshiriki mkutano huo wa dharura watakuja na mbinu ya kuizuwia Israel wakati ikiendeleza vita vyake dhidi ya Hamas katika Ukanda wa Gaza. Shambulizi hilo limekuja wakati Qatar…
Bondia wa kwanza wa Olimpiki wa Somalia, Ramla Ali, amerudi nchini mwake kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30 akiwa ughaibuni. Ramla alipokelewa kwa shangwe na halaiki kubwa na…
🔴AIBU YAKO HATA WEWE: VYOMBO VYA MOTO VINAVYOTOA MOSHI KUPITILIZA VYANASWA| SEPT 08, 2025——— FUATILIA HAPA KIPINDI HIKI….. Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ; Subscribe to our Youtube Channel :…
Shirika la habari la Reuters limeripoti kwamba Rais wa Halmashauri kuu ya Ulaya, Ursula von der Leyen, ameitaka Ulaya kutafuta namna mpya ya kufadhili ulinzi wa Ukraine dhidi ya uvamizi…
Matokeo ya awali yanaonyesha chama hicho cha Kansela Friedrich Merz kinatarajiwa kujizolea asilimia 33.3 ya kura kikifuatiwa na chama cha siasa za wastani zinazoegemea mrengo wa kushoto cha SPD kikiwa…
Mripuko wa ugonjwa huo hatari uliripotiwa mapema mwezi huu kwenye kitongoji cha Bulape na kusababisha vifo vya watu 16 na wengine 68 wanashukiwa kuwa wameambukizwa. WHO imesema dozi za awali…
15.09.202515 Septemba 2025 Kwa muda mrefu, Tanzania imekuwa ikitazama kwa mbali mafanikio ya majirani zake Kenya na Ethiopia ambao wamekuwa wakitawala mbio za masafa marefu duniani, hata hivyo mwanariadha Alphonce…
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa, utoaji chanjo kwa watu walio kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa Ebola umeanza kusini mwa jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya…
Rais wa Iran Massoud Pezeshkian siku ya Jumatatu, Septemba 15, ametoa wito kwa nchi za Kiislamu kuvunja uhusiano na Israel kabla ya mkutano wa kilele uliopangwa kufanyika mjini Doha ili…
Mienendo ya kamatakamata ya wafuasi wa vyama vya upinzani na hasa kuelekea kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu, ni miongoni mwa vielelezo vya kudorora kwa demokrasia nchini Uganda. Wadadisi wa…
London na Washington zitatia saini makubaliano ya kuharakisha mchakato wa utoaji leseni na uthibitishaji wa miradi ya nyuklia kati ya nchi hizo mbili wakati wa ziara ya Donald Trump nchini…
Jaji Kiongozi wa kesi hiyo, Dunstan Ndunguru ameahirisha kesi hiyo Jumatatu hadi majira ya saa nane mchana ambapo itasikilizwa katika awamu ya mashtaka. Kwa mara nyingine tena, mapingamizi yaliyowekwa na…
Nchini Guinea, kampeni ya kura ya maoni ya katiba inaingia katika hatua yake ya mwisho kabla ya upigaji kura siku ya Jumapili, Septemba 21. Kipindi hiki kinaingiliana na kusimamishwa kwa…
Onyo la Urusi limejiri baada ya ripoti kudokeza kwamba Umoja wa Ulaya unapendekeza kutumia mali ya Urusi ambayo yamezuiwa yenye thamani ya mabilioni ya dola ili kuisaidia Ukraine. Punde tu…
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, hatua ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, pamoja na Benjamin Netanyahu, ambaye anasakwa na Mahakama ya Kimataifa…
Umoja wa Mataifa umetangaza Jumatatu, Septemba 15, 2025, kwamba Baraza la Haki za Kibinadamu litakutana kwa dharura siku ya Jumanne Septemba 16, kujadili mashambulizi ya Israel nchini Qatar ambayo yaliwalenga…
Timu ya utetezi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Sudan_Kusini, Riek Machar, na washtakiwa wengine saba imesema iko tayari kwa kesi itakayowakilishwa. “Septemba 12, sisi kama timu ya…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambaye yuko mjini Doha, Qatar kushiriki katika mkutano wa dharura wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Kiislamu na Kiarabu, amesisitiza…
#MEZAHURU: Kitu gani kifanyike kuboresha umuhimu wa Kliniki za ardhi nchini..? ili kupunguza migogoro.