[ad_1]
Afisa mmoja wa jeshi la Sudan ameziambia duru za habari kwamba droni kadhaa za wanamgambo wa RSF zimeshambulia vituo muhimu vya kijeshi na miundo mbinu ya raia nchini Sudan.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Waasi wa RSF washambulia maeneo muhimu ya kijeshi Sudan