Hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa Wanawake.

Mechi za kundi B kuanza kupigwa leo, wawakilishi wa Tanzania JKT Queens wanakipiga na Gaborone United, mechi hii itachezwa saa 1:00 usiku na kuruka mbashara kupitia AzamSports2HD.

Mapema saa 10:00, TP Mazembe kucheza na Asec Mimosas

Mechi hii itaruka mbashara kupitia AzamSports4HD.

#SisiNiSoka #Azamtvsports

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *