#ITVUPDATES: Mvua iliyoambatana na upepo mkali ndio chanzo cha Mti mkubwa kuanguka katikati ya Barabara Kuu ya Morogoro–Dar es Salaam katika eneo la Mzambarauni karibu na stendi ya Msamvu na kusababisha barabara hiyo kutopitika na kusabisha foleni ya magari.

Farhia Middle amezungumza na Mwandishi wetu kutoka Morogoro Sifuni Mshana, ametueleza juhudi zinazoendelea kwenye eneo hilo ili kuhakikisha hali ya usafiri inarejea.

Powered by #MCHEZOSUPA

JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:

Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.

#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *