Kuelekea uzinduzi wa Chanjo ya Polio nchini, Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewataka wazazi/walezi katika mikoa ya Mwanza, Simiyu, Geita, Mara, Tabora pamoja na Singida kuwapeleka watoto wao ili kupata chanjo kwa lengo la kuwakinga na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo.
Dkt. Magembe amesema hayo kwenye Mkutano Mkuu wa viongozi na wadau wa Sekta ya Afya uliolenga kujadilia masuala ya mipango na utekelezaji wa huduma za chanjo nchini.
#kilichoborakabisa
(Feed generated with FetchRSS)